Paite

Swahili: New Testament

Revelation

14

1Huan ka et leh, ngaiin, Zion tang tunga Belamnou ding leh a kianga upa nuai kha leh singli leh sangli, amin leh a Pa min a tal ua kigelh chiat ka muta a.
1Kisha nikaona mlima Sioni, na Mwanakondoo amesimama juu yake; pamoja naye walikuwa watu mia moja arobaini na nne elfu ambao juu ya paji za nyuso zao walikuwa wameandikwa jina la Mwanakondoo na jina la Baba yake.
2Huan aw tui tampi leh vanpi ging bang aging van akipanin ka zata a; huan ka aw jak tuh gosem tumten a gosem uh a tum ging uh ahi:
2Basi, nikasikia sauti kutoka mbinguni, sauti iliyokuwa kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo kubwa. Sauti niliyosikia ilikuwa kama sauti ya wachezaji muziki wakipiga vinubi vyao.
3Huan laltutphah ma leh gan hing lite ma leh upate maah la thak hileh kilawm khat a sa ua: huan leitunga kipata huai lei khiaksate, nuai khat leh singli leh sanglite lou ngalin, kuamahin huai la tuh a thei theita kei uhi.
3Walikuwa wanaimba wimbo mpya mbele ya kiti cha enzi na mbele ya wale viumbe hai wanne na wale wazee. Hakuna mtu aliyeweza kujifunza wimbo huo isipokuwa hao watu mia moja arobaini na nne elfu waliokombolewa duniani.
4Hiai tuh numei laka kihinin loute ahi ua; nungak siangthou bang ahi ua. Hiaite tuh a paina lamlama Belamnou juite ahi uhi. Pathian ading leh Belamnou adinga gah masapen hi dinga, mite laka kipana leisa ahi ua,
4Watu hao ndio wale waliojiweka safi kwa kutoonana kimwili na wanawake, nao ni mabikira. Wao humfuata Mwanakondoo kokote aendako. Wamekombolewa kutoka miongoni mwa binadamu wengine, wakawa wa kwanza kutolewa kwa Mungu na kwa Mwanakondoo.
5huan a kam uah tuh juau a om kei a; gensiatna bei ahi uhi.
5Hawakupata kamwe kuwa waongo; hawana hatia yoyote.
6Huan angel van laijawla leng khantawn tanchin hoih leitunga tengte kiang leh nam chih leh chi chih leh pau chih leh mi chihte kianga genkhiak ding nei ka muta a;
6Kisha nikamwona malaika mwingine anaruka juu angani akiwa na Habari Njema ya milele ya Mungu, aitangaze kwa watu wote waishio duniani, kwa mataifa yote, makabila yote, watu wa lugha zote na rangi zote.
7Huan aw ngaihtakin, Pathian kihta unla, amah thupina pia un; a vaihawmna hun a hongtungta ngala: huan van leh lei leh tuipi leh tuikhukte siampa amah bia un, a chi a.
7Akasema kwa sauti kubwa, "Mcheni Mungu na kumtukuza! Maana saa imefika ya kutoa hukumu yake. Mwabuduni yeye aliyeumba mbingu na nchi, bahari na chemchemi za maji."
8Huan a dang, angel nihnain a honjuia, Pukta, pukta Babulon kho thupi, nam tengteng a mingaihhatna hehna uain dawn saknu, chiin.
8Malaika wa pili alimfuata huyo wa kwanza akisema, "Ameanguka! Naam, Babuloni mkuu ameanguka! Babuloni ambaye aliwapa mataifa yote wainywe divai yake--divai kali ya uzinzi wake!"
9Huan angel dang, a thumnain, amau a honjuta a aw ngaihtaka, Kuapeuhin gamsa leh a limtuh a biaka, a tal ah hiam a khut ah hiam chiamtehna a neih aleh,
9Na malaika wa tatu aliwafuata hao wawili akisema kwa sauti kubwa, "Yeyote anayemwabudu yule mnyama na sanamu yake na kukubali kutiwa alama yake juu ya paji la uso wake au juu ya mkono wake,
10huaimi inleng Pathian hehna uain a dawn ding, huai uain tuh a thangpaihna noua bangmah toh hel louh hiala bawl ahi; huan angel siangthoute leh Belamnou muhin amah tuh mei lah katin hihnatin om in teh:
10yeye mwenyewe atakunywa divai ya ghadhabu ya Mungu, ambayo imemiminwa katika kikombe cha ghadhabu yake bila kuchanganywa na maji. Mtu huyo atateseka ndani ya moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu na mbele ya Mwanakondoo.
11huan a hihnatna meikhu uh khantawn khantawnin a jamtou dia; huan huai gamsa leh a limbete, leh kuapeuh a min chiamtehna nei photin sun leh janin leng tawlngakna a neikei uh, chiin.
11Moshi wa moto unaowatesa kupanda juu milele na milele. Watu hao waliomwabudu huyo mnyama na sanamu yake, na kutiwa alama ya jina lake, hawatakuwa na nafuu yoyote usiku na mchana."
12Hiai ah misiangthou, Pathian thupiakte leh Jesu ginna juite kuhkalna nei dinga chialna a om hi.
12Kutokana na hayo, ni lazima watu wa Mungu, yaani watu wanaotii amri ya Mungu na kumwamini Yesu, wawe na uvumilivu.
13Huan van akipanin awin hichi banga, Gelhin, tua kipanin misite, Toupaa site tuh a hampha uhi: Khain, A hi, a sepgimna uh a khawlsanta ding ua, a thilhihte un honjui ding a hih jiakin, a chi, a chih ka zata a.
13Kisha nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, "Andika! Heri watu ambao tangu sasa wanakufa wakiwa wameungana na Bwana." Naye Roho asema, "Naam! Watapumzika kutoka taabu zao; maana matunda ya jasho lao yatawafuata."
14Huan ka et leh, ngaiin, meipi ngou ka muta a; huan huai mei tungah tuh mi khat mihing tapa toh kibang, a lu-a dangkaeng lallukhu khu-a, a khuta kawite hiam tawi ka muta a.
14Kisha nikatazama, na kumbe palikuwapo wingu jeupe hapo. Na juu ya wingu hilo kulikuwa na kiumbe kama mtu. Alikuwa amevaa taji ya dhahabu kichwani, na kushika mundu mkononi mwake.
15Huan angel dang Pathian biakin hong pawta, meipi tunga tupa kiangah ngaihtakin, Na kawite lik inla, at in: at hun a tungta hi; lei buh a kuai gawpta, chiin a kikoua.
15Kisha malaika mwingine akatoka Hekaluni, na kwa sauti kubwa akamwambia yule aliyekuwa amekaa juu ya wingu, "Tafadhali, tumia mundu wako ukavune mavuno, maana wakati wa mavuno umefika; mavuno ya dunia yameiva."
16Huan huai mei tunga tupan leitung ah a kawite a lik a; huan leitung tuh atin a omta a.
16Basi, yule aliyekuwa amekaa juu ya wingu akautupa mundu wake duniani, na mavuno ya dunia yakavunwa.
17Huan vana om Pathian biakin akipanin angel dang a hongpai khia a, aman leng kawite hiam a tawi a.
17Kisha malaika mwingine akatoka katika Hekalu mbinguni akiwa na mundu wenye makali.
18Huan mei tunga thilhihtheihna nei, angel dang maitam maa kipanin a hongpai khia a; huan aman tuh aw ngaih takin, huai kawite tawipa tuh samin, Na kawite hiam tak lik inla, leitunga grep gah bomte khawm in; grepte tuh a min mahmah ta hi, a chi a.
18Kisha malaika mwingine msimamizi wa moto, akatoka madhabahuni akamwambia kwa sauti kubwa yule malaika mwenye mundu wenye makali, "Nawe tia huo mundu wako mkali, ukakate vichala vya mizabibu ya dunia, maana zabibu zake zimeiva!"
19Huan huai angelin leitungah a kawite a lik a, huan leitunga grep gahte tuh a khawmta a, huan Pathian hehna, uain sukna thupi, uain sukna ah a pai lutta hi.Huan kho polamah uain suknaa chilin a om ta a, huan sakol kamkaihna tanpha hialin ching sang khat leh zaguka gamlain uain sukna akipanin sisan a hong luang kheta hi.
19Basi, malaika huyo akautupa mundu wake duniani, akakata zabibu za dunia, akazitia ndani ya chombo kikubwa cha kukamulia zabibu, chombo cha ghadhabu ya Mungu.
20Huan kho polamah uain suknaa chilin a om ta a, huan sakol kamkaihna tanpha hialin ching sang khat leh zaguka gamlain uain sukna akipanin sisan a hong luang kheta hi.
20Zabibu zikakamuliwa ndani ya hilo shinikizo lililoko nje ya mji, na damu ikatoka katika shinikizo hilo mtiririko mrefu kiasi cha mita mia tatu na kina chake kiasi cha mita mia mbili.