Paite

Swahili: New Testament

Mark

1

1Pathian Tapa Jesu Kris Tanchin Hoih tun tungna
1Habari Njema ya Yesu Kristo, Mwana wa Mungu.
2Jawlnei Isai laibu ah, Ngaidih, ka sawltak na maah ka sawla, aman na lampi a bawl ding.
2Ilianza kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: "Tazama, namtuma mjumbe wangu akutangulie; yeye atakutayarishia njia yako.
3Gamdaia mi kikou aw in, Toupa lamlian sial unla, a lampite hihtang un, a chi, chia gelh bangin.
3Sauti ya mtu imesikika jangwani: Mtayarishieni Bwana njia yake, nyoosheni mapito yake."
4Johan, gamdaia baptispa, thilhihkhelh ngaihdamna dinga kisikna baptis thu genin, a hongpawt a,
4Yohane Mbatizaji alitokea jangwani, akahubiri kwamba ni lazima watu watubu na kubatizwa ili Mungu awasamehe dhambi zao.
5Huan, Judia gama mi tengteng leh Jerusalem khua a mi tengteng a pawt ua, a kiang lamah a pai ua, a khelhnate uh thupha tawiin Jordan luiah, a kiangah baptisma a tang chiat ua.
5Watu kutoka sehemu zote za Yudea na wenyeji wote wa Yerusalemu walimwendea, wakaziungama dhambi zao, naye akawabatiza katika mto Yordani.
6Huan, Johan tuh sangawngsau mul puanin a kivana, a kawng savun kawnggakin a gaka a an tuh khaukhup leh khuaiju ahi.
6Yohane alikuwa amevaa vazi lililofumwa kwa manyoya ya ngamia, na mkanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni.
7Huan, Ka nungah kei sanga thupijaw a hong lel ahi; kuna a khedap khau phel tak leng ka hi kei.
7Naye alihubiri akisema, "Baada yangu anakuja mwenye uwezo zaidi kuliko mimi, ambaye mimi sistahili hata kuinama na kufungua kamba za viatu vyake.
8Ken tuiin nou ka honbaptis jel a; aman jaw Kha Siangthouin a honbaptis ding, chiin a gen a.
8Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu."
9Huan, huai nite khawngin hichi a honghi a, Jesu Galili gama Nazaret khuaa kipanin a hongpaia, Jordan lui ah Johan baptisma tansakin a om.
9Siku hizo, Yesu alifika kutoka Nazareti, mji wa Galilaya, akabatizwa na Yohane katika mto Yordani.
10Huaitak in; tui apat a pawtin, van kihonga, Kha vakhu banga a tunga hongkum a mu a,
10Mara tu alipotoka majini, aliona mbingu zimefunguliwa, na Roho akishuka juu yake kama njiwa.
11Huan, Nang ka Tapa deihtak na hi a, na tungah ka kipak mahmah ahi, chiin, van a kipanin aw a hongpawt a.
11Sauti ikasikika kutoka mbinguni: "Wewe ni Mwanangu mpendwa, nimependezwa nawe."
12Huan, Khain amah tuh gamdai ah a sawlpah ngala.
12Mara akaongozwa na Roho kwenda jangwani,
13Huchiin, Setan khem kawmin gamdai ah ni sawmli a om a, gamsa lakah bang a om a; angelten a na a sep sak uh.
13akakaa huko siku arubaini akijaribiwa na Shetani. Alikuwa huko pamoja na wanyama wa porini, nao malaika wakawa wanamtumikia.
14Huan, Johan mat a om nungin, Jesu, Pathian Tanchin Hoih genin, Galili gamah a honga.
14Yohane alipokwisha fungwa gerezani, Yesu alikwenda Galilaya, akahubiri Habari Njema ya Mungu, akisema,
15A hun a hongtungta a, Pathian gam leng a hongnaita; kisik unla Tanchin Hoih gingta un, chiin.
15"Wakati umetimia, na Ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni na kuiamini Habari Njema!"
16Huan, Galili dil gei a nawk laiin Simon leh Simon unaupa Andru dil ah len paiin a mu a; nga manmi ahi him ua.
16Alipokuwa anapita kando ya ziwa Galilaya, aliwaona wavuvi wawili: Simoni na Andrea ndugu yake wakivua samaki kwa wavu.
17Huan, Jesun, a kiang uah, Honjui un, huchiin mihing man din ka honbawl ding, a chi a.
17Yesu akawaambia, "Nifuateni nami nitawafanya ninyi wavuvi wa watu."
18Huan, len khawng paisanin a jui pah ua.
18Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.
19Huan, saulou a pai leh Zebedai tapa Jakob leh a unau pa Johan a mu a, huaite tuh len bawl phain long mahah a om ua.
19Alipokwenda mbele kidogo, aliwaona Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo. Nao pia walikuwa ndani ya mashua yao wakizitengeneza nyavu zao.
20Huan, aman amau a sam pah a; huchiin, a pa uh Zebedai tuh kilohmite a goihte utoh longah a nusia ua, a juita uh.
20Yesu akawaita mara, nao wakamwacha baba yao Zebedayo katika mashua pamoja na wafanyakazi, wakamfuata.
21Huan, Kapernaum khua ah a valut ua; huan, Khawlniin kikhopna in ah a lut a, thu a hilh a.
21Wakafika mjini Kafarnaumu, na mara ilipofika Sabato, Yesu akaingia katika Sunagogi, akaanza kufundisha.
22A thuhilh tuh lamdang a sa mahmah ua; laigelhmite banglou a, theihna nei hileh kilawm taka amau thu a hilh jiakin.
22Watu wote waliomsikia walishangazwa na mafundisho yake, maana hakuwa anafundisha kama walimu wao wa Sheria, bali kama mtu mwenye mamlaka.
23Huan, a kikhopna in uah dawi nin paimi khat ana om a; aman tuh,
23Mara akatokea mle ndani ya sunagogi mtu mmoja mwenye pepo mchafu,
24Nazaret Jesu, kou leh nang banga hia i kizoolhna om? Kou honhimang dia hong na hi maw? Nang ka honthei a, Pathian Mi Siangthou na hi, chiin, a kikou khe pah ngala.
24akapaaza sauti, "Una nini nasi, wewe Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Najua wewe ni nani: wewe ni Mtakatifu wa Mungu!"
25Huan, Jesun a taia, Dai inla, a sunga kipanin hongpawt in, a chi a.
25Yesu akamkemea, "Nyamaza! Mtoke mtu huyu."
26Huan, dawi ninin amah engbawla ngaihtaka kikouin a sunga kipan a hongpawt ta a.
26Basi, huyo pepo mchafu akamtikisatikisa mtu huyo, kisha akalia kwa sauti kubwa, akamtoka.
27Huan, a vek un lamdang a sa mahmah ua, huchiin, Hiai bang ahia le? thuhilhna thak ahi ve! Dawi ninte nangawn thunei takin thu a pia a, a thu a mang jel uh, chiin, a kidong uh.
27Watu wote wakashangaa, wakaulizana, "Ni mambo gani haya? Je, ni mafundisho mapya? Mtu huyu anayo mamlaka ya kuamuru hata pepo wachafu, nao wanamtii!"
28Huan, Galili gam kim tengtengah gam chih ah a tanchin a thang pah ta a.
28Habari za Yesu zikaenea upesi kila mahali katika wilaya ya Galilaya.
29Huan, kikhopna in akipan a pawt un, Jakob leh Johan toh Simon leh Andru in ah a lut pah ua.
29Wakatoka katika sunagogi, wakaenda moja kwa moja hadi nyumbani kwa Simoni na Andrea; Yakobo na Yohane walikwenda pamoja nao.
30Huan, Simon ji nu khosikin a chi a na a, a na lum a; huchiin, a tanchin tuh Jesu a hilh pah ua.
30Basi, mama mmoja, mkwewe Simoni, alikuwa kitandani ana homa kali. Wakamwarifu Yesu mara alipowasili.
31Huan, aman a khut a valen a, a phongta a; huchiin a khosik a damta a, a na uh a sepsakta.
31Yesu akamwendea huyo mama, akamshika mkono, akamwinua. Na ile homa ikamwacha, akaanza kuwatumikia.
32Huan, nitaklama ni a tum nungin, damlou tengteng leh dawi matte a kinagah a honpi ua.
32Jioni, jua lilipokwisha tua, wakamletea Yesu wagonjwa wote na watu waliopagawa na pepo.
33A khojang un kongkhak ah a hongom khawm kheukhou ua.
33Watu wote wa mji ule wakakusanyika nje ya mlango.
34Huan, mi tampi natna chitenga nate a hihdama, dawi tampi a delhkhia a; dawiten amah a theih jiak un a pau uh a phal kei.
34Naye Yesu akawaponya watu wengi waliokuwa na magonjwa mbalimbali; aliwafukuza pepo wengi, lakini hakuwaruhusu kusema kitu maana walikuwa wanamjua yeye ni nani.
35Huan, jingsangin, khovak ma tham in a thoua, a pawta, gamdai mun ah a vahoha, huaiah a thum a.
35Kesho yake, kabla ya mapambazuko, Yesu alitoka, akaenda mahali pa faragha kusali.
36Huan, Simon leh a lawmten a nungah a jui ta ua.
36Simoni na wenzake wakaenda kumtafuta.
37huan, amah a vamuh un a kiangah, Mi tengtengin hongzong hi ve un, a chi ua.
37Walipomwona wakamwambia, "Kila mtu anakutafuta."
38Huan aman tuh a kiang uah, Mun dangah kho naite khawngah hohni, huailai khawng banga leng thu ka gen theihna dingin; huaimah lah ka hongpawt san ahi ngala, a chi a.
38Yesu akawaambia, "Twendeni katika miji mingine ya jirani nikahubiri huko pia, maana nimekuja kwa sababu hiyo."
39Huchiin thu hilha dawite delhkhe kawm jelin Galili gam tengteng a a kikhopnain uah te a lut jel hi.
39Basi, akaenda kila mahali Galilaya akihubiri katika masunagogi na kufukuza pepo.
40Huan, a kiangah phak a hongpaia, Na ut leh non hihsiangthou thei, chiin, ama ah khukdinin, a ngen ngutngut a.
40Mtu mmoja mwenye ukoma alimwendea Yesu, akapiga magoti, akamwomba, "Ukitaka, waweza kunitakasa!"
41Huan, aman tuh a na hehpih mahmaha, a sawka, a khoiha, Ka ut hi, na siangthouta in, a chi a.
41Yesu akamwonea huruma, akanyosha mkono wake, akamgusa na kumwambia, "Nataka, takasika!"
42Huchiin, phaknain tuh amah a taisan pah ngala, hong siangthouta hi.
42Mara ukoma ukamwacha mtu huyo, akatakasika.
43Huan, Jesun amah a kham bikbeka, a sawlkhe paha.
43Kisha Yesu akamwambia aende zake upesi na kumwonya vikali,
44Kuamah kianga bangmah gen lou dingin pilvang in; a hihhangin siampi kiangah vakilak inla, na kisiansakna dingin Mosi in thil a sehte lan in, a theihchetna ding un, a chi a.Himahleh, amah tuh a pawta, huai thu nakpi taka tangkoupihin a than jakta a; huchiin Jesu tuh a langtangin khua ah a lut theita kei a, gamdai mun khawngah a om zota; huan, mun teng apatin a kiangah mite a hong jel uh.
44"Usimwambie mtu yeyote jambo hili, ila nenda ukajionyeshe kwa kuhani; kisha utoe sadaka kwa ajili ya kutakasika kwako kama alivyoamuru Mose, iwe uthibitisho kwao kwamba umepona."
45Himahleh, amah tuh a pawta, huai thu nakpi taka tangkoupihin a than jakta a; huchiin Jesu tuh a langtangin khua ah a lut theita kei a, gamdai mun khawngah a om zota; huan, mun teng apatin a kiangah mite a hong jel uh.
45Lakini huyo mtu akaenda, akaanza kueneza habari hiyo kila mahali na kusema mambo mengi hata Yesu hakuweza tena kuingia katika mji wowote waziwazi; ikamlazimu kukaa nje, mahali pa faragha. Hata hivyo, watu wakamwendea kutoka kila upande.