Paite

Swahili: New Testament

Luke

7

1Huan, mite jaka a thu gen tengteng a khitin Kapernaum khuaah a luta,
1Baada ya kusema yale aliyotaka watu wasikie, Yesu alikwenda Kafarnaumu.
2Huan, sepaih zaheutu kuahiam a sikha deihtak a chi a na a, a si dekdeka.
2Huko kulikuwa na jemadari mmoja Mroma ambaye alikuwa na mtumishi wake aliyempenda sana. Huyu mtumishi alikuwa mgonjwa karibu kufa.
3Huchiin, Jesu tanchin a jak takin a sikha honghihdam dinga ngen dingin a kiangah Juda upate a sawla.
3Yule jemadari aliposikia habari za Yesu, aliwatuma wazee fulani Wayahudi waende kumwomba aje amponye mtumishi wake.
4Huan, amau tuh Jesu kiang a vatung ua, limtakin a ngen ua,
4Walipofika kwa Yesu, walimsihi sana, wakasema: "Huyu anastahili afanyiwe jambo hilo,
5Amah jaw hiai na hihsak tak ahi; ka nam uh a it a, ka kikhopna in uh leng amah honlamsak ahi, a chi ua.
5maana analipenda taifa letu, na ndiye aliyetujengea lile sunagogi."
6Huchiin, Jesu tuh amau toh a hongpai a. Huan, in a tun dekdekin sepaih zaheutun a kiangah, a lawmte a sawla, ka in sung na lutna tak ahi kei,
6Basi, Yesu akaenda pamoja nao. Alipokuwa karibu kufika nyumbani kwa yule jemadari Mroma, yule jemadari aliwatuma marafiki zake wamwambie Yesu: "Bwana, usijisumbue zaidi, maana mimi sistahili uingie nyumbani mwangu.
7Huaijiakin na kianga hong tak hiin leng ka kisimkei, thu leltak gen lechin, ka naupang a dam mai ding.
7Ndio maana sikujiona nastahili hata kuja kwako; amuru tu, na mtumishi wangu atapona.
8Kei leng mi thua om ka hi a, ka nuaiah sepaihte a om ua; huai mipa, hiai mipa, Pai in, ka chih leh a paia, mi dang kiangah leng, hongpai in, ka chih leh, a hongpai a; ka sikha kiangah leng, Hiai hih in, ka chih leh a hih jel, a chi a.
8Mimi pia ni mtu niliye chini ya mamlaka, na ninao askari chini yangu. Namwambia mmoja, Nenda!, naye huenda; namwambia mwingine, Njoo! naye huja; na nikimwambia mtumishi wangu, Fanya hiki!, hufanya."
9Huan, Jesun huai thu a jakin amah tuh lamdang a sa mahmah a, a kihei a, mipi amah juite kiangah, Ka honhilh ahi, Israelte lakah leng hichi tela ginna thupi ka mu kha mahmah kei, a chi a.
9Yesu aliposikia hayo, alishangaa; halafu akauelekea ule umati wa watu uliokuwa unamfuata, akasema, "Sijaona imani kubwa namna hii hata katika Israeli."
10Huan, a misawlte in ah a painawn ua, sikha tuh damin a muta uh.
10Wale watu walipowasili nyumbani walimkuta yule mtumishi hajambo kabisa.
11Huan, sawtlou chikin khua khat Nain kichi ah a hoha; a nungjuite leh mipi tampitak a kiang ah a hoh sam ua.
11Baadaye kidogo Yesu alikwenda katika mji mmoja uitwao Naini, na wafuasi wake pamoja na kundi kubwa la watu waliandamana naye.
12Huan, khopi kongkhak kiang a tunin, ngai in, misi a honjawng khia ua, a nu tapa neihsun ahi a, amah lah meithai ahi ngala; a khuate tampi a kiangah a om uh.
12Basi, alipokuwa anakaribia lango la mji, walitokea watu wamebeba maiti ya kijana mmoja, mtoto wa pekee wa mama mjane. Watu wengi wa mji ule walikuwa pamoja na huyo mama.
13Huan, Toupan meithainu a muh takin, a hehpih mahmaha, Kap ken, a chi a.
13Bwana alipomwona mama huyo, alimwonea huruma, akamwambia, "Usilie."
14Huan, a vanaiha, lang a khoiha; huchiin, a jawngte a khawlta ua. Huan, Tangval, thou in, ka honchi, a chi a.
14Kisha akaenda, akaligusa lile jeneza, na wale waliokuwa wanalichukua wakasimama. Halafu akasema, "Kijana! Nakuamuru, amka!"
15Huan, misi tuh a tu khia a, a hongpauta a. Huan, Jesun a nu kiangah a peta.
15Yule aliyekufa akaketi, akaanza kuongea. Na Yesu akamkabidhi kwa mama yake.
16Huan, mi tengtengin a lau ua, Pathian a phat ua, I lak ah jawlnei thupi tak a hongsuakta, a chi ua, Pathianin a mite hongvehta ahi, a chi uh.
16Watu wote walishikwa na hofu, wakawa wanamtukuza Mungu wakisema: "Nabii mkuu ametokea kati yetu. Mungu amekuja kuwakomboa watu wake."
17Huan, huai mi tungtang thu tuh Judia gam tengtengah leh a kiang vel gam tengah a thang kheta a.
17Habari hizo zikaenea kote katika Uyahudi na katika nchi za jirani.
18Huan, Johan nungjuiten huai thu tengteng Johan a hilh ua.
18Wanafunzi wa Yohane walimpa habari Yohane juu ya mambo hayo yote. Naye Yohane, baada ya kuwaita wawili kati ya wanafunzi wake,
19Huchiin, Johanin a nungjuite nih a sama, Toupa kiangah a sawla, Hongpai dingpa na hi hia, mi dang hungaih lailai ding ka hi uhia? chiin.
19aliwatuma kwa Bwana wamwulize: "Wewe ndiye yule ajaye, au tumtazamie mwingine?"
20Huan, mite tuh a kiang a hongtun un, Baptispa Johanin, Hongpai dingpa na hi hia, mi dang hungaihlailai ding ka hi uhia? chiin, na kiangah kou a honsawl, a chi ua.
20Wale wanafunzi walipomfikia Yesu wakamwambia, "Yohane Mbatizaji ametutuma kwako tukuulize: Wewe ndiye yule ajaye, au tumtazamie mwingine?"
21Huan, huailai takin Jesun chinate, hipi veite, dawi matte tampi a hihdama, mittaw tampite leng a mit uh a hihvaka.
21Wakati huohuo, Yesu alikuwa anawaponya watu wengi waliokuwa wanateseka kwa magonjwa na waliopagawa na pepo wabaya, akawawezesha vipofu wengi kuona tena.
22Huan, a kiang uah, Pai nawnta unla, thil na muh uleh na jak uh Johan vahilh un; mittawte a mit uh a hongvakta, khebaite khein a hongpaita ua, phakte a hongsiangthouta uh, bengngongte leng a bil uh a hongvakta, misite kaihthohin a omta uh, ajawngten Tanchin Hoih hilh a tangta uh.
22Basi, Yesu akawajibu, "Nendeni mkamwambie Yohane yale mliyojionea na kuyasikia: vipofu wanaona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa Habari njema.
23Huan, kuapeuh ka tunga lunghihlouhna mu loutuh a hampha hi, a chi a, a dawnga.
23Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami!"
24Huan, Johan sawltakte a pai nung un Jesun mipite kiangah Johan thu a genta a, Bang en dinga gamdaia pai khia neita ua? Sialluang huih mut ling maw?
24Hapo wajumbe wa Yohane walipokwisha kwenda zao, Yesu alianza kuyaambia makundi ya watu juu ya Yohane: "Mlikwenda kule jangwani, hivi mlitaka kuona kitu gani? Mlitaka kuona unyasi unaotikiswa na upepo?
25A hihkeileh, bang en dingpena pai khia neita ua? Puan nem silhmi maw? Ngai un, puan thupi silh leh mi nuamsate kumpipate in khawngah eive a om uh.
25Basi, mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona mtu aliyevalia mavazi maridadi? La hasha! Wanaovaa mavazi maridadi na kuishi maisha ya anasa, hukaa katika majumba ya wafalme!
26Ahihkeileh, bang en ding penin ahia na pai khiak uh? Jawlnei maw? A hi tawk vo oi, ka honchi ahi, jawlnei sanga leng thupijaw.
26Basi, niambieni, mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona nabii? Naam, hakika ni zaidi ya nabii.
27En dih, ka thangkou na ma ah ka sawl ahi, aman na ma ah na lam a bawl ding, chi-a, a tanchin kigelh, hiai mipa ahi.
27Huyu Yohane ndiye anayesemwa katika Maandiko Matakatifu: Hapa ni mtumishi wangu, asema Bwana; ninamtuma akutangulie, akutayarishie njia."
28Numei suan lakah Johan sanga thupi jaw a om kei; himahleh, Pathian gama mi neu pen leng amah sangin a thupi jaw, ka honchi a chi a.
28Yesu akamalizia kwa kusema, "Nawaambieni, kati ya binadamu wote hakuna aliye mkubwa zaidi kuliko Yohane Mbatizaji. Hata hivyo, yule aliye mdogo kabisa katika ufalme wa Mungu ni mkubwa zaidi kuliko yeye."
29Huan, mi tengtengin a jak un, siahkhonmite toh, Johan baptisma natangsa ahi ua, Pathian siam a tangsak uhi.
29Waliposikia hayo watu wote na watoza ushuru waliusifu wema wa Mungu; hao ndio wale waliokuwa wameupokea ubatizo wa Yohane.
30Pharisaite leh dan theimiten bel a kianga baptisma natangsa ahi kei ua, amaua dinga Pathianin a hoih dia a sehsak tuh a deih kei uh.
30Lakini Mafarisayo na walimu wa Sheria walikataa mpango wa Mungu uliowahusu wakakataa kubatizwa na Yohane.
31Huchiin Jesu mahin, Tulai khangthakte bang toh ka teh de aw? bangtobang ahi ua?
31Yesu akaendelea kusema, "Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? Ni watu wa namna gani?
32Naupang dawlmuna tua, Tamngai hon tumsak unga, lam lou uchina; kap huphup unga, nou lah kaptuan lou uchina, chia, kichi tuah bang ahi uh.
32Ni kama vijana waliokuwa wamekaa sokoni na kuambiana, kikundi kimoja na kingine: Tumewapigieni ngoma, lakini hamkucheza! Tumeomboleza, lakini hamkulia!
33Baptispa Johan a hongpaia, tanghou a ne keia, uain leng a dawn kei a, nou ten, Dawi jawl ei ve, na chi ua.
33Kwa maana Yohane alikuja, yeye alifunga na hakunywa divai, nanyi mkasema: Amepagawa na pepo!
34Mihing Tapa a hongpaia, a nein a dawna, nouten, En dih uh, anhaipa, uain haipa, siahkhonmite leh mi khialte lawm: na chi ngal ua.
34Akaja Mwana wa Mtu; anakula na kunywa, mkasema: Mwangalieni mlafi huyu na mlevi; rafiki ya watoza ushuru na wenye dhambi!
35Himahleh, pilna tuh a ta tengtengin siam a tan uh.
35Hata hivyo, hekima ya Mungu imethibitishwa kuwa njema na wote wale wanaoikubali."
36Huan, Pharisaite laka mi khatin a kianga an ne din a deih a. Huan, huai Pharisai in ah a luta, an a um a.
36Mfarisayo mmoja alimwalika Yesu kula chakula nyumbani kwake. Akaingia nyumbani mwa huyo Mfarisayo, akakaa kula chakula.
37Huan, ngai dih, huai khuaa numei khat omin Pharisai in ah an umin a tu chih a theih takin alabasta bawmin thau namtui a hontawi a,
37Basi, katika mji ule kulikuwa na mama mmoja aliyekuwa anaishi maisha mabaya. Alipopata habari kwamba Yesu yuko nyumbani kwa huyo Mfarisayo, alichukua chupa ya alabasta yenye marashi.
38A nungah a khepek bul ah kap kawmin a dinga, a khituiin a khepek a sukawt a, a samin a nula, a khepek tuh a tawp a, thau namtuiin a nuh.
38Akaja, akasimama karibu na miguu yake Yesu, akilia, na machozi yake yakamdondokea Yesu miguuni. Huyo mwanamke akaipangusa miguu ya Yesu kwa nywele zake. Kisha akaibusu na kuipaka yale marashi.
39Huan, a sampa Pharisaiin huai a muhin, a lungsimin, Hiai mi jawlnei a hih leh akhoihnu numei kua ahia, mi bangchi ahia, theih tuaktak hi a, mi khial ahi ngala, a chi a.
39Yule Mfarisayo aliyemwalika Yesu alipoona hayo, akawaza moyoni mwake, "Kama mtu huyu angekuwa kweli nabii angejua huyu mwanamke ni wa namna gani, ya kwamba ni mwenye dhambi."
40Huan, Jesun, a kiangah, Simon, na kiangah thu kamkhat gen ding ka nei, a chi a, a dawnga, Huan, aman, Bang ahia, Sinsakpa? a chi a.
40Yesu akamwambia huyo Mfarisayo, "Simoni, ninacho kitu cha kukwambia." Naye Simoni akamwambia, "Ndio Mwalimu, sema." Yesu akasema,
41Huan, Jesun, Dangka leitawi sak kuahiamin leibami nih a neia: khatin makhai za nga a ba a, khatin sawm nga.
41"Watu wawili walikuwa wamemkopa mtu fedha: mmoja alikuwa amekopa dinari mia tano, na mwingine hamsini.
42Huan, a ditna ding a neikei a, a ngaidam tuaktuak ta. Huchiin, huai mite a kuain ahia amah it zo ding? a chi a.
42Waliposhindwa kulipa madeni yao, huyo mtu aliwasamehe wote wawili. Sasa ni yupi kati ya hao wawili atampenda zaidi huyo bwana?"
43Simonin, A ngaihdam diak penin hiin ka gingta, a chi a, a dawnga. Huan, aman, a kiangah, Na chi dik, a chi a.
43Simoni akamjibu, "Ni dhahiri kwamba yule aliyesamehewa deni kubwa zaidi atampenda zaidi yule bwana." Yesu akamwambia, "Sawa."
44Huan, numei lam a nga a, Simon kiangah, Hiai numei na mu hia? Na in ah ka honglutta, nang ka khepek silna ding tui nahon pe keia, aman tuh a khituiin ka khepek a sukawta, a samin a nula.
44Halafu akamgeukia yule mwanamke na kumwambia Simoni, "Unamwona huyu mwanamke, sivyo? Basi, mimi nilipoingia hapa nyumbani kwako hukunipa maji ya kunawa miguu yangu; lakini mwanamke huyu ameniosha miguu yangu kwa machozi yake na kunipangusa kwa nywele zake.
45Nang tawp himhim non tawp kei; aman tuh ka honglut nungsiah ka khepek tawp a tawlnga kei.
45Wewe hukunisalimu kwa kunibusu, lakini huyu mwanamke tangu nilipoingia hapa amekuwa akiibusu miguu yangu.
46Nang ka lutang ah thau non nilh kei; aman tuh ka khepek thau namtui a nilh.
46Wewe hukunionyesha ukarimu wako kwa kunipaka mafuta kichwani, lakini huyu mwanamke amefanya hivyo kwa kunipaka mafuta miguu yangu.
47Huaijiakin ka honchi ahi, A khelhna tampi ngaihdamin a omta; aman nakpitakin a it hi; a hihhangin, ngaihdam tawmin, neuchikin a it nak, a chi a.
47Kwa hiyo nakwambia amesamehewa dhambi zake nyingi kwa kuwa ameonyesha upendo mkubwa. Mwenye kusamehe kidogo, hupenda kidogo."
48Huan, numei kiangah, Na khelhnate ngaihdam ahi ta, a chi a.
48Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, "Umesamehewa dhambi zako."
49Huan, a an umpihten, Mi khialte nangawn ngaidam kua ahia eita? a kichi ua.Huan, aman, numei kiangah, Na ginna hotdam na hih loh ahi, khamuang takin pai in, a chi hi.
49Na hapo wale waliokuwa pamoja naye mezani wakaulizana, "Ni mtu wa namna gani huyu awezaye kusamehe dhambi?"
50Huan, aman, numei kiangah, Na ginna hotdam na hih loh ahi, khamuang takin pai in, a chi hi.
50Naye Yesu akamwambia yule mwanamke, "Imani yako imekuokoa; nenda kwa amani."