Paite

Swahili: New Testament

Jude

1

1Juda, Jesu Kris sikha leh Jakob unauin, Pa Pathiana deihtak, Jesu Kris adinga sit, sapte kiangah:
1Mimi Yuda, mtumishi wa Yesu Kristo, ndugu yake Yakobo, nawaandikia ninyi mlioitwa na Mungu na ambao mnaishi katika upendo wa Mungu Baba, na katika ulinzi wa Yesu Kristo.
2Hehpihnate, lemnate, itnate na tunguah hihkhanin om hen.
2Nawatakieni huruma, amani na upendo kwa wingi.
3Deihtakte aw, i kikop hotdamna thu na kiang ua gelh ka tup teitei lain, misiangthoute kianga ginna khatvei kepsak lamah phatuam ngai taka pang dinga honhasuan dingin na kiang ua lai gelh a kiphamoh chih kana theia.
3Ndugu wapenzi, wakati nimo katika jitihada ya kuwaandikieni juu ya ule wokovu tunaoshiriki sote, nimeona lazima ya kuwaandikieni na kuwahimizeni mwendelee kupigana kwa ajili ya imani ambayo Mungu amewajalia watu wake mara moja tu kwa wakati wote.
4Mi kuatehiam a guka hong lut a om ngal ua, nidang laia pan hiai siamlouhtanna dia sehte; huaite tuh Pathian hehpihna akaikawiin, i Heutupa leh i Toupa neih sun, Jesu Kris tuh a kitheihmohbawl behlap uhi.
4Maana watu wasiomcha Mungu wamepata kujiingiza kwa siri miongoni mwetu, watu ambao, kwa faida ya maisha yao mabaya, wanaupotosha ujumbe wa neema ya Mungu wetu na kumkana Yesu Kristo aliye peke yake kiongozi na Bwana wetu. Maandiko Matakatifu yalikwisha bashiri tangu awali hukumu inayowangojea watu hao.
5Huan, bangkim khatveiin thei vek mahle uchin, Toupan Aigupta gama kipana mite a suahtaksaka, huai nung gingtaloute tuh a hihmanthat dan nou hontheihsak nawn ka ut ahi.
5Nataka kuwakumbusheni mambo fulani ambayo mmekwisha yajua: kumbukeni jinsi Bwana alivyowaokoa watu wa Israeli na kuwatoa katika nchi ya Misri, lakini baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuamini.
6Huan, angel te amau sawltak hihna jui loua, a omna ngeingei uh paisan zote tuh, ni thupi vaihawmnaa dinga mial nuaia khantawn henna hen kawmin a sit ahi.
6Na, malaika ambao hawakuridhika na cheo chao, wakayaacha makao yao ya asili, Mungu amewafunga gizani kwa minyororo ya milele wahukumiwe Siku ile kuu.
7Sodom leh Gomorra, a kiang kim ua khuate toh, huchibangmaha kingaihnaa kipumpiaka, gitlouhna leklua a delh sam tak jiak un, khantawna meia gawtna thuaka, theihsakna dinga suankhiaka a om bang un.
7Kumbukeni pia Sodoma na Gomora, na miji ya kandokando yake; wenyeji wake walifanya kama wale malaika; walifanya uzinzi na mambo yaliyo kinyume cha maumbile, wakapewa hukumu ya moto wa milele, iwe onyo kwa watu wote.
8Himahleh, huaiten leng, huchi bang mahin, a deihthusam bang un sa tuh a hihthanghuai ua, vaihawm sakna a musit ua, thupinate a gense nak uhi.
8Hivyo ndivyo pia walivyo watu hawa. ndoto zao huwaongoza katika kuichafua miili yao wenyewe, kuyadharau mamlaka ya Mungu na kuvitukana viumbe vitukufu vya huko juu.
9Himahleh, Mikael angel tungunngpenin bawn, diabol toh a kisel ua, Mosi luang thua a kinak lai un a tungthu gen sakin amah a gense ngam kei hi, Toupan hontai jaw hen, a chi zota hi.
9Hata Mikaeli, malaika mkuu, hakufanya hivyo. Katika ule ubishi kati yake na Ibilisi waliobishana juu ya mwili wa Mose, Mikaeli hakuthubutu kumhukumu Ibilisi kwa matusi; ila alisema: "Bwana mwenyewe na akukaripie."
10Huai miten bel thil a theih louh peuhmah uh a gense jel ua; huan ngaihtuahna neilou ganhingte banga theihsiamna pianpih a neihte un, huai lampang mahmah ah a kihehse naknak uhi.
10Lakini watu hawa hutukana chochote wasichokielewa; mambo yaleyale wanayoyajua kwa silika kama vile wanyama wanayoyajua ndiyo yanayowaangamiza.
11A tung ua a gik hi! Kaina lampi a jui ua, punna delhin Balaam mohnaah hahtaiin a tai ua, Kora thukalhna ah a mangthangta uhi.
11Ole wao! Watu hao wamefuata mwenendo uleule wa Kaini. Kwa ajili ya fedha, wamejiingiza katika mkosi uleule wa Baalamu. Wameasi kama Kora alivyoasi na wameangamizwa kama yeye alivyoangamizwa.
12Hiaite tuh ahi uh, na itna-ankuangluina ua hihmelhemtu leh lauhuai kiselte- amau mah kikem, angsung ngaihtuaha, maingaltaka tathangte; mei tuipai lou, huih mut lengte ahi ua; phavanga sing, gah lou, nihvei sisa, a zung toh bohkhiakte ahi ua;
12Kwa makelele yao yasiyo na adabu, watu hao ni kama madoa machafu katika mikutano yenu ya karamu ya Bwana. Hujipendelea wao wenyewe tu, na wako kama mawingu yanayopeperushwa huko na huko na upepo bila ya kuleta mvua. Wao ni kama miti isiyozaa matunda hata wakati wa majira yake, wamekufa kabisa.
13Tuipi kihawt vonvon, amau zahlakna thankhia ahi ua; aksi vialvak, amau dia khantawna mial bingbikbek sit sakte ahi uhi.
13Watu hao ni kama mawimbi makali ya bahari, na matendo yao ya aibu yanaonekana dhahiri kama vile mapovu ya mawimbi. Wao ni kama nyota zinazotangatanga, ambao Mungu amewawekea mahali pao milele katika giza kuu.
14Huan, Enok, Adam akipana sagihnain hiaite tungtang nagenkholin, Ngai un, Toupa tuh a mi siangthou singkhatte toh a hongpai ahi, chiin,
14Henoki, ambaye ni babu wa saba tangu Adamu, alibashiri hivi juu ya watu hawa: "Sikilizeni! Bwana atakuja pamoja na maelfu ya malaika wake watakatifu
15mi tengteng tunga vaihawm ding leh, Pathian limsak loute tengteng Pathian limsak louhna na Pathian limsak loutunga a sep tengteng uah leh, Pathian limsak loumikhialten a tunga thukhauh tak a gen tengteng ua siamlouh tangsak dingin.
15kutoa hukumu juu ya binadamu wote, kuwahukumu wote kwa ajili ya matendo yao yote maovu waliyotenda na kwa ajili ya maneno yote mabaya ambayo watu waovu walimkashifu nayo."
16Huaite tuh phunhatte leh ngohhatte ahi ua, amau utna bengjel in a om ua, a kamte khawng un leng kiotsakna thu a gen gawpgawp a, punna deih manin i a deih uhi.
16Watu hawa wananung'unika daima na kuwalaumu watu wengine. Hufuata tamaa zao mbaya, hujigamba na kuwasifu watu wengine mno kusudi wafaulu katika mipango yao.
17Himahleh, deihtakte aw, noujaw i Toupa Jesu Kris sawltakten thu a genkholhte uh theigige un;
17Lakini ninyi wapenzi wangu, kumbukeni yale mliyoambiwa hapo awali ni mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo.
18hunnanungah te Pathian limsak loulam amau utna bang jela omin, nuihsanhatte a hongom ding uhi, chih na kiang ua a gendan khawng uh.
18Waliwaambieni: "Siku za mwisho zitakapofika, watatokea watu watakaowadhihaki ninyi, watu wafuatao tamaa zao mbaya."
19Huai mite tuh sa mi, Kha neilou, pawl tuamte bawlte tuh ahi uhi.
19Hao ndio watu wanaosababisha mafarakano, watu wanaotawaliwa na tamaa zao za kidunia, watu wasio na Roho wa Mungu.
20Himahleh, deihtakte, nou jaw na ginna siangthou uh tunga noumau leh noumau kilem touin, Kha Siangthoua thumin,
20Lakini ninyi, wapenzi wangu, endeleeni kujijenga kikamilifu katika imani yenu takatifu. Salini kwa nguvu ya Roho Mtakatifu,
21khantawn hinna neihsakna khop i Toupa Jesu Kris hehpihna tuh ngak kawmin, Pathian itna a kikem hoih un.
21na kubaki katika upendo wa Mungu, mkiwa mnamngojea Bwana wetu Yesu Kristo awapeni uzima wa milele kwa huruma yake.
22Khenkhatte, ginglaha omte tuh hehpih unla;
22Muwe na huruma kwa watu walio na mashaka;
23Khenkhatte, meia kipanin la khe zok unla, hondam un; khenkhatte, a sa thanghuai banna uh puansilh lam leng kihin, lau kawmin hehpih un.
23waokoeni kwa kuwanyakua kutoka motoni; na kwa wengine muwe na huruma pamoja na hofu, lakini chukieni hata mavazi yao ambayo yamechafuliwa na tamaa zao mbaya.
24Tuin, na puk louhna ding ua honveng thei leh, a thupina ma taka nakpi taka nuamsaa nin bangloua nou hon koih theipa,Hondampa Pathian tak kia kiangah, i Toups Jesu Kris jiakin, hun himhim om ma leh tu leh khantawn dongin, pahtawinate thupinate, vaihawmate, thuneihnate om hen. Amen.
24Kwake yeye awezaye kuwalinda msije mkaanguka, na kuwaleta ninyi bila hatia mpaka mbele ya utukufu wake,
25Hondampa Pathian tak kia kiangah, i Toups Jesu Kris jiakin, hun himhim om ma leh tu leh khantawn dongin, pahtawinate thupinate, vaihawmate, thuneihnate om hen. Amen.
25kwake yeye aliye peke yake Mungu, Mkombozi wetu, uwe utukufu, ukuu, nguvu na mamlaka kwa njia ya Kristo Bwana wetu, tangu zama zote, sasa na hata milele! Amina.