Paite

Swahili: New Testament

Luke

13

1Huan, huchih lai takin, kuate hiam a na-om ua, huaiten, Galili gama Pilatin a sisan uh a Pathian biakna sa gohte laka a hel sakte tungtang Jesu a hilh ua.
1Wakati huo watu fulani walikuja, wakamweleza Yesu juu ya watu wa Galilaya ambao Pilato alikuwa amewaua wakati walipokuwa wanachinja wanyama wao wa tambiko.
2Huan, aman a kiang uah, Huai Galili gamete huchibang thil a thuak jiak un Galili gama tengteng sangin mi gilou tuan hi un na gingta ua hia?
2Naye Yesu akawaambia, "Mnadhani Wagalilaya hao walikuwa wahalifu zaidi kuliko Wagalilaya wengine, ati kwa sababu wameteseka hivyo?
3Hi lou e, ka honhilh ahi, nou leng na kisik kei uleh huchi bangmahin na mangthang vek dinguh.
3Nawaambieni hakika sivyo; lakini nanyi, hali kadhalika, msipotubu, mtaangamia kama wao.
4Huan, Siloam insangin mi sawm leh giat a delhlupte leng, Jerusalem khuaa omte tengteng sangin mi gilou tuan hi un na gingta ua hia?
4Au wale kumi na wanane walioangukiwa na mnara kule Siloamu wakafa; mnadhani wao walikuwa wakosefu zaidi kuliko wengine wote walioishi Yerusalemu?
5Hilou e, ka hon hilh ahi, nou leng na kisik kei uleh huchibang mahin na mangthang vek ding uh, a chi a, a dawnga.
5Nawaambieni sivyo; lakini nanyi msipotubu, mtaangamia kama wao."
6Huan, hiai gentehna thu a gena; Kuahiamin a grep huanah theipi suan khat anei a: huan, a kungah a gah a hongzonga, khat leng amu kei a.
6Kisha, Yesu akawaambia mfano huu: "Mtu mmoja alikuwa na mtini katika shamba lake. Mtu huyu akaenda akitaka kuchuma matunda yake, lakini akaukuta haujazaa hata tunda moja.
7Huchiin, grep gui kemmi kiangah, Ngai in, kum thum sung hiai thei kung ah a gah ka va zong jela, khatleng ka mu kei; phuk in; bangdia mun dala om nilouh ahia? a chi a.
7Basi, akamwambia mfanyakazi wake: Angalia! Kwa miaka mitatu nimekuwa nikija kuchuma matunda ya mtini huu, nami nisiambulie kitu. Ukate! Kwa nini uitumie ardhi bure?
8Huan, aman, a kiangah, Toupa, tukum bek om henla, a kimin ka tou dinga, ekin ka phungvuh tadih dia;
8Lakini naye akamjibu: Bwana, tuuache tena mwaka huu; nitauzungushia mtaro na kuutilia mbolea.
9huainunga a gah leh ahoih ding, a gah kei leh phuk mai in, achia.
9Kama ukizaa matunda mwaka ujao, vema; la sivyo, basi utaweza kuukata."
10Huan khawl niin aman kikhopnain khat ah thu a hilh a.
10Yesu alikuwa akifundisha katika sunagogi moja siku ya Sabato.
11Huan, ngai in, kum sawm leh kum giat hatlouhna dawi mat numei khat a oma; huai mi tuh a kun kheukheu a, amah thuin a ding tang theikei hiala.
11Na hapo palikuwa na mwanamke mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa miaka kumi na minane kutokana na pepo aliyekuwa amempagaa. Kwa sababu hiyo, mwili wake ulikuwa umepindika vibaya hata asiweze kusimama wima.
12Huan, Jesun amah a muh takin a sama, akiangah, Numei, na hatlouhnain a honkhahta, a chi a.
12Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, "Mama, umeponywa ugonjwa wako."
13Huan, atungah a khut a koiha; huchiin, thakhatin a tangpah ngala, Pathian a phatta a.
13Akamwekea mikono, na mara mwili wake ukawa wima tena, akawa anamtukuza Mungu.
14Huan, Jesun Khawlnia mi a hihdam jiakin kikhopna in heutu a heha, mipi a houpiha, a kiang uah, Mihing na sepna ding ni guk a om vo oi; huai sungin, kihihdam un, Khawlniin hi louin, a chi a.
14Lakini mkuu wa sunagogi alikasirika kwa sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato. Hivyo akawaambia wale watu walikusanyika pale, "Mnazo siku sita za kufanya kazi. Basi, fikeni siku hizo mkaponywe magonjwa yenu; lakini msije siku ya Sabato."
15Toupan a kiangah, Nou lepchiahte aw, Khawlniin na bawng u hiam na sabengtung uhiam a an neknaa kipan phelin, tui dawndingin na pi khe chiat jel uh hi lou hia?
15Hapo Bwana akamjibu, "Enyi wanafiki! Nani kati yenu hangemfungua ng'ombe au punda wake kutoka zizini ampeleke kunywa maji, hata kama siku hiyo ni ya Sabato?
16Hiai numei, Abraham tanu ahi ngala, ngai un, Setanin kum sawm leh kum giat a mana, Khawlniin leng hiai gak tuh phel sak louh dan ahia hia? a chi a, a donga.
16Sasa, hapa yupo binti wa Abrahamu ambaye Shetani alimfanya kilema kwa muda wa miaka kumi na minane. Je, haikuwa vizuri kumfungulia vifungo vyake siku ya Sabato?"
17Huai thute a gen laiin a melmate tengteng a zum ua; mipi bel a thil thupi hih tengteng jiakin a kipak uh.
17Alipokwisha sema hayo, wapinzani wake waliona aibu lakini watu wengine wote wakajaa furaha kwa sababu ya mambo yote aliyotenda.
18Huchiin, aman, Pathian gam bang ahia? bang toh leng ka teh dia?
18Yesu akauliza: "Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini?
19Ankam chi tangkhat min a laka, a huana a theh bang ahi, huai tuh a hongpou a, sing a honghi a, tungleng vasate khawng ahiangah a giak uh, a chi a.
19NI kama mbegu ya haradali aliyotwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake; ikaota hata ikawa mti. Ndege wa angani wakajenga viota vyao katika matawi yake."
20Huan, Pathian gam bang toh ka the dia? a chi nawna.
20Tena akauliza: "Nitaulinganisha Ufalme wa Mungu na nini?
21Silngou numeiin a laka, anbuang tehna thum laka a veka a thoh mateng a phumbang ahi, a chi a.
21Ni kama chachu aliyoitwaa mama mmoja na kuichanganya pamoja na unga debe moja kisha unga wote ukaumuka wote."
22Huan, aman thuhilh kawm jelin, Jerusalem kho lam naihin kholian leh kho neute a tawn jela.
22Yesu alindelea na safari yake kwenda Yerusalemu huku akipitia mijini na vijijini, akihubiri.
23Huan, kuahiamin, a kiangah, Hotdamte tawm chik ahi ding u maw? a chi a.
23Mtu mmoja akamwuliza, "Je, Mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?"
24Huan, aman, a kiang uah, kong kochik ah lut tum teitei un; ka honhilh ahi, mi tampiin lut a tum ding ua, a lut thei ngal kei ding uh.
24Yesu akawaambia, "Jitahidini kuingia kwa kupitia mlango mwembamba; maana nawaambieni, wengi watajaribu kuingia lakini hawataweza.
25In neipa a thoha, kong a khak nungin, nou a puaa dingin, Toupa, kong honhonsak in, chiin kongkhak non kiuh chiang un, aman, Koi lam mi na hi ua, honthei lou ka hi, chiin, nou a hondawng dinga;
25"Wakati utakuja ambapo mwenye nyumba atainuka na kufunga mlango. Ninyi mtasimama nje na kuanza kupiga hodi mkisema: Bwana, tufungulie mlango. Lakini yeye atawajibu: Sijui mmetoka wapi.
26huai hun chiangin, nou, Na muhin kane ua, ka dawn ve ua oi, ka kongzing uah leng thu na hilh jel vo oi, na chi ding uh.
26Nanyi mtaanza kumwambia: Sisi ndio wale tuliokula na kunywa pamoja nawe; na wewe ulifundisha katika vijiji vyetu.
27Huan, aman, Ka honhilh ahi, Koi lam mi na hi ua, ka hon theikei; nou thil gilou hihtengtengte aw, ka kianga pat pai mang vek un, a honchi ding.
27Lakini yeye atasema: Sijui ninyi mmetoka wapi; ondokeni mbele yangu, enyi nyote watenda maovu.
28Abraham, Isaak, Jakob leh jawlnei tengteng Pathian gam, sunga om na muh ua, nou po lama delhkhiak na hih uh na kitheih chiangun, na kap ding ua, ha na gawi ding uh.
28Ndipo mtakuwa na kulia na kusaga meno, wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka na Yakobo, na manabii wote wapo katika Ufalme wa Mungu, lakini ninyi wenyewe mmetupwa nje!
29Huan, suahlam leh tumlam, sim leh mal akipanin mite hongpai ding ua, Pathian gamah nein a dawn ding uh.
29Watu watakuja kutoka mashariki na magharibi, kutoka kaskazini na kusini, watakuja na kukaa kwenye karamu katika Ufalme wa Mungu.
30Huan, ngai un, nanungpente leng masapena om ding a om ua, masapente leng nanungpena om ding a om uh, a chi a.
30Naam, wale walio wa mwisho watakuwa wa kwanza; na wale walio wa kwanza watakuwa wa mwisho."
31Huai laitakin Pharisai kuate hiam a hongpai ua, a kiangah, Pawt inla, hiaia kipan pai mang in: Herodin honhihlup ut mahmah ahi, a chi ua.
31Wakati huohuo, Mafarisayo na watu wengine walimwendea Yesu wakamwambia, "Ondoka hapa uende mahali pengine, kwa maana Herode anataka kukuua."
32Huan, aman, a kiang uah, Huai sehal kiangah hiai thu vagen un: Ngai in, tuni toh, jingchiang toh dawite ka delhkhe dia, natnate leng ka hihdam dia a ni thum niin ka zou ding.
32Yesu akawajibu, "Nendeni mkamwambie huyo mbweha hivi: Leo na kesho ninafukuza pepo na kuponya wagonjwa, na siku ya tatu nitakamilisha kazi yangu.
33Abangabang hitaleh, tuni toh, jingchiang toh, a ni thumni toh ka pai jel ding ahi; Jerusalem kho po lamah jawlnei sih theih hilou ahi.
33Hata hivyo, kwa leo, kesho na kesho kutwa, ni lazima niendelee na safari yangu, kwa sababu si sawa nabii auawe nje ya Yerusalemu.
34Aw Jerusalem, Jerusalem: jawlneite that, na kianga honsawlte uh suanga na deng lum: akpiin a noute a kha nuaia a op khawmbangin na tate bangzah vei op khawm ka tum a? Himahleh na ut kei.En in, na in a vuaka taisanin a om. Huan, Ka honhilh ahi, Toupa mina hongpai a hampha, na chih ma siah non mu kei ding, a chi a.
34"Yerusalemu! We Yerusalemu! Unawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwako! Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wako pamoja kama kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mabawa yake, Lakini wewe umekataa.
35En in, na in a vuaka taisanin a om. Huan, Ka honhilh ahi, Toupa mina hongpai a hampha, na chih ma siah non mu kei ding, a chi a.
35Haya, utaachiwa mwenyewe nyumba yako. Naam, hakika nawaambieni, hamtaniona mpaka wakati utakapofika mseme: Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana."