1Huan, Khawlni nitaklam in, ni sagih ni masapen ding a khovak pat in, Mari Magdalini leh Mari dang tuh han en ding in a kuan uh a.
1Baada ya Sabato, karibu na mapambazuko ya siku ile ya Jumapili, Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikwenda kutazama lile kaburi.
2Huan, ngaidih, jin nakpitak in a hong ling a; Toupa angel van a kipan a hongsuk a, suang tuh a hong khukkhia a, a tungah a tuta a.
2Ghafla kutatokea tetemeko kubwa la nchi; malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akalivingirisha lile jiwe, akalikalia.
3A mel omdan tuh khophia bang ahi a, a puansilhte tuh vuk bang in a ngou a;
3Alionekana kama umeme na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.
4amah a kihtak jiak un vengmite tuh a ling ua, misi bang in a hong omta uh.
4Walinzi wa lile kaburi wakatetemeka kwa hofu kubwa, hata wakawa kama wamekufa.
5Huan, angel in numeite a houpih a, a kiang uah, Nou zaw laukei un: Jesu, a kilhden uh na zong uh chih ka thei:
5Lakini yule malaika akawaambia wale wanawake, "Ninyi msiogope! Najua kwamba mnamtafuta Yesu aliyesulubiwa.
6hiailai ah a omta kei; a gen bang ngei in a thou nawnta, a lupna mun en him un.
6Hayupo hapa maana amefufuka kama alivyosema. Njoni mkaone mahali alipokuwa amelala.
7Huan, pai meng unla, nungjuite kiang ah, Misi lak a kipan a thou nawnta ahi; ngaidih uh, Galili gamah na ma uah a pai; huailai ah amah na mu ding uh, chi in, hilh un. Ngai dih uh, ka hon hilhta ahi, a chi a.
7Basi, nendeni upesi mkawaambie wanafunzi wake kwamba amefufuka kutoka wafu, na sasa anawatangulieni kule Galilaya; huko mtamwona. Haya, mimi nimekwisha waambieni."
8Huan, lau leh kipak mahmah kawm in han a kipan in a pai mengmeng ua, a nungjuite hilh ding in a taita ua.
8Wakiwa wenye hofu na furaha kubwa, hao wanawake walitoka upesi kaburini, wakakimbia kwenda kuwaambia wanafunzi wake.
9Huan ngaidih, Jesu'n amau a tuak a, Chibai aw, a chi a. Huchi in, amau tuh a khepek khawng a len ua, chibai a buk uh.
9Mara, Yesu akakutana nao, akawasalimu: "Salamu." Hao wanawake wakamwendea, wakapiga magoti mbele yake, wakashika miguu yake.
10Huan, Jesu'n a kiang uah, Laukei un, paita unla, Galili gam a pai ding in ka unaute va hilh un; huai ah tuh na hon mu ding uh, a chi a.
10Kisha Yesu akawaambia, "Msiogope! Nendeni mkawaambie ndugu zangu waende Galilaya, na huko wataniona."
11Huan, a va pailai un vengmi sepaih khenkhat khopi ah a va lut ua, thil omdan tengteng siampu liante kiang ah a va hilh ua.
11Wale wanawake walipokuwa wanakwenda zao, baadhi ya walinzi wa lile kaburi walikwenda mjini kutoa taarifa kwa makuhani wakuu juu ya mambo yote yaliyotukia.
12Huan, upate toh a kikhawm ua, a kihou zoh un, sepaihte kiang ah dangka tampi a pia ua,
12Basi, wakakutana pamoja na wazee, na baada ya kushauriana, wakawapa wale askari kiasi kikubwa cha fedha
13Jan in, ka ihmut kal un, a nungjuite tuh a hong ua, amah a guta uhi, chi unla.
13wakisema, "Ninyi mtasema hivi: Wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba sisi tukiwa tumelala.
14Huan, gam ukpa'n huai a najak leh amah leng i khem ding ua lunghimohlou ding in i bawl na ke, a chi ua.
14Na kama mkuu wa mkoa akijua jambo hili, sisi tutasema naye na kuhakikisha kuwa ninyi hamtapata matatizo."
15Huchi in dangka tuh a la ua, a hilh bangbang un a hihta ua; huchi in, tutan in huai thu tuh Judate lak ah a genthang lai uh.
15Wale walinzi wakazichukua zile fedha, wakafanya kama walivyofundishwa. Habari hiyo imeenea kati ya Wayahudi mpaka leo.
16Himahleh, nungjui sawm leh khatte tuh Galilli gamah, Jesu'n tang a sehsak ah a hoh ua.
16Wale wanafunzi kumi na mmoja walikwenda Galilaya kwenye ule mlima aliowaagiza Yesu.
17Huan, amah a muh un chibai a buk ua; khenkhat in bel a ginglah uh.
17Walipomwona, wakamwabudu, ingawa wengine walikuwa na mashaka.
18Huchi in, Jesu tuh a kiang uah a hong a amau tuh a houpih a, Lei leh van a thuneihna tengteng ka kiang ah piak a hita.
18Yesu akaja karibu, akawaambia, "Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
19Huaijiak in, kuan unla, nam chih a pan nungjuite bawl unla, Pa leh Tapa leh Kha Siangthou min in baptis unla,thu kon piak tengteng pom ding in thuhilh un. Huan, ngai un, kei khantawn in, khovel tawp pha in leng, na kiang uah ka om jel ding, a chi hi.
19Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu; mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.
20thu kon piak tengteng pom ding in thuhilh un. Huan, ngai un, kei khantawn in, khovel tawp pha in leng, na kiang uah ka om jel ding, a chi hi.
20Wafundisheni kushika maagizo yote niliyowapeni. Nami nipo pamoja nanyi siku zote; naam, mpaka mwisho wa nyakati."