1Huchiin, I thugente lakah tuh a poimohpen hiai ahi: huchibang Siampu Lianpen van khawng banga Thupipen mangtutphah taklama vatu a;
1Basi, jambo muhimu katika hayo tunayosema ni hili: sisi tunaye Kuhani Mkuu wa namna hiyo, ambaye anaketi upande wa kulia wa kiti cha enzi cha Mwenyezi Mungu mbinguni.
2Mun siangthou leh biakbuk taktak, mihinglam hilou, Toupa lam jawa nasempa tuh I nei chih.
2Yeye hutoa huduma ya Kuhani Mkuu katika Mahali Patakatifu sana, yaani ndani ya ile hema ya kweli iliyojengwa na Bwana, siyo na binadamu.
3Siampu Lianpen peuhmahte thilpiak leh kithoihnate lan ding a seh ahi ngal ua; huchiin hiai Siampu Lianpenin leng bang hiam bek lat ding a neih a kiphamoh ahi.
3Kila Kuhani Mkuu ameteuliwa kumtolea Mungu vipawa na dhabihu, na hivyo Kuhani Mkuu wetu lazima pia awe na kitu cha kutolea.
4Leia om lai hile jaw, siampu mawngmawng hi lou ding ahi, dan thu bangjela thilpiak lante na om masa a naom jiak un.
4Kama yeye angekuwa wa hapa duninani, asingekuwa kamwe kuhani, kwani wako makuhani wengine wanaotoa sadaka kufuatana na Sheria.
5Huaiten tuh van thilte etsakna leh a lim na asem jel ua. Mosi biakbuk lam dia a kisak lai a Pathian hilh a aom bang in; Mual vuma zuihding a honmuh sak bang un bangkim siam ding in pilvangin, a chih.
5Huduma zao za kikuhani ni mfano tu na kivuli cha yale yaliyoko mbinguni. Ndivyo pia ilivyokuwa kwa Mose. Wakati alipokuwa karibu kuitengeneza ile hema, Mungu alimwambia: "Tengeneza kila kitu kufuatana na ule mfano ulioonyeshwa kule mlimani."
6Tunbel thukhun hoih jaw sem palai a hihdan bangjel in, nasepna hoih jaw A na tangta, huai thukhun tuh thuchiam hoih jaw tunga kinga leh bawl ahih jiakin.
6Lakini sasa Yesu amepewa huduma ya kikuhani iliyo bora zaidi kuliko yao, kama vile agano alilothibitisha kati ya watu na Mungu ni bora zaidi, kwani lina msingi wake katika ahadi za mambo yaliyo bora zaidi.
7Huai thukhun masa tuh dembei na hileh, a nihna adia mun zong lou mah ding hi ve un.
7Maana kama lile agano la kwanza halingalikuwa na dosari, hakungalikuwa na haja ya agano la pili.
8Amau demin hiaite a gen ngala, Ngaiin, nite a hong tung dek, Toupan a chi, huaini khong chiangin Israel inkuante leh, Juda inkuante kiangah thukhun thak ka siam ding:
8Lakini Mungu aliwalaumu watu wake aliposema: "Siku zinakuja, asema Bwana, ambapo nitafanya agano jipya na watu wa Israeli na kabila la Yuda.
9A pi leh pute uh Aigupta gam akipana pikhe dinga a khut ua ka let nia a kiang ua ka khunpen bang hilou in; ka thukhun ah lah a om gige ngal kei ua, huchiin amau thu ka limsak ta keia, Toupan achi.
9Agano hili halitakuwa kama lile nililofanya na babu zao siku ile nilipowaongoza kwa mkono kutoka nchi ya Misri. Hawakuwa waaminifu kwa agano langu; na hivyo mimi sikuwajali, asema Bwana.
10Huai ni khawng nung chiangin Israel inkuante kianga thu ka khun ding tuh hiaite ahi. Toupan achi; a lungsim uah ka thupiakte ka koih dia, a lungtang uah ka gelh nalai dia, huan amau adingin Pathian ka hi dia, keia dingin amau tuh ka mite ahi sam ding uhi;
10Na hili ndilo agano nitakalofanya na watu wa Israeli siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu akilini mwao, na kuziandika mioyoni mwao. Mimi nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
11Huan, michihin, Toupa theiin, chiin, amah khopih leh amah unau a thuhilhta kei ding uhi; a neupen akipanin a lianpen tanin a vek un a honthei chiat ding uhi.
11Hakuna mtu atakayemfundisha mwananchi mwenzake, wala atakayemwambia ndugu yake: Mjue Bwana. Maana watu wote, wadogo na wakubwa, watanijua mimi.
12A tatlek nate uah jah kangai dia, a khelhnate uleng ka theigige nawnta kei ding, chiin.Thukhun Thak, chia agen jiakin a masa tuh a luisakta ahi. Huchiin, na luia na upata tuh a mang thei ahita hi.
12Nitawasamehe makosa yao, wala sitakumbuka tena dhambi zao."
13Thukhun Thak, chia agen jiakin a masa tuh a luisakta ahi. Huchiin, na luia na upata tuh a mang thei ahita hi.
13Kwa kusema juu ya agano jipya, Mungu alilichakaza lile la kwanza; na chochote kinachochakaa na kuwa kikuukuu kitatoweka karibuni.