Paite

Swahili: New Testament

Revelation

1

1Jesu Kris kilakna, Pathianin a sikhate kiang a lak dinga amah a piak, thil hongom pah mahmah dingte: Huan aman tuh a sikha Johan kiangah a angel sawlin chiamtehnain a theisaka;
1Hizi ni habari za mambo ambayo yalifunuliwa na Yesu Kristo. Mungu alimpa Kristo ufunuo huu ili awaonyeshe watumishi wake mambo ambayo yanapaswa kutukia karibuni. Kristo alimtuma malaika wake amjulishe Yohane, mtumishi wake, mambo hayo,
2amah Johanin tuh Pathian thu leh, Jesu Kris tungtang thu leh, thil tengteng a muhte tuh a theisak ta.
2naye Yohane, ameyasema yote aliyoyaona. Na hii ndio taarifa yake kuhusu ujumbe wa Mungu na ukweli uliofunuliwa na Yesu Kristo.
3Huan genkholhna thute sima, hiai genkholhna thute jaa, huaia thil kigelhte juite tuh hampha uhi; a hun a naita ngala.
3Heri yake mtu anayesoma kitabu hiki; heri yao wale wanaosikiliza maneno ya ujumbe huu wa kinabii na kushika yaliyoandikwa humu, maana wakati umekaribia ambapo mambo haya yatatukia.
4Johanin Asia gama om saptuam sagihte kiangah: Hehpihna leh lemna na kiang ua om hen: Amah omlel leh, omsa leh, hongpai ngei dingpa akipan; leh a laltutphah maa om Kha sagihte akipanain,
4Mimi Yohane nayaandikia makanisa yaliyoko mkoani Asia. Nawatakieni neema na amani kutoka kwake yeye aliyeko, aliyekuwako na anayekuja; na kutoka kwa roho saba walio mbele ya kiti chake cha enzi,
5leh Jesu Kris, theihpihpa ginom, misite laka piang masapen leh leitunga kumpipate vaihawmpa akipanin. Ei honita, i khelhna akipana a sisanin hon sawppa amah kiangah;
5na kutoka kwa Yesu Kristo, shahidi mwaminifu, wa kwanza kufufuliwa kutoka wafu, na ambaye ni mtawala wa wafalme wa dunia. Yeye anatupenda, na kwa damu yake ametufungua kutoka vifungo vya dhambi zetu,
6leh lalgam hi ding a honbawla, a Pathian leh a Pa kianga siampute hi ding a honbawl, amah kiangah thupina leh vaihawmna, khantawn, khantawnin om hen. Amen.
6akatufanya sisi kuwa ufalme wa makuhani, tumtumikie Mungu, Baba yake. Kwake Yesu Kristo uwe utukufu na nguvu, milele na milele! Amina.
7Ngai in, meipi toh a hong pai hi; huan mi chitengin amah a mu ding ua, amah sunten leng; huan leitunga nam tengtengin amah a kah ding uh. Hi ngei, Amen.
7Tazama! Anakuja katika mawingu! Kila mtu atamwona, hata wale waliomchoma. Makabila yote duniani yataomboleza juu yake. Naam! Amina.
8Kei Alpha leh Omega ka hi Toupa Pathian, omlel leh omsa leh hongpai ding, Bangkimhihtheiin a chi hi.
8"Mimi ni Alfa na Omega," asema Bwana Mungu Mwenye Uwezo, aliyeko, aliyekuwako na anayekuja.
9Kei Johan, Jesua om haksathuakna leh lalgam leh kuhkalnaa, na unau u leh na tanpihpa uh, Pathian leh Jesu tungtang thu ah, tuikulh gam Patmos kichi ah ka oma.
9Mimi ni Yohane, ndugu yenu; na kwa kuungana na Kristo nashiriki pamoja nanyi katika kustahimili mateso yanayowapata wale walio wa Utawala wake. Mimi nilikuwa kisiwani Patmo kwa sababu ya kuhubiri ujumbe wa Mungu na ukweli wa Yesu.
10Toupa niin Khain ka oma, huan ka nunglamah aw ngaihtakin, pengkul ging bang maiin,
10Basi, wakati mmoja, siku ya Bwana, nilikumbwa na Roho, nikasikia nyuma yangu sauti kubwa kama sauti ya tarumbeta.
11Na thil muhte laibu ah gelh inla, saptuam sagihte kiangah khak in: Ephesa khuaah, leh Smarna khuaa, leh Pergamam khua ah, leh Thaiatira khua ah, leh Sardi khua ah leh Philadelphia khua ah, leh Leodisia khua ah, chiin, ka zata hi.
11Nayo ilisema, "Andika katika kitabu yote unayoyaona, ukipeleke kwa makanisa haya saba: Efeso, Smurna, Pergamoni, Thuatira, Sarde, Filadelfia na Laodikea."
12Huan, kei honhoupih huai aw muh tumin ka kiheia. Huchia ka kihei aleh dangkaeng tuikuang koihna sagih ka muta a.
12Basi, nikageuka nimwone huyo aliyesema nami, nikaona vinara vya taa saba vya dhahabu,
13Huan, huai tuikuang koihna laiah kuahiam mihing tapa toh kibang, a khepek phaa puan silh, a awm khawnga dangkaeng gaknaa kigak tuh ka muta hi.
13na katikati yake kulikuwa na kitu kama mtu, naye alikuwa amevaa kanzu ndefu na ukanda wa dhahabu kifuani.
14Huan, a lu leh a sam tuh samul kang bangin a kanga, vuk bangin; huan a mit tuh meikuang bang ahi;
14Nywele zake zilikuwa nyeupe kama pamba safi, kama theluji; macho yake yalimetameta kama moto;
15huan, a khe khawng tuh sumsan nawttet bang ahi a, meipia hal siangsa bangin; huan a aw tuh tui tampi ging bang ahi.
15miguu yake iling'aa kama shaba iliyosafishwa katika tanuru ya moto na kusuguliwa, na sauti yake ilikuwa, kama sauti ya poromoko la maji.
16Huan a khut taklamin aksi sagih a tawia; huan a kam a kipanin namsau hiamtak hiamtuah a suak khia a; huan a mel tuh ni a sat sanlai bang ahi.
16Katika mkono wake wa kulia, alikuwa na nyota saba, na kinywani mwake mlitoka upanga wenye makali kuwili. Uso wake uling'aa kama jua kali.
17Huchia amah ka muh takin, kei tuh misi bangin a khe bulah ka pukkta a. Huan aman a khut taklam ka tunga koihin, Lau ken; a masapen leh a nanungpen leh.
17Basi, nilipomwona tu, nilianguka mbele ya miguu yake kama maiti. Lakini yeye akaweka mkono wake wa kulia juu yangu, akasema, "Usiogope! Mimi ni wa kwanza na wa mwisho.
18Mi Hing ka hi; huan ka hongsi a, huan ngaiin khantawnin ka hing hi, sihna leh misi kho tahbi ka nei hi.
18Mimi ni yeye aliye hai! Nilikuwa nimekufa, lakini, tazama, sasa ni mzima milele na milele. Ninazo funguo za kifo na Kuzimu.
19Huaijiakin na thil muhsate leh thil om lelte lah tununga thul hongom dingte gelh in;Ka khut taklam a aksi sagih na muhte leh dangkaeng tuikuang koihna sagihte thuguk. Aksi sagihte tuh saptuam sagihte angelte ahi ua; huan tuikuang koihna sagihte tuh saptuam sagihte ahi uhi, a chi a.
19Basi, sasa andika mambo haya unayoyaona, mambo yanayotukia sasa na yale yatakayotukia baadaye.
20Ka khut taklam a aksi sagih na muhte leh dangkaeng tuikuang koihna sagihte thuguk. Aksi sagihte tuh saptuam sagihte angelte ahi ua; huan tuikuang koihna sagihte tuh saptuam sagihte ahi uhi, a chi a.
20Siri ya nyota zile saba ulizoziona katika mkono wangu wa kulia, na siri ya vile vinara saba vya taa hii: zile nyota saba ni malaika wa makanisa; na vile vinara saba vya taa ni makanisa saba.