Paite

Swahili: New Testament

Hebrews

5

1Siampu Lianpen peuhmah khelhnate jiaka thialpiak leh kithoihnate a lat kop theihna ding ua, mihing laka mi lak tuama naomin, Pathian lam thil bangah mihingte adia seh ahi ngal ua:
1Kila kuhani mkuu huchaguliwa kutoka miongoni mwa watu kwa ajili ya kumtumikia Mungu kwa niaba yao, kutolea zawadi na tambiko kwa ajili ya dhambi zao.
2Huaiten tuh bangmah theiloute leh lamhaihte tungah migit a suah thei nak uhi, amau ngei leng hatlouhna a tuama om sam jiakun.
2Maadamu yeye mwenyewe yu dhaifu anaweza kuwaonea huruma wale wasiojua kitu na wanaofanya makosa.
3Huan, huaijiak takin, mite a dinga a latsak bangun, amau ading ngei leng khelhnate jiakin lan sam loutheilou ahi uhi.
3Na kwa vile yeye mwenyewe ni dhaifu, anapaswa kutolea dhabihu si tu kwa ajili ya watu, bali pia kwa ajili ya dhambi zake.
4Huan, huai pahtawina tuh kuamah amau akipe ngeikei uh, Aron banga Pathian sap a hih ngal kei uleh.
4Hakuna mtu awezaye kujitwalia mwenyewe heshima ya kuwa kuhani mkuu. Kila mmoja huteuliwa na Mungu kuwa kuhani mkuu kama alivyokuwa Aroni.
5Huchibang mahin Kris leng Siampu Lianpena bawldingin amaha kihihthupikei hi, Nang jaw ka Tapa na hi a, tuniin, ka honnei khia, chia, a kianga genpan a hihthupizota hi;
5Hali kadhalika naye Kristo hakujitwalia mwenyewe heshima ya kuwa kuhani mkuu, bali Mungu alimwambia: "Wewe ni Mwanangu; mimi leo nimekuwa baba yako."
6Nang jaw, Melkisedek omdan banga khantawna Siampu na hi, chia, mun danga a gen bangmahin.
6Alisema pia mahali pengine: "Wewe ni kuhani milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki."
7Amah tuh, a sa put laini khongin, sihna laka amah hondam theipa kiangah nakpitaka kikou leh khitui ke kawmin thumnate leh ngetnate a lana, a kihtakdan a siam jel jiakin ngaihkhiakin a om hi;
7Yesu alipokuwa anaishi hapa duniani, kwa kilio kikuu na machozi, alisali na kumwomba Mungu ambaye alikuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka kifo; naye alisikilizwa kwa sababu ya kumcha Mungu.
8Ta hilhial leng hi mahleh a thil thuakahte khawng thuman a zilta ahi.
8Lakini, ingawa alikuwa Mwana wa Mungu, alijifunza kutii kwa njia ya mateso.
9Huchiin, hihhoih kimtaka hongomin, a thumangte peuhmah adingin khantawna hotdamna bulpi ahonghita hi;
9Na alipofanywa mkamilifu, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wale wote wanaomtii,
10Melkisedek omdan banga Siampu Lianpenin Pathianin a bawlta hi.
10naye Mungu akamteua kuwa kuhani mkuu kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.
11Huai mi tanchin a hihleh gen ding tampi I nei ua, genchet leng a haksa, na bil uh a nangawntak jiakin.
11Tunayo Mengi ya kusema juu ya jambo hili, lakini ni vigumu kuwaelezeni, kwa sababu ninyi si wepesi wa kuelewa.
12A hun ngaihtuahin jaw heutu hi khinta hial le uchin kilawm hiven, Pathian thubulte khawng hilh kiphamoh nawn neive ua, an gum hilou nawitui kiphamoh nong hita ve ua.
12Sasa mngalipaswa kuwa tayari walimu, lakini mnahitaji bado mtu wa kuwafundisheni mafundisho ya mwanzo ya ujumbe wa Mungu. Badala ya kula chakula kigumu, mnapaswa bado kunywa maziwa.
13Nawitui ne peuhmahin diktatna thu ah theihna a nei ngal kei ua, naungek a hih jiak un.An gum bel piching ading ahi, huaiten a zat gige jiak un sia leh pha theichian dingin a theihtheihnate uh tuh a sin zongsangta uhi.
13Kila anayepaswa kunywa maziwa huyo ni mtoto bado, hajui uadilifu ni nini.
14An gum bel piching ading ahi, huaiten a zat gige jiak un sia leh pha theichian dingin a theihtheihnate uh tuh a sin zongsangta uhi.
14Lakini chakula kigumu ni kwa ajili ya watu waliokomaa, ambao wanaweza kubainisha mema na mabaya.