1Huan angel nganain a mutta a, huan van akipan aksi leitunga kesa ka mu a; huan amah kiangah guamkhuk thukpi honna tahbi piakin a oma.
1Kisha malaika wa tano akapiga tarumbeta yake. Nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka juu ya nchi kutoka mbinguni. Nayo ikapewa ufunguo wa shimo la Kuzimu.
2Huan amah guam khuk thukpi tuh a hongta a; huan huai guam akipanin meikhu, meipi khu bangmai a pawt touta a huai guama meikhu jiakin ni leh huihkhua hihmialin a omta hi.
2Basi, nyota hiyo ikafungua shimo la Kuzimu, kukatoka moshi wa tanuru kubwa. Jua na anga vikatiwa giza kwa moshi huo wa Kuzimu.
3Huan meikhu a kipanin khaupe leitung ah a hong suakta a; leia aikamten thil hihtheihna a nei bangin, amau tuh thilhihtheihna piakin a omta ua.
3Nzige wakatoka katika moshi huo, wakaingia duniani wakapewa nguvu kama ya ng'e.
4Huan amau tuh leitunga loupate bang, thil hing himhim bang, sing peuhmah leng, hihse loua, mi kuapeuh a tal ua Pathian chiamtehna neiloute kia hihse dia hilhin a om ua.
4Wakaamrishwa wasiharibu nyasi za nchi wala majani wala miti yoyote, bali wawaharibu wale tu ambao hawakupigwa mhuri wa Mungu katika paji la uso.
5Huan amau that lou dinga, kha nga amau hih genthei zo dinga hilhin a om ua; huan a hihgentheihna uh tuh aikamin mi a teha, gentheihna bangmai ahi.
5Nzige hao hawakuruhusiwa kuwaua watu, ila kuwatesa tu kwa muda wa miezi mitano. Maumivu watakayosababisha ni kama maumivu yanayompata mtu wakati anapoumwa na ng'e.
6Huan huai ni chiangin min sihna a zong ding ua, huan bangchi mah a mu kei ding uh; huan sih a ut ding ua, himahleh sihnain amau a taimang san ding.
6Muda huo watu watatafuta kifo lakini hawatakipata; watatamani kufa lakini kifo kitawakimbia.
7Huan huai khaupete mel tuh sakol kodounaa pang dia bawl bangmai ahi ua; huan a lu tunguah lallukhu hileh kilawm dangkaeng bangtak a oma, huan a mai uh mihingte mai bangmai ahi.
7Kwa kuonekana, nzige hao walikuwa kama farasi waliowekwa tayari kwa vita. Juu ya vichwa vyao walikuwa na taji zilizo kama za dhahabu, na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu.
8Huan numei sam bangtak sam a nei ua, a ha uh humpinelkai ha bangmai ahi.
8Nywele zao zilikuwa kama nywele za wanawake, na meno yao yalikuwa kama meno ya simba.
9Huan awmphaw, sik awmphaw hileh kilawm a nei ua; huan a kha jap ging uh kidouna lama sakol tampi tai dupdup, kidouna kangtalai tampi ging bangmai ahi.
9Vifua vyao vilikuwa vimefunikwa kitu kama ngao ya chuma. Sauti ya mabawa yao ilikuwa kama sauti ya msafara wa magari ya farasi wengi wanaokimbilia vitani.
10Huan aikam bangmai mei a nei ua, gu leng; huan a mei uah a thilhihtheihna uh, mihingte kha nga hihnatna ding a oma.
10Walikuwa na mikia na miiba kama ng'e, na kwa mikia hiyo, walikuwa na nguvu ya kuwadhuru watu kwa muda wa miezi mitano.
11Guam khukthukpi angel tuh a tung ua kumpipa-in a nei ua: Hebru pauin a min tuh Abaddon ahi a, huan Grik pauin a min tuh Appolion ahi.
11Tena wanaye mfalme anayewatawala, naye ndiye malaika wa kuzimu; jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kigiriki ni Apolioni, yaani mwangamizi.
12Tunggikna masapen tuh a beita a ngaiin, tunggikna nih tunung chiangin a hongtung nalai ding hi.
12Maafa ya kwanza yamepita; bado mengine mawili yanafuata.
13Huan angel guknain a mutta a, huan Pathian maa om dangkaeng mitam ki akipanin aw ka zata a
13Kisha malaika wa sita akapiga tarumbeta yake. Nami nikasikia sauti moja kutoka katika pembe nne za madhabahu ya dhahabu iliyokuwa mbele ya Mungu.
14Huai awin tuh angel gukna pengkul nei kiangah, Luipi Euphratisa angel li hena omte phel in, a chi a.
14Sauti hiyo ikamwambia huyo malaika wa sita mwenye tarumbeta, "Wafungulie malaika wanne waliofungwa kwenye mto mkubwa Eufrate!"
15Huan, angel lite tuh phelin a omta ua, amau tuh mi mun thuma khen mun khat a thah theihna ding un, dak khat leh ni khat leh kha khat leh kumkhat kisain, a na omta ua.
15Naye akawafungulia malaika hao wanne ambao walikuwa wametayarishwa kwa ajili ya saa hiyo ya siku ya mwezi huo, wa mwaka huohuo, kuua theluthi moja ya wanaadamu.
16Huan huai sakol tungtuang mi sepaih tam lam tuh sing ngen mun sing nih ahi: a tam uh kigen ka ja a.
16Nilisikia idadi ya majeshi wapanda farasi ilikuwa milioni mia mbili.
17Huan huchibangin kilaknain sakolte leh a tung ua tuangte, mei banga san, engdup leh kat banga eng, awmphaw neite tuh ka muta a: huan sakolte lu tuh humpinelkai lu bangmai ahi ua; huan a kam ua kipanin mei leh meikhu leh kat a suak khe ta a.
17Hivi ndivyo nilivyowaona hao farasi na wapanda farasi katika hiyo njozi: Walikuwa na ngao vifuani zilizokuwa moto mtupu, zenye rangi ya samawati na njano kama kiberiti. Vichwa vya hao farasi vilikuwa kama vya simba; na moto, moshi, na kiberiti vilikuwa vinatoka kinywani mwao.
18Huan hi thumte mei leh meikhu leh kat, a kam ua kipana hongpawt khiain mi munthuma khen mun khat tuh thahin a omta ua.
18Theluthi moja ya wanaadamu waliuawa kwa mabaa hayo matatu yaani, moto, moshi na kiberiti, yaliyokuwa yanatoka katika vinywa vyao;
19Huai sakolte thilhihtheihna tuh a kam ua leh a mei ua om ahi ngala; a mei khawng uh tuh gulpi toh a kibang ua, lu leng a nei uhi; huan huaitein mi a hihna uhi.
19maana nguvu ya farasi hao ilikuwa vinywani mwao na katika mikia yao. Mikia yao ilikuwa na vichwa kama nyoka, na waliitumia hiyo kuwadhuru watu.
20Huan midang huai gawtnaa siloute, dawite, dangkaengte milimte, dangka milimte, suang milimte, leh sing milimte; huai amau muhjtheihna neiloute, be nawn lou dingin a khut ua a nasep khiakte uah tuh a kidik kei uhi;Huan a tualthahna uah leh a mibumna uah leh a kingaihna khelhna uah leh a guktakna uah tuh a kisik tuan kei uhi.
20Wanaadamu wengine waliobaki ambao hawakuuawa na mabaa hayo, hawakugeuka na kuviacha vitu walivyokuwa wametengeneza kwa mikono yao wenyewe; bali wakaendelea kuabudu pepo, sanamu za dhahabu, fedha, shaba, mawe na miti, vitu ambavyo haviwezi kuona, kusikia wala kutembea.
21Huan a tualthahna uah leh a mibumna uah leh a kingaihna khelhna uah leh a guktakna uah tuh a kisik tuan kei uhi.
21Wala hawakutubu na kuacha kufanya mauaji, uchawi, uzinzi, na wizi.