Paite

Swahili: New Testament

Revelation

10

1Huan angel hat dang, meipia kijem, van akipan hongpai khe suk ka muta a: huan sakhituihup a lu tungah a oma, a mai tuh ni a banga, a khe tuh mei khuam bangmai ahia a;
1Kisha nikamwona malaika mwingine mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa amevikwa wingu, na upinde wa mvua kichwani mwake. Uso wake ulikuwa kama jua, na miguu yake ilikuwa kama moto.
2huan a khut a laibu jial neu chik honsa a tawia; huan a khe taklam tuipi tungah a nga a, huan a khe veilam leitung ah;
2Mikononi mwake alishika kitabu kidogo kimefunguliwa. Aliweka mguu wake wa kulia juu ya bahari, na wa kushoto juu ya nchi kavu,
3huan aw ngaihtakin a kikou a, humpinelkai humham a banga: huan a ham khitin vanpi ging sagihten a aw uh a suahta ua.
3na kuita kwa sauti kubwa kama ya mngurumo wa simba. Alipopaaza sauti, ngurumo saba ziliitikia kwa kishindo.
4Huan vanpi-ging sagihten a aw uh asuah tak un, gelh dingin ka kisata a; huan van akipana awin, Vanpiging sagihte im bikbek inla gelh khe ken, a chih ka ja a.
4Na hizo ngurumo saba ziliposema, mimi nikataka kuandika. Lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni: "Maneno ya ngurumo hizo saba ni siri; usiyaandike!"
5Huan tuipi tung leh leitunga angel ding ka muhin van lamah a khut taklam a liktou a;
5Kisha yule malaika niliyemwona akisimama juu ya bahari na juu ya nchi kavu akainua mkono wake wa kulia juu mbinguni,
6huan, huai khantawna hing, van leh lei leh a sunga om tengteng, leh tupi leh a sunga om tengteng siampa minin a kichiamtaa, Zekaina omta kei dinga
6akaapa kwa jina la Mungu aishiye milele na milele, Mungu aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, bahari na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo. Akasema, "Wakati wa kusubiri zaidi umekwisha!
7himahleh angel sagihnain pengkul aw a sapna a mut nite hongtun chiangin, huai hun chiangin, Pathian thuguk, a sikha jawlneite kianga tanchin hoih ana genkhiaktak tuh hihkimin a omta ding, chiin.
7Lakini wakati ule malaika wa saba atakapotoa sauti yake, wakati atakapopiga tarumbeta yake, Mungu atakamilisha mpango wake wa siri kama alivyowatangazia watumishi wake manabii."
8Huan van akiapana ka aw jakin tuh kei honhoupihin, Kuan inla, tuipi tung leh leitunga angel ding khuta laibu-jial honsa vala in, a chih ka ja nawna.
8Kisha ile sauti niliyokuwa nimeisikia kutoka mbinguni pale awali ikasema nami tena: "Nenda ukakichukue kile kitabu kilichofunguliwa, kilicho mkononi mwa malaika asimamaye juu ya bahari na juu ya nchi kavu."
9Huan kei tuh angel kiangah ka vahohta a, laibu-jial neu tuh, aman kei honpe dingin a kiangah ka vagen a, Huan aman tuh ka kiangah, La inla, nezou vek in; huan na gil hihkha inchin, himahleh na kam ah khuaiju bangin a khum ding, a chi a.
9Basi, nikamwendea huyo malaika, nikamwambia anipe hicho kitabu kidogo. Naye akaniambia, "Kichukue, ukile; kinywani mwako kitakuwa kitamu kama asali, lakini tumboni kitakuwa kichungu!"
10Huan angel khut akipanin laibu, neu chik tuh ka lata a, huan ka nezou veka; huan ka kamah tuh khuaiju bangin a khumta a; huan ka nekzoh takin ka gil hihkhatin a omta a,Huan ka kiangah, Mi tampite leh namte leh paute leh kumpipate tuh na genkholh nawn ngei ngei ding ahi, a chi ua.
10Basi, nikakichukua kitabu hicho kidogo kutoka mkononi mwa huyo malaika, nikakila; nacho kilikuwa kitamu kinywani mwangu kama asali, lakini nilipokimeza kikawa kichungu tumboni mwangu.
11Huan ka kiangah, Mi tampite leh namte leh paute leh kumpipate tuh na genkholh nawn ngei ngei ding ahi, a chi ua.
11Kisha nikaambiwa, "Inakubidi tena kutangaza ujumbe wa Mungu kuhusu watu wengi, mataifa, watu wa lugha nyingi na wafalme!"