1Huan, jingsang a honghihtakin, siampu liante tuh upate leh laigelhmite leh vaihawmte tengteng toh a kihou ua, Jesu a hen ua, a pi ua, Pilat kiangah a pe pah ngal uhi.
1Kulipopambazuka, makuhani wakuu walifanya shauri pamoja na wazee, walimu wa Sheria na Baraza lote, wakamfunga Yesu pingu, wakampeleka na kumkabidhi kwa Pilato.
2Huan, Pilatin a kiangah, Judate Kumpipa na hi hia, chiin a donga. Huan, aman a kiangah, Hi e, chiin, a dawng a.
2Pilato akamwuliza Yesu, "Je, wewe ni mfalme wa Wayahudi?" Yesu akajibu, "Wewe umesema."
3Huan, siampu lianten thu tampiin a hek ua.
3Makuhani wakuu wakamshtaki Yesu mambo mengi.
4Huchiin, Pilatin a dong nawna, a kiangah, Bangmaha dawng lou maw? Ngai tanla, a honhek na uh tamdan! a chi a.
4Pilato akamwuliza tena Yesu, "Je, hujibu neno? Tazama wanavyotoa mashtaka mengi juu yako."
5Jesun bel bangmahin a dawngta keia; huchiin Pilatin lamdang a sa mahmah.
5Lakini Yesu hakujibu neno, hata pilato akashangaa.
6Huan, Pilatin ankuanglui nin mi henta khat a nget peuhmah uh a pawtsak jel a.
6Kila wakati wa sikukuu ya Pasaka, Pilato alikuwa na desturi ya kuwafungulia mfungwa mmoja waliyemtaka.
7Huan, mi khat, Barabba a chih uh, a helte lakah hensain a oma, huaiten tuh helna ah tual a that uh.
7Basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye Baraba, ambaye alikuwa amefungwa pamoja na waasi wengine kwa kusababisha uasi na mauaji.
8Huan, mipite a vahohtou ua, amau adinga a hihsak jel banga hihsak dingin a ngen ua.
8Watu wengi wakamwendea Pilato wakamwomba awafanyie kama kawaida yake.
9Huan, Pilatin a dawnga, a kiang uah, Judate Kumpipa honkhahsak leng na ut u hia? a chi a.
9Pilato akawauliza, "Je, mwataka niwafungulieni Mfalme wa Wayahudi?"
10Siampu lianten hajat mana a honpaipih uh ahi chih a thei ngala.
10Alisema hivyo kwa sababu alijua wazi kwamba makuhani wakuu walimkabidhi Yesu kwake kwa sababu ya wivu.
11Himahleh, siampu lianten mipite tuh Barabba pawt sak jawk ngen dingin a hasuan ua.
11Lakini makuhani wakuu wakawachochea watu wamwombe Pilato awafungulie Baraba.
12Huan, Pilatin a kiang uah, Judate Kumpipa a chih uh bang ka loh tadia le? chiin, a dong nawn a.
12Pilato akawauliza tena, "Basi, sasa mwataka nifanye nini na mtu huyu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?"
13Huan, amau, Kros ah kilhden in, chiin, a kikou nawn ua.
13Watu wote wakapaaza sauti tena: "Msulubishe!"
14Huan, Pilatin a kiang uah, Bang din maw? Bang a hihkhiala ahia? a chi a. Himahleh amau tuh, Kros ah kilhden in, chiin, a kikou semsem ua.
14Lakini Pilato akawauliza, "Kwa nini! Amefanya kosa gani?" Lakini wao wakazidi kupaaza sauti, "Msulubishe!"
15Huchiin, Pilatin mipite hihlungkim a uta, Barabba tuh a pawt sakta; huan, Jesu tuh a vuak zohin krosa kilhden dingin a peta hi.
15Pilato alitaka kuuridhisha huo umati wa watu; basi, akamwachilia Baraba kutoka gerezani. Akaamuru Yesu apigwe viboko, kisha akamtoa asulubiwe.
16Huan, sepaihten inhuangsung kong lai, Praitoriam a chih uah, amah a pilut ua, a pawl ua mi tengteng a sam khawm uh.
16Kisha askari walimpeleka Yesu ndani ukumbini, katika ikulu, wakakusanya kikosi kizima cha askari.
17Huchiin puansan dup a silhsak ua, ling lukhu a gan ua, a khusak uh.
17Wakamvika vazi la rangi ya zambarau, wakasokota taji ya miiba, wakamwekea kichwani.
18Huan, Chibai, Judate Kumpipa! chiin, chibai a bukta uh.
18Wakaanza kumsalimu, "Shikamoo Mfalme wa Wayahudi!"
19Huan, a lu ah sialluangin a khen ua, chil a siat ua, khukdin in chibai a buk uh.
19Wakampiga kichwani kwa mwanzi, wakamtemea mate; wakampigia magoti na kumsujudia.
20Huan, nuihza baawlnaa a zat zoh un, puan san dup tuh a hawk ua, amah puan a silh sak nawn ua, krosa kilhden dingin a a pi kheta uh.
20Baada ya kumdhihaki, walimvua lile joho, wakamvika nguo zake, kisha wakampeleka kumsulubisha.
21Huan, mi vialvak khat, a gamlama kipana hongpai, a kros po dingin a man ua Simon Kurini khua a, Aleksandar leh Rufasi pa tuh.
21Walipokuwa njiani, walikutana na mtu mmoja aitwaye Simoni, mwenyeji wa Kurene. Yeye alikuwa baba wa Aleksanda na Rufo, na wakati huo alikuwa akitoka shambani. Basi, wakamlazimisha auchukue msalaba wa Yesu.
22Huan, Jesu tuh Golgotha munah a pi ua, huai tuh Lu Guh mun, chihna ahi.
22Kisha wakampeleka Yesu mpaka mahali palipoitwa Golgotha, maana yake, "Mahali pa Fuvu la Kichwa."
23Huan, uain murra toh hel a pia ua, himahleh a sang nuam kei hi.
23Wakampa divai iliyochanganywa na manemane, lakini yeye akaikataa.
24Huan, kros ah a kilhden ua, a tan ding chiat uh theihna dingin aisanin a puansilhte tuh a kihawm uh.
24Basi, wakamsulubisha, wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura waamue nani angepata nini.
25Huan a kilhden uh tuh dak thumna khawng ahi a.
25Ilikuwa saa tatu asubuhi walipomsulubisha.
26Huan, a hekna lai a tunglamah a gelh ua, JUDATE KUMPIPA, chiin.
26Na mshtaka wake ulikuwa umeandikwa: "Mfalme wa Wayahudi."
27Huan, suamhat nih amah toh a kilhden sam ua, a taklamah khat, a veilamah khat.
27Pamoja naye waliwasulubisha wanyang'anyi wawili, mmoja upande wake wa kulia na mwingine upande wake wa kushoto.
28Huan, Laisiangthou, Huchiin amah tuh talekte toh simkhawm a hita, chih genna hihtangtunin a omta hi.
28Hapo yakatimia Maandiko Matakatifu yanayosema, "Aliwekwa kundi moja na waovu."
29Huan, mi kivialleh peuhin a lu uh singin, Ehe! Nang Pathian biakin susiaa ni thuma lam nawnpa,
29Watu waliokuwa wanapita mahali hapo walimtukana, wakitikisa vichwa vyao na kusema, "Aha! Wewe mwenye kuvunja Hekalu na kulijenga kwa siku tatu!
30Kihihhing inla, kros a kipan hongkum in, chiin a enghou ua.
30Sasa, shuka msalabani ujiokoe mwenyewe!"
31Huchi bangmahin siampu lianten, laigelhmite toh, amau laka enghouin, midang bawn hihhinga, amah kihihhing theilou bang.
31Nao makuhani wakuu pamoja na walimu wa Sheria walimdhihaki wakisema, "Aliwaokoa wengine, lakini kujiokoa mwenyewe hawezi!
32I muh a, i gintak theihna dingin, Kris, Israel Kumpipa, tuin krosa kipan hongkum leh ake, a chi ua. Huan, amah toh a kilhden samte un leng amah a enghou ua.
32Eti yeye ni Kristo, Mfalme wa Israeli! Basi, na ashuke msalabani ili tuone na kuamini." Hata watu wale waliosulubiwa pamoja naye walimtukana.
33Huan, dak gukna a honghihin, dak kuana dongin gam pumpi ah mialna a hongomta a.
33Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa kulikuwa giza nchini kote.
34Huan, dak kuana khawng dingin Jesu tuh aw ngaihtakin, Eloi, Eloi, lama sabakthani? chiin a kikou khiaa, huai tuh, Ka Pathian, ka Pathian, bangdia honpaisan? chihna ahi.
34Saa tisa alasiri Yesu akalia kwa sauti kubwa, "Eloi, Eloi, lema sabakthani?" Maana yake, "Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?"
35Huan, a kianga ding khenkhatten huai a jak un, Ngai un, Elija a sam, a chi ua.
35Baadhi ya watu waliosimama pale waliposikia hivyo, walisema, "Sikiliza! Anamwita Eliya!"
36Huan, mi khat a taia, spanji uain thuka diah dimin, chiangah a taka, a dawn tou saka. Khawl dih ua, amah la khe dingin Elija a hong hiam i en ding uh, a chi a.
36Mtu mmoja akakimbia, akachovya sifongo katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, akampa anywe akisema, "Hebu tuone kama Eliya atakuja kumteremsha msalabani!"
37Huan, Jesu tuh aw ngaihtakin a kikou a, a kha a khahta hi.
37Yesu akapaaza sauti kubwa, akakata roho.
38Huan, Pathian biakin puanjak tuh a tunglam akipanin a nuailam phain a hongkikek paisuakta.
38Basi, pazia la Hekalu likapasuka vipande viwili toka juu mpaka chini.
39Huan, a ma jawna sepaih zaheutupa dingin a kha huchibanga a khah a muhin, Hiai mi Pathian Tapa ahi ngeingei, a chi a.
39Jemadari mmoja aliyekuwa amesimama mbele yake aliona jinsi Yesu alivyolia kwa sauti na kukata roho, akasema, "Kweli mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu!"
40Huan, numeite leng gamla taka enin a om ua; huaite lakah Mari Magdalini, Mari Jakob naupangjaw leh Jose nu, Salomi leng a pang ua;
40Walikuwako pia wanawake waliotazama kwa mbali, miongoni mwao akiwa Maria toka mji wa Magdala, Salome, na Maria mama wa kina Yakobo mdogo na Yose.
41Huaite tuh Galili gama a om laia, amah juia, a nasepsak jelte ahi uh; huan, numei dang tampi Jerusalem khuaa amah toh hohtou samte leng a om uh.
41Hawa walimfuata Yesu alipokuwa Galilaya na kumtumikia. Kulikuwa na wanawake wengine wengi waliokuja Yerusalemu pamoja naye.
42Huan, nitaklam a honghihin Kiginni a hih jiakin, huai tuh Khawlni maa ni ahi,
42Wakati wa jioni ulikuwa umekwisha fika. Hiyo ilikuwa siku ya Maandalio, yaani siku inayotangulia Sabato.
43Joseph, Arimathai khua a mi, vaihawmpa zahtakhuai, Pathian gam lamen sam mi, a honga, hangtakin Pilat kiangah a luta, Jesu luang a ngenta a.
43Hapo akaja Yosefu mwenyeji wa Armathaya, mjumbe wa Baraza Kuu, aliyeheshimika sana. Yeye pia alikuwa anatazamia kuja kwa Ufalme wa Mungu. Basi, alimwendea Pilato bila uoga, akaomba apewe mwili wa Yesu.
44Huchiin, Pilatin huchibanga a si pah tuh lamdang a sa mahmah a, huchiin sepaih zaheutupa samin, a sihna a sawtta hiam chih a dong a
44Pilato alishangaa kusikia kwamba Yesu alikuwa amekwisha kufa. Basi, akamwita jemadari, akamwuliza kama Yesu alikuwa amekufa kitambo.
45Huan, sepaih zaheutupa kama a sita chih a theihin, a luang Joseph kiangah a pia a.
45Pilato alipoarifiwa na huyo jemadari kwamba Yesu alikuwa amekwisha kufa, akamruhusu Yosefu auchukue mwili wake.
46Huan, aman tuh puan malngat a leia, amah a la khia a, puan malngatin a tuama, han khuakkuak ah a siala, han kong suangin a delhta a.Huan, Mari Magdalini leh Jose nu Mariin a sialna tuh a mu uh.
46Hapo Yosefu akanunua sanda ya kitani, akauteremsha chini huo mwili, akauzungushia sanda. Akauweka katika kaburi lililokuwa limechongwa mwambani, kisha akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango.
47Huan, Mari Magdalini leh Jose nu Mariin a sialna tuh a mu uh.
47Nao Maria Magdalene na Maria mama yake Yose walipaona hapo alipolazwa.