Paite

Swahili: New Testament

Galatians

6

1Unaute aw, mi takhial bangpeuh a hihlai phawkin naom leh, nou kha mite aw, Khemna ka tuak sam kha ding e, chia kiveng hoih kawmin, huchibang mi tuh nunnemna lungsim toh dingsak thak nawn un.
1Ndugu, kama mkimwona mtu fulani amekosea, basi, ninyi mnaoongozwa na Roho mwonyeni mtu huyo ajirekebishe; lakini fanyeni hivyo kwa upole, mkiwa na tahadhari msije nanyi wenyewe mkajaribiwa.
2Na puakgikte uh kidawn chiat un, huchiin Kris dan thu na jui uh ahi ding.
2Saidianeni kubeba mizigo yenu na hivyo mtatimiza sheria ya Kristo.
3Mi bangmah hi lou piin, mi lian kuama a kibawl leh, a kikhem tawm lel ahi ngala.
3Mtu akijiona kuwa ni kitu, na kumbe si kitu, huyo anajidanganya mwenyewe.
4Mi chihin amah thilhih tuh enchian chiat jaw hen; huchia midang toh kiteha-ki-uangsak lou-a amahmaha suanhuai thil ahih theihna dingin.
4Lakini kila mmoja na aupime vizuri mwenendo wake mwenyewe. Ukiwa mwema, basi, anaweza kuona fahari juu ya alichofanya bila kuwa na sababu ya kujilinganisha na mtu mwingine.
5Mi chihin amah puak po ding ahi ngala.
5Maana kila mmoja anao mzigo wake mwenyewe wa kubeba.
6Huan, thuhilha omin thil hoih tengteng a hilhpa kiangah pe sam hen.
6Mwenye kufundishwa neno la Mungu na amshirikishe mwalimu wake riziki zake.
7Khemin om kei un; Pathian jaw zekhema mawkbawl vual ahi kei; min a tuh peuh uh huaimah a at nawn ngei ding a hih jiakin.
7Msidanganyike; Mungu hafanyiwi dhihaka. Alichopanda mtu ndicho atakachovuna.
8Amah salama tuhin saa om siatna a at ding. Khalama tuhin bel khaa kipan khantawn hinna a at ding.
8Apandaye katika tamaa za kidunia, atavuna humo uharibifu; lakini akipanda katika Roho, atavuna kutoka kwa Roho uzima wa milele.
9Huchiin, thil hoih hih chimtak kei ni; i lungkiak keileh a hun takah i at ngei ding ahi ngala.
9Basi, tusichoke kutenda mema; maana tusipolegea tutavuna mavuno kwa wakati wake.
10Huchiin, lemtang hun i neihdan bang jelin mi tengteng tungah thil hoih hih ni, ginna inkuanpihte laka omte tungah hi khol diak hen.
10Kwa hiyo, tukiwa bado na wakati, tuwatendee watu wote mema, na hasa ndugu wa imani yetu.
11Keimah khut mahmaha na kiang ua lai gol pipia ka hichi gelh en un.
11Tazameni jinsi nilivyoandika kwa herufi kubwa, kwa mkono wangu mwenyewe.
12Saa mel kilawmsak utte peuhmahin zeksuma om dingin nou a honsawl teitei nak ua; bangmah dang jiak leng ahi keia, Kris kros jiaka sawi a thuak louhna ding lel uh ahi.
12Wale wanaotaka kuonekana wazuri kwa mambo ya mwili ndio wanaotaka kuwalazimisha ninyi mtahiriwe. Wanafanya hivyo kwa sababu moja tu: kusudi wao wenyewe wasije wakadhulumiwa kwa sababu ya msalaba wa Kristo.
13Zeksumte nangawnin leng dan thu a jui tuan sam kei ua, na sa uah, suan ding a neih theihna dingun na zek uh kisum leh chih a ut lel uh ahi.
13Maana, hao wenyewe waliotahiriwa hawaishiki Sheria; huwataka ninyi mtahiriwe wapate kujivunia alama hiyo mwilini mwenu.
14Ken jaw i Toupa Jesu Kris kros loungal ka suan louh dingdan, huai kros jiakin khovel kei adingin kilhdenin ka om hi.
14Lakini mimi sitajivunia kamwe chochote isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo; maana kwa njia ya msalaba huo ulimwengu umesulubiwa kwangu, nami nimesulubiwa kwa ulimwengu.
15Siamthak nawnna lou jaw, zeksum chih bangmah ahi keia, zeksumlouh leng bangmah ahi sam kei hi.
15Kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; cha maana ni kuwa kiumbe kipya.
16Huan, huai dan banga om peuhmahte tungah lemna leh hehpihna om hen, Pathian Isrealte tung ngei ah.
16Wanaoufuata mwongozo huo nawatakia amani na huruma; amani na huruma kwa Israeli--Wateule wa Mungu.
17Tubansiah kuamahin honhihbuai nawn kei hen; ka pumpi ah Jesu chiamtehnate ka pu ngala.Unaute aw, Toupa Jesu Kris hehpihna na kha kiang uah om hen. Amen.
17Basi, sasa mtu yeyote asinisumbue tena, maana alama nilizo nazo mwilini mwangu ni zile za Yesu.
18Unaute aw, Toupa Jesu Kris hehpihna na kha kiang uah om hen. Amen.
18Ndugu, nawatakieni ninyi nyote neema ya Bwana wetu Kristo. Amina.