Paite

Swahili: New Testament

Revelation

12

1Huan van ah chiamtehna thupi tak hongkimuta a: numei nia kijem, leh a khe nuaia kha om leh a lu tunga lallukhu aksi sawm leh nih tuang;
1Kisha ishara kubwa ikaonekana mbinguni. Palikuwa hapo mwanamke aliyevikwa jua, na mwezi chini ya miguu yake, na taji ya nyota kumi na mbili juu ya kichwa chake!
2Huan nau a paia; huan nau vei leh suak khe ding natnain a kap kheta a.
2Alikuwa mja mzito, na akapaaza sauti kwa maumivu na uchungu wa kujifungua mtoto.
3Huan van thil lamdang a dang khat ahongkimu a; huan ngaiin, dragon san lianpi, lu sagih leh ki sawm neia, a lu tunga lallukhu sagih nei.
3Ishara nyingine ikatokea mbinguni: joka kubwa jekundu na lenye pembe kumi na vichwa saba; na kila kichwa kilikuwa na taji.
4Huan a meiin vana aksite mun thuma khen mun khat a kaia, huan leitungah a pai kheta a; huan dragon tuh huai numei nau nei dia kisa maah a dinga, a neih chianga a nau tuh nekzoh vek tumin.
4Joka hilo liliburuta kwa mkia wake theluthi moja ya nyota za anga na kuzitupa duniani. Nalo lilisimama mbele ya huyo mama aliyekuwa karibu kujifungua mtoto, tayari kabisa kummeza mtoto, mara tu atakapozaliwa.
5Huan tapa, nau pasal, sik chianga nam tengteng tunga vaihawm ding a neita a; huan a ta tuh Pathian leh a laltutphah ah lak touhin a omta hi.
5Kisha mama huyo akajifungua mtoto wa kiume, ambaye atayatawala mataifa yote kwa fimbo ya chuma. Lakini mtoto akanyakuliwa na kupelekwa kwa Mungu na kwenye kiti chake cha enzi.
6Huan numei tuh gamdai ah, Pathian amaha dia a mun bawlsak ah, huaia amah ni sangkhat leh ni zanih leh ni sawmguk a khawia om ding in, a lata hi.
6Huyo mama akakimbilia jangwani, ambako Mungu alikuwa amemtayarishia mahali pa usalama ambapo angehifadhiwa kwa muda wa siku elfu moja mia mbili na sitini.
7Huan van ah kidouna a omta a: Mikael leh angelte tuh dragon toh kidou dingin a kuan khia ua; huan dragon leh a angelten a dou ua;
7Kisha kukazuka vita mbinguni: Mikaeli na malaika wake walipigana na hilo joka, nalo likawashambulia pamoja na malaika wake.
8Huan a zou kei ua, a mun uh van ah muh himhim a om nawnta keia.
8Lakini joka hilo halikuweza kuwashinda, na hatimaye hapakuwa tena na nafasi mbinguni kwa ajili yake na malaika wake.
9Huan dragon lian, gulpi tek, Diabol leh Setan chiha ompa, khovel pumpi khempa tuh paih khiak sukin a omta a, huan amah toh a angelte leng a paih khiak sukin a omta uhi.
9Basi, joka hilo kuu likatupwa nje. Joka hilo ndiye yule nyoka wa kale ambaye huitwa pia Ibilisi au Shetani. Ndiye anayeudanganya ulimwengu wote. Naam, alitupwa duniani, na malaika wake wote pamoja naye.
10Huan van ah aw ngaihtak mai ka zata a, Tun ah hongtungta i Pathian hotdamna, thilhihtheihna, leh Kris thuneihna; i unaute hekpa, i Pathian maa sun leh jana amau hekpa paih khiak suka a om jiakin.
10Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka mbinguni ikisema: "Sasa ukombozi utokao kwa Mungu umefika! Nguvu na Utawala wa Mungu wetu umedhihirika. Na Kristo wake ameonyesha mamlaka yake! Maana yule mdhalimu wa ndugu zetu, aliyesimama mbele ya Mungu akiwashtaki usiku na mchana, sasa ametupwa nje.
11Huan Belamnou sisan jiak leh theihpih uh thu jiakin amah tungah tuh a vual zouta ua; huan sihtan phain leng a hinna uh a it kei uhi.
11Ndugu zetu wameshinda kwa damu ya Mwanakondoo na kwa nguvu ya ukweli walioutangaza; maana hawakuyathamini maisha yao kuwa kitu sana, wakawa tayari kufa.
12Huaijiakin kipak un, aw van leh nou a sunga tengte. Lei leh tuipi adingin atung uh a gik; diabolin tuh hun tom chikphet a nei chih a kitheih jiakin a heh mahmaha na kiang uah a hongpai sukta ngala, chiin.
12Kwa sababu hiyo, furahini enyi mbingu na vyote vilivyomo ndani yenu. Lakini, ole wenu nchi na bahari, maana Ibilisi amewajieni akiwa na ghadhabu kuu, kwa sababu anajua kwamba siku zake zilizobakia ni chache."
13Huan dragon leitunga paih khiak a hita chih a kithei takin, huai numei nau pasal neinu tuh a gawtta a.
13Joka lilipotambua kwamba limetupwa chini duniani, likaanza kumwinda yule mama aliyekuwa amejifungua mtoto wa kiume.
14Huan numei kiangah tuh munvanlai thupi tak kha nih piakin a omta a, huan gulpi maia kipan gamdai muna a len lut theihna dingin, huailai ah tuh hun khat sung leh hun teleh hun kimkhat sung khawiin a om hi.
14Lakini mama huyo akapewa mabawa mawili ya tai apate kuruka mbali sana na hilo joka, mpaka mahali, pake jangwani ambapo angehifadhiwa salama kwa muda wa miaka mitatu na nusu.
15Huan gulpiin tuh a kama kipanin tuipi bang tui numei nungah a sekheta a, huai tuiluanga amah tuh a taih mangsak theihna dingin.
15Basi, joka likatapika maji mengi kama mto, yakamfuata huyo mama nyuma ili yamchukue.
16Huan leiin tuh numei a panpihta a, huan leiin tuh a kam a kata a, huan dragonin a kama kipana a lui tui siat khiak tuh a navalh zoh sak vekta hi.Huan dragon tuh numei tungah a heh mahmaha, huan a suan dangte, Pathian thupiak juite leh Jesu thutheihpihna juite vakidou pih dingin a pai mangta hi.
16Lakini nchi ikamsaidia huyo mama: ikajifunua kama mdomo na kuyameza maji hayo yaliyotoka kinywani mwa hilo joka.
17Huan dragon tuh numei tungah a heh mahmaha, huan a suan dangte, Pathian thupiak juite leh Jesu thutheihpihna juite vakidou pih dingin a pai mangta hi.
17Basi, joka hilo likamkasirikia huyo mama, likajiondokea, likaenda kupigana na wazawa wengine wa huyo mama, yaani wote wanaotii amri za Mungu na kuuzingatia ukweli wa Yesu.