Paite

Swahili: New Testament

Hebrews

6

1Huchiin, Kris thubulte gen nawn louin pichinlam I manoh ding uh; thilhih sisa kisiknate, Pathian lama ginnate,
1Basi, tusonge mbele kwa yale yaliyokomaa na kuyaacha nyuma yale mafundisho ya mwanzo ya Kikristo. Hatuhitaji kuweka msingi tena kwa kurudia yale mafundisho ya mwanzo kama vile kuachana na matendo ya kifo, kumwamini Mungu;
2baptisma leh, khutngak leh misi thohnawnna leh, khantawn vaihawmnalam thu hilhnate suang khawng phum nawnta louin.
2mafundisho juu ya ubatizo na kuwekewa mikono; ufufuo wa wafu na hukumu ya milele.
3Pathianin pha a sak leh huai bang I hih ngei ding uhi.
3tusonge mbele! Hayo tutayafanya, Mungu akitujalia.
4Khatvei hihvaka omkhina, van thilpiak chiamkhina, Kha Siangthou dongkhina,
4Maana watu wanaoiasi imani yao inawezekanaje kuwarudisha watubu tena? Watu hao walikwisha kuwa katika mwanga wa Mungu, walikwisha onja zawadi ya mbinguni na kushirikishwa Roho Mtakatifu;
5Pathian thu hoihna leh hun hongom dinga thil hihtheihnate chiamkhin hinapia,
5walikwisha onja wema wa neno la Mungu na nguvu za ulimwengu ujao,
6ginna a kiheimangsan uleh bel, huchibang mite jaw a kisik nading ua bawlthak theih ahi kei uhi; Pathian Tapa amau adinga kilhlum tuan nawna selphou a hih jiakun.
6kisha wakaiasi imani yao! Haiwezekani kuwarudisha watubu tena, kwa sababu wanamsulubisha tena Mwana wa Mungu na kumwaibisha hadharani.
7Lou, a tunga vuahtui ke gige na dawnkhina, huai khohsaka ompa adia nek theih antehlouhing honsuah penin Pathian vualjawlna a tang hi.
7Mungu huibariki ardhi ambayo huipokea mvua inayoinyeshea mara kwa mara, na kuotesha mimea ya faida kwa mkulima.
8A hihhangin lou lingnei leh khaulingnei khawng a suahnak inbel, a phatuam keia; hamsiat loh phialin a oma; a tawpna tuh hal himai ding ahi.
8Lakini kama ardhi hiyo ikiota miti ya miiba na magugu, haina faida; karibu italaaniwa na Mungu na mwisho wake ni kuchomwa moto.
9Himahleh, deihtakte aw, huchibang thu gen mahleng zong, nou jaw huchibang thil sanga thil hoihjaw, hotdamna jui thilte, nein a hih uh ka um uhi.
9Lakini, ingawa twasema namna hii, wapenzi wetu, tunalo tumaini kubwa juu ya hali yenu. Tunajua kwamba mmepokea baraka zile bora za wokovu wenu.
10Na nasep u leh a min jiaka itna na latsak uh, mi siangthoute na nasepsak uh, tutana leng na seplai uh, mangngilh dingin Pathian mitak lou ahi ngal kei ahi.
10Mungu hakosi haki; yeye hataisahau kazi mliyoifanya au upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake katika huduma mliyowapa na mnayowapa sasa watu wake.
11Himahleh, atawp tana lametna theihchetna kim mu dingin na thanop ngeingei bang un thanop suah gige chiat le uchin ka chi mahmah uhi.
11Hamu yetu ni kwamba kila mmoja wenu aonyeshe bidii hiyohiyo mpaka mwisho, ili yale mnayotumainia yapate kutimia.
12Huchiin, na kithadahsak kei ding ua, ginna leh kuhkalna jiaka thuchiamte gouluah khin khawngte entawnte na hi zo ding uhi.
12Msiwe wavivu, bali muwe kama wale wanaoamini na wenye uvumilivu na hivyo wanapokea yake aliyoahidi Mungu.
13Pathianin Abraham kianga thu achiam laiin, amah sanga thupi jaw loua a kichiam theihlouh jiakin, amah leh amah kilouin,
13Mungu alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa jina lake mwenyewe, maana hakuna aliye mkuu kuliko Mungu ambaye kwa huyo angeweza kuapa.
14Taktakin vual ka honjawl ngeingei dinga, hih leng ka honhih pung ngeingei ding, chiin, a kichiamta a.
14Mungu alisema: "Hakika nitakubariki na nitakupa wazawa wengi."
15Huchiin, kuhkal taka a thuak khiak nungin, thilchiam tuh a muta ngei hi.
15Abrahamu alisubiri kwa uvumilivu na hivyo alipokea kile alichoahidiwa na Mungu.
16Mihingte jaw a sang ua thupi jaw louin a kichiam ua; a kiselna chiteng uah leng hihkipna dingin kichiam tuh thutawp ahi.
16Watu wanapoapa, huapa kwa mmoja aliye mkuu zaidi kuliko wao, na kiapo hicho husuluhisha ubishi wote.
17Huchiin, Pathianin thuchiam gouluah dingte kiangah a thiltup lamdan tuan theihlouhdan nakpi mahmaha theihsak utin, kichiamna tuh a palaisaka;
17Naye Mungu aliimarisha ahadi yake kwa kiapo; na kwa namna hiyo akawaonyesha wazi wale aliowaahidia kwamba hatabadili nia yake.
18Pathian juau vual ahihlouhna thil lamdang theilou nih jiakin, ei I kihumbitna delhten I maa lametna koih tuh la dinga hasotna thupi tak i neih theihna dingin.
18Basi, kuna vitu hivi viwili: ahadi na kiapo, ambavyo haviwezi kubadilika na wala juu ya hivyo Mungu hawezi kusema uongo. Kwa hiyo sisi tuliokimbilia usalama kwake, tunapewa moyo wa kushikilia imara tumaini lililowekwa mbele yetu.
19Huai lametna tuh hinna sikkipin I neia, muanhuai leh kiptak ahi, huai lametna tuh puanjak sung ah leng a lutta hi;huaiah tuh Jesu, Melkisedek omdan banga khantawn a Siampu Lianpen nahitain ei adingin makaipain a na lutta hi.
19Tunalo tumaini hilo kama nanga ya maisha yetu. Tumaini hilo ni imara na thabiti, nalo lapenya lile pazia la hekalu la mbinguni mpaka patakatifu ndani.
20huaiah tuh Jesu, Melkisedek omdan banga khantawn a Siampu Lianpen nahitain ei adingin makaipain a na lutta hi.
20Yesu ametangulia kuingia humo kwa niaba yetu, na amekuwa kuhani mkuu milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.