1Paula, sawltak-mihingte, sawl khiak hi louin, mihing vanga leng hi sam lou, Jesu Kris leh misi laka pata kaithoupa, Pa Pathian vangin ahi jaw-
1Mimi Paulo mtume,
2Leh ka kianga unau om tengtengten, Galatia gama saptuamte kiangah:
2na ndugu wote walio pamoja nami, tunayaandikia makanisa yaliyoko Galatia. Mimi nimepata kuwa mtume si kutokana na mamlaka ya binadamu, wala si kwa nguvu ya mtu, bali kwa uwezo wa Yesu Kristo na wa Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka wafu.
3Pa Pathian leh i Toupa Jesu Kris kianga kipan hehpihna leh lemna na kiang uah om hen;
3Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kutoka kwa Bwana Yesu Kristo.
4Amah tuh, i Pathian leh a Pa deihdanin, tulai khovel gilou tak laka a honsuahtak sak theihna dingin i khelhnate adingin amah a kipeta hi;
4Kristo alijitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu kufuatana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba, ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu mbaya wa sasa.
5Pathian kiangah thupina khantawnin om hen. Amen.
5Kwake yeye uwe utukufu milele! Amina.
6Kris hehpihna jiaka nou honsampa huchi guiha tanchin hoih tuam lama na kisuansan uh lamdang ka sa hi;
6Nashangaa kwamba muda mfupi tu umepita, nanyi mnamwasi yule aliyewaita kwa neema ya Kristo, mkafuata Habari Njema ya namna nyingine.
7Tanchin hoih dang a om ahi keia; noumau honhihbuaiin, Kris Tanchin Hoih hihlamdan ut kuate hiam a na om uh ahi.
7Lakini hakuna "Habari Njema" nyingine. Ukweli ni kwamba wako watu wanaowavurugeni, watu wanaotaka kuipotosha Habari Njema ya Kristo.
8Himahleh, koumau hiam aw, van akipana hongsuk angel nangawn hiam inleng, tanchin hoih na kiang ua ka gensa pen louhngal uh tanchin hoih dang himhim honnahilhta a om uleh, hamse lohin om hen.
8Lakini, hata kama mmoja wetu au malaika kutoka mbinguni, atawahubirieni Habari Njema tofauti na ile tuliyowahubirieni sisi, basi huyo na alaaniwe!
9Tumaa ka gen bangmah un, tua gen nawn ding ka hi. Tanchin Hoih na muh pen louhngal uh, tanchin hoih dang kua peuhin nou a honhilh leh, hamse lohin om hen.
9Tulikwisha sema, na sasa nasema tena: kama mtu yeyote anawahubirieni Habari Njema ya aina nyingine, tofauti na ile mliyokwisha pokea, huyo na alaaniwe!
10Ahihleh, tuin mihing deihsakna hia ka zon Pathian-a? Ahihkeileh, mihing ahi maw lungtaisak ta tup? Mihing nana lungtaisak lai hitaleng, Kris sikha ka hi kei ding.
10Sasa nataka kibali cha nani: cha binadamu, ama cha Mungu? Au je, nataka kuwapendeza watu? Kama ningefanya hivyo, mimi singekuwa kamwe mtumishi wa Kristo.
11Huchiin, unaute aw, ka tanchin hoih genpen mihing lam thu ahi kei chih ka hontheisak hi.
11Ndugu, napenda mfahamu kwamba ile Habari Njema niliyoihubiri si ujumbe wa kibinadamu.
12Mihing kianga kipana ka muh leng ahi kei, mi honhilh leng ka hi sam kei, Jesu Kris kilakna jiaka mu ka hi zo ngala.
12Wala mimi sikuipokea kutoka kwa binadamu, wala sikufundishwa na mtu. Yesu Kristo mwenyewe ndiye aliyenifunulia.
13Judate sabiakdan ah, nidanglai ka omdan na thei khinta ngal ua, huchia Pathian saptuamte nakpi taka sawiin ka hihbuai ngitngeta:
13Bila shaka mlikwisha sikia jinsi nilivyokuwa ninaishi zamani kwa kuzingatia dini ya Kiyahudi, na jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kupita kiasi na kutaka kuliharibu kabisa.
14Huan, ka pipute thusiah tunga Phatuam ka ngaihtuan khol jiakin Judate sabiakdan lamah leng ka chite laka ka khanvual tampite ka na khengta hi.
14Naam, mimi niliwashinda wengi wa wananchi wenzangu wa rika langu katika kuizingatia dini ya Kiyahudi, nikajitahidi sana kuyashika mapokeo ya wazee wetu.
15Huan, ka nu gilsung akipana honhihtuampa leh a hehpihna jiaka honsampa Pathianin,
15Lakini Mungu, kwa neema yake, alikuwa ameniteua hata kabla sijazaliwa, akaniita nimtumikie.
16Jentelte laka a tanchin hoih ka hilh theihna dingin a Tapa tuh lunghi taka keimaha a kilaksak laiin, sa leh sisan toh kidong louin,
16Mara tu alipoamua kunifunulia Mwanae kusudi niihubiri Habari Njema yake kwa watu wa mataifa mengine, bila kutafuta maoni ya binadamu,
17Sawltak ka hih maa sawltak na nahisate kiangah Jerusalem khuaa vahohtou tuan louin, Arabia gamah ka pai mang pah ngal jaw a; huan, Damaska khua ah ka kik nawnta hi.
17na bila kwenda kwanza Yerusalemu kwa wale waliopata kuwa mitume kabla yangu, nilikwenda kwanza Arabia, kisha nikarudi tena Damasko.
18Huan, kum thum a bei nungin Kifa veh dingin Jerusalem khuaah ka vahoh tou a, a kiangah ni sawm leh ni nga ka tama.
18Ilikuwa tu baada ya miaka mitatu, ndipo nilipokwenda Yerusalemu kuonana na Kefa; nilikaa kwake siku kumi na tano.
19Sawltak dangte bel Toupa unau Jakob kia loungal, kuamah ka mu kei hi.
19Lakini sikuwaona mitume wengine isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.
20(Ngai him dih ua! na kiang ua thu ka gelhte khawng Pathian mitmuh ah leng ka juau kei hi. )
20Haya ninayowaandikieni, Mungu anajua; sisemi uongo.
21Huai nungin Suria leh Silisia gam khawngah ka hongpai hi.
21Baadaye nilikwenda katika tarafa za Siria na Kilikia.
22Huan, Judia gama saptuamte Krisa omte meltheih ka hi nai kei lailaia,
22Wakati huo, mimi binafsi sikujulikana kwa jumuiya za Wakristo kule Yudea.
23Tumalama honsawipan tumaa khatvei ginna thu a hihbuai tuh tuin a gen zota, chih mi gen kia a ja uhi.Huan, keimah jiakin Pathian a hihlianta uhi.
23Walichokuwa wanajua ni kile tu walichosikia: "Mtu yule aliyekuwa akitutesa hapo awali, sasa anaihubiri imani ileile aliyokuwa anajaribu kuiangamiza."
24Huan, keimah jiakin Pathian a hihlianta uhi.
24Basi, wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.