Paite

Swahili: New Testament

Revelation

15

1Huan, chiamtehna dang van ah ka mu a, thupi leh lamdang: angel sagih hi sagih tawite; huaite a Pathian hehna tuh khit a hihtak jiakin, ananung pente ahi uh.
1Kisha nikaona ishara nyingine mbinguni, kubwa na ya kushangaza. Palikuwa hapo malaika saba wenye mabaa makubwa saba ya mwisho. Kwa mabaa hayo makubwa saba, ghadhabu ya Mungu imekamilishwa.
2Huan, limlang tuipa hileh kilawm, mei toh kihel, leh gamsa leh a lim leh a min nambat tunga valzoute, a khut ua Pathian gosem tawia, huai limlang tuipa kianga ding ka muta a,
2Kisha nikaona kitu kama bahari ya kioo, imechanganywa na moto. Nikawaona pia wale watu waliomshinda yule mnyama na sanamu yake na ambaye jina lake lilitajwa kwa ile tarakimu. Watu hao walikuwa wamesimama kando ya hiyo bahari ya kioo, wakiwa na vinubi walivyopewa na Mungu.
3Huan, Pathian sikha, Mosi la leh Belamnou lasaiin. Na thilhite a thupiin a lamdang hi. Aw Toupa Pathian, Bangkimhihthei! Na lampite a kijem un a dik uhi, Aw tangtawn Kumpipa.
3Walikuwa wakiimba wimbo wa Mose, mtumishi wa Mungu, na wimbo wa Mwanakondoo: "Bwana Mungu Mwenye Uwezo, matendo yako ni makuu mno! Ewe Mfalme wa mataifa, njia zako ni za haki na za kweli!
4Toupa aw, kuan ahia na min hihthupi loua, laulou ding? Nang kia siangthou lah na hi ngala. Nam tengteng hongpaiin Na ma ah hong be ding uh, Na thilhih diktakte lah hihlatin omta ngal ua, a chi uhi.
4Bwana, ni nani asiyekucha wewe? Nani asiyelitukuza jina lako? Wewe peke yako ni Mtakatifu. Mataifa yote yatakujia na kukuabudu maana matendo yako ya haki yameonekana na wote."
5Huan hiai thilte ka muh nungin, huchiin vana theihsakna biakbuk dantan sungnung tuh honin a omta a:
5Baada ya hayo nikaona Hekalu limefunguliwa mbinguni, na ndani yake hema ionyeshayo kuwapo kwa Mungu.
6Huan hiai dantan sungnung akipanin angel sagih gawtna sagih neia, suang mantam, siangthou leh vaka kijema dangkaeng kawnggaka a awm khawng ua kigakte a hongpai kheta ua.
6Basi, wale malaika saba wenye mabaa saba wakatoka humo Hekaluni, wakiwa wamevaa nguo za kitani safi zenye kung'aa, na kanda za dhahabu vifuani mwao.
7Huan gan hing lite laka khatin angel sagihte kiangah dangkaeng belhbu sagih khantawn khantawna hing, Pathian hehnaa dimte tuh a peta hi.Huan Pathian thupina akipan leh a thilhihtheihna akipan meikhuin dantansungnung tuh hihdimin a omta a; huan angel sagihte gawtna sagih zoh veka a om tan phaiin, huai sung ah tuh kuamah a lut theita kei uhi.
7Kisha, mmojawapo wa vile viumbe vinne akawapa hao malaika saba mabakuli ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, aishiye milele na milele.
8Huan Pathian thupina akipan leh a thilhihtheihna akipan meikhuin dantansungnung tuh hihdimin a omta a; huan angel sagihte gawtna sagih zoh veka a om tan phaiin, huai sung ah tuh kuamah a lut theita kei uhi.
8Hekalu likajaa moshi uliosababishwa na utukufu na nguvu ya Mungu, na hakuna mtu aliyeweza kuingia Hekaluni mpaka mwisho wa mabaa makubwa saba ya wale malaika saba.