1Huan, Jesun, a nungjuite kiangah, Puknate omlou thei ahi kei; himahleh, pukna omsakpa tung a gik hi:
1Kisha, Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Haiwezekani kabisa kusitokee vikwazo vinavyosababisha dhambi; lakini ole wake mtu yule atakayevisababisha.
2Hiai mi neute laka khat leng hihpuk sangin, a hihpuk ding ngawngah buh gawi janna suang ok sakin, tuipi ah khiakin omleh, amah a dingin a hoihzo ding.
2Ingekuwa afadhali kwake kufungiwa shingoni jiwe kubwa la kusagia na kutoswa baharini, kuliko kumkwaza mmoja wa wadogo hawa.
3Pilvang un, na unauin thil a hih khelh leh taihilh in; a kisik leh, ngaidam in.
3Jihadharini! Kama ndugu yako akikukosea, mwonye; akitubu, msamehe.
4Ni khatin na tungah sagih vei thil hihkhialin sagih vei, ka kisik, chia, nang lama a hongkihei nawn leh, na ngaidam ding ahi, a chi a.
4Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema Nimetubu, lazima umsamehe."
5Huan, sawltakten, Toupa kiangah, Ka ginna uh khangsak in, a chi ua.
5Mitume wakamwambia Bwana, "Utuongezee imani."
6Huan, Toupan, Ankam tangkhat bang ginna na neih uleh, hiai singtheimukung kiangah, Na kibot inla, tuipi ah na kisuan in, na chi ding ua, na thu uh a mang mai ding.
6Naye Bwana akajibu, "Kama imani yenu ingekuwa ndogo hata kama chembe ndogo ya haradali, mngeweza kuuambia mti huu wa mkuyu: Ng'oka ukajipandikize baharini, nao ungewatii.
7Himahleh, nou lakah kuapeuhin lei letin hiam, belam chingin hiam sikha nei le uchinla, a hongvaipai takin, An honum pah aw, kua ahia nou lakah na chi ding?
7"Tuseme mmoja wenu ana mtumishi ambaye analima shambani au anachunga kondoo. Je, anaporudi kutoka shambani, atamwambia: Haraka, njoo ule chakula?
8Ka nek ding honbawl sak inla, puan teng inla, ka neka ka dawn zoh masiah ka nek bawl in; huai khit chiangin nang na nein na dawn nake, na lak ua kua ahia na chi zo lou ding?
8La! Atamwambia: Nitayarishie chakula, ujifunge tayari kunitumikia mpaka nitakapomaliza kula na kunywa, ndipo nawe ule na unywe.
9Na thu bang ua a hih jiakin na sikha kiang uah kipah thu na gen ngei u hia?
9Je utamshukuru huyo mtumishi kwa sababu ametimiza aliyoamriwa?
10Huchi mahbangin nouleng na kiang ua thupiak tengteng banga na hih nung un, Sikha phatuam lou ka hi uh; kahih ding him uh ahi ka hih uh, chi un, a chi a.
10Hali kadhalika na ninyi mkisha fanya yote mliyoamriwa, semeni: Sisi ni watumishi tusio na faida, tumetimiza tu yale tuliyotakiwa kufanya."
11Huan, hichi ahia, Jerusalem khuaa a pai sin lai in, Samari leh Galili gam a kheng a.
11Yesu akiwa safarini kwenda Yerusalemu alipitia mipakani mwa Samaria na Galilaya.
12Huan, koikhua hiama a lut dingin, mi phak ngenta, sawmin a nadawn ua, huaite tuh gamla takah a ding ua, huan, aw ngaihtakin,
12Alipokuwa anaingia katika kijiji kimoja, watu kumi wenye ukoma walikutana naye, wakasimama kwa mbali.
13Jesu, Heutupa, ka tunguah zahngai in, a chi ua.
13Wakapaza sauti wakisema, "Yesu Mwalimu, tuonee huruma!"
14Huan, aman amau a muhin, a kiang uah, Siampute kiangah vakilak un, a chi a. Huan, hichi ahia, a pai lai un a hongsiangthou chiat ua.
14Alipowaona akawaambia, "Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani." Basi, ikawa walipokuwa wanakwenda, wakatakasika.
15Huan, a lak ua khatin dam chih a kitheih takin, aw ngaihtaka Pathian phat kawmin a kik nawnta a;
15Mmoja wao alipoona kwamba ameponywa alirudi akimtukuza Mungu kwa sauti kubwa.
16huan, a khebul ah a khupboha, a kipahthu a gena; huai mi tuh Samari mi ahi a.
16Akajitupa chini mbele ya miguu ya Yesu huku akimshukuru. Huyo alikuwa Msamaria.
17Huchiin, Jesun a dawnga, Mi sawm hong siangta hilou na hi umaw? kuate koi ah?
17Hapo Yesu akasema, "Je, si watu kumi walitakaswa? Wale tisa wako wapi?
18Pathian phat dinga kik nawn, hiai theihlouhmi kia loungal kuamah muha om lou uhia? a chi a.
18Hakupatikana mwingine aliyerudi kumtukuza Mungu ila tu huyu mgeni?"
19Huan, a kiangah, Thou inla, pai in; na ginna na dampih ahi, a chi a.
19Halafu akamwambia huyo mtu, "Simama, uende zako; imani yako imekuponya."
20Huan, Pharisaiten Pathian gam hongtun hun ding a dot jiak un, a kiang uah, Pathian gam muh theihin a hongtung kei;
20Wakati mmoja, Mafarisayo walimwuliza Yesu, "Ufalme wa Mungu utakuja lini?" Naye akawajibu, "Ufalme wa Mungu hauji kwa namna itakayoweza kuonekana.
21En un, hiai ah: hiam, Pam ah: hiam, a chi kei ding uh; ngai un, Pathian gam tuh na lak uah a om, a chi a, a dawnga.
21Wala hakuna atakayeweza kusema, Uko hapa, au Uko pale. Kwa kweli Ufalme wa Mungu uko kati yenu."
22Huan, nungjuite kiangah, Mihing Tapa damlai ni khawng ni khat bek na muh nop ni uh a hong om ding, himahleh na mu kei ding uh.
22Halafu akawaambia wanafunzi wake, "Siku zinakuja ambapo mtatamani kuona mojawapo ya siku za Mwana wa Mtu, lakini hamtaiona.
23Huan, na kiang uah, En un, pam ah: En un, hiai ah: a honchi ding ua; pai khe kei unla, amau leng jui kei un;
23Na watu watawaambieni: Tazameni yuko hapa; ninyi msitoke wala msiwafuate.
24vannuai lehlama khua aphiata, vannuai lehlam tanphaa a vak zel bangin Mihing Tapa a hong niin a om ding ahi ngala.
24Kwa maana kama vile umeme unavyotokea ghafla na kuangaza anga upande mmoja hadi mwingine, ndivyo Mwana wa Mtu atakavyokuwa siku yake.
25Himahleh, huai main thil tamtak a thuak ding a, tulai khangthakte deihlouhin a omding ahi.
25Lakini kabla ya hayo, itambidi ateseke sana na kukataliwa na kizazi hiki.
26Noa dam laia thil omdan bangin, Mihing Tapa a hongpai nawn hun chiangin a om sam ding.
26Kama ilivyokuwa nyakati za Noa, ndivyo itakavyokuwa katika siku za Mwana wa Mtu.
27Noa longa a luta, tui a hongleta, a vekua a hihlup khit ni a tun masiah, a ne un a dawn ua, ji leh tain a kinei uh.
27Watu waliendelea kula na kunywa, kuoa na kuolewa mpaka wakati ule Noa alipoingia katika safina. Gharika ikatokea na kuwaangamiza wote.
28Huchi mahbangin Lota dam laiin a hongom a; a ne un a dawn ua, a lei un a juak ua, a suan un a lam uh;
28Itakuwa kama ilivyotokea wakati wa Loti. Watu waliendelea kula na kunywa, kununua na kuuza, kupanda mbegu na kujenga.
29himahleh, Sodom khua a kipan Lota a pawt niin vana kipanin mei leh kat a zu a, a vek un a hihlumta.
29Lakini siku ile Loti alipoondoka Sodoma, moto na kiberiti vikanyesha kama mvua kutoka mbinguni na kuwaangamiza wote.
30Huchi mahbangin Mihing Tapa a hongkilak niin a om ding.
30Ndivyo itakavyokuwa siku ile Mwana wa Mtu atakapofunuliwa.
31Huai niin kuamah a sum in sunga oma, amah in tunga om, vala dingin kum kei heh; loua om leng pai kei hen.
31"Siku hiyo, yeyote atakayekuwa juu ya paa asishuke nyumbani kuchukua mali yake. Kadhalika, naye atakayekuwa shambani asirudi nyuma.
32Lota ji theigige un.
32Kumbukeni yaliyompata mke wa Loti.
33Kuapeuh a hin humbitna zongin a tan dinga kuapeuh a hin tanin a humbit ding.
33Yeyote anayetaka kuiokoa nafsi yake, ataipoteza; na yeyote anayeipoteza, ataiokoa.
34Ka hon hilh ahi, huai janin lupna khatah mi nih a om ding ua, khat lakin a om dinga, khat nutsiatin a om ding.
34Nawaambieni, siku ile usiku watu wawili watakuwa wanalala pamoja, mmoja atachukuliwa na yule mwingine ataachwa.
35Numei nih buh gawi janin a om ding ua, khat lakin a om dia, khat nutsiatin a om ding.
35Wanawake wawili watakuwa wakisaga nafaka pamoja; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa."
36Pasal nih lou ah a om ding ua; khat lakin a om dia; khat nutsiatin a om ding, a chi a.Huan, amau, a kiangah, Toupa, koiah eita? a chi ua, a dong ua. Huan, aman a kiang uah, Saluang omna peuhah musane leng a kikhawm ding uh, a chi a.
36Watu wawili watakuwa shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.
37Huan, amau, a kiangah, Toupa, koiah eita? a chi ua, a dong ua. Huan, aman a kiang uah, Saluang omna peuhah musane leng a kikhawm ding uh, a chi a.
37Hapo wakamwuliza, "Ni wapi Bwana?" Naye akawaambia, "Ulipo mzoga, ndipo tai watakapokusanyikia."