1Ephesa khua saptuamte angel kiangah hichi bangin gelh in: A khut taklama aksi sagih tawi dangkaeng tuikuang koihna sagih laia vial vakpan hiah thite a chi hi:
1"Kwa malaika wa kanisa la Efeso andika hivi: "Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye ashikaye nyota saba katika mkono wake wa kulia, na ambaye hutembea katikati ya vinara saba vya taa vya dhahabu.
2Na thil hihteleh na sepgim dan leh na kuhkaldan leh, mi giloute na ngaihmoh dan leh hi loupia, amau sawltak kichite na zeta, amau tuh juauthei ahi uh chih na muhkhiak dan ka theia;
2Najua mambo yako yote; najua bidii yako na uvumilivu wako. Najua kwamba huwezi kuwavumilia watu waovu, na kwamba umewapima wale wanaojisemea kuwa mitume na kumbe sio, ukagundua kwamba ni waongo.
3Huan thuakzohna neiin, ka min jiakin na thuak teiteia, huchiin na bah kei hi.
3Wewe unayo saburi, umestahimili taabu nyingi kwa ajili ya jina langu, wala hukuvunjika moyo.
4Himahleh hiai thu ah demna kon nei hi; na itna masapen na tawpsan thu ah.
4Lakini ninayo hoja moja juu yako: wewe hunipendi tena sasa kama pale awali.
5Huaijiakin na pukna laitak theigige inla, kisik inla, na thilhih masapente hih nawn in; huchilouin jaw na kiangah ka hongpai dia, a omaa kipanin na tuikuang koihna ka suan ding, na kisik kei leh.
5Basi, pakumbuke pale ulipokuwa kabla ya kuanguka, ukayaache madhambi yako, na kufanya kama ulivyofanya pale awali. La sivyo, naja kwako na kukiondoa kinara chako mahali pake.
6Himahleh hiai thu ah na hoih, Nikol pawlte thilhihte na hua, a huai tuh ken leng ka hua hi.
6Lakini nakusifu juu ya kitu kimoja: wewe unayachukia wanayoyatenda Wanikolai kama ninavyoyachukia mimi.
7Saptuamte kianga Kha thugen tuh bil nei peuhin ja uhen. A vualzoupa kiangah, amah kiangah Pathian Paradisa om, hinna sing a nek dingin ka pe ding, a chi, chiin.
7"Aliye na masikio, basi, na asikie yale Roho anayoyaambia makanisa! "Wale wanaoshinda nitawapa haki ya kula matunda ya mti wa uzima ulioko ndani ya bustani ya Mungu.
8Huan Smarna khuaa saptuamte angel kiangah hichi bangin gelh in: A masapen leh a nanungpen, huai si a hing nawntain hiai thile a gen hi:
8"Kwa malaika wa kanisa la Smurna andika hivi: "Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye wa kwanza na wa mwisho, ambaye alikufa na akaishi tena.
9Na gimthuakdan bang. na jawndan bang (himahleh na hausa na), hi loupia, Judate hia kigente, Setan kikhopna in hizote, gensiatna bang ka thei hi.
9Najua taabu zako; najua pia umaskini wako, ingawaje kwa kweli wewe ni tajiri; najua kashfa walizokufanyia wale wanaojiita Wayahudi lakini si Wayahudi wa kweli, bali ni kundi lake Shetani.
10Na thuak pah ding thilte kihta ken; ngai in, zeeta na om theihna ding un diabolin na lak ua a khenkhen suangkulh ah honkhum pah ding; huan ni sawm sung gimthuakna na nei ding uhi. Sih phain ginom in, huan hinna lallukhu kon pe ding.
10Usiogope hata kidogo yale ambayo itakulazimu kuteseka. Sikiliza! Ibilisi anataka kuwajaribu kwa kuwatia baadhi yenu gerezani; nanyi mtapata dhiki kwa muda wa siku kumi. Muwe waaminifu hata mpaka kufa, nami nitawapeni taji ya uzima.
11Saptuamte kianga Kha thugen tuh bil nei peuhin ja uhen. A vualzoupa tuh sih nihna hihnatin a om kei ding, a chi, chiin.
11"Aliye na masikio, basi, na asikie yale Roho anayoyaambia makanisa! "Wale wanaoshinda hawataumizwa na kifo cha pili.
12Huan Pergamam khuaa saptuamte angel kiangah hichi bangin gelh in: Namsau hiamtak hiamtuah neiin; hiai thilte a gen hi:
12"Kwa malaika wa kanisa la Pergamoni andika hivi: "Huu ndio ujumbe wake yeye aliye na upanga mkali wenye kuwili.
13Na tenna leh Setan laltutphah omna leng ka thei hi; ka min tuh kiptakin na kema, Antipa ka palai mi ginom, Setan tenna a, na lak ua thaha a om lain leng, non ginna na tawpsan tuan kei hi.
13Najua unakoishi: Wewe unaishi kwenye makao makuu ya Shetani! Lakini bado unashikilia jina langu; hukuikana imani yako kwangu hata siku zile Antipa shahidi wangu mwaminifu, alipouawa pale mahali anapoishi Shetani.
14Himahleh demna zek kon nei, huai laia mi khenkhat Balaam sinsakna juite na ompih jiakin, Israel tate maa kipukna koih ding leh milimte kianga kithoihna thilte ne ding leh kingaihna khelhna hih dingin aman tuh Balak a thuhilha.
14Lakini ninayo machache dhidi yako: baadhi yenu ni wafuasi wa Balaamu aliyemfundisha Balaki kuwatega wana wa Israeli wale vyakula vilivyotambikiwa sanamu za kufanya uzinzi.
15Huchi bangmahin Nikol pawlte sinsakna jui, mi khenkhat mah na ompih hi;
15Vivyo hivyo, wako pia miongoni mwenu watu wanaofuata mafundisho ya Wanikolai.
16Huai jiakin kisik in; huchilouin jaw na kiangah ka hong pai pah dia, huan amau tuh ka kama namsauin ka hondou ding hi.
16Basi, achana na madhambi yako. La sivyo, nitakuja kwako upesi na kupigana na watu hao kwa upanga utokao kinywani mwangu.
17Saptuamte kiang a Kha thugen tuh bil nei peuh in ja uhen. A vualzoupa kiangah mana selguka ka pe ding, huan suangpek ka pe dia, huai suang tungah tuh, min thak, a neipa chih louh ngal theih louh a kigelh, a chi, chiin.
17"Aliye na masikio, basi, na asikie yale Roho anayoyaambia makanisa! "Wale wanaoshinda nitawapa ile mana iliyofichika. Nitawapa pia jiwe jeupe lililoandikwa jina jipya ambalo hakuna mtu aliyelijua isipokuwa tu wale wanaolipokea.
18Huan, Thaiatira khuaa saptuamte angel kiangah hichi bangin gelh in: Pathian Tapa, meikuang bang mit neia sumsan nawttet bang khe neipan, hiai thilte a gen hi:
18"Kwa malaika wa kanisa la Thuatira andika hivi: "Huu ndio ujumbe wa Mwana wa Mungu, ambaye macho yake yametameta kama moto, na miguu yake inang'aa kama shaba iliyosuguliwa.
19Na thilhihte leh na itna leh na ginna leh na nasepna leh na thuakzohna ka thei hi, huan a masapen sangin na thilhih nanungzpte tuh a tam jaw hi.
19Najua mambo yako yote. Najua upendo wako, imani yako, utumishi wako na uvumilivu wako. Wewe unafanya vizuri zaidi sasa kuliko pale awali.
20Himahleh hiai thuah demna kon nei hi, huai numei Jezebel, jawlnei kichinu khawk na sak louh jiakin; aman tuh ka sikhate kingaihna khelhna hih ding leh milimte kianga kithoihna thilte ne dinga khemin a hilha.
20Lakini nina hoja moja juu yako: wewe unamvumilia yule mwanamke Yezabeli anayejiita nabii wa Mungu. Yeye huwafundisha na kuwapotosha watumishi wangu wafanye uzinzi na kula vyakula vilivyotambikiwa sanamu.
21Huchiin amah a kisikna dingin hun ka pia a; huan a mingaihna khelhna tuh a kisik nuam tuan kei hi.
21Nimempa muda wa kutubu dhambi zake, lakini hataki kuachana na uzinzi wake.
22Ngai in, amah tuh damlou-lupna ah ka pai ding, huan amah angkawmteng leng gimthuakna thupi ah ka pai ding, a thilhihte uh a kisik tuan kei uleh.
22Sikiliza! Sasa namtupa kitandani ambapo yeye pamoja na wote waliofanya uzinzi naye watapatwa na mateso makali. Naam, nitafanya hivyo, kama wasipotubu matendo yao mabaya waliyotenda naye.
23Huan hiin a tate ka that dia; huan saptuamte tengtengin tuh lungsim-kiheinate leh lungtang theipa, kei ka hi chih a thei ding uhi; huan na thil hihte bangbang un na lak ua mi tengteng tuh ka pe ding hi.
23Tena nitawaua wafuasi wake, ili makanisa yote yatambue kwamba mimi ndiye ninayechunguza mioyo na fikira za watu.
24Himahleh, nou, Thaiatira a om midangte hiai thuhilh neiloua, Setan thil thukte bang theilou tengteng kiangah tunggikna dang himhim na tunguah kon behlap kei ding, ka chi.
24"Lakini ninyi wengine mlioko huko Thuatira ambao hamfuati mafundisho yake Yezabeli, na ambao hamkujifunza kile wanachokiita Siri ya Shetani, nawaambieni kwamba sitawapeni mzigo mwingine.
25Abang abang hileh na na-neihpen uh, ka hong mateng, lenkip un.
25Lazima mzingatie yale mliyo nayo sasa mpaka nitakapokuja.
26Huan a vualzoupa leh a tawp phaa ka nate kempa amah kiang ah tuh namte tunga thuneihna, ka pe ding;
26"Wanaoshinda, na wale watakaozingatia mpaka mwisho kutenda ninayotaka, nitawapa mamlaka juu ya mataifa.
27Huan, ken leng ka Pa akipan ka muuhtak bangin, belvelpan belte nel dimdema a khet tap bangin, aman tuh sik chiangin amau tungah vai a hawm ding hi;
27Naam, nitawapa uwezo uleule nilioupokea kwa Baba: yaani, watayatawala mataifa kwa fimbo ya chuma na kuyavunjavunja kama chombo cha udongo.
28Huan, amah tuh jingsao-aksi ka pe ding hi.Saptuamte kianga Kha thugen tuh bil nei peuh in ja uhen, a chi, chiin.
28Tena nitawapa nyota ya asubuhi.
29Saptuamte kianga Kha thugen tuh bil nei peuh in ja uhen, a chi, chiin.
29"Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!