Paite

Swahili: New Testament

Hebrews

2

1Huaijiakin, bila ijakte khawng phatuamngai takin I khawksa nawn diak ding uhi, huchilouin jaw I tolh mang san zenzen kha ding.
1Kwa sababu hiyo tunapaswa kuzingatia kwa makini zaidi yote tuliyosikia, ili tusije tukapotoshwa.
2Angelte zanga thugen nangawn anakipa, tatlekna leh thumanlouhna chi tengtengin thukna diktathuaitak a muh jel ngal un tuh,
2Ujumbe ule waliopewa wazee wetu na malaika ulionyeshwa kuwa kweli, hata mtu yeyote ambaye hakuufuata au hakuutii aliadhibiwa kama alivyostahili.
3huchi tela hotdamna thupi ngeingaih kei leng, bangchin ahia isuahtak theih mahmah ding? Huai hotdamna thutuh a tunga Toupa zanga gen khit ahi a, azaten honna hihkipsak uhi;
3Basi, sisi tutaokokaje kama hatuujali wokovu mkuu kama huu? Kwanza Bwana mwenyewe aliutangaza wokovu huu, na wale waliomsikia walituthibitishia kwamba ni kweli.
4Pathianin leng, chiamtehnate leh thil lamdangte leh thilhihtheihna chiteng toh, amahdeih bangjela Kha Siangthou thil hawmte khawng toh, amaute a theihpih hi.
4Mungu pia aliongeza hapo ushahidi wake kwa kufanya kila namna ya miujiza na maajabu, na kwa kuwagawia watu vipaji vya Roho Mtakatifu kadiri ya mapenzi yake.
5Khovel hongom ding a tanchin I gen uh, angelte nuaiah jaw a koih kei hi.
5Mungu hakuwaweka malaika wautawale ulimwengu ujao, yaani ulimwengu ule tunaoongea habari zake.
6Himahleh, mi kuahiamin koilai hiamah hiai thu tuh genin a theisak zota hi; Mihing bang atela, na theihgige? Mihing tapa leng bang a tela, na veh nak?
6Tena yasemwa mahali fulani katika Maandiko: "Mtu ni nini ee Mungu, hata umfikirie; mwanaadamu ni nini hata umjali?
7Amah tuh angelte sanga nuaiin na bawl tadiha; thupina leh pahtawina a khusaka, na khutsuak tungahte heutuin na bawl laia;
7Ulimfanya kwa kitambo kidogo kuwa chini zaidi kuliko malaika; ukamvika taji ya utukufu na heshima,
8A khe nuaiahte khawng bangkim na koiha, chiin. Huchiin bangkim a nuaia a koih jiakin anuaia koih louh bangmah a neikei hi. Ahihhangin tun ah jaw bangkim a nuaiah omin I mu nai tadih kei uhi.
8ukaweka kila kitu chini ya miguu yake, avitawale." Yasemwa kwamba Mungu alimweka mtu kuwa mtawala wa vitu vyote yaani bila kuacha hata kimoja. Hata hivyo, hatuoni bado mtu akivitawala vitu vyote sasa.
9Himahleh, Jesu, angelte sanga nuaia a bawl tadih tuh, sihna thuak jiaka thupina leh pahtawina khuksaka omin I muta jaw ahi, Pathian hehpihna jiakin sihna tuh mi chih a chepsakna ding.
9Lakini twamwona Yesu ambaye alifanywa kwa kitambo kidogo kuwa chini zaidi kuliko malaika, ili kwa neema ya Mungu afe kwa ajili ya watu wote. Sasa tunamwona ametawazwa kwa utukufu na heshima kwa sababu ya kifo alichoteseka.
10Amah a ding leh amah jiaka bangkim om-pan ta tampi thupinaa piluta amaute hotdamna Bawlpa pen, a thuakna jiaka, a hihbukim tuh amaha dia kilawm him ahi.
10Ilikuwa haki tupu kwamba Mungu, ambaye huumba na kutegemeza vitu vyote, alimfanya Yesu kuwa mkamilifu kabisa kwa njia ya mateso, ili awalete watoto wengi waushiriki utukufu wake. Maana Yesu ndiye anayewaongoza kwenye wokovu.
11Hihsiangthoupa leh hihsiangthoute tuh avekun Mi khata pawt ahi ngal ua; huaijiakin amah tuh amaute, Unaute, chih a zum kei hi.
11Yeye anawatakasa watu dhambi zao, naye pamoja na wale waliotakaswa, wote wanaye Baba mmoja. Ndiyo maana Yesu haoni aibu kuwaita hao ndugu zake;
12Ka unaute kiangah na min ka gen dia; omkhawmte lakah lasain ka honphat ding, chiin.
12kama asemavyo: "Ee Mungu, nitawatangazia ndugu zangu matendo yako. Nitakusifu katika kusanyiko lao."
13Huan, Amah ah ka ginna ka nga dia, a chi nawna. Huan, endih ua, kei leh Pathian honpiak tate, achi nawn nalaia.
13Tena asema: "Nitamwekea Mungu tumaini langu." Na tena: "Mimi niko hapa pamoja na watoto alionipa Mungu."
14Huchiin, naupangte tuh sa sisan tangte a hih chiat jiak un, amah ngeiin huai bangmah a tang samta a; sihnaa sihna thuneipa (huai tuh Diabol) ahihmang theihna ding leh,
14Basi, kwa vile watoto hao, kama awaitavyo, ni watu wenye mwili na damu, Yesu mwenyewe akawa kama wao na kushiriki ubinadamu wao. Alifanya hivyo ili kwa njia ya kifo chake amwangamize Ibilisi, ambaye ana mamlaka juu ya kifo,
15Sih kihtak jiaka damsunga sikha a om tengtengte tuh a suahtak sak theihna dingin.
15na hivyo awaokoe wale waliokuwa watumwa maisha yao yote kwa sababu ya hofu yao ya kifo.
16A awlmoha, panpih jelte tuh angelte ahi dek kei ua, Abraham suante ahi jaw uhi.
16Maana ni wazi kwamba yeye hakuja kwa ajili ya kuwasaidia malaika, bali kama yasemavyo Maandiko; "Anawasaidia wazawa wa Abrahamu."
17Huchiin, mite adinga khelhna thuphatawina bawlsak dingin, Pathian lamthilte ah Siampu Lianpen, mi lainatthei leh muanhuai taka hih theihna dingin, bangkima a unaute banga hongom tuh amah adingin a kiphamoh him ahi.Amah ngeiin khemna tuakin a na thuaktak jiakin khemna tuakte tuh a panpih thei ahi.
17Ndiyo maana ilimbidi awe kama ndugu zake kwa kila namna, ili awe Kuhani Mkuu wao aliye mwaminifu na mwenye huruma katika kumtumikia Mungu, ili dhambi za watu ziondolewe.
18Amah ngeiin khemna tuakin a na thuaktak jiakin khemna tuakte tuh a panpih thei ahi.
18Na, anaweza sasa kuwasaidia wale wanaojaribiwa na kuteswa.