1Huan, kikhopna in ah a lut nawna; huaiah mi khat khutjaw a na om a
1Yesu aliingia tena katika sunagogi na mle ndani mlikuwa na mtu aliyekuwa na mkono uliopooza.
2Huan, amah a hek theihna ding un Khawlniin a hihdam nop leh nop louh a ensim ua.
2Humo baadhi ya watu walimngojea amponye mtu huyo siku ya sabato ili wapate kumshtaki.
3Huan, aman khutjaw kiangah, Hongding khia in, a chi a.
3Yesu akamwambia huyo mtu aliyekuwa na mkono uliopooza, "Njoo hapa katikati."
4Huan a kiang uah, Khawlniin hihhoih hia siang, hihsiat? hotdam hia siang, hihlup? chiin, a donga. Himahleh a dai dide ua.
4Kisha, akawauliza, "Je, ni halali siku ya Sabato kutenda jambo jema au kutenda jambo baya; kuokoa maisha au kuua?" Lakini wao hawakusema neno.
5Huan a lungtang uh tak jiaka lungkham mahmah leh heh kawma amaute a et velvel nungin, huai mi kiangah, Na khut zan in, a chi a, Huan, a zan kheta a, a khut tuh a damta.
5Hapo akawatazama wote kwa hasira, akaona huzuni kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao. Kisha akamwambia huyo mtu, "Nyosha mkono wako!" Naye akaunyosha mkono wake, ukawa mzima tena.
6Huan, Phaisaite a pawt khia ua, amah a hihlup theihna dan ding uh ngaihtuahin Herod pawl a mite toh a kihou khawm pah ua.
6Mara Mafarisayo wakatoka nje, wakafanya shauri pamoja na watu wa kikundi cha Herode jinsi ya kumwangamiza Yesu.
7Huan, Jesu tuh a nungjuite toh dil lamah a pai mang ua; huan, Galili gam a kipanin mipi tampitakin a jui ua;
7Yesu aliondoka hapo pamoja na wanafunzi wake, akaenda kando ya ziwa, na umati wa watu ukamfuata. Watu hao walikuwa wametoka Yerusalemu, Yudea,
8Huan, a thilhih thupidan a jak un Judia gama kipan, Jerusalem khua akipan, Idumai gam akipan, Jordan gal a kipan, Tura leh Sidon khokim akipan bangin mipi tampitak a kiangah a hong ua.
8Idumea, ng'ambo ya mto Yordani, Tiro na Sidoni. Watu hao wengi walimwendea Yesu kwa sababu ya kusikia mambo mengi aliyokuwa ameyatenda.
9Huan mipi jiakin amah a dia long neu mansaa na om dingin a nungjuite a hilha. Huchilou in jaw honum lutlut kha ding uh, a chi a.
9Yesu akawaambia wanafunzi wake wamtayarishie mashua moja, ili umati wa watu usije ukamsonga.
10Mi tampi a hihdamta ngala, huchiin natna nei peuhmahin amah a khoih theihna ding un a boh huthut ua.
10Alikuwa amewaponya watu wengi, na wagonjwa wote wakawa wanamsonga ili wapate kumgusa.
11Dawi ninten leng amah a muh tengun a maah khupbohin, Nang Pathian Tapa na hi, chiin, a kikou nak uh.
11Na watu waliokuwa wamepagawa na pepo wachafu walipomwona, walijitupa chini mbele yake na kupaaza sauti, "Wewe ni Mwana wa Mungu!"
12Huan, aman, a tanchin than louh ding a kiang uah a chi bikbek jel a.
12Lakini Yesu akawaamuru kwa ukali wasimjulishe kwa watu.
13Huan, tangah a vahoh tou a, aman a ngaihngaih a sam a; huan, amau tuh a kiangah a hoh tou ua.
13Yesu alipanda kilimani, akawaita wale aliowataka. Basi, wakamwendea,
14Huan, a kianga a om ding leh, thu gen dia a sawl khiak dingin sawm leh nihte a sepa.
14naye akawateua watu kumi na wawili ambao aliwaita mitume, wakae naye, awatume kuhubiri
15daite delh khiakna thunei dingin leng.
15na wawe na mamlaka ya kuwafukuza pepo.
16Huaite tuh Simon, Peter a chih bang
16Basi, hao kumi na wawili walioteuliwa ndio hawa: Simoni (ambaye Yesu alimpa jina, Petro),
17Zebedai tapa Jakob leh Jakob unau Johan, huai mite tuh Baonerges a chih te bang, huai tuh vanging tapate chihna ahi.
17Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo (Yesu aliwapa hawa ndugu wawili jina Boanerge, maana yake "wanangurumo"),
18Andru, Philip, Bartholomai, Matthai, Thoma, Alphai tapa Jakob, Thaddai, Kanan mi Simon,
18Andrea na Filipo, Batholomayo, Mathayo, Thoma, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkanani na
19leh a mansapa Juda Iskariot te bang ahi uh. Huan, in ah a paita.
19Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu.
20Huan, mipi a a hong khawm nawn ua, huchiin an nangawn leng a ne theikei ua.
20Kisha Yesu alikwenda nyumbani. Umati wa watu ukakusanyika tena, hata Yesu na wafuasi wake wasiweze kupata nafasi ya kula chakula.
21Huan, a lawmten huai a jakunm A hai ahi, chiin amah mat tumin a kisa uh.
21Basi, watu wa jamaa yake walipopata habari hiyo wakatoka kwenda kumchukua maana walikuwa wanasema kwamba amepatwa na wazimu.
22Huan, laigelhmite Jerusalem khua a kipana hong sukten, Beelzibul a jawl ahi, dawi lal jiakin ahi, dawite a delh khiak nak, a chi ua.
22Nao walimu wa Sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu, wakasema, "Ana Beelzebuli! Tena, anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo."
23Huan, Jesun laigelhmite a sama, gentehna thuin a kiang uah, Setan in Setan mah bangchin a delh khe theia?
23Hapo Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, "Shetani anawezaje kumfukuza Shetani?
24Gam leng amah a kidou leh, huai gam a ding khe theikei ding.
24Ikiwa utawala mmoja umegawanyika makundimakundi yanayopigana, utawala huo hauwezi kudumu.
25Inkuan khat leng amau a kidou uleh, huaite inkuan a ding khe theikei kei ding uh.
25Tena, ikiwa jamaa moja imegawanyika makundimakundi yanayopingana, jamaa hiyo itaangamia.
26Setan mah leng amah kidou a, a kilan in tuh, a ding khe theikei dinga, amangthang zo mai ding.
26Ikiwa basi, utawala wa Shetani umegawanyika vikundivikundi hauwezi kudumu, bali utaangamia kabisa.
27Kuamahin mi hat ina lutin a sum a lak sak theikei uh, mi hatpa tuh a hen masak phot kei uleh, huai nungin tuh a in a lohsak mai ding uh.
27"Hakuna mtu awezaye kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyang'anya mali yake, isipokuwa kwanza amemfunga huyo mtu mwenye nguvu; hapo ndipo atakapoweza kumnyang'anya mali yake.
28Chihtaktakin ka honhilh ahi, mihing tate, a khelhna tengteng uah leh Pathian a gensiatnalam bangpeuh uah leng a gensiatnate uah, ngaihdam ahi ding ua
28"Kweli nawaambieni, watu watasamehewa dhambi zao zote na kufuru zao zote;
29Kuapeuh Kha siangthou hilhial gansia jaw bangchik chiang mahin ngaihdamna a mu kei dinga, khantawn khelhna siamlouin a hongom zo ding, a chi a.
29lakini anayesema mabaya dhidi ya Roho Mtakatifu, hatasamehewa kamwe; ana hatia ya dhambi ya milele."
30Dawi nin a jawl ahi, a chih jiakun huai tuh a gen ahi.
30(Yesu alisema hivyo kwa sababu walikuwa wanasema, "Ana pepo mchafu.")
31Huan, a nu leh a unaute a hong ua, inpua ah a ding ua; amah sam din mi a sawl ua.
31Mama yake Yesu na ndugu zake walifika hapo, wakasimama nje, wakampelekea ujumbe kutaka kumwona.
32Huan a kim ah mipi a natu diamduam ua; huan, a kiangah, Ngaidih, inpua ah na nu leh na sanggampaten a hongzong uh, a chi ua.
32Umati wa watu ulikuwa umekaa hapo kumzunguka. Basi, wakamwambia, "Mama yako na ndugu zako wako nje, wanataka kukuona."
33Huan, aman a kianguah, Ka nu leh ka samgampate kuate ahi ua? chiin a dawnga
33Yesu akawaambia, "Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?"
34Huan, a kiang khawnga tute a en velvel a, En un, ka nu leh ka sanggampatekuapeuh Pathian deihlam hih photphot, huai mite tuh ka sanggampate, ka sanggampate, ka sanggamnute, ka nute ahi uh, a chi a.
34Hapo akawatazama watu waliokuwa wamemzunguka, akasema, "Tazameni! Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu.
35kuapeuh Pathian deihlam hih photphot, huai mite tuh ka sanggampate, ka sanggampate, ka sanggamnute, ka nute ahi uh, a chi a.
35Mtu yeyote anayefanya anayotaka Mungu, huyo ndiye kaka yangu, dada yangu na mama yangu."