Paite

Swahili: New Testament

Galatians

3

1Galatia gama mihaite aw, kuan honbumhai a maijena? na mitmuh ngei ua Jesu Kris kilhdena kichian taka latsak a hihhih toh.
1Enyi Wagalatia, mmekuwa wajinga kweli! Ni nani aliyewaloga? Habari juu ya kusulubiwa kwake Yesu Kristo ilielezwa waziwazi mbele ya macho yenu.
2Hiai leltak kon dong ding: Dan thilhihte jiakin hia Kha tuh na muh uh, na ngaihkhiak ua na gintak jiak un?
2Napenda kujua tu kitu kimoja kutoka kwenu: Je, mlipokea Roho wa Mungu kwa sababu ya kutimiza matakwa ya Sheria ama kwa sababu ya kuisikia na kuiamini Habari Njema?
3Hichitelin na hai umaw? Khaa pan khinta ngalin, sain na khin ding ua hia?
3Je, mu wajinga kiasi hicho? Ninyi mlianza yote kwa msaada wa Roho je, mnataka sasa kumaliza kwa nguvu zenu wenyewe?
4Thil huchi zahzah a thawna thuak na hi umaw? -a thawn hi taktak hita leh.
4Je, mambo yale yote yaliyowapata ninyi yamekuwa bure tu? Haiwezekani!
5Huan, na kiang ua Kha honpepa leh na lak ua thillamdang hihpan dan thilhihte jiakin hia a hih, na ngaihkhiak ua na gintak jiak un.
5Je, Mungu huwajalia Roho na kutenda miujiza kati yenu ati kwa sababu mnatimiza yanayotakiwa na sheria, ama kwa sababu mnasikia Habari Njema na kuiamini?
6Abrahamin Pathian a gingtaa, huan, huai ginna tuh diktatnaa simsak a hihtak mahbangin.
6Chukueni kwa mfano habari za Abrahamu: yeye alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.
7Huchiin thei un, ginnaa omte, huaite mah tuh Abram tate ahi uhi.
7Sasa basi jueni kwamba watu wenye kumwamini ndio walio watoto halisi wa Abrahamu.
8Huan, laisiangthouin, Pathianin ginna jiakin Jentelte siamtangsak dingin a kisa chih theikholin, Nangmah ah namte vualjawl sakin a om ding uh, chiin, Abraham kiangah tanchin hoih tuh a nagenkholta hi.
8Maandiko Matakatifu yalionyesha kabla kwamba Mungu atawakubali watu wa mataifa kuwa waadilifu kwa njia ya imani. Hivyo Maandiko Matakatifu yalitangulia kumtangazia Abrahamu Habari Njema: "Katika wewe mataifa yote yatabarikiwa."
9Huchiin ginnaa omte tuh ginna nei Abraham toh vualjawl sakin a om sam nak uhi.
9Basi, wale walio na imani wanabarikiwa pamoja na Abrahamu aliyeamini.
10Dan thilhiha kinga peuhmahte tuh hamse nuaiah a om ngal ua; Dan laibua thugelh tengteng banga hih gige lou peuhmah tuh hamsiatin om hen, chia, gelh ahi ngala.
10Lakini wote wanaotegemea tu kutimiza yanayotakiwa na Sheria, wako chini ya laana. Maana, Maandiko Matakatifu yasema: "Yeyote asiyeshika na kutimiza yote yaliyoandikwa katika kitabu cha Sheria, yuko chini ya laana."
11Tuin Pathian mitmuhin kuamah dana siamtang a om kei chih a lang kilkel hi. Ginnaa mi diktat tuh a hing ding, chih a hih jiakin.
11Ni dhahiri kwamba Sheria haiwezi kumfanya mtu akubaliwe kuwa mwadilifu; maana Maandiko Matakatifu yasema: "Mwadilifu kwa imani ataishi."
12Himahleh dan tuh ginnaa kinga ahi kei; Huchibanga hihpa tuh huaitein a hing ding, chih ahi jaw.
12Lakini Sheria haitegemei imani, ila Maandiko yasema: "Mwenye kutimiza yanayotakiwa na Sheria ataishi."
13Kris tuh ei sika hamsiatin a hongoma, dan hamsiatna akipanin a hontan kheta-Singa khailup peuhmah jaw hamsiat hi hen, chih gelh ahi ngala-
13Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya Sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: "Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa."
14Huchia Abraham tunga vulajawlna tuh Kris Jesu jiaka Jentelte tunga hongtun theiha, hucia kha chiam tuh ginna jiaka i muh theih nadingin.
14Jambo hili lilifanyika kusudi ile baraka aliyopewa Abrahamu iwashukie watu wa mataifa mengine kwa njia ya Kristo, na ili kwa imani, tumpokee yule Roho ambaye Mungu alituahidia.
15Unaute aw, mihing hih dan gen leng: mihing thukhun lel leng, hihkipsa nung a phel kei ua, behlap leng a behlap ngeikei uhi.
15Ndugu, nitawapeni mfano kutoka maisha yetu ya kila siku. Fikirini juu ya mkataba kati ya watu wawili. Mkataba ukisha fanyika na kutiwa sahihi hapana mtu anayeuweka kando au kuuongezea kitu.
16Huan, Abraham kiangah ahi, thuchiamte piak a nahih, a chisuan kiangah leng. Mi tampi tungthu gen bangin, Chisuante kiangah leng, a chi keia; mi khat tungthu gen bangin, Nang chisuan kiangah leng, a chi ahi jaw, huai tuh Kris ahi.
16Basi, Abrahamu alipewa ahadi, yeye pamoja na mzawa wake. Maandiko hayasemi: "Na wazawa wake," yaani wengi, bali yasema, "Na mzawa wake," yaani mmoja, naye ndiye Kristo.
17Huan, huchiin ka chi ahi: huai thuchiam tuh bangmahlou suaksaka hihmang dingin, thukhun Pathianin ana hihkipsa tuh, anung kum za li leh kum sawnthum khita hongom danin a hihmang theikei hi.
17Ninachotaka kusema ni hiki: Mungu alifanya agano lake akalithibitisha; Sheria ambayo ilitokea miaka mia nne na thelathini baadaye, haiwezi kulitangua hilo agano wala kuibatilisha hiyo ahadi.
18Gouluah ding tuh dan jiak a hih leh, thuchiam jiak a nahita kei dinga; himahleh, Pathianin thuchiam jiakin ahi, Abraham kiangah a napiak.
18Maana, kama urithi ya Mungu inategemea Sheria, basi, haiwezi kutegemea tena ahadi ya Mungu. Kumbe, lakini Mungu alimkirimia Abrahamu kwa sababu aliahidi.
19Ahihkeileh, bangchithua dan tuh om ahia leh? Chisuan, thuchiamna tuh, a hongom masiah tatleknate jiakin behlapin a oma, angelte zanga palai khuta hihkip ahi.
19Ya nini basi, Sheria? Iliongezwa hapo ili kuonyesha uhalifu ni kitu gani, mpaka atakapokuja yule mzawa wa Abrahamu aliyepewa ile ahadi. Sheria ililetwa na malaika kwa mkono wa mpatanishi.
20Huan palai himhim mi khat lakah palai ahi ngei kei hi; Pathian bel khat ahi.
20Ama hakika, mpatanishi hahitajiwi ikiwa jambo lenyewe lamhusu mtu mmoja; na Mungu ni mmoja.
21Ahihkeileh, danin Pathian thuchiam te a kalh ahia? Kalh lou hial, dan mi hihhingthei himhim piaka omkhin hita leh, diktanna tuh dan jiakin a om ngei ding hi.
21Je, Sheria inapingana na ahadi za Mungu? Hata kidogo! Maana, kama kungalitolewa sheria ambayo ingeweza kuwapa watu uzima, basi, tungeweza kukubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya Sheria.
22Himahleh, Jesu Kris gin jiaka thilchiam tuh a gingtate kianga piak a hih theihna dingin laisiangthouin khelhna nuaiah bangkim a khakkhum vekta ahi.
22Lakini sivyo; Maandiko Matakatifu yamekwisha sema kwamba ulimwengu wote upo chini ya utawala wa dhambi; na hivyo, kwa kumwamini Yesu Kristo, wenye kuamini watimiziwe ile ahadi.
23Himahleh, ginna a hongtun main, ginna hongkilang ding ah khakkhumin, dan nuaia ven i nahi uhi.
23Kabla ya kujaliwa imani, Sheria ilitufanya wafungwa mpaka imani hiyo iliyokuwa inakuja ifunuliwe.
24Huchiin ginna jiaka siam i tan theihna dingin dan tuh Kris kiang lama honna chilpa ahi hi.
24Basi, hiyo Sheria ilikuwa kama mlezi wetu mpaka alipokuja Kristo, ili kwa njia ya imani, tukubaliwe kuwa waadilifu.
25Himahleh, tua ginna a hongtun nungin, honchilpa nuaiah i omta kei uhi.
25Tangu kufika kwa hiyo imani, Sheria si mlezi wetu tena.
26Kris Jesu gin jiakin Pathian tate na hi vek ngal ua.
26Kwa njia ya imani, ninyi nyote mmekuwa watoto wa Mungu katika kuungana na Kristo.
27Na lak ua Krisa baptisluta om peuhmah tuh Krisin na kithuamta ngal ua.
27Ninyi nyote mliobatizwa mkaungana na Kristo ni kama vile mmemvaa Kristo.
28Huaiah tuh Juda mi a om theikeia, Grik mi leng a om theikei; huaiah tuh bawi a om theikeia, bawi lou leng a om theikei; huaiah tuh pasal leh numei leng a om theikei hi. kris Jesu ah na vek un pumkhat na hi ngal ua.Huan, Krisa na hih uleh, Abraham suan, thuchiam banga gouluah dingte na hi uhi.
28Hivyo, hakuna tena tofauti kati ya Myahudi na Mgiriki, mtumwa na mtu huru, mwanamume na mwanamke. Nyote ni kitu kimoja katika kuungana na Kristo Yesu.
29Huan, Krisa na hih uleh, Abraham suan, thuchiam banga gouluah dingte na hi uhi.
29Ikiwa ninyi ni wa Kristo, basi ni wazawa wa Abrahamu, na mtapokea yale aliyoahidi Mungu.