Paite

Swahili: New Testament

Colossians

4

1Heutute aw, nou leng vanah Heutupa na neih uh theiin, na sikhate u tungah a dik a tang leh a kilawm hih un.
1Nanyi wakuu, watendeeni watumwa wenu kwa uadilifu na haki, mkikumbuka kwamba nanyi pia mnaye Bwana mbinguni.
2Thum ngitnget unla, huaiah tuh kipahthu gen kawmin limsak un.
2Dumuni katika sala, na mnaposali muwe waangalifu, mkimshukuru Mungu.
3Hena ka omlouh pen kris thuguk tuh gen dingin Pathianin thu adia kong a honhonsak theihna dingin, kou leng honthum sak un,
3Vilevile, mtuombee sisi pia ili Mungu atupe fursa ya kuuhubiri ujumbe wake kuhusu siri ya Kristo. Kwa ajili hiyo mimi niko sasa kifungoni.
4Ka gen ding bangtaka ka gen khiak theihna dingin.
4Basi, ombeni ili niweze kusema kama inavyonipasa na kwa namna itakayodhihirisha siri hiyo.
5Hun na neih sungun atam theipen sem jel unla, polama mite lakah pil takin om un.
5Muwe na hekima katika uhusiano wenu na watu wasioamini, mkitumia vizuri kila nafasi mliyo nayo.
6Mi chih bangchibanga dawn chiat ding ahi ua chih na theihna ding un, na paukamsuak utuh, chi soh, hehpihna hi gige hen.
6Mazungumzo yenu yanapaswa kuwa daima mema na ya kuvutia, na mnapaswa kujua jinsi ya kumjibu vizuri kila mmoja.
7Toupaa unau ngaihtak, nasempa muanhuai, sikha hihpih Tukikalin ka tanchin tengteng nou a hontheisak ding hi.
7Ndugu yetu mpenzi Tukiko, mfanyakazi mwaminifu na mtumishi mwenzetu katika kazi ya Bwana, atawapeni habari zangu zote.
8Hiai jiak mahin, amah tuh na kiang uah ka honsawl ahi, ka tanchin uh na theihna ding uleh, na lungtang uh a hihkhamuan theihna dingin;
8Ndiyo maana namtuma, ili aichangamshe mioyo yenu kwa kuwaambieni habari zetu.
9Onesima, unau muanhuai leh ngaihtak noumau laka mi mah toh. Amau tuh hiai lama thil omdan tengteng a honthei sak ding uh.
9Anakuja pamoja na Onesimo, ndugu yetu mpenzi na mwaminifu, ambaye ni mwananchi mwenzenu. Watawapeni habari za mambo yote yanayofanyika hapa.
10Aristarkha ka hentakpihpan nou chibai a honbuk hi. Marka, Barnaba tupain leng, chibai a honbuk hi (amah tungtang thu ah thupiakte na mu uh; na kiang ua a hongpai leh, na kipahpih un);
10Aristarko, ambaye yuko kifungoni pamoja nami, anawasalimuni; hali kadhalika Marko, binamu yake Barnaba, (mmekwisha pata maagizo juu yake; akifika kwenu mkaribisheni).
11Jesu, Justa a chih un chibai nou a honbuk hi. Huaite tuh zeksum mi ahi ua, huaite kia Pathian gam thu lamah ka seppih, a honkhamuante ahi uhi.
11Naye Yoshua aitwaye Yusto, anawasalimuni. Miongoni mwa Wayahudi waliokwisha pokea imani, hawa tu peke yao, ndio wanaofanya kazi pamoja nami kwa ajili ya Utawala wa Mungu; nao wamekuwa msaada mkubwa kwangu.
12Epaphra noumau laka, Kris Jesu sikhain chibai nou a honbuk hi, aman tuh Pathian deihlam phot pichin leh gin bikbekna neia na din theihna ding un, a thumna ah nou adingin a kisuk gige hi.
12Epafra, mwananchi mwenzenu na mtumishi wa Kristo Yesu anawasalimuni. Daima anawaombeeni ninyi kwa bidii ili mpate kusimama imara, mkomae na kuwa thabiti kabisa katika mambo yote anayotaka Mungu.
13Noumau ading bang, Leodisia khuaa omte ading bang, Hierapoli khuaa omte ading bangin phatuam a ngai mahmah chih ka theihpih ngel hi.
13Naweza kushuhudia kwamba anafanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu na kwa ajili ya watu wa Laodikea na Hierapoli.
14Luka daktor ngaihtak leh Demain nou chibai a honbuk uhi.
14Luka, daktari wetu mpenzi, na Dema, wanawasalimuni.
15Leodisia khuaa unau omte, huaite chibai honbuk sak un.
15Salamu zetu kwa ndugu zetu wa Laodikea; msalimuni dada Nimfa pamoja na jumuiya yote ya waumini inayokutana nyumbani kwake.
16Huan, hiai laikhak na lak ua na sim nung un, Leodisia saptuamte lakah leng sim sak un aw; nou leng leodisia khuaa pen nana sim sam ding ua.
16Mkisha soma barua hii, hakikisheni kwamba inasomwa na Wakristo wa Laodikea; na ninyi fanyeni mpango mpate kuisoma barua waliyoipata kwao.
17Huan, Arkippa kiangah, nasepna Toupaa i muh pen tangtun dingin pilvang in, na chi un.Kei Paulain keimah khut ngeingeia hiai chibai honbukna kon-gelh ahi. Ka kolbulhte theigige un. Hehpihna na kiang uah om hen. Amen.
17Mwambieni Arkipo aitekeleze vizuri ile huduma aliyokabidhiwa na Bwana.
18Kei Paulain keimah khut ngeingeia hiai chibai honbukna kon-gelh ahi. Ka kolbulhte theigige un. Hehpihna na kiang uah om hen. Amen.
18Naandika haya kwa mkono wangu mwenyewe: Salamu kutoka kwangu, mimi Paulo. Kumbukeni kwamba niko kifungoni. Neema ya Mungu iwe nanyi.