1Huan, ni nih nungin Paikan Ankuangluina leh Tanghou silngou sohlouh Ankuangluina om ding ahi a; siampu liante leh laigelhmiten, amah zekhema, mana, a hihlup theihna dingdan a zongzong ua;
1Ilikuwa siku mbili tu kabla ya sikukuu ya Pasaka na ya Mikate Isiyotiwa Chachu. Makuhani wakuu na walimu wa Sheria walikuwa wakitafuta njia ya kumtia Yesu nguvuni kwa hila wamuue.
2himahleh, Ankuanglui sungin hi keiheh, huchilouin jaw vantang lakah buaina a hongom kha ding, a chi ua.
2Lakini walisema, "Tusimtie nguvuni wakati wa sikukuu, watu wasije wakafanya ghasia."
3Huan, Bethani khuaa phak Simon ina a om laia, ankuang a um laiin numei khat, alabaster bawma spiknardi thau gimlim man tampi tawiin a honga, a bawm tuh a hihkhama, a lu ah a sungta a.
3Yesu alikuwa Bethania, nyumbani kwa Simoni, Mkoma. Alipokuwa mezani kula chakula, mama mmoja aliyekuwa na chupa ya alabasta yenye marashi ya nardo safi ya thamani kubwa alikuja, akaivunja hiyo chupa, akammiminia Yesu marashi hayo kichwani.
4Himahleh, khenkhat tuh a lunghita kei ua, Bang dinga thau gimlim hihmang mawkmawk ahia?
4Baadhi ya watu waliokuwa hapo walikasirika wakajisemea, "Kwa nini kupoteza ovyo marashi haya?
5Hiai thau makhai za thum sanga tamjawa juaka, mi gentheite kianga piak theih ahi ngala, a chi ua. Huchiin, a tungah a phunta uh.
5Yangaliweza kuuzwa kwa fedha kiasi cha denari mia tatu, wakapewa maskini!" Wakamkemea huyo mama.
6Jesun tuh, Hih hen aw; bangdia va hihbuai na hi ua? ka tungah thil hoihtak a hih ahi.
6Lakini Yesu akawaambia, "Mwacheni; kwa nini mnamsumbua? Amenitendea jambo jema.
7Mi gentheite chiklaipeuhin leng na kiang ua om ahi ua, na ut hun peuh un na hehpih thei ngal ua; kei bel chiklaipeuha na kiang ua om gige ding ka hi kei.
7Maskini mnao daima pamoja nanyi; mnaweza kuwasaidia wakati wowote mnaopenda. Lakini mimi sitakuwapo pamoja nanyi daima.
8A hihtheih khamkham a hih ahi; ka sapum vui dinga thau nuh khol ahi.
8Yeye amefanya alivyoweza; ameupaka mwili wangu marashi kuutayarisha kwa maziko.
9Huchiin, chihtaktakin ka honhilh ahi, khovel tengteng koipeuhah leng Tanchin Hoih a kigenna ah hiai meithai thilhih leng amah theihgigena dingin a kigen jel ding hi, a chi hi.
9Nawaambieni kweli, popote ulimwenguni Habari Njema itakapohubiriwa, kitendo hiki alichofanya kitatajwa kwa ajili ya kumkumbuka."
10Huan, Juda Iskariot, sawm leh nihte laka khatin, Jesu a kiang ua juausana a matsak theihna dingin siampu liante kiangah a vahoha.
10Kisha Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili, alienda kwa makuhani wakuu ili kumsaliti Yesu.
11Huan, amau a jak tak un a kipak mahmah ua, a kiangah dangka piak achiamta uh. Huchiin, juausana matsakna dingdan lemtang a zongta hi.
11Makuhani wakuu waliposikia habari hiyo, walifurahi, wakaahidi kumpa fedha. Basi, Yuda akaanza kutafuta nafasi ya kumsaliti Yesu.
12Huan, Tanghou Silngou-sohlouh ni, ni masapen, Paikan Ankuangluina belamnou a goh jelna ni uah, a nungjuiten a kiangah, Paikan Ankuanglui na nek theihna dingin koiah ahia vabawl le ung na ut? a chi ua.
12Siku ya kwanza ya sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, wakati ambapo mwana kondoo wa Pasaka huchinjwa, wanafunzi wake walimwuliza, "Wataka tukuandalie wapi karamu ya Pasaka?"
13Huchiin, a nungjuite laka mi nih a sawla, a kiang uah Khopi ah valut unla, huai ah pasal bela tui pua in hontuak dia; amah jui un.
13Basi Yesu akawatuma wawili wa wanafunzi wake akiwaambia, "Nendeni mjini, nanyi mtakutana na mtu anayebeba mtungi wa maji. Mfuateni
14Huan, a lutna peuhah, huai intekpa kiangah, Sinsakpan, Ka nungjuite toh Paikan Ankuang ka nek na ding uh, ka mikhual indan koilai ahia? a chi, na chi ding uh.
14mpaka katika nyumba atakayoingia, mkamwambie mwenye nyumba, Mwalimu anasema: wapi chumba changu ambamo nitakula Pasaka pamoja na wanafunzi wangu?
15Huchiin, amahmahin dantan tungnung za tak, van omsa, mansa dimdiam a honensak dia; huai ah eia dingin bawl un, a chi a.
15Naye atawaonyesha chumba kikubwa ghorofani kilichotayarishwa na kupambwa. Tuandalieni humo."
16Huan, nungjuite a pawtta ua, khopi ah a valut ua, a kiang ua a gen bang takin a vamu ua; huan, Paikan Ankuangluina a bawlta uh.
16Wanafunzi wakaondoka, wakaenda mjini, wakakuta kila kitu sawa kama Yesu alivyokuwa amewaambia. Wakaandaa karamu ya Pasaka.
17Huan, nitaklam a honghihin, amah tuh sawm leh nihte toh a vahoh-ta ua.
17Ilipokuwa jioni, Yesu alifika pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
18Huan, a um ua, a nek lai un, Jesun, Chihtaktakin ka honhilh ahi, na lak ua mi khat, ka kianga ne sam ngeiin, honjuausanin honmansak ding, a chi a.
18Walipokuwa mezani wakila, Yesu alisema, "Kweli nawaambieni, mmoja wenu anayekula pamoja nami, atanisaliti."
19Huan, a lungkham panta ua, khatkhatin a kiangah, Keimah ka hi hia? a chi chiat ua.
19Hapo wanafunzi wake wakaanza kuhuzunika, wakamwuliza mmojammoja, "Je, ni mimi?"
20Huan, aman tuh a kiang uah, sawm leh nihte laka mi khat, ka kuanga tanghou hondiahpihpa ahi.
20Yesu akawaambia, "Ni mmoja wenu ninyi kumi na wawili, anayechovya mkate pamoja nami katika bakuli.
21Mihing Tapa a tanchin a gelh bang tak un a pai ding: himahleh, Mihing Tapa mansak ding mipa tung a gik hi: Huai mihing jaw piang kei leh amah adin a hoihzo ding, a chi a.
21Kweli Mwana wa Mtu anakwenda zake kama Maandiko Matakatifu yanavyosema juu yake; lakini, ole wake mtu yule anayemsaliti Mwana wa Mtu! Ingalikuwa afadhali kwa mtu huyo kama hangalizaliwa!"
22Huan, a nek lai un Jesun tanghou a la a, a vualjawl zohin a balkhama, a kiang uah a pia a, La un; hiai ka sapum ahi, a chi a.
22Walipokuwa wanakula, Yesu alitwaa mkate, akashukuru, akaumega na kuwapa wanafunzi wake akisema, "Twaeni; huu ni mwili wangu."
23Huan, nou a la a, kipah thu a gen zohin a kiang uah a pia a; huchiin, a vek un a dawn chiat ua.
23Kisha akatwaa kikombe, akamshukuru Mungu, akawapa; nao wote wakanywa katika kikombe hicho.
24Huan, aman a kiang uah, Hiai ka sisan, mi tampi dia pawt ding, thukhunna ahi.
24Akawaambia, "Hii ni damu yangu inayothibitisha agano la Mungu, damu inayomwagwa kwa ajili ya watu wengi.
25Chihtaktakin ka honhilh ahi, Pathian Gama a thak ka dawn ni a tun masiah grep gui gaha ka dawn nawnta kei ding, a chi hi.
25Kweli nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa upya katika Ufalme wa Mungu."
26Huan, la a sakzoh un, a pawt ua, Oliv tangah a hohta uh.
26Kisha wakaimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni.
27Huan, Jesun a kiang uah, Na vek un lungkiain nontaisan ding uh, Belamchingpa ka khen dia, belamte a dalh ding uh, chih gelh ahi ngala.
27Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Ninyi nyote mtakuwa na mashaka nami; maana Maandiko Matakatifu yasema: Nitampiga mchungaji nao kondoo watatawanyika.
28Himahleh, ka thohnawn nungin Galili gamah na ma uah ka pai ding, a chi a.
28Lakini nikisha fufuka, nitawatangulieni kule Galilaya."
29Peterin bel a kiangah, A vek un lungkiain hontaisan mahle uh, ken jaw kontaisan kei ding, a chi a.
29Petro akamwambia "Hata kama wote watakuwa na mashaka nawe na kukuacha, mimi sitakukana kamwe!"
30Huan, Jesun a kiangah, Chihtaktakin ka honhilh ahi, Tu jan ngeingeiin, ak nih vei a khuan main, nang thumvei non kitheihmohbawl ding, a chi a.
30Yesu akamwambia, "Kweli nakwambia, usiku huu, kabla jogoo hajawika mara mbili, utanikana mara tatu."
31Aman bel khauhtakin, Na sihna ah si sam ding himahleng ka honkitheihmohbawl kei hial ding, a chi guapguap a. Huchimah bangin a chi chiat uh.
31Lakini Petro akasisitiza, "Hata kama ni lazima nife pamoja nawe, sitakuacha kamwe." Wanafunzi wote pia wakasema vivyo hivyo.
32Huan, Gethsemani a chih mun uh a tung ua; huan, aman tuh a nungjuite kiangah, Ka thum sung teng hiaiah na tu un, achia.
32Basi, wakafika katika bustani iitwayo Gethsemane. Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Kaeni hapa wakati mimi nasali."
33Huan, Peter, Jakob leh Johan a pi a, nak pitaka lungkhamin a mangbang mahmah a.
33Kisha akawachukua Petro, Yakobo na Yohane; akaanza kufadhaika sana na kuhangaika.
34Huchiin a kiang uah, Ka kha a lungkham mahmaha, sihna khop hial ahi; hiaiah om unla, kiging gige un, a chi a.
34Akawaambia, "Nina huzuni kubwa moyoni hata karibu kufa. Kaeni hapa mkeshe."
35Huan, neukhain ma lamah a vapai zeka, leiah a khupboh a, hih theih hi leh, huai hunin amah pel dingin a thuma.
35Akaenda mbele kidogo, akajitupa chini kifudifudi, akasali kwamba, kama ingewezekana, asiipitie saa hiyo ya mateso.
36Abba, Pa, bangkim na hihtheia; hiai nou kei akipanin la mang in; himahleh, kei thu hilou in nangmah thuthu hijaw hen, a chi a.
36Akasema, "Baba yangu, kwako mambo yote yanawezekana. Uniondolee kikombe hiki; lakini isiwe kama nitakavyo mimi, bali utakavyo wewe."
37Huan, a hongpaia, amau tuh ihmuin a honmu a, huchiin, Peter kiangah, Simon, ihmu na hi maw? Dak kal khat leng kiging gigein na om theikei maw?
37Kisha akarudi kwa wanafunzi wale watatu, akawakuta wamelala. Basi, akamwuliza Petro, "Simoni, je umelala? Hukuweza kukesha hata saa moja?"
38Khemnaa na lut louhna ding un kiging gigein thum un. Khain tuh a ngapa, sa jaw a hat kei, a chi a.
38Kisha akawaambia, "Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu."
39Huan, a vahoh nawna, a thugen ngei genin a thum nawna.
39Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.
40Huan, a hongpai nawna amau tuh ihmuin a honmu nawna, a ihmut uh a suak mahmah ngala; dawn dan leng a theikei uh.
40Kisha akarudi tena, akawakuta wamelala. Macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi. Hawakujua la kumjibu.
41Huan, a hongpai thum veina ah, a kiang uah, Na ihmu lailai umaw, na tawlnga lailai umaw? A hunta ve; a hun hongtungta; mihing Tapa mikhialte khuta juausana piak ahita.
41Alipowajia mara ya tatu aliwaambia, "Mnalala bado na kupumzika? Sasa imetosha! Saa imefika! Mwana wa Mtu anakabidhiwa kwa watu waovu.
42Thou un, i pai ding uh; en un, hon juausanpa hongnai, a chi a.
42Amkeni, twendeni zetu. Tazameni, yule atakayenisaliti amekaribia."
43Huan, a gen laitakin, Juda, sawm leh nihte laka mi khat tuh, a hongtungpahta ngala, siampu liante leh laigelhmite leh upate akipan mipi, temsau leh khetbuk tawite toh.
43Yesu alipokuwa bado anasema, Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili, akafika pamoja na umati wa watu wenye mapanga na marungu. Watu hao walikuwa wametumwa na makuhani wakuu, walimu wa Sheria na wazee.
44Huan, juausanpan, Ka tawp peuhmah amah ahi ding; man unla, kizentakin na pi mang ding uh, chiin chiamtehna ding a na hilhkhol diamdiama.
44Msaliti Yuda alikuwa amewapa ishara: "Yule nitakayembusu ndiye; mkamateni, mkampeleke chini ya ulinzi."
45Huchiin, a tun takin amah a vanaih paha, Rabbi: chiin, a tawp tantan a.
45Yuda alipofika tu, alimwendea Yesu moja kwa moja, akasema, "Mwalimu!" Kisha akambusu.
46Huan, amah a lenta ua, a manta uh.
46Basi, hao watu wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.
47Huan, a kianga dingte laka mi kua hiamin a temsaua doka, siampu lianpen sikha a sata, a bil a sat khiak sak.
47Mmoja wa wale waliokuwa wamesimama hapo pamoja na Yesu akauchomoa upanga wake, akampiga mtumishi wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.
48Huan, Jesun amau a houpiha, a kiang uah, Temsaute, khetbukte tawiin suamhat man ding bang hialin, honman dingin nong kuan u maw?
48Yesu akawaambia, "Je, mmekuja na mapanga na marungu kunikamata kana kwamba mimi ni mnyang'anyi?
49Pathian biakin ah ni tenga thuhilhin na kiang uah ka om jela; non man ngal kei ua. Himahleh, Laisiangthou a hongtun theihna ding ei ve, a chi a.
49Kila siku nilikuwa pamoja nanyi nikifundisha Hekaluni, wala hamkunikamata. Lakini sasa lazima Maandiko Matakatifu yatimie."
50Huan, a vek un amah a nusia ua, a taimang vekta uh.
50Hapo wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.
51Huan, tangval kuahiam, puan malngat kia batin, amah a juia; huan, amah a na man uh;
51Kulikuwa na kijana mmoja aliyekuwa anamfuata Yesu akiwa amevaa shuka. Nao wakajaribu kumkamata.
52Himahleh, a puan malngat a taisana, vuaktangin a taimangta.
52Lakini yeye akaponyoka, akaiachilia ile shuka, akakimbia uchi.
53Huan, Jesu tuh siampu lianpen kiangah a pi ua; huan, siampu liante, laigelhmite tengteng toh a hongton uh.
53Basi, wakampeleka Yesu kwa Kuhani Mkuu ambapo makuhani wakuu wote, wazee na walimu wa Sheria walikuwa wamekutanika.
54Huan, Peterin gamla pia kipanin amah a juia, siampu lianpen inhuangsung konglai phain; huan, sikhate lakah mei lum awiin a tu sam a.
54Petro alimfuata Yesu kwa mbali, akaingia ndani ya ya wa Kuhani Mkuu, akaketi pamoja na walinzi akiota moto.
55Huan, Jesu a hihlup theihna ding un siampu liante leh vaihawm mite tengtengin amah hekna a zong ua, a mu sam kei uh.
55Makuhani wakuu na Baraza lote wakatafuta ushahidi wa kumshtaki Yesu wapate kumwua, lakini hawakupata.
56Mi tampiin juauin a hek ua, himahleh, a hekna thu uh a kituak sam kei.
56Watu wengi walitoa ushahidi wa uongo juu ya Yesu, lakini ushahidi wao haukupatana.
57Huan, kuate hiam a ding ua, juauin a hek ua,
57Kisha wengine walisimama, wakatoa ushahidi wa uongo wakisema:
58Hiai min, Hiai Pathian biakin khuta lam ka hihse dia, ni thum sungin biakin dang, khuta lam louh, ka lam ding, a chih, ka ja uh, a chi ua.
58"Tulimsikia mtu huyu akisema, Nitaliharibu Hekalu hili lililojengwa kwa mikono, na kwa siku tatu nitajenga lingine lisilojengwa kwa mikono."
59Himahleh huchiin leng a hekna thu uh a kituak thei samsam kei.
59Lakini hata hivyo, ushahidi wao haukupatana.
60Huan, siampu lianpen a laiah a ding khia a. Jesu kiangah, Bangmaha dawnglou maw? Hiaite honhekna bangchidan ahia? chiin, a donga.
60Basi, Kuhani Mkuu akasimama katikati yao, akamwuliza Yesu, "Je, hujibu neno? Watu hawa wanashuhudia nini dhidi yako?"
61Amah lah a dai dide a, bangmahin a dawng kei a. Siampu lianpenin a kiangah, Kris, Hampha Tapa, na hi hia? chiin, a dong nawna.
61Lakini yeye akakaa kimya; hakusema hata neno moja. Kuhani Mkuu akamwuliza tena, "Je, wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu Mtukufu?"
62Huan, Jesun, Hi e; Mihing Tapa Thilhihtheihna taklama tu a, van mei laka hongpai na mu ding uh, a chi a.
62Yesu akajibu, "Naam, mimi ndiye. Tena, mtamwona Mwana wa Mtu amekaa upande wa kulia wa Mwenyezi, akija katika mawingu ya mbinguni."
63Huan, siampu lianpenin a puansilh a botkeka, Theihpih dang bang din i deih dia?
63Hapo Kuhani Mkuu akararua joho lake, akasema, "Tuna haja gani tena ya mashahidi?
64Pathian a gensiatdan na zata uh; bangchi na sa ua? achia. Huan, a vek un amah tuh si takin a sep chiat ua;
64Mmesikia kufuru yake! Ninyi mwaonaje?" Wote wakaamua kwamba anastahili kuuawa.
65Huan, a khenin amah chil a siat pan pah ua, a kiangah, Gen in, a chi ua. Huan, vengtuten a let kawm un a beng ekek uh.
65Basi, baadhi yao wakaanza kumtemea mate, wakamfunika uso, wakampiga na kumwambia, "Bashiri ni nani aliyekupiga!" Hata watumishi wakamchukua, wakampiga makofi.
66Huan, Peter tuh nuai lama inhuang sung konglaia a om laiin siampu lianpen sikha nungakte laka khat a hong paia,
66Petro alipokuwa bado chini ukumbini, mmoja wa wajakazi wa kuhani Mkuu alikuja.
67Peter meilum awi a mua, a en a, Nang leng Jesu Nazaret mi kianga om na hi ve, a chi a.
67Alipomwona Petro akiota moto, alimtazama, akamwambia, "Hata wewe ulikuwa pamoja na Yesu Mnazareti."
68Aman tuh, Na thugen ka theikei, a ngaihna himhim leng ka theikei, chiin, a kitheihmohbawl a. Huan, inlim ah a vapawt khia a; huchiin, ak a khuangta hi.
68Lakini Petro akakana, "Sijui, wala sielewi unayosema!" Kisha Petro akaondoka, akaenda nje uani. Hapo jogoo akawika.
69Huan, nungakin a mu a, a kianga dingte kiangah, Hiai mi a lak ua mi ahi, a chi nawnta a.
69Yule mjakazi alipomwona tena Petro, akaanza tena kuwaambia watu waliokuwa wamesimama hapo, "Mtu huyu ni mmoja wao."
70Himahleh a kitheihmohbawl nawna. Huan, sawtlou nungin a kianga dingten, Peter kiangah, A lak ua mi hi tawk teh, Galili gam a mi na hi ngala, a chi ua.
70Petro akakana tena. Baadaye kidogo, watu waliokuwa wamesimama hapo wakamwambia Petro, "Hakika wewe ni mmoja wao, maana wewe ni Mgalilaya."
71Aman tuh, Huai na mihing gen uh ka theikei, chiin, hamsia kilohin a kichiamta a.Huan, akkhuan nihveina tuh a khuangpah ngal hi. Huan, Peterin, Jesun a kianga, Ak nihvei a khuan main nang thumvei non kitheihmohbawl ding, a chih thu a theikhe thak nawn a. Huan, huai tuh a ngaihtuaha a kapta.
71Lakini Petro akaanza kulaani na kuapa akisema, "Mimi simjui mtu huyu mnayesema habari zake."
72Huan, akkhuan nihveina tuh a khuangpah ngal hi. Huan, Peterin, Jesun a kianga, Ak nihvei a khuan main nang thumvei non kitheihmohbawl ding, a chih thu a theikhe thak nawn a. Huan, huai tuh a ngaihtuaha a kapta.
72Hapo jogoo akawika mara ya pili. Basi, Petro akakumbuka jinsi Yesu alivyokuwa amemwambia: "Kabla jogoo hajawika mara mbili, utanikana mara tatu." Petro akabubujika machozi.