Paite

Swahili: New Testament

Mark

4

1Huan dil piau ah thu a hilh nawnta a. Huan mipi hon tampi tak a kiangah a hongkikhawm ua, huchiin, dil ah longah a tuanga, a tu a, mipi hon tengteng tuh dil piau a leitung ah a om ua.
1Yesu alianza kufundisha tena akiwa kando ya ziwa. Umati mkubwa wa watu ulimzunguka hata ikambidi aingie katika mashua na kuketi. Watu wakawa wamekaa katika nchi kavu, kando ya ziwa.
2Huan, gentehna thuin thil tampi a hilh a; a thuhilhna ah a kiang uah,
2Aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia,
3Ngai khia unla, en dih ua; buhchithehpa buhchi theh dingin a kuan a.
3"Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.
4Huan, hichi a honghi a, a theh laiin a khen lampi sikah a kia a, vasaten a nezota ua.
4Alipokuwa akipanda, nyingine zilianguka njiani, ndege wakaja wakazila.
5Huan, a khen suangsi lei lakah a kia a; lei a sah louh jiakin a pou pah
5Nyingine zilianguka penye mawe pasipokuwa na udongo mwingi. Mbegu hizo ziliota mara kwa kuwa udongo haukuwa na kina.
6Himahleh, ni a hong suahin haivuaiin a hongoma, zung a neih louh jiakin a vuai mangta mai hi.
6Jua lilipochomoza, zikachomeka; na kwa kuwa mizizi yake haikuwa na nguvu, zikanyauka.
7Huan, akhen loulingnei lakah a kia a, loupa tuh a hongkhang sanga, a depmangta a, gah himhim a gahta kei hi.
7Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga, nazo hazikuzaa nafaka.
8Huan, a khen lei hoih ah a kia a, a pou a, a khangliana, a gahta a; a leh sawmthum khawng, a leh sawmguk khawng, aleh ja khawngin a pung chiatta uh, a chi a.
8Nyingine zilianguka katika udongo mzuri, zikakua na kuzaa: moja punje thelathini, moja sitini na nyingine mia."
9Huan, amahmahin, Kuapeuh jakna ding a bil neiin ja uheh, a chi a.
9Kisha akawaambia, "Mwenye masikio na asikie!"
10Huan, a tang om laiin a kima omten sawm leh nihte toh gentehna thu tuh a dong chian ua.
10Yesu alipokuwa peke yake, baadhi ya wale waliomsikia walimwendea pamoja na wale kumi na wawili, wakamwuliza juu ya hiyo mifano.
11Huan, aman tuh akiang uah, Pathian gam thuguk jaw noute kianga piak ahi a, po lam mite a dingin bel bangkim gentehnaa gen ahi; huchiin.
11Naye akawaambia, "Ninyi mmejaliwa kujua siri ya Utawala wa Mungu, lakini wale walio nje wataambiwa kila kitu kwa mifano,
12Muh jaw a mu thei na ua, theihsiam jaw a theisiam louhna ding un; huchilou injaw a kihei nawn ding ua, ngaihdam a honghi kha ding uh, a chi a.
12ili, Watazame kweli, lakini wasione. Wasikie kweli, lakini wasielewe. La sivyo, wangemgeukia Mungu, naye angewasamehe."
13Huan, amahmahin, a kiang uah, Hiai gentehna thu na theisiam kei umaw? Huchi ahihin bangchin gentehna thu dang tengtengte na theisiam tuan ding ua?
13Basi, Yesu akawauliza, "Je, ninyi hamwelewi mfano huu? Mtawezaje basi, kuelewa mfano wowote?
14Buhchithehpan thu a theh ahi.
14Mpanzi hupanda neno la Mungu.
15Huan, lam sika thu thehnate tuh hiai bang ahi uh; thu a jak tak un Setanin a lungtang ua thu theh tuh a laksak pahpah a.
15Watu wengine ni kama wale walio njiani ambapo mbegu zilianguka. Hawa hulisikia hilo neno lakini mara Shetani huja na kuliondoa neno hilo lililopandwa ndani yao.
16Huan, huchibangmahin suangsi leitunga theh tuh hiai-te ahi uh; thu a jak phet ua kipak taka pom pahte bang
16Watu wengine ni kama zile mbegu zilizopandwa penye mawe. Mara tu wanapolisikia hilo neno hulipokea kwa furaha.
17himahleh amau ah zung himhim a neikei ua, sawt lou chik kia a om uh; huai nungin thu jiaka gimthuakna hiam sawina hiam a hongom phetin a kipukpah pah uhi.
17Lakini haliwaingii na kuwa na mizizi ndani yao; huendelea kulizingatia kwa kitambo tu, na wakati taabu au udhalimu vinapotokea kwa sababu ya hilo neno mara wanakata tamaa.
18Huan, mi dangte tuh loulingnei laka theh ahi uh; huaiten tuh thu a zata ua
18Watu wengine ni kama zile mbegu zilizoanguka penye miti ya miiba. Huo ni mfano wa wale wanaolisikia hilo neno,
19himahleh khovel lungkhamnate, thil dang duhgawlnate a honglut chiangin, thu a dep a, gah louin a om nak.
19lakini wasiwasi wa ulimwengu huu, anasa za mali na tamaa za kila namna huwaingia na kulisonga hilo neno, nao hawazai matunda.
20Huan, lei hoiha tuh bel hiaite ahi uh; thu ja a, poma, a leh sawmthum khawng, a leh sawmguk khawng, a leh ja khawnga gahte ahi uh, a chi a.
20Lakini wengine ni kama zile mbegu zilizopandwa katika udongo mzuri. Hawa hulisikia hilo neno, wakalipokea, wakazaa matunda: wengine thelathini, wengine sitini na wengine mia moja."
21Huan, amahmahin, a kiang uah, Khawnvak a koihnaa koih lou a, loh nuai hiam, lupna nuai hiam a koih dingin a honla ngei ua hia?
21Yesu akaendelea kuwaambia, "Je, watu huwasha taa wakaileta ndani na kuifunika kwa pishi au kuiweka mvunguni? La! Huiweka juu ya kinara.
22Thang lou dinga im bangmah a om ngei keia, langlou dinga sel bangmah a om sam kei.
22Basi, kila kilichofichwa kitafichuliwa, na kila kilichofunikwa kitafunuliwa.
23Kuapeuhin jakna dinga bil a neih uleh ja uheh, a chi a.
23Mwenye masikio na asikie!"
24Huan, amahmahin, a kiang uah, Na jak uh bang ahia, pilvang un; na tehna ngei mah ua piakin na om ding ua, a tam jaw bawn piakin na om ding uh.
24Akawaambia pia, "Sikilizeni kwa makini mnachosikia! Kipimo kilekile mnachowapimia watu wengine, ndicho mtakachopimiwa; tena mtazidishiwa.
25Kuapeuh a nei tuh piak behlap in om ding ua, kuapeuh a neilou tuh a neih sun nangawn laksak in om ding uh, a chi a.
25Aliye na kitu atapewa zaidi; asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa."
26Huan, a mahmahin, Pathian gam tuh min leia chi a tuh bang ahi.
26Yesu akaendelea kusema, "Ufalme wa Mungu ni kama ifuatavyo. Mtu hupanda mbegu shambani.
27Jan chiangin a ihmu a, sun chiangin a thou jela; chi tuh ana pouin ana khanga, himahleh bangchi a pou a bangchi a khang ahia chih a theikei.
27Usiku hulala, mchana yu macho na wakati huo mbegu zinaota na kukua; yeye hajui inavyofanyika.
28Leiin amahin gah a honsuah jela; A masapenin a kung, huan, a vui, huan, a vui ah a tang.
28Udongo wenyewe huiwezesha mimea kukua na kuzaa matunda: kwanza huchipua jani changa, kisha suke, na mwishowe nafaka ndani ya suke.
29Himahleh, huai a gah a hongmin chiangin, buh lak a hun tak jiakin, kaite in atpah hi, a chi a.
29Nafaka inapoiva, huyo mtu huanza kutumia mundu wake, maana wakati wa mavuno umefika."
30Huan, amahmahin, Pathian gam tuh bangtoh i tehpih dia? ahihkeileh, bang gentehna thin ahia i genteh ding?
30Tena, Yesu akasema, "Tuufananishe Utawala wa Mungu na nini? Tuueleze kwa mifano gani?
31Ankam chi tang khat leia a tuh un, leia chi tengteng sangin neupen mahleh,
31Ni kama mbegu ya haradali ambayo ni ndogo kuliko mbegu zote.
32a tuh nung un a hongpou a, loupa tengteng sangin a honglianzota a, hiang lian taktak a honnei a, huchiin tungleng vasate tuh a lim ah a giak uhi, huchi bangmah ahi, a chi a.
32Lakini ikisha pandwa, huota na kuwa mmea mkubwa kuliko mimea yote ya shambani. Matawi yake huwa makubwa hata ndege wa angani huweza kujenga viota vyao katika kivuli chake."
33Huan, huchi bang gentehna thu tampiin, a jak theih khomkhom un, thu a kiang uah a gen jel a.
33Yesu aliwahubiria ujumbe wake kwa mifano mingine mingi ya namna hiyo; aliongea nao kadiri walivyoweza kusikia.
34Himahleh, gentehna lou in a kiang uah thu a gen ngei kei; amah nungjuite kiangah tuh a simin bangkim a hilhchian jel hi.
34Hakuongea nao chochote bila kutumia mifano; lakini alipokuwa pamoja na wanafunzi wake peke yao alikuwa akiwafafanulia kila kitu.
35Huan, huai ni mahin, nitaklam a honghihin, aman, a kiang uah Gal khat lam i kai ding uh, a chi a.
35Jioni, siku hiyohiyo, Yesu aliwaambia wanafunzi wake, "Tuvuke ziwa, twende ng'ambo."
36Huchiin, mipite pai sanin, amah, a om ngeingei bangin, long ah a paipih pah ngal ua, Long dangte leng a kiangah a om hi.
36Basi, wakauacha ule umati wa watu, wakamchukua Yesu katika mashua alimokuwa. Palikuwapo pia mashua nyingine hapo.
37Huan, huihpi thupitak a hongnung a, tuikihawtte tuh longah a hongkihawt lut juajua a, huchiin long a hong dim dek maimah a,
37Basi, dhoruba kali ikaanza kuvuma, mawimbi yakaipiga ile mashua hata ikaanza kujaa maji.
38huan, amah tuh, lukham khama ihmuin, long mei lamah a oma. Huan, a phawng ua, a kiangah, Heutupa, ka manthat uh khawksa lou na hi maw? a chi ua
38Yesu alikuwa sehemu ya nyuma ya mashua, amelala juu ya mto. Basi, wanafunzi wakamwamsha na kumwambia, "Mwalimu, je, hujali kwamba sisi tunaangamia?"
39Huan, amah hongkhanglouta a, huih tuh a taia, dil kiangah leng, Dai inla, om kinken in, achia, Huan, huih tuh a tawpta a, a hong dai dide maimah.
39Basi, akaamka, akaukemea ule upepo na kuyaamrisha mawimbi ya ziwa, "Kimya! Tulia!" Hapo upepo ukakoma, kukawa shwari kabisa.
40Huan, aman, a kiang uah, Bangchi a hichi tela lau na hi ua oi? Ginna himhim nei nai lou na hi umaw? a chi a.Huan, lau petmahin a lau ua, Hiai mi kua ahia le, huih leh dil nangawnin a thu aman uh? a kichi khiukheu uh.
40Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Mbona mnaogopa? Je, bado hamna imani?"
41Huan, lau petmahin a lau ua, Hiai mi kua ahia le, huih leh dil nangawnin a thu aman uh? a kichi khiukheu uh.
41Nao wakaogopa sana, wakawa wanaulizana, "Huyu ni nani basi, hata upepo na mawimbi vinamtii?"