Paite

Swahili: New Testament

Hebrews

9

1Huan, thukhun masa mahin leng Pathian nasepna dan te leh mun siangthou, hiai khovel mun siangthou tuh a nei ahi.
1Agano la kwanza lilikuwa na taratibu zake za ibada na pia mahali patakatifu pa ibada palipojengwa na watu.
2Biakbuk a bawl ua, tuah masak tuh khawnvak koihna bang, dohkan bang tanghou- koihnabang omna ahi; huai tuh Mun Siangthou achi uhi.
2Palitengenezwa hema ambayo sehemu yake ya nje iliitwa Mahali Patakatifu. Humo mlikuwa na kinara cha taa, meza na mikate iliyotolewa kwa Mungu.
3Huan, puanjak nihna khenah biakbuk, Mun Siangthoupen achih uh a oma;
3Nyuma ya pazia la pili, kulikuwa na hema iliyoitwa Mahali Patakatifu Kupita Pote.
4huailaiah dangkaeng gimlim halna bawm leh, thukhunna bawm dangkaenga luan a oma, huai thukhunna bawm tungah Manna omna dangkaeng belbang, Aron chiang sel bang, thukhunna bang a omhi;
4Humo mlikuwa na madhabahu ya dhahabu kwa ajili ya kufukizia ubani, na Sanduku la Agano, ambalo lilikuwa limepakwa dhahabu pande zote, na ndani yake mlikuwa na chungu cha dhahabu kilichokuwa na mana; fimbo ya Aroni iliyokuwa imechanua majani, na vile vibao viwili vilivyoandikwa agano.
5a tunglamah jahngaihna tutphah liahin, thupina Cherubte a om ua; huaite khawng tuin jaw a kim sipsip in I gen theikei ding uh.
5Juu ya hilo Sanduku kulikuwa na viumbe vilivyodhihirisha kuweko kwa Mungu, na mabawa yao yalitanda juu ya mahali ambapo dhambi huondolewa. Lakini sasa, hatuwezi kusema kinaganaga juu ya mambo hayo.
6Huan huai thilte tuh huchibangabawl a nahi ua, Siamputen Pathian na semin, biakbuk tuahmasak ah a lut jel uh;
6Mipango hiyo ilitekelezwa kisha ikawa desturi kwa makuhani kuingia kila siku katika hema ya nje kutoa huduma zao.
7a zom ah tuh Siampu Lianpen kia kumtengin khatvei, sisan tawi lou louin a luta; huai tuh amah khelhna ading leh mite khelhna adingin alan jel ahi.
7Lakini kuhani Mkuu peke yake ndiye anayeingia katika lile hema la pili; naye hufanya hivyo mara moja tu kwa mwaka. Anapoingia ndani huwa amechukua damu ambayo anamtolea Mungu kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya dhambi ambazo watu wamezitenda bila wao wenyewe kujua.
8Kha Siangthouin hiai a theisak: Mun Siangthoua lutna lam a kilang naitadih keia, biakbuk tuah masak tuh adin laiteng, chihpen;
8Kutokana na taratibu hizo Roho Mtakatifu anafundisha wazi kwamba wakati ile hema ya nje ingali ipo imesimama, njia ya kuingia Mahali Patakatifu haijafunguliwa.
9(huai tuh tulai hun genteh na ahi). Huai bang jelin thilpiak leh kithoihnate leng a lan jel uh, a hihhangin huaiten sia leh phatheihna lam ah a bemi a hihkim theikei hi:
9Jambo hili ni mfano wa nyakati za sasa. Linaonyesha kwamba zawadi na dhabihu zinazotolewa kwa Mungu haziwezi kuifanya mioyo ya wale wanaoabudu kuwa mikamilifu,
10huai tuh (nekdingte, dawndingte, silhding tuamtuamte, toh) sa lam dante kia, bawlhoih hun ma adinga, chih ahi.
10kwani haya yote yanahusika na vyakula, vinywaji na taratibu mbalimbali za kutawadha. Yote hayo ni maagizo ya njenje tu; na nguvu yake hukoma wakati Mungu atakaporekebisha vitu vyote.
11Himahleh, Kris bel thilhoih hongom dingte Siampu Lianpen dinga hongpaiin, biakbuk, khuta lamlouh (huai tuh hiai thilsiamte laka ahi kei chihna ahi),
11Lakini Kristo amekwisha fika, akiwa Kuhani Mkuu wa mambo yaliyo mema, ambayo sasa yamekwisha fika. Yeye anatoa huduma zake katika hema iliyo bora na kamilifu zaidi, isiyofanywa kwa mikono ya watu, yaani isiyo ya ulimwengu huu ulioumbwa.
12thupi leh kim jaw pai tanin, eia dinga khantawna tatkhiakna mu khinin kelte leh bawngnoute sisan jiak hilouin, amah sisan jiak jawin, Mun Siangthouah setden dingin khatveiin ana lutta ngala.
12Yeye aliingia Mahali Patakatifu mara moja tu, tena hakuwa amechukua damu ya mbuzi wala ng'ombe, bali aliingia kwa damu yake yeye mwenyewe, akatupatia ukombozi wa milele.
13Kel leh bawngpate sisan leh, bawngla vu, minin tunga thehin bawn sa siang khopa a hihsiangthou ngalleh,
13Watu waliokuwa najisi kidini waliweza kutakasika na kuwa safi waliponyunyiziwa damu ya mbuzi na ya ng'ombe pamoja na majivu ya ndama.
14Kris, khantawna Kha jiaka gensiatbeia Pathian kianga kilan sisanin, Pathian hing nasem dingin na sia leh pha theihna uh thilhih sisa lakah nak hihsiangthou natel inchia!
14Lakini, kwa damu ya Kristo, mambo makuu zaidi hufanyika! Kwa nguvu za Roho wa milele, Kristo alijitolea mwenyewe dhabihu kamilifu kwa Mungu. Damu yake itatutakasa dhamiri zetu kutokana na matendo yaletayo kifo, ili tupate kumtumikia Mungu aliye hai.
15Huan, hiaijiakin, amah tuh thukhunthak palai ahi, thukhun masa nuaia tatleknate laka kipan tatna dinga mi a na sihtak jiakin sapten tuh khantawna gouluah ding thuchiam a tang thei ding uhi.
15Kwa hiyo, Kristo ndiye aliyeratibisha agano jipya ili wale walioitwa na Mungu wazipokee baraka za milele walizoahidiwa. Watazipata, kwani kifo kimetokea ambacho huwakomboa watu kutoka yale makosa waliyofanya wakati wa lile agano la kale.
16Thusiah omna peuhah a siahmi sihna leng a om teitei ding ahi ngala.
16Kwa kawaida wosia hutambuliwa tu kama kifo cha yule aliyeufanya huo wosia kimethibitishwa.
17Mi a sih nungun thusiahin thua neingal naka, a siahmi adamlai teng bel thu himhim a neikei hi.
17Wosia hauwezi kutekelezwa mpaka kumetokea kifo, kwani wosia hauna maana ikiwa mwenye kuufanya bado anaishi.
18Huchiin thukhun masa leng sisan louin a hihkip kei uhi,
18Ndiyo maana hata lile agano la kwanza halikuwekwa bila damu kumwagwa.
19Dan thupiak peuhmah tuh Mosiin mipi tengteng kianga a phuan nungin, bawngnoute leh kelte sisan tuh, tui toh, samulkhau sandup toh, husop toh a la a, laibu ngei leh mi tengteng leng a theha,
19Kwanza Mose aliwatangazia watu wote amri zote kama ilivyokuwa katika Sheria; kisha akachukua damu ya ndama pamoja na maji, na kwa kutumia majani ya mti uitwao husopo na pamba nyekundu, akakinyunyizia kile kitabu cha Sheria na hao watu wote.
20Huai tuh Pathianin na kiang ua a piak kip thukhun sisan ahi, chiin.
20Mose alisema: "Hii ni damu inayothibitisha agano mliloamriwa na Mungu mlitii."
21Huailou leng, biakbuk leh nasepna van tengteng huchibang mahin sisanin a theh samta hi.
21Vilevile Mose aliinyunyizia damu ile hema na vyombo vya ibada.
22Huan, dan thuin bangkim phial sisana hihsiangthouin a om a, sisan suahlouin ngaihdamna himhim a om kei hi.
22Naam, kadiri ya Sheria karibu kila kitu chaweza kutakaswa kwa damu, na dhambi nazo zaondolewa tu ikiwa damu imemwagwa.
23Huchiin, vana thil om batpihte tuh huaitea hihsiangthoua om ding him ahi, van thil taktakte bel huaisanga kithoihna hoihjawtea hihsiangthoua om ding ahi.
23Vitu hivi ambavyo ni mfano tu wa mambo halisi ya mbinguni, vililazimika kutakaswa kwa namna hiyo. Lakini vitu vya mbinguni huhitaji dhabihu iliyo bora zaidi.
24Kris tuh khuta lam mun siangthou, a tak batpih ah a lut ngal kei a; tunah Pathian maah I sik ua ding dingin van ngei ah, a lut jaw ta hi.
24Maana Kristo hakuingia Mahali Patakatifu palipojengwa kwa mikono ya watu, ambapo ni mfano tu wa kile kilicho halisi. yeye aliingia mbinguni kwenyewe ambako sasa anasimama mbele ya Mungu kwa ajili yetu.
25Himahleh, Siampu Lianpen kum tenga amah sisan lou, sisan tawi kawma Mun Siangthoua lut jel bangin, amah bel amah kilan dingina lut sam kei;
25Kuhani Mkuu wa Wayahudi huingia Mahali Patakatifu kila mwaka akiwa amechukua damu ya mnyama; lakini Kristo hakuingia humo ili ajitoe mwenyewe mara nyingi,
26huchi hita kei leh, leilung piantung akipan tam veipi a thuakta ding hi; himahleh, tulai hun tawp ah kithoihna dinga kizang tawmin khelhna hih mangna dingin khatvei in setden din amah hong langta ahi.
26maana ingalikuwa hivyo, Kristo angalipaswa kuteswa mara nyingi tangu kuumbwa ulimwengu. Lakini sasa nyakati hizi zinapokaribia mwisho wake, yeye ametokea mara moja tu, kuondoa dhambi kwa kujitoa yeye mwenyewe dhabihu.
27Huan, mihinga dingin khatvei sih seh ahi, huai nungin vaihawmna aom ding.huchi bangmahin Kris leng, mitampi khelhnate paipih dinga khatvei lata omkhinin, hotdamna mu dinga, amah nangakte kiangah, khelhna panglouin nihveina ah a honglang nawn ding hi.
27Basi, kama vile kila mtu hufa mara moja tu, kisha husimama mbele ya hukumu ya Mungu,
28huchi bangmahin Kris leng, mitampi khelhnate paipih dinga khatvei lata omkhinin, hotdamna mu dinga, amah nangakte kiangah, khelhna panglouin nihveina ah a honglang nawn ding hi.
28vivyo hivyo Kristo naye alijitoa dhabihu mara moja tu kwa ajili ya kuziondoa dhambi za wengi. Atakapotokea mara ya pili si kwa ajili ya kupambana na dhambi, bali ni kwa ajili ya kuwaokoa wale wanaomngojea.