Paite

Swahili: New Testament

Hebrews

7

1Huai Melkisedek, Salemkumpipa Tungnungpen Siampu, Abraham kumpipate that hongpai na dawn a vualzawlpa,
1Melkisedeki alikuwa mfalme wa Salemu, na kuhani wa Mungu Mkuu. Abrahamu alipokuwa anarudi kutoka vitani ambako aliwaua wafalme, Melkisedeki alikutana naye akambariki,
2Abraham in bangkim ah sawmakhat a pia. Amin khiakna genchian in amasa pen in Diktatna Kumpipa, azom nawn in Salem Kumpipa ahinawna; huaituh Lemna Kumpipa chihna ahi.
2naye Abrahamu akampa sehemu ya kumi ya vitu vyote alivyokuwa navyo. (Maana ya kwanza ya jina hili Melkisedeki ni "Mfalme wa Uadilifu"; na, kwa vile yeye alikuwa mfalme wa Salemu, jina lake pia lina maana ya "Mfalme wa Amani.")
3Amahtuh pa neilou in, nu neilou in, khangthu bei, ompatni neilou hintawpni leng neisamlou in. Pathian tapa bang a siam tangtawn a siampu hi gige ahi zaw hi.
3Baba yake na mama yake hawatajwi, wala ukoo wake hautajwi; haisemwi alizaliwa lini au alikufa lini. Anafanana na Mwana wa Mungu, na anaendelea kuwa kuhani daima.
4Huchi in, chikhah Abraham in a galllak hoihpeuhmah laka sawmakhat apiakna pa, huaimipa thupi dan ngaihtuah dih ua.
4Basi, mwaona jinsi mtu huyu alivyokuwa maarufu. Baba Abrahamu alimpa sehemu moja ya kumi ya vitu vyote alivyoteka vitani.
5Levi suante laka siampuna tang peuhmah in dan thu bangin mite lak ah sawmakhat lak ding thu amu ngei uhi, huaituh a unaute uh lak ah ahi, huaite tuh Abraham khal a pawt hisam mahle u leng.
5Tunajua vilevile kwamba kufuatana na Sheria, wana wa Lawi ambao ni makuhani, wanayo haki ya kuchukua sehemu ya kumi kutoka kwa watu, yaani ndugu zao, ingawaje nao ni watoto wa Abrahamu.
6Himahleh, alak ua a suante suikhawmsak sam louh pan Abraham lak ah sawmakhat ala a, thuchiamte kempa tuh vual ana zawlta hi.
6Lakini huyo Melkisedeki hakuwa wa ukoo wa Lawi, hata hivyo alipokea sehemu ya kumi kutoka kwa Abrahamu; tena akambariki yeye ambaye alikuwa amepewa ahadi ya Mungu.
7Himahleh, sel vuallouhin a neujaw tuh thupi zaw vualzawl sak in a om hi.
7Hakuna mashaka hata kidogo kwamba anayebariki ni mkuu zaidi kuliko yule anayebarikiwa.
8Huan, hiai ah mihing si zel ten sawmakhat a mu ua, huai ah bel, ahing nilouh, chi a, a thu a theisak un a mu ahi.
8Tena, hao makuhani wanaopokea sehemu ya kumi, ni watu ambao hufa; lakini hapa anayepokea sehemu ya kumi, yaani Melkisedeki, anasemekana kwamba hafi.
9Huan, Levi, sawmakhat lazelpa nangawn in, Abraham khut ah sawmakhatte a peta, chih theih ahi;
9Twaweza, basi, kusema kwamba Abrahamu alipotoa sehemu moja ya kumi, Lawi (ambaye watoto wake hupokea sehemu moja ya kumi) alitoa sehemu moja ya kumi pia.
10Melkisedek in a na dawn lai in apakhal ah a om lai- ngal a.
10Maana Lawi hakuwa amezaliwa bado, bali ni kama alikuwa katika mwili wa baba yake, Abrahamu, wakati Melkisedeki alipokutana naye.
11Huchiin, Levi ten siampu hihna ziaka bukimna muhtheih na hi leh (huainuai ah miten tuh dan thu ana mu ngal ua), Aaron omdan bang a bawl louh Melkisedek omdan bang a siampu dang hong om bang kiphamawh ding ahia?
11Kutokana na ukuhani wa Walawi, watu wa Israeli walipewa Sheria. Sasa, kama huduma ya Walawi ingalikuwa kamilifu hapangekuwa tena na haja ya kutokea ukuhani mwingine tofauti, ukuhani ambao umefuata utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki, na si ule wa Aroni.
12Siampu hihna tuh ahong lamdan tak ziakin dan thu tuh hihlamdan sam a hong kiphamawh himhim ahi.
12Maana ukuhani ukibadilika ni lazima Sheria nayo ibadilike.
13Hiai a thu agenpa namtuam mi ahi ngal a, huai nam laka a mi tuh kuamah maitam ah a gamtang ngeikei uhi.
13Naye Bwana wetu ambaye mambo hayo yote yanasemwa juu yake, alikuwa wa kabila lingine, na wala hakuna hata mmoja wa kabila lake aliyepata kutumikia madhabahuni akiwa kuhani.
14I Toupa lah Juda nam lak a hong suak ahi chih a kichian ngal a: Huai nam thu ah tuh Mosi in siampu te lam thu bangmah a gen kei hi.
14Inafahamika wazi kwamba yeye alizaliwa katika kabila la Yuda ambalo Mose hakulitaja alipokuwa anasema juu ya makuhani.
15Huan, Melkisedek bang a siampu dang hong suah tuh nakpi takin I thugen pen a kichian nawn diak hi;
15Tena jambo hili ni dhahiri zaidi: kuhani mwingine anayefanana na Melkisedeki amekwisha tokea.
16Amahtuh sa thupiak dan thu bang a siam bang hilou, hin tawpneilou thil hihtheihna bang zaw a, siam ahi.
16Yeye hakufanywa kuwa kuhani kwa sheria na maagizo ya kibinadamu, bali kwa nguvu ya uhai ambao hauna mwisho.
17Nang zaw, Melkisedek omdan bang a khantawn a siampu na hi chih theihsak ahi ngala.
17Maana Maandiko yasema: "Wewe ni kuhani milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki."
18Ahatlouh leh a phattuamlouhna ziakin thupiak awm masa tuh paihkhiak ahi.
18Basi, ile amri ya zamani ilifutwa kwa sababu ilikuwa hafifu na isiyofaa kitu.
19(Dan thu in bangmah a hihkim ngal kei a). Lametna hoih zaw, Pathian I naihna zel tuh, pilutin a om zawta hi.
19Maana Sheria ya Mose haikuweza kukamilisha jambo lolote. Lakini sasa, mahali pake pamewekwa tumaini lililo bora zaidi ambalo kwalo tunaweza kumkaribia Mungu.
20Huan, kichiamna tellou lou-in amah tuh Siampu a bawl ahita hi:
20Zaidi ya hayo hapa pana kiapo cha Mungu. Wakati wale wengine walipofanywa makuhani hapakuwako kiapo.
21Amau zaw kichiamlou a siampu a siam ahi ngal ua; amah bel, nang zaw khantawna Siampu na hi, chi in, Toupa a kichiam a, ka khelkik kei ding, chi a a kiang a genpa khut ah kichiam in:
21Lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alipomwambia: "Bwana ameapa, wala hataigeuza nia yake: Wewe ni kuhani milele."
22Huchitaka thupi in Jesu tuh thukhun hoih zaw hihkip pa a hong hita hi.
22Basi, kutokana na tofauti hii, Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.
23Huan, amau zaw sih ziaka omden theilou ahih ziakun, siampu a siam a tam ngei ua;
23Kuna tofauti nyingine pia: hao makuhani wengine walikuwa wengi kwa sababu walikufa na hawakuweza kuendelea na kazi yao.
24Amahbel khantawna a om gige ziakin, a Siampu hihna tuh khen theih vuallouh in a nei zaw hi.
24Lakini Yesu si kama wao, yeye anaishi milele; ukuhani wake hauondoki kwake.
25Huchiin, amaha Pathian kianga hongpaite tuh a tawp dong in a hondam thei ahi, amau thumsak in khantawna a hin gige ziak in.
25Hivyo, yeye anaweza daima kuwaokoa kabisa wote wanaomwendea Mungu kwa njia yake, maana yeye anaishi milele kuwaombea kwa Mungu.
26Huchibang Siampu Lianpen, misiangthou, zulhzau lou, ninbanglou, khialte laka omtuam, vante sang a tungnung zaw a, siam, tuh eia ding in a kilawm him hi.
26Basi, Yesu ndiye Kuhani Mkuu ambaye anatufaa sana katika mahitaji yetu. Yeye ni mtakatifu, hana hatia wala dhambi ndani yake; hayumo katika kundi la wenye dhambi na ameinuliwa mpaka juu mbinguni.
27Aman tuh huai siampu lianpente lat bang in, niteng in amah khelh ziak a kithoihna lan masa phawt a, huainung a mite khelhna ziaka lat a kiphamoh kei; Amah a kilat laitak in setden ding in khat vei in ana hihkhinta ngal a,Dan thu in, mihing hatlouhna neite tuh, siampu lianpen ding in a sep zel a; ki chiam thu, dan thu nung a a hong om in bel, Tapa, khantawna ding a hihkim khitsa tuh, asep zouta ahi.
27Yeye si kama wale makuhani wakuu wengine; hana haja ya kutoa dhabihu kila siku, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi za watu. Yeye alifanya hivyo mara moja tu wakati alipojitoa yeye mwenyewe, na hiyo yatosha kwa nyakati zote.
28Dan thu in, mihing hatlouhna neite tuh, siampu lianpen ding in a sep zel a; ki chiam thu, dan thu nung a a hong om in bel, Tapa, khantawna ding a hihkim khitsa tuh, asep zouta ahi.
28Sheria ya Mose huwateua watu waliokuwa dhaifu kuwa makuhani wakuu; lakini ahadi ya Mungu aliyoifanya kwa kiapo na ambayo imefika baada ya sheria imemteua Mwana ambaye amefanywa mkamilifu milele.