Paite

Swahili: New Testament

Galatians

4

1Himahleh, hichiin ka chi: Gouluah dingpa tuh bangkim tungah toupa hi mahleh, naupang a hih laiteng bawi toh bangmahin a kidang tuan kei hi;
1Basi, nasema hivi: mrithi, akiwa bado mtoto, hawi tofauti na mtumwa ingawaje mali yote ni yake.
2A pa hun seh a hongtun masiah a donpate leh a kempate nuaiah a om jaw hi.
2Wakati huo wote yuko chini ya walezi na wadhamini mpaka wakati ule uliowekwa na baba yake.
3Huchibangin ei leng naupang i hih laiin, khovel thubulte nuaiah bawi hihna ah i om uhi;
3Hali kadhalika na sisi tulipokuwa bado watoto, tulikuwa watumwa wa pepo watawala wa ulimwengu.
4Himahleh, a hunbi a hongkimin, Pathianin a Tapa, numei suanin, dan nuaia hongsuakin, a honsawl kheta,
4Lakini wakati ule maalumu ulipotimia, Mungu alimtuma Mwanawe aliyezaliwa na mwanamke, akaishi chini ya Sheria
5Ta hihna i muh theihna dinga, dan nuaia omte tankhe dingin.
5apate kuwakomboa wale waliokuwa chini ya Sheria ili sisi tufanywe wana wa Mungu.
6Huan, tate na hih jiak un Pathianin a Tapa Kha tuh, Abba, Pa, chia kikouin, i lungtang uah a honsawl hi.
6Kwa vile sasa ninyi ni wana, Mungu amemtuma Roho wa Mwanae mioyoni mwenu, Roho ambaye hulia "Aba," yaani "Baba."
7Huchiin bawi na hita keia, ta na hi zota; huan, ta na hih leh, Pathian vanga gouluah dingpa na hi hi.
7Basi, wewe si mtumwa tena, bali mwana. Na ikiwa ni mwana, basi, wewe utapokea yote Mungu aliyowawekea watoto wake.
8Himahleh tua Pathian na theih louh lai un, a piandan mawng ua Pathian hi lou hialte bawi na hi ua.
8Zamani hamkumjua Mungu na hivyo mkatumikia miungu isiyo miungu kweli.
9Tua Pathian na hontheih nung un bel-hi lou, Pathian theihmi na honghih nung un, chih ding ahi jaw-thubul jawngkhal leh namanloua bawia om nawn na utnate uh lama, bangchi dana kihei nawn na hi ua?
9Lakini sasa, kwa vile mnamjua Mungu, au tuseme mnajulikana na Mungu, mnawezaje tena kurudi kwa wale pepo maskini na dhaifu hata kutaka kuwatumikia tena?
10Nite, khate, hunte, kumte na tang jel ua.
10Bado mnaadhimisha siku, miezi na miaka!
11Na tunguah tha ka seng thawn kha ding e aw, chih ka lau ahi.
11Nahofu kwamba labda kazi niliyoifanya kwa ajili yenu imepotea bure!
12Unaute aw, ka hongngen ahi, keimah bangin om un, kei leng noumau bangin ka om ngala, ka bangmah na suse kei uhi.
12Ndugu, nawasihi muwe kama mimi, kwa vile hata mimi nimekuwa kama ninyi. Hamkunitendea ubaya wowote.
13Tanchin Hoih na kiang ua ka gen masakna pen ka sa hat louh jiak ahi chih na thei ngal ua.
13Mnajua kwamba ugonjwa wangu ndio ulionipatia fursa ya kuwahubirieni Habari Njema kwa mara ya kwanza.
14Huan, ka saa nou dia khemna om tuh na simmoh kei ua, na kih sam kei uh; Pathian angel bangin, Kris Jesu bang hialin na honnapakta jaw uhi.
14Hata hivyo, wakati ule hamkunidharau wala kunikataa kwa sababu ya udhaifu wangu ingawa mlishawishiwa kufanya hivyo; lakini mlinipokea kama malaika wa Mungu, kama vile ningekuwa Kristo Yesu mwenyewe.
15Vangpha na kisakna uh koiah a omta aleh? Hihtheih liai hi le houh, na mit khawng uh khelkhiain na honpe khin ding uh chih ka hontheihpih ahi.
15Mlikuwa wenye furaha; sasa kumetokea nini? Naapa kwamba wakati ule mngaliweza hata kuyang'oa macho yenu na kunipa mimi.
16Huchiin, thu tak ka honhilhna jiakin na melma uh ka honghita ahia?
16Je, sasa nimekuwa adui yenu kwa sababu ya kuwaambieni ukweli?
17Hoih lamah hi het lou napiin phatuam ngai takin nou a honzong khe jel uhi; ahi, amau lama hon zoh theihna ding un noute hon pokhakkhiak a ut uhi.
17Hao watu wengine wanawahangaikia ninyi, lakini nia zao si njema. Wanataka kuwatenganisha nami ili ninyi muwahangaikie wao.
18Thu hoih lamah bel chiklai peuhin phatuamngai taka zona om gige tuh a hoih ahi, na kiang ua ka om lai kia hi louin.
18Kwa kweli ni jambo jema daima kuwahangaikia wengine katika mambo mema, na si tu wakati mimi nipo pamoja nanyi.
19Ka unaute aw, Kris noumaua siam pichinga a om masiah, nauveiin ka honvei hi.
19Watoto wangu, kama vile mama mja mzito anavyotaabika wakati wa kujifungua, mimi nataabika tena kwa ajili yenu mpaka hapo hali yake Kristo itakapoundwa ndani yenu.
20A hi, tulaiin na kiang ua oma, ka aw hihlamdan ka ut theihdan; na tungthu uah ka mang a bang ahi.
20Laiti ningekuwa pamoja nanyi sasa, maana ningalipata msimamo ufaao juu yenu! Nina wasiwasi sana nanyi!
21Dan nuaia om utte aw, honhilh un, dan thu na ngaikhe jel kei ua hia?
21Niambieni, enyi mnaopenda kutawaliwa na sheria: Je, mnasikia isemavyo Sheria?
22Hichibanga gelh ahi ngala. Abrahamin tapa nih a neia, khat tuh bawinu toh. khat tuh noplennu toh.
22Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu kwamba Abrahamu alikuwa na watoto wawili: mmoja kwa mwanamke mtumwa, na wa pili kwa mwanamke huru.
23Himahleh, bawinu laka pen tuh sa danin a pianga, noplennu laka pen bel thuchiam jiaka piang ahi, chih.
23Yule wa mwanamke mtumwa alizaliwa kama kawaida, lakini yule wa mwanamke huru alizaliwa kutokana na ahadi ya Mungu.
24Huai thute bang, gentehna ahi; huai numeite tuh thukhun nih ahi uhi; khat tuh Sinai tanga, bawi hi dinga, ta neinu; huai tuh Hagar ahi.
24Mambo hayo yamekuwa mfano; mama hao wawili ni mfano wa maagano mawili; la kwanza ni lile lililofanyika mlimani Sinai, mwakilishi wake ni Hagari, na watoto wake wanazaliwa utumwani.
25Huan, Hagar bel Arabia gama Sinai tang ahi a, Jerusalem tulaia om toh kibang ahi, a tate toh bawiin a om ngal ua.
25Hagari anawakilisha mlima Sinai ulioko Arabia, na ni mfano wa Yerusalemu ya sasa, ulio mtumwa pamoja na watoto wake.
26Tunglam Jerusalem bel noplen ahi; huai ngeingei tuh eite nu ahi hi.
26Lakini Yerusalemu ya juu mbinguni ni mji ulio huru, nao ni mama yetu.
27Nang, ching, ta nei ngei lou, nuam in, nang, nauvei ngei lou, kikou khia in; pasal nei sangin lungjuangnun, tate a nei tam zo ngala, chih gelh ahi.
27Maana imeandikwa: "Furahi, ewe uliye tasa usiyezaa; paaza sauti wewe usiyepata kujifungua mtoto; maana watoto wa yule aliyeachwa ni wengi zaidi kuliko wa yule aliye na mume."
28Huchiin unaute aw, eite Isaak bangin thuchiam tate i hi a.
28Sasa, basi, ndugu zangu, ninyi ni watoto wa Mungu kutokana na ahadi yake kama alivyokuwa Isaka.
29Himahleh, huailai bangin tuin leng ahi; sa dana piangin tuh Kha dana piang a sawi ahi.
29Lakini kama vile siku zile yule mtoto aliyezaliwa kwa njia ya kawaida alimdhulumu yule aliyezaliwa kwa uwezo wa Roho wa Mungu, vivyo hivyo na siku hizi.
30Himahleh, laisiangthouin bangchi bangin a gena? Bawinu tuh, a tapa toh, hawlkhia un; bawinu tapain noplennu tapa tuh gou a luahpih louh ding jiakin, a chi a.Huchiin, unaute aw, bawinu tate i hi kei ua, noplennu tate i hi jaw uhi.
30Lakini Maandiko Matakatifu yasemaje? Yasema: "Mfukuze mama mtumwa pamoja na mwanawe; maana mtoto wa mtumwa hatarithi pamoja na mtoto wa mama huru."
31Huchiin, unaute aw, bawinu tate i hi kei ua, noplennu tate i hi jaw uhi.
31Kwa hiyo, basi, ndugu, sisi si watoto wa mtumwa bali wa mama huru.