Paite

Swahili: New Testament

Ephesians

6

1Naupangte aw, Toupa ah na nute uleh na pate uh thu mang un: huai tuh thil dik ahi ngala.
1Enyi watoto, watiini wazazi wenu Kikristo maana hili ni jambo jema.
2Na nu leh na pa zahtak in, (hiai tuh thupiak chiam nei masapen a hi),
2"Waheshimu Baba na mama yako," hii ndiyo amri ya kwanza ambayo imeongezewa ahadi, yaani,
3Huchiin nang adingin a hoih dia, lei ah leng na dam sawt ding hi.
3"Upate fanaka na miaka mingi duniani."
4Huan, nou pate aw, na tate uh hihthangpai kei unla, Toupa thuzohna ah leh hilhna ah kem jaw un.
4Nanyi akina baba, msiwachukize watoto wenu ila waleeni katika nidhamu na mafundisho ya Kikristo.
5Sikhate aw, Kris thumang bangin laudansiam leh linga lungtang khatin sa dana na pute uh thu mang un:
5Enyi watumwa, watiini mabwana zenu hapa duniani kwa hofu na tetemeko; fanyeni hivyo kwa unyofu wa moyo kana kwamba mnamtumikia Kristo.
6Mihing hihkipakte maimah banga mitmei kia veng louin, Kris sikha banga lungtanga Pathian deihlam hih jawin,
6Fanyeni hivyo si tu wakati wanapowatazama ili mjipendekeze kwao, bali tumikieni kwa moyo kama atakavyo Mungu kwa sababu ninyi ni watumishi wa Kristo.
7Mihing nasem phet hi louin, Toupa nasem bang jawa chitaktak kawma nasemin,
7Muwe radhi kutumikia kwa ajili ya Bwana na si kwa ajili ya watu.
8Mi chihin thil hoih a hih chiat peuhmah uh Toupa kianga kipanin a ngei mah a mu nawn ding uh chih theiin, bawi hiam, bawi louin hiam himahleh.
8Kumbukeni kwamba kila mtu mwenye kutenda mema, awe mtumwa au mtu huru, atapokea tuzo lake kutoka kwa Bwana.
9Huan, nou heutute aw, huchimahbangin, amau leh noumau Heutupa tuh van ah a om chih leh, aman mi deihsak tuam a neikei chih theiin vau louin a tunguah hih sam un.
9Nanyi mnaotumikiwa, watendeeni vivyo hivyo watumwa wenu, na acheni kutumia vitisho. Kumbukeni kwamba ninyi pia kama vile wao, mnaye Bwana yuleyule mbinguni, kwake cheo cha mtu si kitu.
10A tawppenin, Toupa ah leh a hatna thagui ah thilhihtheihna neiin hongom un.
10Hatimaye, nawatakeni muwe imara katika kuungana na Bwana na kwa msaada wa nguvu yake kuu.
11Diabol zekhemnate na dou zoh theihna ding un Pathian galvan kimin kivan un.
11Vaeni silaha anazowapeni Mungu mpate kuzipinga mbinu mbaya za Ibilisi.
12I doute jaw sa leh sisan ahi ngal kei ua, lalnate leh, thuneihna te leh, tu -a omlel mial tunga khovel vaihawmte leh, van mun khawnga kha gilouhon omte ahi jaw uhi.
12Maana vita vyenu si vita kati yetu na binadamu, bali ni vita dhidi ya jeshi ovu la ulimwengu wa roho; tunapigana na watawala, wakuu na wenye nguvu wanaomiliki ulimwengu huu wa giza.
13Huaijiakin, ni hoih loua na dou zohna ding un leh na hihzoh vek nung ua leng na din theihna ding un, Pathian galvan kim la un.
13Kwa sababu hiyo, vaeni silaha za Mungu ili siku ile itakapofika muweze kuyapinga mashambulio ya adui; na mkisha pigana mpaka mwisho, muwe bado thabiti.
14Huan, na kawng uh thutaka gakin, diktatna awmphaw zangin,
14Basi, simameni imara! Ukweli uwe kama ukanda kiunoni mwenu, uadilifu uwe kama vazi la kujikinga kifuani,
15Lemna tanchin hoih vanzat tuh na khe ua bunin ding un:
15na hamu ya kutangaza Habari Njema ya amani iwe kama viatu miguuni mwenu.
16Huaite ban ah ginna lum la unla, huaiin mi gilou thal kuangthei tengteng na hihmit thei ding uhi.
16Zaidi ya hayo yote, imani iwe daima kama ngao mikononi mwenu, iwawezeshe kuizima mishale ya moto ya yule Mwovu.
17Huan, hotdamna lukhu leh Kha namsau, Pathian thu la unla.
17Upokeeni wokovu kama kofia yenu ya chuma, na neno la Mungu kama upanga mnaopewa na Roho Mtakatifu.
18Thumna leh ngetna chitengin bangchik laipeuhin leng Khaah thum un. Huailam pangah tuh misiangthou tengteng adingin phatuamngai leh ngen bilbelin limsak un;
18Salini daima, mkiomba msaada wa Mungu. Salini kila wakati kwa nguvu ya Roho. Kesheni bila kuchoka mkisali kwa ajili ya watu wote wa Mungu.
19Tanchin hoih thuguk hangsan taka theisak dinga, ka kam ka kata thugen saka ka om theihna dingin kei dingin leng honnget sak un.
19Niombeeni nami pia ili niongeapo Mungu anijalie cha kusema, niweze kuwajulisha watu fumbo la Habari Njema kwa uthabiti.
20Ka gen ding bang hangsan taka ka gen theihna dingin. Huai tanchin hoih palai khainiang bun ka hi.
20Mimi ni balozi kwa ajili ya Habari Njema hiyo ingawa sasa niko kifungoni. Ombeni, basi, ili niweze kuwa hodari katika kuitangaza kama inipasavyo.
21Himahleh, nou leng bangchibanga ka om, ka tanchin na theihtheihna ding un, Taikika, Toupaa unau deihtak leh nasempa muanhuaiin bangkim a honthei sak ding.
21Tukiko, ndugu yetu mpenzi na mtumishi mwaminifu wa Bwana, atawapeni habari zangu zote mpate kujua ninachofanya.
22Huaijiakin amah na kiang uah ka honsawl ahi, ka tanchin uh na theihna ding uh leh, aman na lungtang uh a khamuan sak theihna dingin.
22Namtuma kwenu awapeni habari zetu mpate kuwa na moyo.
23Pa Pathian leh Toupa Jesu kris kianga kipan lemna leh ginna tel itna unaute kiangah om hen.I Toupa Jesu Kris tul loua itte tengteng kiangah hehpihna om hen. Amen.
23Ninawatakieni ninyi ndugu amani, upendo na imani kutoka kwa Mungu Baba na kutoka kwa Bwana Yesu Kristo.
24I Toupa Jesu Kris tul loua itte tengteng kiangah hehpihna om hen. Amen.
24Nawatakia neema ya Mungu wote wanaompenda Bwana wetu Yesu Kristo kwa mapendo yasiyo na mwisho.