1Huchih laia mipi sang tampi kiphumuimui zou hiala hongkikhop un, Jesun a masapenin a nungjuite kiangah, Pharisaite silngou, lepchiahna lakah pilvang un,
1Wakati watu kwa maelfu walipokuwa wamekusanyika hata wakawa wanakanyagana, Yesu aliwaambia kwanza wanafunzi wake, "Jihadharini na chachu ya Mafarisayo, yaani unafiki.
2Lang lou dinga selguk bangmah a om ngal keia; theih louh dinga im leng bangmah a om sam kei.
2Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa.
3Huaijiakin miala na gen peuh uh vaka jakin a om ding; dantan sunggila bil bula na thu gen uh intungvuma tangkoupihin a om ding.
3Kwa hiyo, kila mliyosema gizani, watu watayasikia katika mwanga, na kila mliyonong'ona faraghani milango imefungwa, yatatangazwa juu ya nyumba.
4Huan, ka lawmte aw, ka honhilh ahi, Sapum hihlum a, huai nunga bangmah dang hihnawn theiloute jaw, kihta kei un,
4"Nawaambieni ninyi rafiki zangu: msiwaogope wale wanaoua mwili, wasiweze kufanya kitu kingine zaidi.
5Ahihhangin kua ahia na kihtak ding uh ka honhilh khol ahi; a hihlup nunga leng Gihennaa paih theihna thu neipa kihta un.
5Nitawaonyesheni yule ambaye ni lazima kumwogopa: mwogopeni yule ambaye baada ya kuua ana uwezo wa kumtupa mtu katika moto wa Jehanamu. Naam, ninawaambieni, mwogopeni huyo.
6Kawlgit nga dal dangka nihin a juak sek kei ua hia? Himahleh, a lak ua khat leng Pathianin a mangngilh ngei ngal keia.
6Inajulikana kwamba shomoro watano huuzwa kwa senti kumi, au sivyo? Lakini mbele ya Mungu hasahauliki hata mmoja.
7Na lu ua samzangte nangawn leng sim vek ahi uh. Lau kei un; kawlgit tampi sangin na manpha jaw uhi.
7Lakini hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. Msiogope, basi, ninyi mna thamani zaidi kuliko shomoro wengi!
8Huan ka honhilh ahi, Mite maa hon gum peuhmah Pathian angelte maah Mihing Tapain a gum sam ding a.
8"Nawaambieni kweli, kila mtu anayekiri hadharani kwamba yeye ni wangu, Mwana wa Mtu naye atakiri mbele ya malaika wa Mungu kwamba mtu huyo ni wake.
9Himahleh mite maa honkitheihmoh bawl peuhmah Pathian angelte maah kitheihmoh bawl a hisam ding.
9Lakini, mtu yeyote anayenikana mbele ya watu, naye atakanwa mbele ya malaika wa Mungu.
10Huan, Mihing Tapa kalha thugen peuhmah a genkalhna uh ngaihdam sak ahi ding a; himahleh Kha Siangthou hilhial gensia tuh a gensiatna ngaihdam sak ahi kei ding.
10"Yeyote anayesema neno la kumpinga Mwana wa Mtu atasamehewa; lakini anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa.
11Huan, kikhopna in a mite, vaihawmte, heutute maa a honpi hun chiangun, Bang chiin, bang thuin ka dawng dia, bang thu ka gen dia chiin lungkham kei un;
11"Watakapowapeleka ninyi mbele ya masunagogi na mbele ya wakuu na watawala msiwe na wasiwasi juu ya jinsi mtakavyojitetea au jinsi mtakavyosema.
12huchih huntakin, bang ahia na gen ding uh, Kha Siangthouin a honhilh ding hi, a chi a.
12Kwa maana wakati huo Roho Mtakatifu atawafundisheni kile mnachopaswa kusema."
13Mipi laka khatin, Jesu kiangah, Sinsakpa, ka u kiangah gou honhawm sam dingin hilh in, a chi a.
13Mtu mmoja katika ule umati wa watu akamwambia, "Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane urithi aliotuachia baba."
14Himahleh, aman, a kiangah, Mihing, noumau tungah kuan ahia kei thukhenpa hiam tanseppa hiam a honbawl? a chi a.
14Yesu akamjibu, "Rafiki, ni nani aliyeniweka mimi mwamuzi au msuluhishi kati yenu?"
15Huan, a kiang uah, Pilvang unla, enna himhim lakah kiveng un; hauhna mihing dam san ahi kei hi, a chi a.
15Basi, akawaambia wote, "Jihadharini na kila aina ya tamaa; maana uzima wa mtu hautegemei wingi wa vitu alivyo navyo."
16Huan, a kiang uah gentehna thu a gen a, Mi hau kuahiam a hongpung mahmah a,
16Kisha akawaambia mfano: "Kulikuwa na tajiri mmoja ambaye shamba lake lilizaa mavuno mengi.
17huchiin a kingaihtuah a, Bangchi bangin ka hih de aw? Ka buh leh bal koih khawmna ka nei ngal kei a.
17Tajiri huyo akafikiri moyoni mwake: Nitafanyaje nami sina mahali pa kuhifadhia mavuno yangu?
18Huan, Hichi bang in ka hih ding e; ka buhin te ka phel dinga, a sanga lianin ka lam dia, huai ah tuh ka buh leh ka van tengteng ka koih khawm ding.
18Nitafanya hivi: nitabomoa ghala zangu na kujenga kubwa zaidi, na humo nitahifadhi mavuno yangu yote na mali yangu.
19Huan, ka kha kiangah, Kha, kum tampi sunga ding tampi na khol a; khawl inla, nein dawn inla, nuam takin omin, ka chi ding, a chi a.
19Hapo nitaweza kuiambia roho yangu: sasa unayo akiba ya matumizi kwa miaka na miaka. Ponda mali, ule, unywe na kufurahi.
20A hihhangin, Pathianin a kiangah, Nang mihai, tu jan chiah na kha a honlak sak ding uh, huai nalam khiakte, kuaa ahi ta dia?
20Lakini Mungu akamwambia: Mpumbavu wewe; leo usiku roho yako itachukuliwa. Na vitu vile vyote ulivyojilundikia vitakuwa vya nani?"
21Amau adinga gou khola, Pathian lama haulou tuh huchi ahi nak uh, a chi a.
21Yesu akamaliza kwa kusema "Ndivyo ilivyo kwa mtu anayejilundikia mali kwa ajili yake mwenyewe, lakini si tajiri mbele ya Mungu."
22Huan, a nungjuite kiangah, Huaijiakin ka honhilh ahi, Bang ka ne diam aw? Chiin, na hinna thu uh leh, Bang ka silhin ka teng diam aw? Chiin, na sapum thu uh lunghimoh kei un.
22Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Kwa sababu hiyo nawaambieni, msiwe na wasiwasi juu ya chakula mnachohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi mnayohitaji kwa ajili ya miili yenu.
23Nek ding sangin hinna a thupi jaw hi, puansilh sangin leng sapum a thupi jaw ahi.
23Kwa sababu uzima ni bora kuliko chakula, na mwili ni bora kuliko mavazi.
24Vaakte khawng ngaihtuah dih uh, buh a tuh kei ua, a at samkei uh; pang bang, buh in bang leng a neikei uh; himahleh Pathianin amau a vak ngala; nou tuh vasate sanga na manphat jawk dan uh.
24Chukueni kwa mfano, kunguru: hawapandi, hawavuni wala hawana ghala yoyote. Hata hivyo, Mungu huwalisha. Ninyi mna thamani zaidi kuliko ndege!
25Huan, nou lakah lunghimoh jiaka kuain ahia amah dunglam tong khata hihsang thei tuan?
25Ni nani kati yenu kwa kuwa na wasiwasi anaweza kuongeza urefu wa maisha yake?
26Hiai lel leng hih theiloute bangin, bang dia thil dang lunghimoh nak na hi ua?
26Basi, kama hamwezi kufanya jambo dogo kama hilo, kwa nini kuwa na wasiwasi juu ya yale mengine?
27Lilite khandan ngaihtuah dih uh; na a sem kei ua, khau leng a khek kei uh; himahleh, ka honhilh ahi, Solomon hial leng a thupina tengtenga a kizepin, hiai lilite laka khat banga zepin a om kei.
27Angalieni maua jinsi yanavyomea. Hayafanyi kazi wala hayafumi. Hata hivyo, nawahakikishieni kwamba hata Solomoni mwenyewe na fahari zake zote hakupata kuvikwa vizuri kama ua mojawapo.
28Huchiin, gama loupa, tuni banga hinga, a jinga thuka khul nawn mai ding bawn, Pathianin hichi tela a zep leh, aw, nou mi gin tawmte aw, huai sangin puansilh honpe zo natel inchia:
28Lakini, kama Mungu hulivika vizuri jani la shambani ambalo leo liko na kesho latupwa motoni, je, hatawafanyia ninyi zaidi? Enyi watu wenye imani haba!
29Huan, na nek ding uh, na dawn ding uh, zong kei un; ginlahna lungsim neiin leng om sam kei un.
29"Basi, msivurugike akili, mkihangaika daima juu ya mtakachokula au mtakachokunywa.
30Khovela namten huai thil tengteng a zong uh; huai bang na kiphamoh uh chih na Pa un a thei gige ngala.
30Kwa maana hayo yote ndiyo yanayohangaikiwa na watu wasiomjua Mungu. Baba yenu anajua kwamba mnahitaji vitu hivyo.
31Amah gam zong jaw un, huchiin huai thilte leng a honpiak behlap ding ahi.
31Shughulikieni kwanza Ufalme wa Mungu, na hayo yote mtapewa kwa ziada.
32Pawl tawmte aw, lau kei un; nou kianga gam piak ding tuh na Pa uh kipah lamtak ahi.
32"Msiogope, enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni Ufalme.
33Na neih peuh uh juak unla, mi gentheite kiangah pia un; vanah guta hohlouhna ah, leikha neksiat louh na ah, dangka ip lui theiloute, gou bei theiloute kibawl un.
33Uzeni mali yenu mkawape maskini misaada. Jifanyieni mifuko isiyochakaa, na jiwekeeni hazina mbinguni ambako haitapungua. Huko wezi hawakaribii, wala nondo hawaharibu.
34Na gou omna peuh ua na lungtang uleng a om ding jiakin.
34Pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.
35Na kawng uh gak unla, na khawnvak uh leng de sain om un;
35"Muwe tayari! Jifungeni mkanda kiunoni, na taa zenu ziwe zinawaka;
36min a pu uh kitenna ankuang luina akipana a hongpai chianga, kongkhak a honkiuh taka, na nahonthei pah dinga a na ngak nilouh bangun, om un.
36muwe kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka arusini, ili wamfungulie mara atakapobisha hodi.
37A pu uh a hongpai chiangin sikha na ngak nilouha a muhte a hampha uhi; chihtaktakin ka honhilh ahi, Aman a kawng a gak dia, amau tuh an um dingin a tu sakdinga, ana uh a sep sakding.
37Heri yao watumishi wale ambao bwana wao atakaporudi atawakuta wanakesha! Nawaambieni hakika, huyo bwana atajifunga mkanda kiunoni, atawaketisha mezani na kuwahudumia.
38Jan laiin hiam, thoh hunin hiam a honga, huchi banga a honmuh, huai sikhate tuh a hampha uh.
38Heri yao watumishi hao ikiwa bwana wao atawakuta wanakesha hata ikiwa atarudi usiku wa manane au alfajiri.
39A hihhangin, hiai thei un, guta a hongpai ding inneipan thei leh, a vengdia, a in a phen vang sak kei ding.
39Jueni kwamba, kama mwenye nyumba angejua saa ambayo mwizi atakuja, angekesha, wala hangeiacha nyumba yake ivunjwe.
40Nou leng mansa in om un, na gintak louhlai tak un Mihing Tapa hongpai ding ahi ngala, a chi a.
40Nanyi, kadhalika muwe tayari, maana Mwana wa Mtu atakuja saa msiyoitazamia."
41Huan, Peterin, Toupa, hiai gentehna thu koumau kia hia non hilh, mi tengteng? achi a.
41Petro akamwambia, "Bwana, mfano huo ni kwa ajili yetu tu, au ni kwa ajili ya watu wote?"
42Huan, Toupan, sumkempa ginom, piltak, a puin a hun teng a a tan ding uh hawm sak dinga a inkuanpihte tunga heutua a bawl ding tuh kuapen ahi dia le?
42Bwana akajibu, "Ni nani basi, mtumishi aliye mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka juu ya watumishi wake ili awape chakula wakati ufaao?
43A pu a hongpai chiangin sikha huchibanga hih a hon muhdingpa tuh a hampha.
43Heri yake mtumishi huyo ikiwa bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.
44Diktakin ka honhilh ahi, a neih tengteng tunga heutu dingin a bawl ding.
44Hakika atampa madaraka juu ya mali yake yote.
45Ahihhangin huai sikhain, a lungtangin, Ka pu a hong zok kei ding e, chiin, a sikhanu, a sikhapa, na vo ta leh, nein dawnin na nakham leh.
45Lakini, kama mtumishi huyo atafikiri moyoni mwake: na kusema: Bwana wangu amekawia sana kurudi halafu aanze kuwapiga watumishi wenzake, wa kiume au wa kike, na kula, kunywa na kulewa,
46huai sikha pu tuh, a gin louh niin, a theih louh laiin, a hong dinga, tum nih a honsuah dinga, mi ginom loute tan bang a tangsak ding hi.
46bwana wake atarudi siku asiyoitazamia na saa asiyoijua; atamkatilia mbali na kumweka fungu moja na wasioamini.
47Sikha a pu deihlam theigige na pia na nakiging tuan lou-a, a pu deihlama leng gamta loupan nakpitaka vuak a tuak ding.
47Mtumishi ambaye anajua matakwa ya bwana wake lakini hajiweki tayari kufanya anavyotakiwa, atapigwa sana.
48A hihhangin, theiloupi-a vuakna thama gamtapan awlchika vuak a tuak ding. Tampi piaka ommi peuhmah kiangah tampi phutin om ding; tampi a kepsakpa uh kiangah a tamsem a phut ding uh.
48Lakini yule afanyaye yanayostahili adhabu bila kujua, atapigwa kidogo. Aliyepewa vingi atatakiwa vingi; aliyekabidhiwa vingi zaidi atatakiwa kutoa vingi zaidi.
49Khovela mei khe suk dinga hongpai ka hi; tu inleng kang pah leh china tel ing e!
49"Nimekuja kuwasha moto duniani, laiti ungekuwa umewaka tayari!
50Himahleh, baptisma tan ding ka nei, huai hihtangtun mateng tuh ka om nuam lou hina mahmah tel e:
50Ninao ubatizo ambao inanipasa niupokee; jinsi gani ninavyohangaika mpaka ukamilike!
51Khovela lem leng sak dinga hongpai hiam honsa nahi umaw? Hi dek lou, ka honhilh ahi, kidou leng sak dinga hongpai ka hi jaw.
51Mnadhani nimekuja kuleta amani duniani? Hata kidogo; si amani bali utengano.
52Tunung chiangin inkuan khat ah mi nga a kidou ding uh, thumin nih, nihin thum.
52Na tangu sasa, jamaa ya watu watano itagawanyika; watatu dhidi ya wawili, na wawili dhidi ya watatu.
53A kidou dingua, pain a tapa, a tapain a pa; a nuin a tanu, a tanuin a nu; a piin a mou, a mouin a pi, a chi a.
53Baba atakuwa dhidi ya mwanawe, mwana dhidi ya baba yake; mama dhidi ya bintiye, binti dhidi ya mama yake; mama mkwe dhidi ya mke wa mwanawe na huyo dhidi ya mama mkwe wake."
54Huan, mipi kiangah leng, Tumlama mei kai na muh uleh, vuah a zu ding, na chi pahngal ua; huan a hongzu ngei jela.
54Yesu akayaambia tena makundi ya watu, "Mnapoona mawingu yakitokea upande wa magharibi, mara mwasema: Mvua itanyesha, na kweli hunyesha.
55Huan, sim huih nung na muh chiang un, Khua lum ding ei ve, na chi uh, huan, a honglum ngei jela.
55Mnapoona upepo wa kusi unavuma, mwasema Kutakuwa na hali ya joto na ndivyo inavyokuwa.
56Nou lepchiah te aw, khovel leh van omdan leng na genchian thei ngal ua, bangchia tulai hun gen chian siam lou na hi ua?
56Enyi wanafiki! Mnajua kutabiri hali ya hewa kwa kuangalia dunia na anga; kwa nini basi, hamwezi kujua maana ya nyakati hizi?
57Bang achia noumauin thu adik kikhen lou na hi ua?
57"Na kwa nini hamwezi kujiamulia wenyewe jambo jema la kufanya?
58Honhekpa toh thukhenpa kiang na zot laiun, lampi ah kilep theihna khat zong teitei in; huchilouin jaw thukhenpa mai ah honkai lut dinga, thukhenpan miman heutu honmansak dinga. Miman heutupan suangkulh ah honkhum kha ding.Ka honhilh ahi, paihsasan khat nangawn na piak kim masiah, huai akipan na pawt kei hilhial ding, a chi a.
58Maana kama mshtaki wako anakupeleka mahakamani, ingekuwa afadhali kwako kupatana naye mkiwa bado njiani, ili asije akakupeleka mbele ya hakimu, naye hakimu akakutoa kwa polisi, nao wakakutia ndani.
59Ka honhilh ahi, paihsasan khat nangawn na piak kim masiah, huai akipan na pawt kei hilhial ding, a chi a.
59Hakika hutatoka huko nakwambia, mpaka utakapomaliza kulipa senti ya mwisho."