Paite

Swahili: New Testament

Mark

5

1Huan, dil gal, Gerasin mite gam, a hongtung ua
1Basi, wakafika katika nchi ya Wagerase, ng'ambo ya ziwa.
2Huan, longa pat a pawt nungin mi khat, dawi nin pai, han akipana hongpawtin amah a natuak pah a
2Mara tu Yesu aliposhuka mashuani, mtu mmoja aliyepagawa na pepo mchafu alitoka makaburini, akakutana naye.
3huaimin tuh han ah te khawng omna a nei jela; kuamahin sikkhainiang nangawnin a hen theita kei uhi.
3Mtu huyo alikuwa akiishi makaburini wala hakuna mtu aliyeweza tena kumfunga kwa minyororo.
4kol khawng leh sikkhainiang khangin leng a na henhen ta ngal ua; himahleh, sikkhainiang khawng tuh a bottata, kol khawng leng a hihtan jela; kuamahin a hihnem zou kei uhi.
4Mara nyingi walimfunga kwa pingu na minyororo lakini kila mara aliweza kuikata hiyo minyororo na kuzivunja hizo pingu, wala hakuna mtu aliyeweza kumzuia.
5A sun a janin han khawng leh tang khawngah a kikoukou a, suang khawng bangin a ki-at jel hi.
5Mchana na usiku alikaa makaburini na milimani akipaaza sauti na kujikatakata kwa mawe.
6Huan, gamla taka kipana Jesu a muh takin a tai a, chibai a vabuk a
6Alipomwona Yesu kwa mbali, alimkimbilia, akamwinamia
7huan, aw ngaihtaka kikouin, Jesu, Pathian Tungnungpen Tapa, kei leh nang bang ahia i kizolhna om? Hon gimsak lou dingin Pathian minin nget chih takin ka honngen hi, a chi a.
7akisema kwa sauti kubwa, "Una shauri gani nami, wewe Yesu Mwana wa Mungu aliye juu? Kwa jina la Mungu, nakusihi usinitese!"
8Jesun, a kiang ah, Nang, dawi ninpa, huai mi sunga kipanin pawt in, a nachita ngala.
8(Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, "Pepo mchafu, mtoke mtu huyu.")
9Huan, aman Na min bang ahia? chiin a donga, Huan, aman, a kiangah, Ka min Nuai ahi, tampi ka hih jiakun, a chi a.
9Basi, Yesu akamwuliza, "Jina lako nani?" Naye akajibu, "Jina langu ni Jeshi, maana sisi tu wengi."
10Huan, huai gama pat amau sawl khe lou dingin Jesu kiangah hahtangpiin a ngena.
10Kisha akamsihi Yesu asiwafukuze hao pepo katika nchi ile.
11Huan, huailaia tang pangah vok hon tampi a ta ua.
11Kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe malishoni kwenye mteremko wa mlima.
12Huan, dawi ninten, Vok sung khawngah honlutsak in, amaua ka lut theihna ding un, chiin, a kiangah a ngen ua.
12Basi, hao pepo wakamsihi, "Utupeleke kwa hao nguruwe, tuwaingie."
13Huan, aman thu a pia a, Huchiin, dawi ninte tuh a pawt ua, vok sung khawngah a lut ua; huan vok hon tuh, sang nih phial ahi ua, ken ah a tai suk duamduam ua, dil ah a tai lutta ua; huan dilah tuihakin a sita uh
13Naye akawaruhusu. Basi, hao pepo wachafu wakatoka, wakawaingia wale nguruwe. Kundi lote la nguruwe wapatao elfu mbili likaporomoka kwenye ule mteremko mkali mpaka ziwani, likatumbukia majini.
14Huan, amau vok vulte a tai ua, khua ah leh lou ah khawng a gen ua, Huan, huai thil hongom bang ahia chih endingin mite a hong kheukhou ua,
14Wachungaji wa hao nguruwe walikimbia, wakatangaza jambo hilo mjini na mashambani. Watu wakafika kuona yaliyotukia.
15Huan, Jesu kiang a hongtung ua, dawi mat, nuai matpa, a lungsim ngei pu leh puan silha huaia tu a mu ua, huchiin a a lauta uh.
15Wakamwendea Yesu, wakamwona na mtu yuleyule aliyekuwa amepagawa na jeshi la pepo ameketi chini, amevaa nguo na ana akili yake sawa, wakaogopa.
16Huan, ama ua muten, dawi mat tunga thil tundan leh vok tanchin khawng amaute a nahilh ua
16Watu walishuhudia tukio hilo wakaeleza wengine mambo yaliyompata huyo mtu aliyekuwa amepagawa na pepo na juu ya wale nguruwe.
17Huan, amau amah a gam ua kipan a pawt dingin a ngenta ua.
17Basi, wakaanza kumwomba aondoke katika nchi yao.
18Huan, longa tuang dia a kisak laitakin dawi matkhitpan Jesu kianga om a ngena,
18Yesu alipokuwa anapanda mashuani, yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo akamwomba amruhusu kwenda naye.
19Himahleh Jesun a phal keia, a kiangah, Na in ah na lawmte kiangah pai inla Toupan nang dia thila honhihsak a thupidan leh nang a honghehpihdan va hilh in, a chi zota a.
19Lakini Yesu akamkatalia. Badala yake akamwambia, "Nenda nyumbani kwa jamaa yako, ukawaambie mambo yote Bwana aliyokutendea na jinsi alivyokuonea huruma."
20Huan, a paia, Dekapoli khua khawng ah Jesun amah dia thil a hihsak thupidan a tangkou pihta. Huan mi tengtengin lamdang a sa mahmah uhi.
20Basi, huyo mtu akaenda, akaanza kutangaza huko Dekapoli mambo yote Yesu aliyomtendea; watu wote wakashangaa.
21Huan, Jesu longa gal khat lama a hongkai nawnin mipi tampi tak a kiangah hongpai khawm ua, huan, amah tuh dil geiah a om a.
21Yesu alivukia tena upande wa pili wa ziwa kwa mashua. Umati mkubwa wa watu ukakusanyika mbele yake, naye akawa amesimama kando ya ziwa.
22Huan, kikhopna in a vaihawmte laka mikhat, a min Jaira, a honga, Jesu a muh takin a khe bulah a khupboha.
22Hapo akaja mmojawapo wa maofisa wa sunagogi, jina lake Yairo. Alipomwona Yesu, akajitupa mbele ya miguu yake,
23Ka tanu naupang chik a si dekdek a; hong halha a hongdam theihna dingin, honga a tunga na khut koih dingin ka honngen hi, chiin, hahtangpiin a thum a.
23akamsihi akisema, "Binti yangu mdogo ni mgonjwa karibu kufa. Twende tafadhali, ukamwekee mikono yako, apate kupona na kuishi."
24Huchiin, Jesu a kiangah a vahoha. Huan mipu thupi takin a jui ua, amah a boh lutlut ua.
24Basi, Yesu akaondoka pamoja naye. Watu wengi sana wakamfuata, wakawa wanamsonga kila upande.
25Huan, numei khat kum sawm leh kum nih si pawta china a oma,
25Mmojawapo alikuwa mwanamke mwenye ugonjwa wa kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili.
26daktor tampi lakah nakpitakin a thuakta a, a neih tengteng leng a zangbei khinta a, phattuam naksangin a se zosop hi.
26Mwanamke huyo alikuwa amekwisha sumbuka sana kuwaendea waganga wengi. Na ingawa alikuwa amekwisha tumia mali yake yote, hakupata nafuu bali hali yake ilizidi kuwa mbaya.
27Huai min tuh Jesu tanchin khawng anaja a, a nung ah mipi lakah a hongpaia, a puan a khoih a.
27Alikuwa amesikia habari za Yesu, na hivyo akaupenya msongamano wa watu kutoka nyuma, akagusa vazi lake.
28A puan kia leng khoih leng, hihdamin ka om mai ding, a lungsimin a chi a.
28Alifanya hivyo, maana alijisemea, "Nikigusa tu vazi lake, nitapona."
29Huan, thakhatin a si pawt tuh a kam pah ngala, a natna tuh hihdam ahi chih a saah a kitheita a.
29Mara chemchemi ya damu yake ikakauka, akajisikia mwilini mwake kwamba ameponywa ugonjwa wake.
30Huan, Jesun, a sunga kipan thilhihtheihna pawt jel tuh a pawt chih a hontheia, mi lakah a kihei vialvial a, Kua ahia huai ka puan khoih? a chi a.
30Yesu alitambua mara kwamba nguvu imemtoka. Basi akaugeukia ule umati wa watu, akauliza, "Nani aliyegusa mavazi yangu?"
31Huan, a nungjuiten, a kiangah, Mipin a honboh lutlut uh na mu ngala, Kua ahia honkhoih? bangchi dana chi na hia le? a chi ua.
31Wanafunzi wake wakamjibu, "Unaona jinsi watu wanavyokusonga; mbona wauliza nani aliyekugusa?"
32Huan, aman tuh huai thil hihnu tuh muh tumina en vialviala.
32Lakini Yesu akaendelea kutazama amwone huyo aliyefanya hivyo.
33Huchiin, numeiin a tunga thil a hihsak theiin, lau leh ling kawmin a hongpaia, a maah khupbohin, a kiangah thudik a ngenta a hilh vek ta a.
33Hapo huyo mwanamke, akifahamu yaliyompata, akajitokeza akitetemeka kwa hofu, akajitupa chini mbele ya Yesu na kusema ukweli wote.
34Huan aman, a kiangah, Tanu na ginna dampih hi chia, khamuangtakin pai inla, na natna akipan na dam tawngtungta in, a chi a.
34Yesu akamwambia, "Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani, upone kabisa ugonjwa wako."
35A pau lai takin kikhopna ina vaihawmpa in a kipan mi a hongpai ua, Na tanu sita hi, bang dia Sinsakpa hihbuai lailai ding na hiam? a chi uhi.
35Yesu alipokuwa bado anaongea, watu walifika kutoka nyumbani kwa yule ofisa wa sunagogi, wakamwambia, "Binti yako amekwisha kufa. Ya nini kuendelea kumsumbua Mwalimu?"
36Jesun tuh a thugen uh ngeingaih louin, kikhopna in vaihawmpa kiangah, Lau ken, gingta mai in, a chi a.
36Lakini, bila kujali walichosema, Yesu akamwambia mkuu wa sunagogi, "Usiogope, amini tu."
37Huan, Peter toh Jakob toh, Jakob unau Johan toh chih louhngal midang uamahin amah a zuih uh a phal kei.
37Wala hakumruhusu mtu yeyote kufuatana naye ila Petro, Yakobo na Yohane nduguye Yakobo.
38Huan, kikhopna in vaihawmpa in a vatunga, Jesun ana buai vengvung uleh a nakap vengvung uleh a namau vengvung uh a vamu a,
38Wakafika nyumbani kwa ofisa wa sunagogi naye Yesu akasikia makelele, kilio na maombolezo mengi.
39Huan, a valuta, a kiang uah, Bang dia bilama, kap na hi ua? naupang si lou hi, a ihmu ahi jaw hi, a chi a.
39Akaingia ndani, akawaambia, "Mbona mnapiga kelele na kulia? Msichana hakufa, amelala tu."
40Huan, amau amah a nuihsan maimah ua. Ahihhangin Aman, a vek un a delkhia a, naupang omna ah a valut a,
40Lakini wao wakamcheka. Basi, akawaondoa wote nje, akawachukua baba na mama ya huyo msichana na wale wanafunzi wake, wakaingia chumbani alimokuwa huyo msichana.
41Huan, naupang khut a len a, a kiangah, Talitha Kumi, a chi a. Huai tuh, Nungak nou, thou in, ka honchi, chihna ahi.
41Kisha akamshika mkono, akamwambia, "Talitha, kumi," maana yake, "Msichana, nakwambia, amka!"
42Huan, numei naupang tuh a thou a, a paipah ngala; amah tuh kum sawm leh kum nih mi ahi ta him a. Huan, amau tuh lamdang a sa mahmah uh.Huan, aman, a kiang uah, Hiai kuamahin theikei heh, a chi bilbela, huan, nek ding piak ding thu a peta a.
42Mara msichana akasimama, akaanza kutembea. (Alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili.) Hapo watu wakashangaa kupita kiasi.
43Huan, aman, a kiang uah, Hiai kuamahin theikei heh, a chi bilbela, huan, nek ding piak ding thu a peta a.
43Yesu akawakataza sana wasimjulishe mtu jambo hilo. Kisha akawaambia wampe huyo msichana chakula.