1Huchiin, Kris toh kaihthoh khawma na omtak ngal uleh, tunglama Pathian taklama tu Kris omnaa thil omte tuh zong un,
1Basi, ikiwa mmefufuka pamoja na Kristo, panieni mambo ya juu, kule Kristo aliko, ameketi upande wa kulia wa Mungu.
2Tung lama thil omte ah na lungsim uh nga un, leia thil omtea nga louin.
2Muwe na hamu ya mambo ya huko juu, na siyo mambo ya hapa duniani.
3Na sita ua, tuin na hinna uh Pathian ah Kris toh selin a om hi.
3Maana ninyi mmekufa na uzima wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.
4Kris i hinna uh a hongkilak chiangin nou leng amah kiangah thupiin na kilak sam ding uhi.
4Uzima wenu halisi ni Kristo, na wakati atakapotokea ndipo nanyi pia mtakapotokea pamoja naye katika utukufu.
5Huchiin, noumaua leilam thil deihna omte hihlum un, kingaihnate, nitnate, huknate, utna giloute, huaihamnate; huaihamna tuh milimbiakna ahi ngala.
5Basi, komesheni kabisa kila kitu kilicho ndani yenu ambacho chahusika na mambo ya kidunia: uasherati, uchafu, shauku, tamaa mbaya na uchu (ambao ni sawa na kuabudu sanamu).
6Huai thilte jiakin ahi, Pathian thangpaihna tuh thumanglou tate tunga a tun nak;
6Kwa sababu ya mambo hayo hasira ya Mungu huwajia wote wanaomwasi.
7Nou leng tumalama huai thiltea na nuntak lai un, huaite ah na om jel uhi.
7Wakati mmoja ninyi pia mliishi kufuatana na mambo hayo, mlipotawaliwa nayo.
8Tun jaw, nou leng hiai tengteng, hehnate, thangpainate, huatnate, gensiatnate, na kam ua pau zahmohte koih mang un.
8Lakini sasa mnapaswa kuachana na mambo haya yote: hasira, tamaa, uovu; kufuru au maneno yasiyofaa yasitoke kamwe vinywani mwenu.
9Juau kihilh tuah kei un, mihing lui tuh a thilhih toh na suahkheta ua.
9Msiambiane uongo, kwani ninyi mmekwisha vua ule utu wa kale pamoja na matendo yake yote,
10Mihing thakin na kivanta ngal ua; huai mihing thak tuh a siampa batpih banga theihnaa siamthakin a om lellel hi.
10mkavaa utu mpya. Huu unaendelea kurekebishwa na Mungu, Muumba wake, kadiri ya mfano wake, ili mpate kumjua Mungu kwa ukamilifu.
11Huai ah tuh Grik mi leh Juda mi leh Juda mi, zeksum leh sumlouh, melmak mite, Skithia mite, bawite, bawiloute leng a om theih kei; Kris tuh bangkim hijawin, bangkim ah a om behlap lai hi.
11Katika hali hii, hakuna tena tofauti kati ya Mgiriki na Myahudi, aliyetahiriwa na asiyetahiriwa, msomi na asiye msomi, mtumwa na mtu aliye huru. Kristo ni kila kitu, na yumo katika yote.
12Huchiin, Pathian mi tel, misiangthou leh deih takte bang in lainatna lungtang te, migitnate, kingaihniamna te, thunuailutnate, thuakzohnatein kivan un.
12Ninyi ni watu wake Mungu; yeye aliwapenda na kuwateua. Kwa hiyo basi, vaeni moyo wa huruma, wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu.
13Kua peuhin kua tungah leng thubuai nei bang hile uchin, kithuakzou chiat in, kingaidam tuah unla, Toupan a honngaihdamtak bangin, kingaidam sam un.
13Vumilianeni na kusameheana iwapo mmoja wenu analo jambo lolote dhidi ya mwenzake. Mnapaswa kusameheana kama Bwana alivyowasamehe ninyi.
14Huan, huai tengteng tungah leng itna kisilhthuah un; huaiin thil bangkim kituak takin a gakkhawm hi.
14Zaidi ya hayo yote, zingatieni upendo kwani upendo huunganisha kila kitu katika umoja ulio kamili.
15Huan, Kris khamuannain na lungtang uah vaihawm hen, huchibang hi dingin pumpi khata sap na hi him uhi; kipahna dan leng thei un.
15Nayo amani ya Kristo itawale mioyoni mwenu; maana kwa ajili hiyo ninyi mmeitwa katika mwili huo mmoja. Tena muwe na shukrani!
16Kris thu tuh a hauhna tengtoh noumau ah omsak kiihkeih un, pilna chitenga kisinsak leh kihilh tuaha oma kipahna lungtang toh pathian kianga phatna la bang, Pathian la bang, khalam la bang saa omin.
16Ujumbe wa Kristo ukae ndani yenu pamoja na utajiri wake wote. Fundishaneni na kushauriana kwa hekima yote. Imbeni zaburi, nyimbo na tenzi za kiroho; mwimbieni Mungu mioyoni mwenu kwa shukrani.
17Huan, na hih peuhmah uh, thugen ah hiam, thilhih ah hiam amah jiaka Pa Pathian kianga kipahthugen kawmin Toupa Jesu minin hih vek un.
17Na, kila mfanyacho kwa neno au tendo, fanyeni vyote kwa jina la Bwana Yesu na kumshukuru Mungu Baba kwa njia yake.
18Jite aw, Toupa ah a kilawm hun bang jelin na pasalte uh kiang ah kingainiam un.
18Enyi akina mama, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana.
19Pasalte aw, na jite uh it unla, a lak uah hanhat kei un.
19Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao.
20Naupangte aw, bangkim ah na nu u leh na pate uh thumang un, huai tuh Toupa pahtak lam ahi.
20Enyi watoto, watiini wazazi wenu daima maana hiyo humpendeza Bwana.
21Pate aw, na tate uh hihnuak kei un, huchilou injaw a lunglel kha ding uh.
21Nanyi wazazi, msiwachukize watoto wenu, la sivyo watakata tamaa.
22Sikhate aw, saa na heutute uh thu bangkim ah mang un, mihing hihkipakte lel banga mit nasem hi louin, lungtang sakhata Toupa kihta kawmin.
22Enyi watumwa, watiini wakuu wenu wa kidunia katika mambo yote, na si tu wakati wanapowatazama kwa kuwa mnataka kujipendekeza kwao; ila fanyeni hivyo kwa moyo wote, kwa sababu ya kumcha Bwana.
23Na hih peuhmah uh, mihing ading banga hih louin, Toupa ading banga hihin, kilawp takin hih un;
23Kila mfanyalo, fanyeni kwa moyo wote, kwa sababu ya Bwana na si kwa ajili ya mtu.
24A itna, gouluah ding tuh, Toupa akipanin na mu ding uh chih theiin, Toupa Kris nasem na hi uhi.Thil dik lou hihpan a thil diklou hih man a mu nawn ding hi; mi khentuamna himhim a om ngal keia.
24Kumbukeni kwamba atawapeni tuzo lile alilowawekea watu wake. Mtumikieni Kristo Bwana!
25Thil dik lou hihpan a thil diklou hih man a mu nawn ding hi; mi khentuamna himhim a om ngal keia.
25Atendaye mabaya atalipwa kufuatana na ubaya wake; Mungu hana ubaguzi.