1Jesun huai thute a gen khitin a nungjuite toh a pawt ua, Kidron luiguam a kan ua, huaiah huan a om a, hui ah a lut ua, amah leh a nungjuite toh.
1Yesu alipokwisha sema hayo, alikwenda ng'ambo ya kijito Kedroni, pamoja na wanafunzi wake. Mahali hapo palikuwa na bustani, naye Yesu akaingia humo pamoja na wanafunzi wake.
2Huan, a mansakpa Juda in leng huai mun a theita; Jesu a nungjuite toh huaiah a pawt jeljel ngal ua.
2Yuda, aliyemsaliti Yesu, alipajua mahali hapo kwani mara nyingi Yesu alikutana na wanafunzi wake huko.
3Huchiin Judain sepaih pawl toh, siampu liante leh Pharisaite kianga om heutute toh a pi a, khawnvakte, meiselte, galvante tawiin huaiah a hongpai ua.
3Basi, Yuda alichukua kikosi cha askari na walinzi kutoka kwa makuhani wakuu na Mafarisayo, akaja nao bustanini wakiwa na taa, mienge na silaha.
4Jesun a tunga thil tungding tengteng a thei gige a, a vapawta, a kiang uah, Kua ahia na zon uh? a chi a.
4Yesu, hali akijua yote yatakayompata, akatokea, akawauliza, "Mnamtafuta nani?"
5Amau a kiangah, Nazaret Jesu a chi ua, a dawng ua. Jesun a kianguah Keimah ka hi, a chi a.
5Nao wakamjibu, "Yesu wa Nazareti!" Yesu akawaambia, "Mimi ndiye." Msaliti Yuda alikuwa amesimama hapo pamoja nao.
6Huan, a mansakpa Juda leng a lak uah a ding a. Huai Keimah ka hi, a chih takin, a nungtolh ua, leiah a puk duam ua.
6Basi, Yesu alipowaambia: "Mimi ndiye", wakarudi nyuma, wakaanguka chini.
7Huan, aman a kianguah, Kua ahia na zon uh? a chi a, a dawng nawna. Huan, amau, Nazaret Jesu, a chi ua.
7Yesu akawauliza tena, "Mnamtafuta nani?" Wakamjibu, "Yesu wa Nazareti!"
8Huan, Jesun, Keimah ka hi chih kon hilhta a; nou kei honzong na hih uleh hiaite hoihtakin khah un, a chi a a dawng a.
8Yesu akawaambia, "Nimekwisha waambieni kwamba mimi ndiye. Basi, kama mnanitafuta mimi, waacheni hawa waende zao."
9Hiai tuh a thugen, Nang kei non piakte khat leng ka mangsaak kei, a chih, a tunna din ahi.
9(Alisema hayo ili yapate kutimia yale aliyosema: "Wale ulionipa sikumpoteza hata mmoja.")
10Huan, Simon Peterin namsau a voma, a doka, siampu lianpen sikha a sata, a bil taklam a sat khiak saka. Sikha min tuh Malka ahi.
10Simoni Petro alikuwa na upanga; basi, akauchomoa, akamkata sikio la kulia mtumishi wa Kuhani Mkuu. Mtumishi huyo aliitwa Malko.
11Huchiin, Jesun Peter kiangah, Huai namsau a pai ah siatin; Pain nou kei honpiak ka dawn kei dia hia? a chi a.
11Basi, Yesu akamwambia Petro, "Rudisha upanga wako alani. Je, nisinywe kikombe alichonipa Baba?"
12Huchiin, sepaih pawl toh, heutupen u toh, Judate heutute toh Jesu a man ua, a hen ua.
12Kile kikosi cha askari, mkuu wake na walinzi wa Wayahudi walimkamata Yesu, wakamfunga
13Ana kiangah a pi masa ua, Kaiapha sungpa a hih jiakin. Kaiapha, huai kuma siampu lianpen ahi a.
13na kumpeleka kwanza kwa Anasi; Anasi alikuwa baba mkwe wa Kayafa ambaye alikuwa Kuhani Mkuu mwaka huo.
14Kaiapha, Mi tengteng sanga mikhat sih a hoih, chia, Judate hasuanpa ahi.
14Huyo Kayafa ndiye aliyekuwa amewashauri Wayahudi kwamba ni afadhali mtu mmoja afe kwa ajili ya taifa.
15Huan, Simon Peterin Jesu a juia, a nungjui dang khat toh. Huai nungjuipa tuh siampu lianpen mel theih ahia, siampu lianpen in huangsung intual ah, Jesu kiang ah a lut sam a;
15Simoni Petro pamoja na mwanafunzi mwingine walimfuata Yesu. Huyo mwanafunzi mwingine alikuwa anajulikana kwa Kuhani Mkuu, hivyo aliingia pamoja na Yesu ndani ya ukumbi wa Kuhani Mkuu.
16himahleh Peter jaw po lamah kongkhak bulah a ding hi. Huchiin nungjui dang siampu lianpen meltheih, a va pawta, kongkhak ngaknu a houpiha, Peter a pi luta.
16Lakini Petro alikuwa amesimama nje, karibu na mlango. Basi, huyo mwanafunzi mwingine aliyekuwa anajulikana kwa Kuhani Mkuu alitoka nje akasema na mjakazi, mngoja mlango, akamwingiza Petro ndani.
17Huan, kongkhak ngaknu nungakin Peter kiangah, Nang leng hiai mi nungjuite laka pangsam na hi hia? a chi a.
17Huyo msichana mngoja mlango akamwuliza Petro, "Je, nawe pia ni mmoja wa wanafunzi wa mtu huyu?" Petro akamwambia, "Si mimi!"
18Aman, Ka hi kei, a chi a. Huan, sikhate leh heutute huaiah a ding diamduam ua, a vot jiakin meiholin mei a toh ua, a lum a awi uhi; Peter leng a kiangua a pang a, ding kawmin mei lum a awi sam hi.
18Watumishi na walinzi walikuwa wamewasha moto kwa sababu kulikuwa na baridi, wakawa wanaota moto. Naye Petro alikuwa amesimama pamoja nao akiota moto.
19Huan, siampu lianpenin Jesu a nungjuite tanchin leh a thuhilh dan a donga.
19Basi, Kuhani akamwuliza Yesu juu ya wanafunzi wake na mafundisho yake.
20Jesun a dawnga, a kiangah, Khovel mi kiangah, vantang theihin, thu ka gen gige a; kikhopna in leh, Pathian biakin, Juda tengteng om khawmna ahte bang thu ka hilh jela, a simin bangmah ka gen kei hi.
20Yesu akamjibu, "Nimesema na kila mtu daima hadharani. Kila mara nimefundisha katika masunagogi na Hekaluni, mahali wakutanikiapo Wayahudi wote; na wala sijasema chochote kwa siri.
21Bang achia kei hondong? A kiang ua ka thu gendan ka thu zate dong in; ngaiin, huaiten ka thugen a thei uh a keihiam, a chi a.
21Kwa nini waniuliza mimi? Waulize wale waliosikia nini niliwaambia. Wao wanajua nilivyosema."
22Huan a gen takin a kianga ding heutu khatin Jesu a benga, siampu lianpen hichi bangin na dawng maw? a chi a.
22Alipokwisha sema hayo mlinzi mmoja aliyekuwa amesimama hapo akampiga kofi akisema, "Je, ndivyo unavyomjibu Kuhani Mkuu?"
23Jesun a kiangah, Thu gilou gen ka hih leh, a gitlouhna hontheisak in; himahleh, thu pha ka gen inleng bang achia honbeng? a chi a, a dawnga.
23Yesu akamjibu, "Kama nimesema vibaya, onyesha huo ubaya; lakini ikiwa nimesema vema, mbona wanipiga?"
24Huan, Anain hensain siampu lianpen Kaiapha kiangah a saw hi.
24Basi, Anasi akampeleka Yesu akiwa amefungwa, kwa Kuhani Mkuu Kayafa.
25Huan, Simon Peterin dingin meilum a awi a. Huan, Nang leng a nungjuite laka pang sam na hi hia? a chi ua. Aman, Ka hi kei, chiin, a kitheihmohbawla.
25Petro alikuwa hapo akiota moto. Basi, wakamwuliza, "Je, nawe pia si mmoja wa wanafunzi wake?" Yeye akakana na kusema, "Si mimi!"
26Huan, simapu lianpu sikha khat, Peter bil sat khiak sanggamin, A kiangah, huan ah ka honmu kei maw? a chi a.
26Mmoja wa watumishi wa Kuhani Mkuu, jamaa wa yule aliyekatwa sikio na Petro, akamwuliza, "Je, mimi sikukuona wewe bustanini pamoja naye?"
27Huchiin Peterin a kitheihmohbawl nawn a; huan, ak a khuang pah ngal hi.
27Petro akakana tena; mara jogoo akawika.
28Huan, Jesu Kaiapha in a kipanin kumpipa in ah a pi nawn ua; jingsang ahi a; huan, amau jaw kumpipa in ah a lut kei uh, a lut un jaw a buah ding ua, Paikan Ankuanglui a ne theikei kha ding uhi.
28Basi, walimchukua Yesu kutoka kwa Kayafa, wakampeleka ikulu. Ilikuwa alfajiri, nao ili waweze kula Pasaka, hawakuingia ndani ya ikulu wasije wakatiwa najisi.
29Huan, Pilat a kiang uah a va pawta, a kiang uah, Hiai mi tungah hekna bang ahia na neih uh? a chi a.
29Kwa hiyo, Pilato aliwaendea nje, akasema, "Mna mashtaka gani juu ya mtu huyu?"
30Amau a kiangah, Hiai mi migilou hi keileh na kiang ah kon pi kei ding uh, a chi ua, a dawng ua.
30Wakamjibu, "Kama huyu hangalikuwa mwovu hatungalimleta kwako."
31Huan, Pilatin a kiang uah, Nou pi unla, na dan bang un a thu vaihawmsak un, a chi a. Judaten a kiangah, Kou thuin kuamah hihlup dan ahi kei, a chi ua.
31Pilato akawaambia, "Haya, mchukueni ninyi wenyewe, mkamhukumu kufuatana na Sheria yenu." Wayahudi wakamjibu, "Sisi hatuna mamlaka ya kumwua mtu yeyote."
32Hiai tuh a sih danding thu, Jesun a gen banga, a tuna dingin ahi.
32(Ilifanyika hivyo yapate kutimia maneno aliyosema Yesu kuonyesha atakufa kifo gani.)
33Huchiin, Pilat a in ah a lut nawna, Jesu a sama, a kiangah, Judate kumpipa na hi ahia? a chi a.
33Pilato akaingia tena ndani ya ikulu, akamwita Yesu na kumwuliza: "Ati wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi?"
34Jesun, Hiai nangmah lungsim puak khiaka na gen hia, midang in honhilh, ka tungtang thu? a chi a, a dawng a.
34Yesu akamjibu, "Je, hayo ni maneno yako au wengine wamekwambia habari zangu?"
35Pilatin, Kei Juda mi ka hi ahia? Nangmah chite leh siampu lianten ka kiangah nang a honpi ua ahi; thil bang ahia na hih? a chi a, a dawng a.
35Pilato akamjibu, "Je, ni Myahudi mimi? Taifa lako na makuhani wamekuleta kwangu. Umefanya nini?"
36Jesun, Ka kumpihihna hiai khovela ahi kei; ka kumpihihna hiai khovela hi leh, ka sikhaten gal a dou ding uh, Judate kianga piaka ka om louhna dingin; himahleh, ka kumpihihna jaw hiai khovela kipan ahi kei hi, a chi a, a dawng a.
36Yesu akamjibu, "Ufalme wangu si wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu watumishi wangu wangenipigania nisitiwe mikononi mwa Wayahudi. Lakini sasa ufalme wangu si wa hapa."
37Huan, Pilatin a kiangah, E, kumpipa na hi maw? a chi a. Jesun, Hi e, kumpipa ka hi. Thutak theihsak ka piansan leh khovela ka hongpai san ahi. Kuapeuh thutaka peuhmahin ka thu a sang uh, a chi a.
37Hapo Pilato akamwambia, "Basi, wewe ni Mfalme?" Yesu akajibu, "Wewe umesema kwamba mimi ni Mfalme. Mimi nimezaliwa kwa ajili hiyo; na kwa ajili hiyo nimekuja ulimwenguni kuwaambia watu juu ya ukweli. Kila mtu wa ukweli hunisikiliza."
38Pilatin, a kiangah, Thutak tuh bang ahia? a chi a. Huan, Huai thu a gen khit takin, Judate kiangah a vapawt nawna, a kiang uah, Bangmah a gitlouhna ka mu kei.
38Pilato akamwambia, "Ukweli ni kitu gani?" Pilato alipokwisha sema hayo, aliwaendea tena Wayahudi nje, akawaambia, "Mimi sioni hatia yoyote kwake.
39Himahleh, Paikan Ankuangluina ah mi khat kon pawtsak ding dan na nei uh; huchiin, Judate kumpipa honpawt sak leng na ut uhia? a chi a.Huan, amau a kikou nawn ua, Hiai mi jaw hi kei henla, Barabba pen hi jaw heh a chi ua. Barabba tuh suamhat ahi.
39Lakini, mnayo desturi kwamba mimi niwafungulie mfungwa mmoja wakati wa Pasaka. Basi, mwataka niwafungulieni Mfalme wa Wayahudi?"
40Huan, amau a kikou nawn ua, Hiai mi jaw hi kei henla, Barabba pen hi jaw heh a chi ua. Barabba tuh suamhat ahi.
40Hapo wakapiga kelele: "La! Si huyu ila Baraba!" Naye Baraba alikuwa mnyang'anyi.