1Huan tuipa piaunel tunga dingin, tuipa akipan gamsa khat, ki sawm leh lu sagih neia, a a kite tunga lallukhu sawm nei, a lu tungtea Pathian gensiatna om, hong paikhe tou tuh ka muta hi.
1(G12-18) Na likajisimamia ukingoni mwa bahari. (G13-1) Kisha nikaona mnyama mmoja akitoka baharini. Alikuwa na vichwa saba na pembe kumi, na kila pembe ilikuwa na taji. Jina la kashfa lilikuwa limeandikwa juu ya vichwa hivyo.
2Huan ka gamsa muh tuh gialbem a banga, a khe tuh vompi khe a banga, huan a kam tuh humpinelkai kam a banga: huan dragonin a thuneihna thupi leh a laltutphah leh a thilhihtheihna amah a peta hi.
2Mnyama huyo niliyemwona alikuwa kama chui; miguu yake ilikuwa kama ya dubu, na kinywa chake kama cha simba. Lile joka likampa huyo mnyama nguvu yake, kiti chake cha enzi na uwezo mkuu.
3Huan a lute laka khat tuh sihpih khop hial dia liam hileh kilawm in ka mu a; huan sihpih khop hial dia liam tuh hihdamin a omta a; huan leitung pumpiin huai gamsa tuh lamdang a sa ua, a jui uhi;
3Kichwa kimojawapo cha huyo mnyama kilionekana kama kilikwisha jeruhiwa vibaya sana, lakini jeraha hilo lilikuwa limepona. Dunia nzima ilishangazwa na huyo mnyama na kumfuata.
4huan dragon tuh a beta ua, gamsa kianga a thuneihna a piak jiakin; huchiin gamsa tuh a beta ua. Gamsa toh kibang kua ahia? Huan amah kidou pih thei kua ahia? chiin.
4Watu wote wakaliabudu lile joka kwa sababu lilimpa huyo mnyama uwezo wake. Wakamwabudu pia huyo mnyama wakisema, "Nani aliye kama huyu mnyama? Ni nani awezaye kupigana naye?"
5Huan amah kiangah tuh thil thupite leh Pathian gensiatnate genna ding kam piakin a omta a; huan amah kiangah thuneihna piakin a oma, kha sawmli leh kha nih gamtang jel dingin.
5Kisha huyo mnyama akaruhusiwa kusema maneno ya kujigamba na kumkufuru Mungu; akaruhusiwa kuwa na mamlaka kwa muda wa miezi arobaini na miwili.
6Pathian gensiatna ding, a min gense ding leh a omna, huai vana tengte ngei gensiain akamkata hi.
6Basi, akaanza kumtukana Mungu, kulitukana jina lake, makao yake, na wote wakaao mbinguni.
7Huan misiangthoute kidou pih ding leh amau zou dingin amah kiangah tuh phalna piakin a omta a: huan chi tengteng leh mite leh paute leh namte tunga thuneihna a kiangah piakin a omta hi.
7Aliruhusiwa kuwapiga vita na kuwashinda watu wa Mungu. Alipewa mamlaka juu ya watu wa kila kabila, ukoo, lugha na taifa.
8Huan leitunga teng tengtengin amah a be ding ua, khovel om tunga kipata belamnou thahsa hinna laibua a min ua gelh louha om tengtengin.
8Wote waishio duniani watamwabudu isipokuwa tu wale ambao majina yao yameandikwa tangu mwanzo wa ulimwengu katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo aliyechinjwa.
9Kuapeuh bil neiin, ja hen:
9"Aliye na masikio, na asikie!
10Kuapeuh sal pi tuh sala piin a om ding; kuapeuh namsaua that tuh namsaua thahin a om ding. Hiaiah misiangthoute kuhkalna leh ginna neidinga chialna a om hi.
10Waliokusudiwa kuchukuliwa mateka lazima watatekwa; waliokusudiwa kuuawa kwa upanga lazima watauawa kwa upanga. Kutokana na hayo ni lazima watu wa Mungu wawe na uvumilivu na imani."
11Huan gamsa ding leitunga kipata hongpawt khe tou ka muta a; huan belamnou bangin ki nih a neia, dragon bangin thu a gen hi.
11Kisha nikamwona mnyama mwingine anatoka ardhini. Alikuwa na pembe mbili kama pembe za kondoo, na aliongea kama joka.
12Huan gamsa masapen thuneihna tengteng a mitmuhin a nei a. Huan leitung leh a sunga teng tengteng tuh gamsa masapen si khop hial dia liama hihdama om tuh be dingin a bawl hi.
12Alikuwa na mamlaka kamili kutoka kwa yule mnyama wa kwanza, na akautumia uwezo huo mbele ya huyo mnyama. Akailazimisha dunia yote na wote waliomo humo kumwabudu huyo mnyama wa kwanza ambaye alikuwa na jeraha la kifo lililokuwa limepona.
13Huan mite mitmuhin van akipanin leitung mei bang ke suk thei khop dingin thillamdang pipi a hiha.
13Basi, huyu mnyama wa pili akafanya miujiza mikubwa hata akasababisha moto kutoka mbinguni ushuke duniani mbele ya watu.
14Huan gamsa mitmuha thillamdang hihtheihna piaka a omnain aman tuh leitunga tengte a khemta a; huai gamsa temsaua sat liam leh dam nawn lim bawl dingin amau, huai leia tengte a hilhta hi.
14Aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. Aliwaambia wakazi wa dunia watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi tena.
15Huan gamsa lim tuh a pau theihna ding leh, gamsa lim be nuam lou tengteng leng a thah sak theina dingin gamsa lim kiangah tuh nakna piak ahi.
15Kisha alijaliwa kuipulizia uhai hiyo sanamu ya yule mnyama wa kwanza, hata ikaweza kuongea na kuwaua watu wote ambao hawakuiabudu.
16Huan mi tengteng, a lian a neu, a jawng a pha, sikha leh sikha lou, a khut taklam uah hiam, a tal uah hiam chiamtehna tuh piakin a om sak chiata;
16Aliwalazimisha wote, wadogo na wakubwa, matajiri na maskini, watu huru na watumwa, watiwe alama juu ya mikono yao ya kulia au juu ya paji za nyuso zao.
17Huchia kuamahin huai chiamtehna hiam, gamsa min ngei hiam, a hih keileh a nambat hiam a neih keileh lei theilou, juak theilou a a omna dingin.Hiai ah pilna a kilang, kuapeuh theihsiamna neiin, gamsa nambat sim hen; mihing nambat ahi ngala; huan a nambat tuh zaguk leh sawmguk leh guk ahi.
17Akapiga marufuku mtu yeyote kununua au kuuza kitu isipokuwa tu mtu aliyetiwa alama hiyo, yaani jina la yule mnyama au tarakimu ya jina hilo.
18Hiai ah pilna a kilang, kuapeuh theihsiamna neiin, gamsa nambat sim hen; mihing nambat ahi ngala; huan a nambat tuh zaguk leh sawmguk leh guk ahi.
18Hapa ni lazima kutumia ujasiri! Mwenye akili anaweza kufafanua maana ya tarakimu ya mnyama huyo, maana ni tarakimu yenye maana ya mtu fulani. Tarakimu hiyo ni mia sita sitini na sita.