1Huai thute Jesun a gen khitin van lam ngain, Pa a hun a tungta; na Tapa pahtawi in, Tapain nang hon pahtawina dingin;
1Yesu alipokwisha sema hayo, alitazama juu mbinguni, akasema, "Baba, saa imefika! Mtukuze Mwanao ili naye Mwana apate kukutukuza.
2huchia mi tengteng tunga thuneia na bawlin, a kianga na piak peuhmahte khantawn hinna a piak theihna dingin.
2Maana ulimpa Mwanao mamlaka juu ya watu wote ili awape uzima wa milele wote hao uliompa.
3Hiai khantawna hinna ahi, nang Pathian tak kia leh na sawl Jesu Kris theih.
3Na uzima wa milele ndio huu: kukujua wewe uliye peke yako Mungu wa kweli, na kumjua Yesu Kristo uliyemtuma.
4Nang thil hihding non piak ka hih khina, khovel ah kon pahtawita hi.
4Mimi nimekutukuza hapa duniani; nimeikamilisha ile kazi uliyonipa nifanye.
5Pa aw, khovel om maa na kianga kilawmna ka neihin, tuin nangmah kiang ngeingeiah hon pahtawi in.
5Sasa, Baba, nitukuze mbele yako kwa ule utukufu niliokuwa nao kabla ya kuumbwa ulimwengu.
6Nang khovel akipana mi kei non piakte kiangah na min ka hihlangta; amau nanga ahi ua, nang amau kei non paik ahi uh; amau lah na thu a juita uh.
6"Nimekufanya ujulikane kwa watu wale ulionipa kutoka duniani. Walikuwa watu wako, nawe ukanipa wawe wangu; nao wamelishika neno lako.
7Nang thil kei non piak tengteng tuh, nanga kipan ahi chih tuin a theita uh.
7Sasa wanajua kwamba kila ulichonipa kimetoka kwako.
8Nang thu non piak a kiang uah ka peta ngala; huaite a kem ua, nanga kipan ka hi chih dik takin a theita uh, nang na honsawl chih leng a gingta uhi.
8Mimi nimewapa ule ujumbe ulionipa nao wameupokea; wanajua kwamba kweli nimetoka kwako, na wanaamini kwamba wewe ulinituma.
9Amau dia ka nget sak jaw; khovel adia nget sak ka hi kei, nang non piakte ding ahi jaw; nanga ahi ngal ua.
9"Nawaombea hao; siuombei ulimwengu, ila nawaombea hao ulionipa, maana ni wako.
10Thil tengteng keia peuhmah nanga ahi a, nanga lah keia ahi a; amau jiakin pahtawi in ka om ahi.
10Yote niliyo nayo ni yako, na yako ni yangu; na utukufu wangu umeonekana ndani yao.
11Huan, kei jaw khovel ah ka omta kei ding, hiaite bel khovel ah a om ding uh; kei na kiangah ka hongpai dekta. Pa Siangthou aw, nang kei non piakte na minin hum in, pumkhat a hih theihna ding un, eimah pumkhat I hih bangin.
11Na sasa naja kwako; simo tena ulimwenguni, lakini wao wamo ulimwenguni. Baba Mtakatifu! Kwa nguvu ya jina lako ulilonipa, tafadhali uwaweke salama ili wawe kitu kimoja kama sisi tulivyo mmoja.
12A kiang ua ka om sungin, nang kei non piakte na minin ka huma; amau ka don a, a lak ua khat leng a mangthang kei hi, mangthang tapa loungal, laisiangthou a tun theihna dingin.
12Nilipokuwa nao, mimi niliwaweka salama kwa nguvu ya jina lako ulilonipa. Mimi nimewalinda, wala hakuna hata mmoja wao aliyepotea, isipokuwa yule aliyelazimika kupotea ili Maandiko Matakatifu yapate kutimia.
13Himahleh, tuin na kiang ah ka hongpai dekta; khovel ah hiai thute ka gen ahi, ka kipah amau ua a neih kimna ding un.
13Basi, sasa naja kwako, na nimesema mambo haya ulimwenguni, ili waweze kushiriki kikamilifu furaha yangu.
14Na thu a kiang uah ka peta hi; huan, khovelin amau a hua a, khovela a hih louh jiak un, kei khovela ka hih louh mahbangin.
14Mimi nimewapa neno lako, nao ulimwengu ukawachukia, kwa sababu wao si wa ulimwengu kama vile nami nisivyo wa ulimwengu.
15Nang amau khovela kipan na lak khiak dinga ngen ka hi keia, mi gilou lakah na hum ding ka chi a hijaw.
15Siombi uwatoe ulimwenguni, bali naomba uwakinge na yule Mwovu.
16Amau khovela ahi kei ua, kei khovela ka hi lou mahbangin.
16Wao si wa ulimwengu, kama vile nami nisivyo wa ulimwengu.
17Amau thutakin hihsiangthou in, na thu tuh thutak ahi.
17Waweke wakfu kwa ukweli; neno lako ni ukweli.
18Nang khovela kei non sawl bangin, ken leng amau khovel ah ka sawl hi.
18Kama vile ulivyonituma ulimwenguni, nami pia nimewatuma wao ulimwenguni;
19Amau jiakin ka kihihsiangthou a, amau leng thutaka a sianthouna dingun.
19na kwa ajili yao mimi mwenyewe najiweka wakfu ili nao pia wafanywe wakfu katika ukweli.
20Hiai khawngte a ding kiaa ngetsak ka hi kei, a thu jiakua kei hon gingta lai dingte dingin leng nget sak ka hi hi; a vek ua pumkhat a hihna ding un;
20"Siwaombei hao tu, bali nawaombea pia wote watakaoamini kutokana na ujumbe wao.
21Pa, nang keimaha na om leh, kei nangmaha ka om bangin, amau leng eimaha a omna ding un; nang kei non sawl chih khovelin a taksan theihna dingin.
21Naomba ili wote wawe kitu kimoja. Baba! Naomba wawe ndani yetu kama vile wewe ulivyo ndani yangu nami ndani yako. Naomba wawe kitu kimoja kusudi ulimwengu upate kuamini kwamba wewe ulinituma.
22Huan, nang thupina non piak ken amu ka peta; amau pumkhat a hihna dingun, ei pum khat i hih mah nangin.
22Mimi nimewapa utukufu uleule ulionipa mimi, ili wawe kitu kimoja kama nasi tulivyo mmoja;
23Kei amau ah, nang kei ah, amau pumkhata a om ua a buchin theihna dingun; nang kei non sawl chih leh, non it bangin amaute na it chih, khovelin a theihtheihna ding in.
23mimi niwe ndani yao, nawe uwe ndani yangu; naomba wakamilishwe na kuwa kitu kimoja, ili ulimwengu upate kujua kwamba wewe ulinituma, na kwamba unawapenda wao kama unavyonipenda mimi.
24Pa, nang kei non piakte, ka omnaa ka kianga omdingin ka deih; leilung pian maa itnaa nang non piak ka thupina a muh theihna ding un.
24"Baba! Nataka wao ulionipa wawe pamoja nami pale nilipo, ili wauone utukufu wangu ulionipa; kwa kuwa ulinipenda kabla ya kuumbwa ulimwengu.
25Pa diktat aw, khovelin jaw nang honthei keia, ken jaw kon thei hi; hiaiten leng nang kei non sawl chih a thei uh.Huan, a kiang uah na min ka theisaktaa, ka theisak ding, nang kei non itna bangbang na itna amaua a oma, kei leng amaua ka om theihna dingin, a chi a.
25Baba Mwema! Ulimwengu haukujui, lakini mimi nakujua. Hawa nao wanajua kwamba wewe ulinituma.
26Huan, a kiang uah na min ka theisaktaa, ka theisak ding, nang kei non itna bangbang na itna amaua a oma, kei leng amaua ka om theihna dingin, a chi a.
26Nimekufanya ujulikane kwao na nitaendelea kufanya hivyo, ili upendo ulio nao kwangu uwe ndani yao, nami niwe ndani yao."