1Huchiin, a ta deihtakte bangin Pathian omdan late hi un;
1Kwa hiyo, mwigeni Mungu, maana ninyi ni watoto wake wapenzi.
2Huan, Krisin a honit a, namtui dinga Pathian kianga thilpiak ding leh kithoihna dinga i sika dia a kipiak bang mahin itnaah om un.
2Upendo uongoze maisha yenu, kama vile Kristo alivyotupenda, na kwa ajili yetu akajitoa mwenyewe kama dhabihu yenye harufu nzuri na tambiko impendezayo Mungu.
3Himahleh, mi siangthoute hiha kilawm himin kingaih leh sianglou tengteng huaihamna toh, na lak uah loh khakin om kei hen.
3Kwa vile ninyi ni watu wa Mungu, basi uasherati, uchafu wowote ule au choyo visitajwe kamwe miongoni mwenu.
4Zahmohte, thuginalou gente, chiamniuh thu nangawn huaite bang a kilawm lou hi; huaite hih sangin kipahthu gen jaw un.
4Tena maneno ya aibu, ya upuuzi au ubishi, yote hayo hayafai kwenu; maneno ya kumshukuru Mungu ndiyo yanayofaa.
5Kingaihhat leh mi thanghuai leh, mi huaiham himhimin (mi huaiham jaw milim bemi a hi) Kris leh Pathian gamah tanding himhim a neikei uh chih na thei mahmah ngal ua.
5Jueni wazi kwamba mwasherati yeyote au mchafu au mfisadi, (ufisadi ni sawa na kuabudu sanamu), au mtu yeyote wa aina hiyo hataambulia chochote katika Utawala wa Kristo na wa Mungu.
6Kuamahin thuginalou peuhin honkhem kei uhen; huai thilte jiakin Pathian thangpaihna tuh thumanglou tate tungah a tung naknak ahi.
6Msikubali kudanganywa na mtu kwa maneno matupu; maana, kwa sababu ya mambo kama hayo ghadhabu ya Mungu huwajia wote wasiomtii.
7Huaijiakin amau kikoppih kei un.
7Basi, msishirikiane nao.
8Tuma lamin mial na hi ua, tun jaw Toupa ah vak na honghita uhi; vak tate bangin om un;
8Zamani ninyi mlikuwa gizani, lakini sasa ninyi mko katika mwanga kwa kuungana na Bwana. Ishini kama watoto wa mwanga:
9Vak gah tuh hoihna leh, diktatna leh, thutak tengteng ahi;
9maana matokeo ya mwanga ni wema kamili, uadilifu na ukweli.
10Toupa kipahna lamtak bang ahi hiam zong un.
10Jaribuni kujua yale yanayompendeza Bwana.
11Huan, mial thilhih gah nei ngei loute ah leng panna himhim neikei unla, pan naksangin a diklouhdan uh theisak jaw un.
11Msishiriki katika matendo yasiyofaa, ya giza bali yafichueni.
12A guka a thilhih nakte utuh a gen leng a zumhuai ngala.
12Mambo yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja.
13Himahleh, thil bangkim a diklouhdan muhtheiha om tuh vak hihlat ahi nak hi; muhtheiha om peuhmah tuh vak ahi ngala.
13Lakini mambo yale yanayotendwa katika mwanga, ukweli wake hudhihirishwa;
14Huaijiakin, Nang ihmu! hak inla, misi laka kipan thou in. Huchiin, Krisin vak honpe ding, chih ahi.
14na kila kilichodhihirishwa huwa mwanga. Ndiyo maana Maandiko yasema: "Amka wewe uliyelala, fufuka kutoka wafu, naye Kristo atakuangaza."
15Huan, mi pil loute banga om louin, mi pilte banga om jawin, na omdan uah pilvang un;
15Basi, muwe waangalifu jinsi mnavyoishi: Msiishi kama wapumbavu, bali kama wenye hekima.
16Nite a hoih louh jiakin hun na neih sungun atam theipen sem jel un.
16Tumieni vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya.
17Huaijiakin hai nuam dah unla, Toupa deihlam bang ahia chih thei jaw un.
17Kwa hiyo, msiwe wapumbavu, bali jaribuni kujua matakwa ya Bwana.
18Huan, uain khamin om kei un, huaiah tuh kideklouhna a om ngala; Khaa dimin om jaw un,
18Acheni kulewa divai maana hiyo itawaangamiza, bali mjazwe Roho Mtakatifu.
19Phatna late, Pathian late, khalam latea kihoupih chiata Toupa kianga na lungtang tengteng ua ging kilawm bawl leh lasain, leh.
19Zungumzeni kwa maneno ya Zaburi, nyimbo na tenzi za kiroho; mwimbieni Bwana nyimbo na zaburi kwa shukrani mioyoni mwenu.
20I Toupa Jesu Kris mina, Pathian, Pa ngei kianga, bangkim tunga kipahthu gen gigein.
20Mshukuruni Mungu Baba daima kwa ajili ya yote, kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo.
21Kris laudansiamin kiniamkhiak chiat un.
21Kila mmoja amstahi mwenzake kwa sababu ya kumcha Kristo.
22Jite aw, Toupa kianga na kiniamkhiak bang un, noumau pasalte kiangah kiniamkhiak un.
22Wake wawatii waume zao kama kumtii Bwana.
23Kris tuh amah ngei pumpi hondampa hi a, saptuamte lutang a hih mahbangin, pasal tuh ji lutang ahi ngala.
23Maana mume anayo mamlaka juu ya mkewe, kama vile Kristo alivyo na mamlaka juu ya kanisa; naye Kristo mwenyewe hulikomboa kanisa, mwili wake.
24Huchiin, saptuamte Kris kianga a kiniamkhiak mahbang un jite tuh bangkim ah a pasalte uh kiangah kiniamkhiak uhen.
24Kama vile kanisa linavyomtii Kristo, vivyo hivyo, wake wawatii waume zao katika mambo yote.
25Pasalte aw, na jite uh it un, Krisin saptuamte a ita, a sik ua a kipiak bangin,
25Nanyi waume, wapendeni wake zenu kama Kristo alivyolipenda kanisa, akajitoa mwenyewe sadaka kwa ajili yake.
26Huchia amau tuh tuia sila thua a hihsiangthou theihna dingin;
26Alifanya hivyo, ili kwa neno lake, aliweke wakfu kwa Mungu, baada ya kulifanya safi kwa kuliosha katika maji,
27Huan, huchia, saptuamte tuh ninbang lou leh, vuai lou leh, huchibang thil mawngmawng pu loua, siangthou leh gensiatbeia om jawa, amah leh amah tuh saptuamte thupi taka a kipiak theihna dingin.
27kusudi ajipatie kanisa lililo takatifu na safu kabisa, kanisa lisilo na doa, kasoro au chochote cha namna hiyo.
28Huchimahbangin pasalten leng amau pumpi mah bangin amau jite tuh a it ding uh ahi. Amah ji itpa tuh amah kiit ahi.
28Basi, waume wanapaswa kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe.
29Kuamahin amah sa mah aho ngei ngal keia, a vakin a deihthoh zo nak hi, Krisin saptuamte a vaka a deihthoh mah bangin;
29(Hakuna mtu yeyote auchukiaye mwili wake; badala ya kuuchukia, huulisha na kuuvika. Ndivyo naye Kristo anavyolitunza kanisa,
30A pumpi hiangte i hi ngal ua.
30maana sisi ni viungo vya mwili wake.)
31Huaijiakin pasalin a nu leh a pa paisanin a ji a len chinten dinga, huan, a nih un sa pumkhat a honghita ding uh.
31Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Kwa hiyo, mwanamume atawaacha baba na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja."
32Hiai thuguk tuh a thupi hi, himahleh ken jaw Kris leh saptuamte thu ahi ka gen.Abang abang hileh, nou laka kuapeuhmah in amah a kiit bang in a ji it hen; ji mahin leng a pasal zahtak dingin pilvang hen.
32Kuna ukweli uliofichika katika maneno haya, nami naona kwamba yamhusu Kristo na kanisa lake.
33Abang abang hileh, nou laka kuapeuhmah in amah a kiit bang in a ji it hen; ji mahin leng a pasal zahtak dingin pilvang hen.
33Lakini yanawahusu ninyi pia: kila mume lazima ampende mkewe kama nafsi yake mwenyewe, naye mke anapaswa kumstahi mumewe.