1Huan jingsang a hong hih in siampu liante leh vantang upate tengteng Jesu hihlum ding in a tung thu ah a kihou ua;
1Kulipopambazuka, makuhani wakuu wote na wazee wa watu walifanya mashauri juu ya Yesu wapate kumwua.
2huan, a gak ua, a pi ua, gam ukpa Pilat kiang ah a peta ua.
2Wakamfunga pingu, wakamchukua, wakamkabidhi kwa Pilato, mkuu wa mkoa.
3Huan, Juda a mansakpa'n Jesu siamlouh a tangsak uh chih a theih tak in a kisik a, dangka sawmthum tuh siampu liante leh upate kiang ah a hon tawi nawn a.
3Hapo, Yuda ambaye ndiye aliyemsaliti, alipoona kwamba wamekwisha mhukumu Yesu, akajuta, akawarudishia makuhani wakuu zile sarafu thelathini za fedha.
4Mi dik sisan ka khot tuh thil ka na hihkhial ahi, a chi a. Amau tuh, Huai kou a ding in bang a khawk dia? Nang na lohloh loh in, a chihsan ua.
4Akawaambia, "Nimekosa kwa kumtoa mtu asiye na hatia auawe." Lakini wao wakasema, "Yatuhusu nini sisi? Hilo ni shauri lako."
5Huan, aman tuh dangka tuh mun siangthou ah a pailut a, a paimang a; a va awklumta.
5Naye akazitupa zile fedha Hekaluni, akatoka nje, akaenda akajinyonga.
6Huan, siampu liante'n dangka tuh a la ua, Hiai thohlawm bawm a koih a siangkei, sisan man ahi ngal a, a chi ua.
6Makuhani wakuu wakazichukua zile fedha, wakasema, "Haifai kuziweka katika hazina ya Hekalu kwa maana ni fedha za damu."
7Huchi in, a kihou ua, mikhualte vuina ding in belvelmi mun a leita uh.
7Basi, wakashauriana, wakazitumia kununua shamba la mfinyanzi liwe mahali pa kuzika wageni.
8Huaizaik in ahi, huai mun tuh tutan a Sisan Mun a chih uh.
8Ndiyo maana mpaka leo shamba hilo linaitwa Shamba la Damu.
9Huan, jawlnei Jeremia in a na gen, Huan dangka sawmthum, amah man ding a Israel tate lak a kuate hiam in a sak uh tuh, a lata ua;
9Hivyo maneno ya nabii Yeremia yakatimia: "Walizichukua sarafu thelathini za fedha, thamani ya yule ambaye watu wa Israeli walipanga bei,
10Toupa'n hon hilh bang in belvel mi mun man ding in a pia ua, chih a hong tangtungta.
10wakanunua nazo shamba la mfinyanzi, kama Bwana alivyoniagiza."
11Huan, Jesu tuh gam ukpa ma ah a ding a. Huan, gam ukpa'n, Judate kumpipa na hi hia? chi in, a dong a. Huan, Jesu'n a kiang ah, Hi e, a chi a.
11Yesu alisimamishwa mbele ya mkuu wa mkoa. Basi, mkuu wa mkoa akamwuliza, "Je, wewe ndiwe Mfalme wa Wayahudi?" Yesu akamwambia, "Wewe umesema."
12Huan, siampu liante leh upate'n a heklai un bangmah in a dawngkei a.
12Lakini makuhani wakuu na wazee walipokuwa wanamshtaki, hakujibu neno.
13Huchi in, Pilat in a kiang ah, A hon hekna zouzai uh na za ka hia? a chi a.
13Hivyo Pilato akamwuliza, "Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?"
14Huan, kamkhat lel in leng a dawngkei a; huchi in gam ukpa'n lamdang a sa mahmah a.
14Lakini Yesu hakumjibu hata neno moja; hata huyo mkuu wa mkoa akashangaa sana.
15Huan, gam ukpa'n ankuanglui ni in mi henta khat, a deihdeih uh, mipite a ding in a pawtsak jel a.
15Ilikuwa kawaida wakati wa Sikukuu ya Pasaka mkuu wa mkoa kuwafungulia Wayahudi mfungwa mmoja waliyemtaka.
16Huan, huailai in mi henta minthang, Barabba a chih uh a nei ua.
16Wakati huo kulikuwa na mfungwa mmoja, jina lake Baraba.
17Huchi in, a hong kikhop un, Pilat in a kiang uah, Kua hon pawtsak leng na ut ua? Barabba hia, Jesu Kris kichi? a chi a.
17Hivyo, watu walipokusanyika pamoja, Pilato akawauliza, "Mwataka nimfungue yupi kati ya wawili hawa, Baraba ama Yesu aitwae Kristo?"
18Hajatna jiak in amah a mansak uh chih a thei ngal a.
18Alisema hivyo maana alijua wazi kwamba walimleta kwake kwa sababu ya wivu.
19Huan, vaihawmna tutphah a a tutlai in, a ji in, Huai midik tungah bangmah hih ken, tuni in amah jiak in mang in thil tampi ka thuak ahi, chi in thu a khak a.
19Pilato alipokuwa amekaa katika kiti cha hukumu, mke wake akampelekea ujumbe: "Usijitie katika shauri la mtu huyu mwema, maana leo nimeteseka sana katika ndoto kwa sababu yake."
20Huan, siampu liante leh upate'n Barabba nget a Jesu hih mangthat ding in, mipite a khem ua.
20Lakini makuhani wakuu na wazee wakawashawishi watu waombe Baraba afunguliwe na Yesu auawe.
21Gam ukpa'n bel amau a houpih a, Amau nihte a kua jaw hon pawtsak leng chi na hi ua? a chi nawn a.
21Mkuu wa mkoa akawauliza, "Ni yupi kati ya hawa wawili mnayetaka nimfungue?" Wakamjibu, "Baraba!"
22Huan, amau tuh, Barabba, a chi ua. Pilat in a kiang uah, Jesu Kris kichi, bang ka chihta dia le? a chi a. Avek un, Amah jaw kros ah kilhden in om heh, a chi ua.
22Pilato akawauliza, "Sasa, nifanye nini na Yesu aitwaye Kristo?" Wote wakasema, "Asulubiwe!"
23Huan, aman, Bang di'n maw? Bang a hihkhial a ahia? a chi a. Himahleh, amau tuh, Kros ah kilhden in om heh, chi in, a kikou vengvung ua.
23Pilato akauliza, "Kwa nini? Amefanya kosa gani?" Wao wakazidi kupaaza sauti: "Asulubiwe!"
24Huchi in, Pilat in bangmah a hih theikei a, a hong buai deuhdeuh zo ding chih a theih in, tui a la a, mipite ma ah a khut a sil a, Hiai midik sisan ah ka siang e; noumau na lohloh loh un, a chi a.
24Basi, Pilato alipotambua kwamba hafanikiwi chochote na kwamba maasi yalikuwa yanaanza, alichukua maji, akanawa mikono mbele ya ule umati wa watu, akasema, "Mimi sina lawama juu ya kifo cha mtu huyu; shauri lenu wenyewe."
25Huan, mipi tengteng in, A sisan jaw koumau tungah leh ka tate uh tungah om heh, chi in a dawng ua.
25Watu wote wakasema, "Damu yake na iwe juu yetu na juu ya watoto wetu!"
26Huaikhit in Barabba tuh a pawtsak a; Jesu bel a jep a, kros a kilhden ding in a peta a.
26Hapo Pilato akawafungulia Baraba kutoka gerezani, lakini akamtoa Yesu asulubiwe.
27Huai khit in, gam ukpa sepaite'n Jesu tuh inpi ah a pilut ua, a pawl ua mi tengteng a kiang ah a hongkhawm ua.
27Kisha askari wa mkuu wa mkoa wakamwingiza Yesu ndani ya ikulu, wakamkusanyikia kikosi kizima.
28Huchi in, a puante khawng a suahsak ua, puan san a silhsak uhi.
28Wakamvua nguo zake, wakamvika joho la rangi nyekundu.
29Huan, linglukhu a phan ua, a khusak ua, a khut taklam in sialluang a tawisak ua; a ma ah a khukdin ua, Chibai, Judate kumpipa, chi in nuihza bawlna'n a nei uh.
29Kisha wakasokota taji ya miiba, wakamvika kichwani, wakamwekea pia mwanzi katika mkono wake wa kulia. Wakapiga magoti mbele yake, wakamdhihaki wakisema, "Shikamoo mfalme wa Wayahudi!"
30Huan, amah chil a siat ua, sialluang a laksak ua, a lu ah a khen ua.
30Wakamtemea mate, wakauchukua ule mwanzi, wakampiga nao kichwani.
31Huan, nuihza bawlna dia a neih khit un, puan tuh a suah sak ua, amah puante tuh a silhsak nawn ua, kros a kilhden ding in a pita uh.
31Baada ya kumdhihaki, wakamvua lile joho, wakamvika nguo zake, kisha wakampeleka kumsulubisha.
32Huan, a pai khiak lai un, Kurini khua a mi, a min Simon a mu ua; huai mi tuh a kros po ding in a man ua.
32Walipokuwa wakienda, wakamkuta mtu mmoja jina lake Simoni, mwenyeji wa Kurene, wakamlazimisha kuuchukua msalaba wake Yesu.
33Huan, Golgotha kichi mun a hongtun un, (Luguh mun chihna a hi)
33Walipofika mahali paitwapo Golgotha, maana yake, "Mahali pa Fuvu la kichwa,"
34uain thuk, bangkhat kha toh hel, dawn ding in a pia ua, himahleh a chep tak in a dawn nuamkei a.
34wakampa mchanganyiko wa divai na nyongo. Lakini Yesu alipoonja akakataa kunywa.
35Huan, kros a a kilhden khit un, aisan in a puansilh tuh a kihawm ua.
35Walimsulubisha, kisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura.
36Huan, huai ah a tu ua a vengta ua.
36Wakaketi, wakawa wanamchunga.
37Huan, a hekna, HIAI JUDATE KUMPIPA JESU A HI, chia gelh, a lu tungah a suang uh.
37Juu ya kichwa chake wakaweka shtaka dhidi yake lilioandikwa, "Huyu ni Yesu, Mfalme wa Wayahudi."
38Huan, amah toh, suamhat nih a kilhden lai ua, a taklam ah khat a veilam ah khat.
38Wanyang'anyi wawili walisulubishwa pia pamoja naye, mmoja upande wa kushoto na mwingine upande wa kulia.
39Huan, mi vialvak peuh in a enghou ua,
39Watu waliokuwa wanapita mahali hapo walimtukana wakitikisa vichwa vyao na kusema,
40a lu uh sinkhum a, Nang Pathian biakin hihsia a ni thum a lam nawnpa, kihihdam in; Pathian Tapa na hih leh kros a kipan hong kumsuk tanla, chi in.
40"Wewe! Si ulijidai kulivunja Hekalu na kulijenga kwa siku tatu? Sasa jiokoe mwenyewe. Kama wewe ni Mwana wa Mungu, basi shuka msalabani!"
41Huchimah bang in siampu lalte'n, laigelhmite toh, enghou in,
41Hali kadhalika na makuhani wakuu pamoja na walimu wa Sheria na wazee walimdhihaki wakisema,
42Mi dang bawn a hihdam jel, amah leh amah kihihdam theilou pi in. Israelte kumpipa a hihngal leh tu in kros a kipan hong kum leh a kei dia, huchi in amah tuh i gingta mai ding.
42"Aliwaokoa wengine, lakini kujiokoa mwenyewe hawezi! Eti yeye ni mfalme wa Wayahudi! Basi, sasa na ashuke msalabani, nasi tutamwamini.
43Pathian a muang na a ka, amah jaw, a ut leh tun ah hondam leh a ke; Pathian Tapa ka hi, a chi ngal a, a chi ua.
43Alimtumainia Mungu na kusema eti yeye ni Mwana wa Mungu; basi, Mungu na amwokoe kama anamtaka."
44Suamhat a kilhden un leng, huchimah bang in a enghou a.
44Hali kadhalika na wale waliosulubiwa pamoja naye wakamtukana.
45Huan dak gukna a kipan dak kua tan in khovel a hong mial vekta a.
45Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa, nchi yote ikawa katika giza.
46Huan, dak kua ding khawng in, Jesu tuh ngaihtak in a kikou a, Eloi, Eloi, lama sabak thani? chi in, a kikoukhia a, huai tuh, Ka Pathian, ka Pathian bangdia hon paisan? chihna ahi.
46Mnamo saa tisa Yesu akalia kwa sauti kubwa, "Eli, Eli, lema sabakthani?" Maana yake, "Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?"
47Huan, a kiang a ding khenkhatte'n huai a jak un, Hiai mi'n Elija sam ahi, a chi ua.
47Lakini wale waliosimama pale waliposikia hivyo wakasema, "Anamwita Eliya."
48Huan, a lak ua mi khat kintak in a taipah a, spanji a la a, uain thuk ah a diah dim a, chiang ah a suang a, a dawnsak tou a.
48Mmoja wao akakimbia, akachukua sifongo, akaichovya katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, akampa anywe.
49Huan, Midangte'n, Thudon dah un, amah lakhe ding in Elija a hong hiam i en ding a chi ua.
49Wengine wakasema, "Acha tuone kama Eliya anakuja kumwokoa."
50Huan, Jesu tuh ngaihtak in a kikou nawn a, a kha a khahta a.
50Basi, Yesu akalia tena kwa sauti kubwa, akakata roho.
51Huan, ngai dih, Pathian biakin puanjak tuh a tunglam a kipan a nuailam tan in hong keksuakta a; huan, jin bang a hong ling a, suangpite a hong khangkham a; hante a hong kihong a;
51Hapo pazia la Hekalu likapasuka vipande viwili, toka juu mpaka chini; nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka;
52mi siangthou ihmusate sapum tampi leng kaihthoh in a omta ua;
52makaburi yakafunguka na watu wengi wa Mungu waliokufa wakafufuliwa;
53huaite tuh, A thoh nawn nung in, han a pat hong pawt in kho siangthou ah a lut ua, mi tampi lak ah a kilakta ua.
53nao, baada ya kufufuka kwake, wakatoka makaburini, wakaingia katika Mji Mtakatifu, wakaonekana na watu wengi.
54Huan, sepaih zaheutu leh a kiang a Jesu veng a omsamte'n, jinling leh thil omdante a muh un a lauta mahmah ua, Hiai mi Pathian Tapa ahi ngeingei, a chi ua.
54Basi, jemadari na wale waliokuwa wakimlinda Yesu walipoona tetemeko la ardhi na yale mambo yaliyotukia, wakaogopa sana, wakasema, "Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu."
55Huan, huailai ah, numei tampi, a nasepsak kawm zel a Galili gam a kipan a hon juite a om ua, gamlapi ah a en ua;
55Mahali hapo walikuwapo wanawake wengi wakitazama kwa mbali. Hao ndio wale waliomfuata Yesu kutoka Galilaya wakimtumikia.
56huaite lak ah tuh Mari Magdalini, Mari Jakob leh Joseph nu, Zebedai tapate nute a om ua.
56Miongoni mwao walikuwa Maria Magdalene, Maria mama yao Yakobo na Yosefu, pamoja na mama yao wana wa Zebedayo.
57Huan, nitaklam a honghih in, mi hau, a min Joseph Arimathai khua a, a hongpaia, amah ngei leng Jesu nungjui ahi sam a;
57Ilipokuwa jioni, akaja mtu mmoja tajiri mwenyeji wa Armathaya, jina lake Yosefu. Yeye pia alikuwa mwanafunzi wa Yesu.
58Huai mi tuh Pilat kiangah a vahoh a, Jesu luang a ngen a. Huan, Pilatin pe dingin thu a pia a.
58Akamwendea Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu. Basi, Pilato akaamuru apewe.
59Huchiin Joseph in a luang tuh a la a, puan malngat siangtakin a tuama,
59Yosefu akauchukua ule mwili akauzungushia sanda safi ya kitani,
60A han thak, suang khuakkuak ah a sial a; han kongkhak ah suang lian pi in a delh a, a paita.
60akauweka ndani ya kaburi lake jipya alilokuwa amelichonga katika mwamba. Kisha akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango wa kaburi, akaenda zake.
61Huan, huai lai ah tuh Mari Magdalini leh Mari dang a om ua, han ma jawnah a tu ua.
61Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikuwa wameketi kulielekea kaburi.
62Huan, a jing in, huai tuh Kiginni jing ahi, siampu liante leh pharisaite Pialt kiang ah a om khawm kheukhou ua,
62Kesho yake, yaani siku iliyofuata ile ya Maandalio, makuhani wakuu na Mafarisayo walimwendea Pilato,
63Pu huai mikhemhat in, a damlai in, Ni thum nung in ka thou nawn ding, a chih ka thei gige ua.
63Wakasema, "Mheshimiwa, tunakumbuka kwamba yule mdanganyifu alisema kabla ya kufa ati, Baada ya siku tatu nitafufuka.
64Huchi in han tuh ni thum ni tan a veng hoih ding in thu pia in; huchilou in jaw a nungjuite'n amah a va gu kha ding ua, vantang kiang ah, Misi lak a kipan a thou nawnta ahi, a chi kha ding uh; huchin khemna nanung jaw tuh a masa sang in a hoih keizo sem ding, a chi ua.
64Kwa hiyo amuru kaburi lilindwe mpaka siku ya tatu ili wanafunzi wake wasije wakamwiba na kuwaambia watu kwamba amefufuka. Uongo huu wa mwisho utakuwa mbaya kuliko ule wa awali."
65Pilat in a kiang uah, Vengmi sepaihte na nei ve ua oi; pai unla, na hihtheih bang un veng hoihsak ta unla, a chi a.Huchi innvengmi sepaihte toh a va hoh ua, han tuh a veng hoihsak ua, suang tuh achiamteh uh.
65Pilato akawaambia, "Haya, mnao walinzi; nendeni mkalinde kadiri mjuavyo."
66Huchi innvengmi sepaihte toh a va hoh ua, han tuh a veng hoihsak ua, suang tuh achiamteh uh.
66Basi, wakaenda, wakalilinda kaburi, wakatia mhuri juu ya lile jiwe na kuacha hapo askari walinzi.