Paite

Swahili: New Testament

Galatians

2

1Huan, kum sawm leh kum li a bei nungin Tita mahleng pi samin, Barnaba toh Jerusalem khuaah ka vahohtou nawna.
1Baada ya miaka kumi na minne, nilikwenda tena Yerusalemu pamoja na Barnaba; nilimchukua pia Tito pamoja nami.
2Huan, theihsakna jiakin ka vahoh toua, Jentelte laka tanchin hoih ka tangkoupih tuh amau ka vahilha; himahleh mi lian deuhte tuh a tuamin ka hilha; huchilouin jaw a thawnin ka tai kha dinga, ahihkeileh taithawnta kana hi kha dinga.
2Kwenda kwangu kulitokana na ufunuo alionipa Mungu. Katika kikao cha faragha niliwaeleza hao viongozi ujumbe wa Habari Njema niliohubiri kwa watu wa mataifa. Nilifanya hivyo kusudi kazi yangu niliyokuwa nimefanya, na ile ninayofanya sasa isije ikawa bure.
3Himahleh, Tita ka kianga om leng Grik mi himahleh zeksumsak teiteiin a om kei hi.
3Lakini, hata mwenzangu Tito, ambaye ni Mgiriki, hakulazimika kutahiriwa,
4Huai tuh unau taklou, a guka piluta omte, sala honlak theihna ding ua Kris Jesu-a noplenna i neih uh enkhe dinga honglutte jiakin a hi-
4ingawa kulikuwa na ndugu wengine wa uongo waliotaka atahiriwe. Watu hawa walijiingiza kwa ujanja na kupeleleza uhuru wetu tulio nao katika kuungana na Kristo Yesu, ili wapate kutufanya watumwa.
5Himahleh tanchinhoih thutak tuh noua dinga bittaka kep a hihtheihna dingin, amau kiangah mitphiat kal lel leng ka kipe himhim kei uhi.
5Hatukukubaliana nao hata kidogo ili ukweli wa Habari Njema ubaki nanyi daima.
6Huan, hihna deuh min nei mahmahte (bangchibang hihna nei mah le uh kei adingin a lamdanna om kei; Pathianin kuamah a khentuam kei) -huai min nei mahmahten bangmah honbehlap kei uh.
6Lakini watu hawa wanaosemekana kuwa ni viongozi--kama kweli walikuwa hivyo au sivyo, kwangu si kitu, maana Mungu hahukumu kwa kuangalia mambo ya nje--watu hawa hawakuwa na kitu cha kuongeza katika Habari hii Njema kama niihubirivyo.
7Huchihnaksangin, zeksumte kianga tanchinhoih Peter kianga kepsaka a om bangin zeksumlouhte kianga tanchinhoih kei kiangah kepsakin a om chih a theih takun,
7Badala yake, walitambua kwamba Mungu alikuwa amenituma kuhubiri Habari Njema kwa watu wa mataifa mengine kama vile Petro alivyokuwa ametumwa kuihubiri kwa Wayahudi.
8(Zeksumte sawltak hi dinga Petera sempa mahin Jentelte sawltak hi dingin kei ah a sem ngala)
8Maana, yule aliyemwezesha Petro kuwa mtume kwa Wayahudi, ndiye aliyeniwezesha nami pia kuwa mtume kwa watu wa mataifa mengine.
9Huan, hehpihna kei kianga piaka om a muh takun, Jakob te, Kifa te, Johan te, khuam muanhuai hi-a minneiten, amau bel zeksumte kianga hoh dinga, kou Jentelte kianga hoh dingin, kei leh Barnaba tuh kithuahna khut taklam honpe zota uhi.
9Basi, Yakobo, Kefa na Yohane, ambao waonekana kuwa viongozi wakuu, walitambua kwamba Mungu alinijalia neema hiyo, wakatushika sisi mkono, yaani Barnaba na mimi, iwe ishara ya ushirikiano. Sisi ilitupasa tukafanye kazi kati ya watu wa mataifa mengine, na wao kati ya Wayahudi.
10Gentheite ka theihgige lel uh a deih ua, huai tak tuh hih ka tum chiltel him ahi.
10Wakatuomba lakini kitu kimoja: tuwakumbuke maskini; jambo ambalo nimekuwa nikijitahidi kutekeleza.
11Huan Kifa tuh Antiok khuaa a hongpai laiin demhuai mahmaha a om jiakin a maitang ngeiah ka kalha.
11Lakini Kefa alipofika Antiokia nilimpinga waziwazi maana alikuwa amekosea.
12Mi kuate hiam Jakob kianga kipana a hongpai ma un amah tuh Jentelte kiangah an a, ne jel hi; himahleh a hongtun tak un zeksumte a kihtak jiakin pang nawnta louin a kihihtuamta ngala.
12Awali, kabla ya watu kadhaa waliokuwa wametumwa na Yakobo kuwasili hapo, Petro alikuwa akila pamoja na watu wa mataifa mengine. Lakini, baada ya hao watu kufika, aliacha kabisa kula pamoja na watu wa mataifa mengine, kwa kuogopa kikundi cha waliosisitiza tohara.
13Juda dangte leng a lepchiah chiat sam ua, huchiin Barnaba hilhial leng a lepchiahna ua pimangin a omzou hial ahi.
13Hata ndugu wengine Wayahudi walimuunga mkono Petro katika kitendo hiki cha unafiki, naye Barnaba akakumbwa na huo unafiki wao.
14Himahleh, tanchin hoih thutak bangin a om gina kei uh chih ka theihin, Kifa kiangah, a vek ua maah, Nang Juda mi na hi ngala, Judate om banga omlou in, Jentelte om banga na om jawk leh, bangchidanin ahia Jentelte Judate om banga na om sak teitei nak? ka chi hi.
14Basi, nilipoona kuwa msimamo wao kuhusu ukweli wa Habari Njema haukuwa umenyooka, nikamwambia Kefa mbele ya watu wote: "Ingawa wewe ni Myahudi, unaishi kama watu wa mataifa mengine na si kama Myahudi! Unawezaje, basi kujaribu kuwalazimisha watu wa mataifa mengine kuishi kama Wayahudi?"
15Ei jaw Jentel mi khialte hi louin, Juda mi hima piang i hi ua-
15Kweli, sisi kwa asili ni Wayahudi, na si watu wa mataifa mengine hao wenye dhambi!
16Himahleh, dan thilhihte jiakin mi siamtangin a om kei hi, Jesu Kris gin jiak kia in siamtangin om jaw uh chih i thei ngala-en leng dan thilhih jiak hi louin, Kris ginna jiaka siamtanga i om theihna dingin, Kris Jesu tuh i ging ahi; dan thilhihte jiakin mihing himhim siamtanga om lou ding uh ahi ngala.
16Lakini, tunajua kwa hakika kwamba mtu hawezi kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa kuitii Sheria, bali tu kwa kumwamini Yesu Kristo. Na sisi pia tumemwamini Yesu Kristo ili tupate kukubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya imani yetu kwa Kristo, na si kwa kuitii Sheria.
17Ahihleh Krisa simatanga om tum kawmpia eite mikhialte i nahih nak leh, Kris tuh khelhna omsakpa hita ve maw le'! Hilou hial.
17Sasa, ikiwa katika kutafuta kukubaliwa kuwa waadilifu kwa kuungana na Kristo sisi tunaonekana kuwa wenye dhambi, je, jambo hili lina maana kwamba Kristo anasaidia utendaji wa dhambi? Hata kidogo!
18Ka thil hihsiatte ka lam nawn jel injaw, talekpa ka hi chih ka kitheisak phet ahi ding hi.
18Lakini ikiwa ninajenga tena kile nilichokwisha bomoa, basi nahakikisha kwamba mimi ni mhalifu.
19Pathian lama dia ka honghin theihna dingin, kei jaw dan jiakin dan lamah ka si khinta ngala.
19Maana, kuhusu Sheria hiyo, mimi nimekufa; Sheria yenyewe iliniua, nipate kuishi kwa ajili ya Mungu. Mimi nimeuawa pamoja na Kristo msalabani,
20Kris toh kilhdenin ka omta; himahleh ka hing ahi; keimah pen ka hita keia, Kris tuh keimah ah a hing ahi jaw; huan, tua saa ka hin bel ginnaa hing ka hi-Pathian Tapa, a honita ka sika kipepa, ginna ah.Pathian hehpihna tuh bangmah louin ka bawl kei, dan jiaka diktatna a om ngal injaw Kris a thawna si ahi ding hi.
20na sasa naishi, lakini si mimi tena, bali Kristo anaishi ndani yangu. Maisha haya ninayoishi sasa naishi kwa imani, imani katika Mwana wa Mungu aliyenipenda hata akayatoa maisha yake kwa ajili yangu.
21Pathian hehpihna tuh bangmah louin ka bawl kei, dan jiaka diktatna a om ngal injaw Kris a thawna si ahi ding hi.
21Sipendi kuikataa neema ya Mungu. Kama mtu huweza kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa njia ya Sheria, basi, Kristo alikufa bure!