1Pathian, nidang laia pi leh pute kiang a seh tampi leh lamchiteng a Jawlneite a thu nagen pan,
1Hapo zamani, Mungu alisema na babu zetu mara nyingi kwa namna nyingi kwa njia ya manabii,
2tulai hun nanung ah eite kiang ah a Tapa ah thu a hon genta hi. Huai mi tuh bangkim gouluahpa ding in a siam a, huai mi mah in khovelte leng a siam hi;
2lakini siku hizi za mwisho, amesema nasi kwa njia ya Mwanae. Yeye ndiye ambaye kwa njia yake Mungu aliumba ulimwengu na akamteua avimiliki vitu vyote.
3Amahtuh a thupina vak leh atak batpih ngei leh, amah thil hihtheihna thu a bangkim tungding pa hi in, ikhelhna te sianna a bawl khit nung in tunglama Thupipen taklam ah a va tuta a;
3Yeye ni mng'ao wa utukufu wa Mungu, na mfano kamili wa hali ya Mungu mwenyewe, akiutegemeza ulimwengu kwa neno lake lenye nguvu. Baada ya kuwapatia binadamu msamaha wa dhambi zao, aliketi huko juu mbinguni, upande wa kulia wa Mungu Mkuu.
4Angelte sang a min ngaihzaw a muh bang ngei in amausang a thupi zaw a na hita himhim ngal a.
4Mwana ni mkuu zaidi kuliko malaika, kama vile jina alilopewa na Mungu ni kuu zaidi kuliko jina lao.
5Angelte lak ah kua kiang ah ahiai thute, agen ngei? Nangzaw ka Tapa na hi a, tuni in ka hon neikhia, chih leh, Amah ding in Pa ka hi dia, amah tuh kei ding in Tapa ahi ding chih.
5Maana Mungu hakumwambia kamwe hata mmoja wa malaika wake: "Wewe ni Mwanangu; Mimi leo nimekuwa Baba yako." Wala hakusema juu ya malaika yeyote: "Mimi nitakuwa Baba yake, naye atakuwa Mwanangu."
6Huan, Tachil khovel a a pi lutnawn in, Pathian angelte tengteng inleng amah chibai buk uhen, achi a.
6Lakini Mungu alipokuwa anamtuma Mwanae mzaliwa wa kwanza ulimwenguni, alisema: "Malaika wote wa Mungu wanapaswa kumwabudu."
7Huan, angelte tungtangthu ah hiai agen a; Aman zaw a angelte huih in a suaksak a, anasemte leng meikuang in a suaksak hi, chih.
7Lakini kuhusu malaika, Mungu alisema: "Mungu awafanya malaika wake kuwa pepo, na watumishi wake kuwa ndimi za moto."
8Tapa tungtangthu ah bel hiai thu agen hi; Pathian aw, na mangtutphah tuh khanthawn in a om ding hi; dikna lal chiang leng na gam lal chiang ahi.
8Lakini kumhusu Mwana, Mungu alisema: "Utawala wako ee Mungu, wadumu milele na milele! Wewe wawatawala watu wako kwa haki.
9Diktatna tuh na it a, tatlekna tuh nahua a; huaiziakin, Pathian in, na Pathian in na lawmte sangin kipahna thau nang a hon nak nilh hi.
9Wewe wapenda uadilifu na kuchukia uovu. Ndiyo maana Mungu, Mungu wako amekuweka wakfu na kukumiminia furaha kubwa zaidi kuliko wenzako."
10Huan, nang Toupa, atung in, leilung kingakna na phum khin a, Van khawngleng na khutsuak ahi;
10Pia alisema: "Bwana, wewe uliumba dunia hapo mwanzo, mbingu ni kazi ya mikono yako.
11Huaite tuh a hong mangthang ding ua, nang bel om tawntung ding na hi; huan, huaite tengteng tuh puansilh bangin a hong lui ding ua,
11Hizo zitatoweka, lakini wewe wabaki daima, zote zitachakaa kama vazi.
12Puan bang in na zial ding in, puansilh bang lellelin, huan, a hong lamdang ta dia; nang bel na ngeingei nilouh hi, na kumte leng amang kei ding hi, chiin.
12Utazikunjakunja kama koti, nazo zitabadilishwa kama vazi. Lakini wewe ni yuleyule daima, na maisha yako hayatakoma."
13Himahleh, Angelte tungtangthu ahiai gen ngei ahi? Na melmate na khepek ngakna a ka bawl ma siah ka taklam ah tu in, chih.Amaute tengteng tuh nasepna khate, hotdamna gou luah dingte a dia na sem ding a sawlkhiak ahi kei ua hia?
13Mungu hakumwambia kamwe hata mmoja wa malaika wake: "Keti upande wangu wa kulia, mpaka niwaweke adui zako chini ya miguu yako."
14Amaute tengteng tuh nasepna khate, hotdamna gou luah dingte a dia na sem ding a sawlkhiak ahi kei ua hia?
14Malaika ni roho tu wanaomtumikia Mungu, na Mungu huwatuma wawasaidie wale watakaopokea wokovu.