1Huan sialluang chiang bangkhat piakin ka oma: huan angelin, Ding inla, Pathian biakin leh maitam leh huaia bete teh in:
1Kisha nikapewa mwanzi uliokuwa kama kijiti cha kupimia, nikaambiwa, "Inuka, ukalipime Hekalu la Mungu, madhabahu ya kufukizia ubani, na ukawahesabu watu wanaoabudu ndani ya Hekalu.
2huan biakin a huangsung nusia inla, the ken; namte kianga piaksa a hihtak jiakin; huan kho siangthou tuh a khe nuai un kha sawmli leh kha nih a sikden ding uhi.
2Lakini uache ukumbi ulio nje ya Hekalu; usiupime, maana huo umekabidhiwa watu wa mataifa mengine, ambao wataukanyanga mji Mtakatifu kwa muda wa miezi arobaini na miwili.
3Huan ka palai nihte kiangah ka pe dia, huan amau tuh saiip puan silhin ni sang khat leh ni zanih leh ni sawmguk thu a genkhol ding uh a chi a.
3Nami nitawatuma mashahidi wangu wawili ili watangaze ujumbe wa Mungu kwa muda huo wa siku elfu moja mia mbili na sitini wakiwa wamevaa mavazi ya magunia."
4Hiaite tuh olive sing nihte leh khawnvak koihna hihte, leitunga Toupa maa dingte ahi ua.
4Hao mashahidi wawili ni miti miwili ya Mizeituni na taa mbili zinazosimama mbele ya Bwana wa dunia.
5Huan mi kuapeuhin amau suknat atup un tuh, a kam ua kipana mei hongsuak khiain a melmate uh tuh a nezou vek dia; huan kuapeuhin amau hihnat a ut un tuh, huchibangmaha thahin a om ngei ding uhi.
5Kama mtu akijaribu kuwadhuru, moto hutoka kinywani mwao na kuwaangamiza adui zao; na kila mtu atakayejaribu kuwadhuru atakufa namna hiyo.
6Hiaiten tuh a thu genkholh sung ua vuah a zuk louhna dingin, van khak theihna a nei ua; huan a ut hunhun ua sisan suaksak dingin tuite tungah thu a nei ua, huan leitung leng gawtna chitenga gawt dingin thu a nei uhi.
6Hao wanayo mamlaka ya kufunga anga, mvua isinyeshe wakati wanapotangaza ujumbe wa Mungu. Tena wanayo mamlaka ya kuzigeuza chemchemi zote za maji ziwe damu, na ya kusababisha maafa ya kila namna duniani kila mara wapendavyo.
7Huan a thu theihpihna uh a zoh chiang un, huai gamsa guam khuk akipana hongpawt khiain amau tuh akidou pih dia, huan amau a zou dia, huan amau a that ding.
7Lakini wakisha maliza kutangaza ujumbe huo, mnyama atokaye shimoni kuzimu atapigana nao, atawashinda na kuwaua.
8Huan a luang utuh kho thupi kholak ah a oma, huai tuh kha lam thu ah Sodom leh Aigupta huailai maha Toupa uh kilupa a omna tuh ahi.
8Maiti zao zitabaki katika barabara za mji mkuu ambapo Bwana wao alisulubiwa; jina la kupanga la mji huo ni Sodoma au Misri.
9Huan mite leh chite leh paute leh namte laka kipan mite a luang uh ni thum leh a kimkhat a en ua, aluang uh hana vui a phal kei uhi.
9Watu wa kila kabila, lugha, taifa na rangi wataziangalia maiti hizo kwa muda wa siku tatu na nusu, na hawataruhusu zizikwe.
10Huan leitunga tengte amau tungah akipak ua, kipahna bang a bawl ua; huan thilpiakte khawng a kikhak tuah ua; hiai jawlnei nihten amau leitunga tengte a thuakgim sak jiak unn.
10Watu waishio duniani watafurahia kifo cha hao wawili. Watafanya sherehe na kupelekeana zawadi maana manabii hawa wawili walikuwa wamewasumbua mno watu wa dunia.
11Huan ni thum leh a kimkhat nungin, Pathian akipanin hinna hatna tuh amau ah a honglutta a, huan amau tuh a khe un a dingta ua; huan amau mu tengteng tungah nakpia launa a hongomta hi.
11Lakini baada ya zile siku tatu na nusu pumzi ya uhai kutoka kwa Mungu iliwaingia, nao wakasimama; wote waliowaona wakaingiwa na hofu kuu.
12Huan van akipanin aw thupitak a zataua, Hiai lamah hongpai tou un, chiin. Huan amau tuh mei lakah vanah a pai touta ua; huan amelmate un tuh amau a mu ua.
12Kisha hao manabii wawili wakasikia sauti kubwa kutoka mbinguni ikiwaambia, "Njoni hapa juu!" Nao wakapanda juu mbinguni katika wingu, maadui wao wakiwa wanawatazama.
13Huan huai dakin jinling thupitak a omta a, huan khopi mun sawma khen mun khat a chimta a; huan huai jinlingin mi sang sagih thahin a omta ua; huan a dangte tuh alauta ua, vana Pathia kiangah thupina a peta uhi.
13Wakati huohuo, kukatokea tetemeko kubwa la ardhi, sehemu moja ya kumi ya ardhi ikaharibiwa. Watu elfu saba wakauawa kwa tetemeko hilo la ardhi. Watu waliosalia wakaogopa sana, wakamtukuza Mungu wa mbinguni.
14Tunggikna nihna tuh a beita a: ngaiin, tunggikna thuma a hongtung pah ding hi.
14Maafa ya pili yamepita; lakini tazama! Maafa ya tatu yanafuata hima.
15Huan angel sagihnain a pengkul a mutta a; huan van ah uh aw thupi taktakin a juita a, Khovel lalgam tuh i Toupa-a leh a Kris-a honghita a; huan ama tuh khantawnin vai a hawm ding, a chi ua.
15Kisha malaika wa saba akapiga tarumbeta yake. Na sauti kuu zikasikika mbinguni zikisema, "Sasa utawala juu ya ulimwengu ni wa Bwana wetu na Kristo wake. Naye atatawala milele na milele!"
16Huan upa sawmnih leh li a laltutphah tung ua Pathian maa tuten tuh a mai un nuai a si ua, Pathian beta ua.
16Kisha wale wazee ishirini na wanne walioketi mbele ya Mungu katika viti vyao vya enzi, wakaanguka kifudifudi, wakamwabudu Mungu,
17Na tungah ka kipak uhi, Toupa Pathian aw Bangkimhihthei, omlel leh omsa; na thilhihtheihna thupi na lak tak jiakin leh vai na hawmtak jiakin.
17wakisema: "Bwana Mungu Mwenye uwezo, uliyeko na uliyekuwako! Tunakushukuru, maana umetumia nguvu yako kuu ukaanza kutawala!
18Huan namte tuh a hehta ua, huan nang hehna tuh a hongtungta a, huan misite vaihamsak hun leh na sikha jawlneite kiang toh, misiangthoute kiang toh, na min kihtate milian leh mineute kiang toha a kipahman uh piakna hun leh leitung hihsete hihsiata a om samna hun uh tuh a hongtungta, chiin.Huan vana om Pathian biakin tuh honin a omta a; huan biakin sunga thukhunna bawm a hong kimuta a; huan khophia bang, aw bang, van- ging bang, jinling bang leh gial thupiin a juita hi.
18Watu wa mataifa waliwaka hasira, maana wakati wa ghadhabu yako umefika, wakati wa kuwahukumu wafu. Ndio wakati wa kuwatuza watumishi wako manabii, watu wako na wote wanaolitukuza jina lako, wakubwa kwa wadogo. Ni wakati wa kuwaangamiza wale wanaoangamiza dunia."
19Huan vana om Pathian biakin tuh honin a omta a; huan biakin sunga thukhunna bawm a hong kimuta a; huan khophia bang, aw bang, van- ging bang, jinling bang leh gial thupiin a juita hi.
19Hekalu la Mungu mbinguni likafunguliwa, na Sanduku la Agano lake likaonekana Hekaluni mwake. Kisha kukatokea umeme, sauti, ngurumo, tetemeko la ardhi, na mvua kubwa ya mawe.