1Huan, Jesun a nungjuite kiangah hiai thu leng a gena: Mi sumhau kuahiamin sumkemmi a neia; huai min tuh a sum a zat bei sak mawkmawk thu ah a kiangah a hek ua
1Yesu aliwaambia wanafunzi wake: "Tajiri mmoja alikuwa na karani wake. Huyu karani alichongewa kwamba alitumia ovyo mali ya tajiri wake.
2Huchiin, aman amah a sama, a kiangah, Na tungtang thu ka jak bangchi ahia? Na sum kepthu hon pelut in; tuban siah sum kem in na pang thei nawn kei ding, a chi a.
2Yule tajiri akamwita akamwambia: Ni mambo gani haya ninayosikia juu yako? Toa hesabu ya mapato na matumizi ya mali yangu, kwa maana huwezi kuwa karani tena.
3Huan, sumkempan, a lungsimin, Ka Toupan ka sumkep hontawp ding hi a, bangchin ka hih dia leh? lei toh lah ka ngap kei a, khutdoh lah ka zum ngala.
3Yule karani akafikiri: Bwana wangu amenifukuza kazi ya ukarani; nitafanya nini? Kwenda kulima siwezi; kwenda kuombaomba kama maskini ni aibu.
4Sumkep a hontawp hun chiangin a in ua honom sak dingin ka hihdingdan ka theita, a chi a.
4Naam, najua la kufanya, ili nitakapofukuzwa kazi, watu waweze kunikaribisha nyumbani kwao.
5Huchiin, a Toupa sum bate a sam chiata, masapen kiangah, Ka Toupa lakah bangzah na ba a? achia a.
5Basi, akawaita wadeni wa bwana wake, mmoja mmoja, akamwambia yule wa kwanza: Unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?
6Aman, Thau tehnadan za khat, achia a. Huan, aman, a kiangah, Na lai la inla tu meng inla, sawmnga gelh in, a chi a.
6Yeye akamjibu: Mapipa mia ya mafuta ya zeituni. Yule karani akamwambia: Chukua hati yako ya deni, keti haraka, andika hamsini.
7Huan mi dang kiangah, Nang bangzah na ba a? a chi a. Aman. Buh tehna dan za khat, a chi a. Huan, aman, a kiangah, Na lai la inla, sawmgiat gelhin, a chi a.
7Kisha akamwuliza mdeni mwingine: Wewe unadaiwa kiasi gani? Yeye akamjibu: Magunia mia ya ngano. Yule karani akamwambia: Chukua hati yako ya deni, andika themanini.
8Huan, a Toupan sumkempa diklou tuh a lemtheih jiakin a phat a; vak tate sangin hiai khovel tate a tulai thu ua a piljawk jiakun.
8"Basi, yule bwana akamsifu huyo karani asiye mwaminifu, kwa kuwa alitumia busara. Kwa maana watu wa dunia hii wana busara zaidi na mambo yao kuliko watu wa mwanga."
9Ka honhilh ahi, Sum lemin nou din lawmte bawl un, sum a bei hun chianga khantawna omnaa nou a honom sak na ding un.
9Naye Yesu akaendelea kusema, "Nami nawaambieni, jifanyieni marafiki kutokana na mali ya dunia, ili zitakapowaishieni, mweze kupokewa nao katika makao ya milele.
10Kuapeuh tawmchik tunga ginom lou tuh tampi tungah leng a ginom kei nak uhi.
10Yeyote aliye mwaminifu katika mambo madogo, atakuwa mwaminifu katika mambo makubwa; na yeyote asiye mwaminifu katika mambo madogo, hatakuwa mwaminifu katika mambo makubwa.
11Sum lem tunga bawn na ginom kei uleh, kuan ahia sum tak nou honkemsak ding?
11Kama basi, ninyi si hamjawa waaminifu mali mbaya za dunia, ni nani atakayewakabidhi zile mali za kweli?
12Mi danga tunga bawn na ginom kei un, noumaua kuain ahia honpe ding?
12Na kama hamjakuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewakabidhi mali yenu wenyewe?
13Sikha kuamahin heutu nih na a sem kop theikei, khat huain khat a deih ding, a hihkeileh, khat gumin khat a musit ding, Pathian leh sum na na sem kop theikei ding uh a chi a.
13"Hakuna mtumishi awezaye kuwatumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, au ataambatana na mmoja na kumdharau mwingine. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali."
14Huan, Pharisai sum deihmiten huai thu tengteng a ja ua, a nuih san uh.
14Lakini Mafarisayo waliposikia hayo, kwa vile wao walikuwa wanapenda sana fedha, wakamdharau Yesu.
15Huchiin, aman, a kianguah, Mi mitmuha kisiam tangsak na hi uh, himahleh, Pathianin na lungtang uh a thei a; mihing laka a pahtawi uh Pathian mitmuhin kihhuaipi ahi ngala.
15Hapo akawaambia, "Ninyi mnajifanya wema mbele ya watu, lakini Mungu anaijua mioyo yenu. Kwa maana kile kinachoonekana kuwa kitukufu mbele ya watu, Mungu anakiona kuwa takataka.
16Dan leh jawlneite thu Johan hong om tannin a oma; huainung siah Pathian gam Tanchin Hoih a gen ua, michih a pawnglut uhi.
16"Sheria na maandishi ya manabii vilikuweko mpaka wakati wa Yohane mbatizaji. Tangu hapo, Ufalme wa Mungu unahubiriwa, na kila mmoja anauingia kwa nguvu.
17Himahleh, dan thu sut vom neu chik leng a man sangin van leh khovel amanthat a baihlamjaw ahi.
17Lakini ni rahisi zaidi mbingu na dunia kupita, kuliko hata herufi moja ya Sheria kufutwa.
18Kuapeuh ji maa, zi dang nei tuh, angkawm ahi; kuapeuh mi ji maksa nei tuh angkawm ahi.
18"Yeyote anayemwacha mke wake na kuoa mwingine, anazini; na yeyote anayemwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.
19Huan, misumhau kuahiam a oma, puan sandup leh puan mal ngat a silha, nitengin nuamsa takin a om a.
19"Palikuwa na mtu mmoja tajiri, ambaye alikuwa anavaa mavazi ya bei kubwa sana ya rangi ya zambarau, na ya kitani safi, na kufanya sherehe kila siku.
20Huan, a min Lazar, khutdoh khat meimaa pumdim, a kongkhak bulah a lum a,
20Kulikuwa pia na maskini mmoja jina lake Lazaro, aliyekuwa amejaa vidonda na alikuwa analazwa mlangoni pa nyumba ya huyo tajiri.
21mi sumhau dohkana khatehnen kia khawng nek a lunggulh a; ui khawngten lah a meima a liah sak sak uh.
21Lazaro alitamani kula makombo yaliyoanguka kutoka meza ya tajiri; na zaidi ya hayo, mbwa walikuwa wanakuja na kulamba vidonda vyake!
22Huan, hichi ahia, khutdoh tuh a si a, angelten a paipih ua, Abraham angsungah a koih ua. Mi sumhau leng a sia, vuiin a omta a.
22"Ikatokea kwamba huyo maskini akafa, malaika wakamchukua, wakamweka karibu na Abrahamu. Na yule tajiri pia akafa, akazikwa.
23Huan, misi khua ah gim thuakin a oma, a dak tou a, gamla pia Abraham leh a angsunga Lazar om toh, a muta a.
23Huyo tajiri, alikuwa na mateso makali huko kuzimu, akainua macho yake, akamwona Abrahamu kwa mbali na Lazaro karibu naye.
24Huan, a kikou a, Pa Abraham, ka tungah zahngai inla, Lazar hon sawl in, a khut zungmuk tui ah diah henla, ka lei hihvotna din; hiai mei kuangah ka gim mahmah ahi, a chi a.
24Basi, akaita kwa sauti: Baba Abrahamu, nionee huruma; umtume Lazaro angalau achovye ncha ya kidole chake katika maji, auburudishe ulimi wangu, maana ninateseka mno katika moto huu.
25Himahleh, Abrahamin, Ka tapa, nang na damlaiin, na thil hoih na mu a, huchi mahbangin Lazarin thil hoihlou a muh thei tanla; himahlah tunah amah jaw hiai ah khamuang takin a oma, nang jaw gim nei ve.
25Lakini Abrahamu akamjibu: Kumbuka mwanangu, kwamba ulipokea mema yako katika maisha, naye Lazaro akapokea mabaya. Sasa lakini, yeye anatulizwa, nawe unateswa.
26Tua louleng, hiai akipana noukianga pai tumte tuh a pai theih louhna dingun leh, kuamah huaia kipana koukianga a hongkai theih louhna dingun, kou leh nou kikal ah guam thupi tak koihdenin a om hi, a chi a.
26Licha ya hayo, kati yetu na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wanaotaka kuja kwenu kutoka huku wasiweze, wala wanaotaka kutoka kwenu kuja kwetu wasiweze.
27Huan, aman, A hihleh, pa, amah ka pa in ah paisak ding bekin, ka honngen ahi;
27Huyo aliyekuwa tajiri akasema: Basi baba, nakuomba umtume aende nyumbani kwa baba yangu,
28sanggam pasal nga ka nei ngala; hiai gimna mun ah a hongpai kha ding uh, phatuamngaitakin vahilh leh, a chi a.
28maana ninao ndugu watano, ili awaonye wasije wakaja huku kwenye mateso.
29Abrahamin bel, Mosi leh jawlneite a neive ua oi; huai mite thu ngai le uh ake, a chi a
29Lakini Abrahamu akamwambia: Ndugu zako wanao Mose na manabii; waache wawasikilize hao.
30Huan, aman, Pa Abraham, hilou e; misi laka mi hilhial a kiang uah hoh zo leh a kisik ding uh, a chi a.Huan, aman, a kiangah, Mosi leh jawlneite thu a ngaih kei un jaw, misi laka mi thou nawn mahlehleng a taksang tuankei ding uh, a chi a, a chi a.
30Lakini yeye akasema: Sivyo baba Abrahamu, ila kama mtu atafufuka kutoka wafu na kuwaendea, watatubu.
31Huan, aman, a kiangah, Mosi leh jawlneite thu a ngaih kei un jaw, misi laka mi thou nawn mahlehleng a taksang tuankei ding uh, a chi a, a chi a.
31Naye Abrahamu akasema: Kama hawawasikilizi Mose na manabii, hawatajali hata kama mtu angefufuka kutoka wafu."