1Noumau leh Leodisia khuaa omte leh, saa ka mel mu lou peuhmahte adingin bangchibanga thupiin ahia nou adia ka kisuk na theih uh ka ut ngala;
1Napenda mjue jinsi ninavyofanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu, kwa ajili ya watu wa Laodikea na kwa ajili ya wote ambao hawajapata kuniona kwa macho.
2Pathian thuguk a theihtheih ua, theihsiamna theihchetna kim hauhna tengteng lama, phan khawma a om ua, a lungtangte uh lungmuanga a om theihna dingin;
2Nafanya hivi kusudi mioyo yao ifarijiwe na kuvutwa pamoja katika upendo, ili wajazwe uthabiti mwingi uletwao na elimu ya kweli. Hapo wataijua siri ya Mungu ambayo ni Kristo mwenyewe.
3Pilna leh theihna gou tengteng tuh amah Krisa selguka om ahi.
3Ndani yake zimefichika hazina zote za hekima na elimu.
4Kuamahin paukamsiama a honkhem louhna ding un, huaite ka gen ahi.
4Basi, nawaambieni, msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa maneno ya uongo hata kama ni ya kuvutia sana.
5Sain na kiang uah omta kei leng zong, kipak taka omin, na kizen dan uleh Kris na gin kipdan uh enin, khain na kiang uah ka om ngala.
5Maana, ingawa mimi niko mbali nanyi kwa mwili, lakini niko pamoja nanyi kwa roho, na ninafurahi kuona uthabiti kamili mnaosimama nao pamoja katika imani yenu kwa Kristo.
6Huaijiakin Kris Jesu, Toupa tuh na kipahpih bang un, amah ah om un.
6Maadamu ninyi mmemkubali Kristo Yesu kuwa Bwana, basi, ishini katika muungano naye.
7Amaha zungkai leh lamtouha omin, a honzilsak bang un na ginna ua kiptaka omin, kipahthugenna hauin, amah ah om un.
7Mnapaswa kuwa na mizizi ndani yake, kujijenga juu yake na kuwa imara katika imani yenu kama mlivyofundishwa. Muwe na shukrani tele.
8Pilvang un, huchilouin jaw kuapeuhin Kris thu bang hi louin, mihing thugousiah leh khovel thubulte bang jawin a thupil uh leh khemna peuhin gallakin a honla kha ding uhi.
8Angalieni basi, mtu asiwapotoshe kwa udanganyifu mtupu wa hekima ya kibinadamu, ambayo chanzo chake ni mafundisho ya mapokeo ya watu na ya pepo watawala, na wala si Kristo mwenyewe!
9Amah ah Pathianna tangchinna chiteng tuh pumpi neiin a om gige ngala.
9Maana, ndani yake Kristo katika ubinadamu wake, umo ukamilifu wote wa Mungu,
10Amah ah tuh hinna tangchinna na neita ngal ua; amah tuh vaihawmna leh thuneihna tengteng lutang ahi.
10nanyi mmepewa uzima kamili katika kuungana naye. Yeye yuko juu ya pepo watawala wote na wakuu wote.
11Kris zeksumna ah sa pumpi suah vekin amah mah ah khuta zeksum hi lou, zeksum na hi ua;
11Katika kuungana na Kristo ninyi mlitahiriwa, lakini si kwa tohara ifanywayo na watu, bali inayofanywa na Kristo mwenyewe, na ambayo inahusikana na kukombolewa kutoka katika utu wa dhambi.
12Baptismaa amah toh vui na hita ngal ua, huaimahah misi laka kipana Pathian nasep gintak jiakin amah toh kaihthoh na hi uhi.
12Maana, mlipobatizwa mlizikwa pamoja na Kristo, na katika ubatizo, mlifufuliwa pia pamoja naye kwa imani yenu katika nguvu ya Mungu ambaye alimfufua Kristo kutoka wafu.
13Huan, noute na tatleknate a leh na sa uh zeksum louhnaa si na hi ua, noumau ngei tuh amah toh a honhing sak ahi;
13Wakati mmoja nanyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kwa sababu ninyi mlikuwa watu wa mataifa mengine. Lakini Mungu amewapa ninyi uzima pamoja na Kristo. Mungu ametusamehe dhambi zetu zote;
14I tatlekna tengteng hongaidama, batna lai thupiaka gelh i tung ua om eimah hondou gige tuh a thaimangta ngala; huai ngei tuh krosa kilhlumin a la kheta hi.
14alifutilia mbali ile hati ya deni iliyokuwa inatukabili na masharti yake, na kuifuta kabisa kwa kuipigilia msalabani.
15Huan, lalna leh thuneihnate suankhiain, huai krosah huaite tuh zouin a langtangin theihsaknan a zangta hi.
15Juu ya msalaba Kristo aliwapokonya nguvu zao hao pepo watawala na wakuu; aliwafanya kuwa kitu cha fedheha hadharani kwa kuwaburuta kama mateka katika msafara wa ushindi wake.
16Huchiin, nek thu ah hiam, dawn thu ah hiam, ankuanglui thu ah hiam, kha thak thu ah hiam, khawlni thu ah hiam, kuamahin hondem kei uhen;
16Kwa hiyo, basi, msikubali kupewa masharti na mtu yeyote kuhusu vyakula au vinywaji, siku za sherehe, sikukuu ya Mwezi mpya au Sabato.
17Huaite tuh thil hongtung ding lim ahi a, a tak tuh Kris-a ahi.
17Mambo ya aina hiyo ni kivuli tu cha yale yatakayokuja; ukweli wenyewe ndiye Kristo.
18Kuamahin amau deihthu lela thunuailutna leh angel biakna zangin, na kipahman uh honsuh sak kei uhen, a thil muhte uh pansanin, a sa lam lungsim jiak ua kisathei mawk mawkin,
18Msikubali kuhukumiwa na mtu yeyote anayejitakia kuwa wa maana kwa sababu ya maono ya pekee na ambaye anasisitiza juu ya unyenyekevu wa uongo na ibada kwa malaika. Mtu wa namna hiyo amepumbazika kwa fikira danganifu za kidunia
19Lutang tuh len chinten louin a om uhi. Amah akipanin pumpi tuh a pumin a guhtuah leh thaguite a vak leh zop khawma omin, Pathian apan khanletnain a khang lian jel hi.
19na amejitenga na Kristo aliye kichwa cha huo mwili. Chini ya uongozi wa Kristo, mwili wote unalishwa na kuunganishwa pamoja kwa viungo na mishipa yake, nao hukua kama atakavyo Mungu.
20Khovel thubulte tuh Kris kianga na nasihsan sam uleh, bang achia khovela nungta lailai banga thupiakte laka na nakipelut na hi ua?
20Ninyi mmekufa pamoja na Kristo na kukombolewa kutoka nguvu za pepo watawala wa ulimwengu. Kwa nini, basi, kuishi tena kama vile mngekuwa wa ulimwengu huu? Ya nini kuwekewa masharti:
21Mihingte thuchiam leh zilsakna, Lawng ken, Chiam ken.
21"Msishike hiki," "Msionje kile," "Msiguse kile!"
22Khoih ken, chihte huchi bang thil tengteng tuh zat kawma mangthang ding ahi.Huchibang thil tuh, ut banga biak leh, thunuailut leh, pumpi engbawl ah jaw hihtuak hileh a kilawm naa, himahleh sa deihlam zuih khamna lamah tuh bangmah himhim a phatuam kei hi.
22Mambo hayo yote yanahusika na vitu vyenye kuharibika mara tu vinapotumiwa; hayo ni maagizo na mafundisho ya kibinadamu tu.
23Huchibang thil tuh, ut banga biak leh, thunuailut leh, pumpi engbawl ah jaw hihtuak hileh a kilawm naa, himahleh sa deihlam zuih khamna lamah tuh bangmah himhim a phatuam kei hi.
23Kweli, masharti hayo yaonekana kuwa ya hekima katika namna ya ibada ya kujitakia wenyewe, unyenyekevu wa uongo na kuutendea mwili kwa ukali; lakini kwa kweli, haifai chochote kuzuia tamaa za mwili.