1Huan, hichi ahi a, Jesu koilai mun hiamah a thum a, a thum khitin a nungzui mi khatin a kiangah, Toupa, thumdan Johanin a nungjuite a hilh bangin honhilh sam ve, a chi a.
1Siku moja, Yesu alikuwa mahali fulani akisali. Alipomaliza kusali, mmoja wa wanafunzi wake akamwambia, "Bwana, tunakuomba utufundishe kusali kama Yohane mbatizaji alivyowafundisha wanafunzi wake."
2Huan, aman a kiang uah, Na thum chiang un hichi bangin na chi ding uh, achia: Ka Pa uh, vana om, na min kizahtak hen, Na gam hongtung hen.
2Yesu akawaambia, "Mnaposali, semeni: Baba! Jina lako litukuzwe; Ufalme wako ufike.
3Ni tengin ka nek khop uh an honpia in.
3Utupe daima chakula chetu cha kila siku.
4Ka khelhte uh hongaidam in, kou leng kuapeuh bat honneite tengteng ka ngaidam uhi; huan, khemna ah honpilut ken.
4Utusamehe dhambi zetu, maana sisi tunawasamehe wote waliotukosea; wala usitutie katika majaribu."
5Huan, amahmahin, akiang uah, Na lak ua kua ahi hiamin lawm nei henla, jan laiin a kianga hohin, Lawm, tanghou phel thum honleitawi sak ve;
5Kisha akawaambia, "Tuseme mmoja wenu anaye rafiki, akaenda kwake usiku wa manane, akamwambia: Rafiki, tafadhali niazime mikate mitatu,
6ka lawm zinin a hontawna, a maa lui ding bangmah ka nei ngak kei a, chi henla;
6kwa kuwa rafiki yangu amepitia kwangu akiwa safarini nami sina cha kumpa.
7in sung a pan tuh, Hon hihbuai ken; tun jaw kong khak ahi, ka tate leng ka kiangah lupnaah a ihmuta uh; thouin ka hongpe theikei, chiin, dawng leh, ka honhilh ahi,
7Naye, akiwa ndani angemjibu: Usinisumbue! Nimekwisha funga mlango. Mimi na watoto wangu tumelala; siwezi kuamka nikupe!
8A lawm a hih jiakin thouin a vape kei na a, a nget ngutngut jiakin thouin a deihzahzah a vape ding.
8Hakika, ingawa hataamka ampe kwa sababu yeye ni rafiki yake, lakini, kwa sababu ya huyo mtu kuendelea kumwomba, ataamka ampe chochote anachohitaji.
9Huchiin, ka honhilh ahi, Ngen un, huan, piakin na om ding uh; zong un, huan na mu ding uh; kiu un, huan, honsakin na om ding uh.
9Kwa hiyo, ombeni, nanyi mtapewa, tafuteni, nanyi mtapata, bisheni nanyi mtafunguliwa.
10Kuapeuh a ngenin a mu nak a, kuapeuh a zongin a mu nak a, kuapeuh a kiu tuh honsakin a om ding.
10Maana yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata na abishaye hufunguliwa.
11Nou laka pa pen, a tain tanghou phel ngen leh, kuan ahia suang pe ding? A hihleh, nga ngen leh, kuan ahia nga sika gul pe ding?
11Mtoto akimwomba baba yake samaki, je, atampa nyoka badala ya samaki?
12A hihleh, aktui ngen leh, aikam a pe dia hia?
12Na kama akimwomba yai, je, atampa ng'e?
13Huchiin, nou migilouin bawn noumau tate thil hoih piakna dan na theih uleh, na Pa uh vana omin a ngente Kha Siangthou pe natel in chia: a chi a.
13Ninyi, ingawa ni waovu, mnajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri. Basi, baba yenu wa mbinguni atafanya zaidi; atawapa Roho Mtakatifu wale wanaomwomba."
14Huan, Jesun dawi pau theilou khat a delh khia a. Huan, hichi ahi a, dawi tuh a pawt takin pautheilou tuh a hongpauta; huchiin mipiin lamdang a sa mahmah uh.
14Siku moja Yesu alikuwa anamfukuza pepo aliyemfanya mtu mmoja kuwa bubu. Basi, huyo pepo alipomtoka, yule mtu akaweza kuongea hata umati wa watu ukashangaa.
15Himahleh, a khenin, Dawi lal Beelzibul jiakin eive dawite a delh khiak jel, a chi ua.
15Lakini baadhi ya watu hao wakasema, "Anamfukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo."
16Huan, a khenin, amah zeetna dingin, vana kipan chiamtehna a ngen ua.
16Wengine, wakimjaribu, wakamtaka afanye ishara kuonyesha kama alikuwa na idhini kutoka mbinguni.
17Aman tuh a ngaituah uh ana thei a, a kiang uah, Koi gam leng amah kidou peuh a mangthang nak; inkuan khat leng amah kidou tuh a mangthang nak.
17Lakini yeye, akiwa anayajua mawazo yao, akawaambia, "Ufalme wowote uliofarakana wenyewe, hauwezi kudumu; kadhalika, jamaa yeyote inayofarakana huangamia.
18Setan leng amah a kidou leh, a gam bangchin a dingkhe dia? -Beelzibul jiakin dawite a delh khia, non chi ngal ua.
18Kama Shetani anajipinga mwenyewe, utawala wake utasimamaje? Mnasemaje, basi, kwamba ninawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli?
19Huan, kei Beelzibul jiaka dawite delh khia ka na hih leh, na tate un kua jiakin ahia a na delh khiak jel uh? Huaijiakin amau noute honvaihawmsak dingte ahi ding uh.
19Kama ninafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, watoto wenu huwafukuza kwa uwezo wa nani? Kwa sababu hiyo, wao ndio watakaowahukumu ninyi.
20A hihhangin, kei Pathian khut zung jiaka dawite delh khe jel ka hih leh, Pathian gam na kiang uah hongtung khin ahi vele.
20Lakini ikiwa ninawafukuza pepo kwa uwezo wa Mungu, basi jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekwisha fika kwenu.
21Mi hatin hiamzat kim tawia a in a ven sung teng, a sum bit takin a om gige a;
21"Mtu mwenye nguvu anapolinda jumba lake kwa silaha, mali yake yote iko salama.
22himahleh, a sanga hatjawin a honsuala, a zoh chiangin, a muan a galvan kim tuh a sut a, sum a lak sak tuh a hawmjak jel hi.
22Lakini akija mwenye nguvu zaidi akamshambulia na kumshinda, huyo huziteka silaha zake alizotegemea na kugawanya nyara.
23Kuapeuh ka lama panglou tuh, hondou ahi a, kuapeuh honlak khawm pih louin a hihjak ahi.
23Yeyote asiyejiunga nami, ananipinga; na yeyote asiyekusanya pamoja nami, hutawanya.
24Dawi nin mi sung akipana apawtin, khawlna zongin tui om louhna mun peuhah a vak vak a; huan, khawlna himhim a mu kei a, ka pawtna in ah ka kik nawn mai ding, a chi a.
24"Pepo mchafu akifukuzwa kwa mtu fulani, huzururazurura jangwani akitafuta mahali pa kupumzikia. Asipopata, hujisemea: Nitarudi kwenye makao yangu nilikotoka.
25Huan, a va tunin phiat sianga zephoihin a mu a.
25Anaporudi, huikuta ile nyumba imefagiwa na kupambwa.
26Huai takin a vapaia, amah sanga gilou jaw dawi dang sagih a honpi a, huaiah a lut ua, a om gige uh; huai mihing tuh a omdan nanung a masa sangin a honghoih keizo tham hi, a chi a.
26Basi, huenda na kuwachukua pepo wengine saba waovu zaidi kuliko yeye; wote huenda na kumwingia mtu yule. Hivyo, basi hali ya mtu huyo sasa huwa mbaya zaidi kuliko pale mwanzo."
27Huan, hichi ahi a, huai thute a genlaiin, mipi lakah numei khat a kikou khia a, a kiangah, Nang honpai gil a hampha e, na nawi tep toh, a chi a.
27Alipokuwa akisema hayo, mwanamke mmoja katika lile kundi la watu, akasema kwa sauti kubwa: "Heri tumbo lililokuzaa, na maziwa yaliyokunyonyesha!"
28Aman bel, A hi, himahleh Pathian thu jaa juite mi hampha ahi jaw uh a chi a.
28Lakini Yesu akasema, "Lakini heri zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika."
29Huan, mipite a kiangah hongkikhop lai un, Jesun, Tulai khangthakte jaw khangthak gilou ahi uh; chiamtehna a zong ua; himahleh Jona chiamtehna chih louh a kiang uah chiamtehna himhim piak ahi kei ding.
29Umati wa watu ulipozidi kuongezeka, Yesu akawaambia, "Kizazi hiki ni kizazi kiovu. Kinataka ishara, lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ile ya Yona.
30Jona tuh Ninevi khuaa mite adia chiamtehna a na hih bangin, Mihing Tapa leng tulai khangthakte din chiamtehna a honghi ding.
30Jinsi Yona alivyokuwa ishara kwa watu wa Ninewi, ndivyo pia Mwana wa Mtu atakavyokuwa ishara kwa kizazi hiki.
31Thukhenni chiangin, Simlam kumpinu tulai khangthakte kiangah a ding sam dia, siamlouh a tang sak ding; Solomon pilna ngaikhe dingin bawn kawl mong a kipan a hong ngala; ngai un, Solomon sanga thupi jaw hiai ah a om ahi.
31Malkia wa kusini atatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa, naye atashuhudia kwamba kina hatia. Yeye alisafiri kutoka mbali, akaja kusikiliza maneno ya hekima ya Solomoni; kumbe hapa pana mkuu zaidi kuliko Solomoni.
32Thukhenni chiangin, Ninevi khuaa mite tulai khangthakte kiangah a ding sam ding ua, siamlouh a tang sak ding uh, Jona thu hilh jiakin a kisik ngal ua; ngai un, Jona sanga thupijaw hiai ah a om ahi.
32Watu wa Ninewi watatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa, na watashuhudia kwamba kizazi hiki kina hatia. Hao watu wa Ninewi walitubu kwa sababu ya mahubiri ya Yona; na hapa pana mkuu zaidi kuliko Yona!
33Kuamahin khawnvak a det un in nuai tawngah a koih ngei kei uh, loh nuaiah a koih ngei sam kei uh, alut miten a vak a muh theihna ding uah a koihna ah a koih jel uh.
33"Hakuna mtu anayewasha taa na kuifunika kwa pishi, bali huiweka juu ya kinara ili watu wanaoingia ndani wapate kuona mwanga.
34Na sapum khawnvak tuh na mit ahi; na mit a chim leh na sapum leng a vekin a vak suak nak hi; a chim keileh bel na sapum leng a mial vek nak hi.
34Jicho lako ni kama taa ya mwili wako; likiwa zima, mwili wako wote utakuwa katika mwanga. Jicho lako likiwa bovu, na mwili wako pia utakuwa katika giza.
35Huchiin, na sunga vak om tuh mial a nahi kha ding e pilvangin.
35Uwe mwangalifu basi mwanga ulio ndani yako usije ukawa giza.
36Huchiin, na sapum koi laipeuh mial lou a a veka a vak khiak leh, khawnvak vak petpetin a tatvak bangin a vak khe vek ding, a chi a.
36Basi, kama mwili wako wote una mwanga, bila kuwa na sehemu yoyote yenye giza, mwili huo utang'aa kikamilifu kama vile taa inavyokuangazia kwa mwanga wake."
37Huan, a gen laiin Pharisai khatin amah a kianga an ne dingin achiala; huchiin, a luta an a ne a.
37Yesu alipokuwa akiongea, Mfarisayo mmoja alimkaribisha chakula nyumbani kwake, naye akaenda, akaketi kula chakula.
38Huan, Pharisaiin a an um a muhin, an nek maa a sil louh tuh lamdang a sa mahmah a.
38Huyo Mfarisayo alistaajabu kuona kwamba alikula chakula bila kunawa.
39Huan, Toupan, akiangah, Nou Pharisaiten nou leh kuang po lam na silsiang ngeitak ua; na sung lam ulah lepgukna leh gilouin a dim ngala.
39Bwana akamwambia, "Ninyi Mafarisayo huosha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa udhalimu na uovu.
40Mi haite aw, polam bawlpan sung lam leng a bawl ka hia?
40Wapumbavu ninyi! Je, aliyetengeneza nje si ndiye aliyetengeneza ndani pia?
41Himahleh, a sunga thil om tuh mi genthei kianga piak dingin zang un; huchiin, ngai un, nou adin bangkim siangthou khin ahi.
41Toeni kwa maskini vile vitu vilivyomo ndani, na vingine vyote vitakuwa halali kwenu.
42Nou Pharisaite aw, na tung uh a gik e: pudina, pardi leh anteh-louhing teng sawma khat na pia ua, diktatna leh Pathian itna na limsak ngal kei ua; himahleh huaite eive na hih ding uh, a dangte hih lou tuan lou in.
42"Lakini ole wenu Mafarisayo, kwa sababu mnatoza watu zaka hata juu ya majani ya kukolezea chakula, mchicha na majani mengine, na huku hamjali juu ya haki na upendo kwa Mungu. Mambo haya iliwapasa muwe mmeyazingatia bila kuyasahau yale mengine.
43Nou Pharisaite aw, na tung uh a gik e: kikhopna in ah tutphah hoihpente leh dawl muna chibai bukte na ngaisang uh.
43"Ole wenu ninyi Mafarisayo, kwa sababu mnapenda kuketi mbele mahali pa heshima katika masunagogi, na kusalimiwa kwa heshima hadharani.
44Na tung uh a gik hi: Han chih kithei lou, a tunga theiloua mi apai jelna bang uh, na hi uh, a chi a.
44Ole wenu, kwa sababu mko kama makaburi yaliyofichika; watu hutembea juu yake bila kufahamu."
45Huan, dantheimi khatin, a kiangah, Sinsakpa, hiai thu na gen tuh kou leng hontai na hi, a chi a, a dawng a.
45Mmoja wa walimu wa Sheria akamwambia, "Mwalimu, maneno yako yanatukashifu na sisi pia."
46Huan, aman, Dantheimite aw, nou leng na tung uh a gik: Puakgik, puak haksapipi mite na suan ua, nou lah tua puakgikte na khut zung khat un leng na khoih ngei ngal kei ua.
46Yesu akamjibu, "Na ninyi walimu wa Sheria, ole wenu; maana mnawatwika watu mizigo isiyochukulika, huku ninyi wenyewe hamnyoshi hata kidole kuwasaidia.
47Na tung uh a gik: Jawlneite han in khawng na lam ua, na pipute uh thah ahi ngal ua.
47Ole wenu, kwa kuwa mnajenga makaburi ya manabii wale ambao wazee wenu waliwaua.
48Huchiin na pipute uh thilhihte na theihpih un na hoihsakpih uh ahi; amau a that ua, nou a han inte uh na lam ngal ua.
48Kwa hiyo mnashuhudia na kukubaliana na matendo ya wazee wenu; maana wao waliwaua hao manabii, nanyi mnajenga makaburi yao.
49Huaijiakin, Pathian pilna inleng, A kiang uah jawlneite leh sawltakte ka sawl dia, a khen a that ding ua, a khen a sawi ding uh;
49Kwa hiyo, Hekima ya Mungu ilisema hivi: Nitawapelekea manabii na mitume, lakini watawaua baadhi yao, na kuwatesa wengine.
50jawlnei tengteng sisan, leilung piantung akipan a suah, tulai khangthakte tungah phu a lak theih ding a chih;
50Matokeo yake ni kwamba kizazi hiki kitaadhibiwa kwa sababu ya damu ya manabii wote iliyomwagika tangu mwanzo wa ulimwengu;
51Abel sisan suah akipan, Zakaria, maitam leh biakin kikala si sisan suah tannin; ahi, ka honhilh ahi, tulai khangthakte tungah phu a akila ding.
51tangu kumwagwa damu ya Abeli mpaka kifo cha Zakariya ambaye walimuua kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Naam, hakika kizazi hiki kitaadhibiwa kwa matendo haya.
52Nou dantheite aw, na tung uh a gik e: Pilna tabi na paimang pih ua; nou lah na lut ngal kei ua, mi lut ding lah na dal ngal ua, a chi a.
52"Ole wenu ninyi walimu wa Sheria, kwa sababu mmeuficha ule ufunguo wa mlango wa elimu; ninyi wenyewe hamkuingia na mmewazuia waliokuwa wanaingia wasiingie."
53Huan, huaia kipan apawtin, laigelhmite leh Pharisaiten amah a tawng ua, thu chiteng gen sak teitei tumin leh,a pau khelh zenzena mat tumin a tang gige uh.
53Alipokuwa akitoka pale, wale Mafarisayo na walimu wa Sheria wakaanza kumshambulia vikali na kumsonga kwa maswali mengi
54a pau khelh zenzena mat tumin a tang gige uh.
54ili wapate kumnasa kwa maneno yake.