Paite

Swahili: New Testament

Galatians

5

1Noplen dingin Krisin a honsuaktasaktaa, huaijiakin ding kip unla, bawi hakkol ah jaw lut nawnta kei un.
1Kristo alitupa uhuru akataka tubaki huru. Basi, simameni imara wala msikubali tena kuwa chini ya nira ya utumwa.
2Ngai un, kei Paulain na kiang ua ka gen tuh, zek na sum sak uleh Kris nou adingin bangmah phattuamna tuan hi lou ding ahi.
2Sikilizeni! Ni mimi Paulo ninayesema nanyi! Kama mkikubali kutahiriwa, Kristo hatawafaidia chochote.
3A hi, dan thu tengteng jui dinga bate a na hi uh chih zeksumte tengteng kiangah ka theisak nawn ahi.
3Nasema tena wazi: kila anayekubali kutahiriwa itambidi kuishika Sheria yote.
4Nou dana siamtan tumte aw, Kris toh kikhenta na hi uh, hehpihna na puksanta uhi.
4Kama mnatazamia kukubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya Sheria, basi, mmejitenga mbali na Kristo; mko nje ya neema ya Mungu.
5Kou bel Kha jiakin ginnain diktanna lametna ka ngak uhi.
5Kwa upande wetu, lakini, sisi tunatumaini kwamba kwa nguvu ya Roho tunakubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya imani.
6Kris Jesu ah bel zeksum bangmah a phatuam keia, zeksum louh leng bangmah a phatuam sam kei; ginna, itnaa sem a phatuam ahi.
6Maana ikiwa tumeungana na Kristo Yesu, kutahiriwa au kutotahiriwa hakuna maana; cha maana ni imani ifanyayo kazi kwa mapendo.
7Hoih takin na tai uh; thutak tuh na zuih louhna ding un kuan a hondala ahia?
7Mwenendo wenu ulikuwa mzuri! Nani, basi aliyewazuia kuuzingatia ukweli?
8Hiai khemna jaw nou honsampa kianga kipan ahi kei hi.
8Aliyesababisha hali hiyo si Mungu ambaye amewaiteni.
9Silngou tawm chikin tanghou beupi a jel suakzou hi.
9"chachu kidogo tu huchachusha donge lote la unga!"
10Kei ngaihtuahna banglouin na ngaih tuah lamdang tuan kei ding uh chih, Toupa ah ken jaw nou ka honmuang ahi; himahleh, nou honhih hai, kuapeuh hitaleh zong, a tunga thupuk ding a thuak ding hi.
10Kutokana na kuungana kwetu na Bwana, nina tumaini kubwa kwamba ninyi hamtakuwa na msimamo tofauti nami. Tena yeyote huyo anayewavurugeni--awe nani au nani--hakika ataadhibiwa.
11Unaute aw, ken zeksum thu ngen lailai ka hihin, bang jiaka sawia om lai ka hia? Huchibang a hih ngal leh kros kisuihna tuh hihmang a hita ding hi.
11Na kwa upande wangu, ndugu zangu, kama bado ninahubiri kwamba kutahiriwa ni lazima, kwa nini basi, bado ninadhulumiwa? Kama ingalikuwa hivyo, mahubiri yangu juu ya msalaba wa Kristo yasingalileta aibu yoyote.
12Nou honhihbuaite amau leh amau kisat khe vanglak le uh ka deih ahi.
12Laiti hao wanaowavurugeni wangejikatakata wenyewe!
13Nou, unaute aw, bawi hilou dingin sap na hi ngal ua; himahleh, na bawi hih louhna u tuh sa adinga lemtannan zang kei unla, itnain akua akua adinga kisepsakte hi jaw un.
13Ninyi, ndugu, mliitwa muwe watu huru. Lakini uhuru huo usiwe kisingizio cha kutawaliwa na tamaa za kidunia; ila mnapaswa kutumikiana kwa upendo.
14Nangmah na kiit bangin na vengte na it ding ahi, chih thu kam khat ah dan thu tengteng kimsakin a om ngal a.
14Maana Sheria yote hutimizwa katika kushika amri hii moja: "Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe."
15Himahleh, na kikeih ua, na kinek tuah uleh na kinekgaih louhna ding un, pilvang un.
15Lakini ikiwa mtaumana na kutafunana kama wanyama, jihadharini msije mkaangamizana wenyewe kwa wenyewe!
16Huchiin hiai ka chi ahi, Kha ah om un, huan sa utna tuh na hihtangtung kei ding uhi.
16Basi, nasema hivi: mwenendo wenu na uongozwe na Roho, nanyi hamtafuata tena tamaa za kidunia.
17Sain Kha dou a ut naka, Khain leng sa dou a ut sam nak ahi; thil hih na tupte uh na hih theihlouhna ding un huaite khawng a kikalh uh ahi ngala.
17Maana, tamaa za kidunia hupingana na matakwa ya Roho; na matakwa ya Roho hupingana na tamaa za kidunia. Mambo hayo mawili hayaafikiani; kwa sababu hiyo hamwezi kufanya yale mnayotaka ninyi wenyewe.
18Himahleh Kha pia na om uleh, dan nuaiah na om kei uhi.
18Kama mkiongozwa na Roho, basi, hamko tena chini ya Sheria.
19Huan sa thilhihte tuh a kilang chian ahi, huaite tuh hiaite ahi uh: angkawmna, kingaihna, thanghuaina, hukna,
19Basi, matendo ya kidunia yanajulikana: uzinzi, uasherati, ufisadi;
20Milimbiakna, bumna, huatna, kinakna, hajatna, hehna, kilanna, omtuamna, gintuamna
20kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, choyo, mabishano, mafarakano;
21Deihgohna, tualthahna, zumunnopna, zukhamna, hichite khawng; huchibanga thil hih chingten Pathian gam a tang kei ding uh, chia tumaa ka honhilh kholh mahbangin, ka honhilh khol ahi.
21husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine kama hayo. Nawaambieni tena kama nilivyokwisha sema: watu wanaotenda mambo hayo hawatakuwa na nafasi yao katika ufalme wa Mungu.
22Kha gah ahihleh, itna, kipahna, lemna, thuaktheihna, migitna, hoihna, muanhuaina,
22Lakini matokeo ya kuongozwa na Roho ni mapendo, furaha, amani, uvumilivu, wema, fadhili, uaminifu,
23Nunnemna, kidektheihna khawng ahi jaw uh; huchibang kalh lamin dan thu piak himhim a om kei hi.
23upole na kuwa na kiasi. Hakuna Sheria inayoweza kupinga mambo hayo.
24Huan, Kris Jesu-a hitaten tuh sa, a lunggulhna leh a duhgawlna toh a kilhdenta uhi.
24Wale walio wa Kristo wameisulubisha hali yao ya kidunia pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake.
25Khaa hing i hih leh kha mahah i om ding uhi.Kitoutuah chiata, kihaza chiatin, i kikoih lian kei ding uhi.
25Tukiishi kwa msaada wa Roho, na tuufuate mwongozo wake.
26Kitoutuah chiata, kihaza chiatin, i kikoih lian kei ding uhi.
26Basi, tusijivune, tusichokozane wala kuoneana wivu.