Paite

Swahili: New Testament

Revelation

17

1Huan huai angel sagih belhbu sagih tawite laka khat a hong paia, huan kei a honhoupiha, Hiai lamah hongpai in, tui tampite tunga tu kijuaknu thupi tungah vaihawmna kon musak ding;
1Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na bakuli akaja, akaniambia, "Njoo, mimi nitakuonyesha adhabu aliyopewa yule mzinzi mkuu, mji ule uliojengwa juu ya maji mengi.
2leitung kumpipate tuh amah toh a kingai ua, huan a mingaihna uainin leitunga tengte vakkhamin a om ua, chiin.
2Wafalme wa dunia wamefanya uzinzi pamoja naye; na wakazi wa dunia wamelewa divai ya uzinzi wake."
3Huan amah tuh khain gamdai ah honpo mangta a: huan numei khat gamsa san, Pathian gensiatna mina dim, lu sagih leh kisawm nei tunga tu ka muta hi.
3Kisha, Roho akanikumba, akaniongoza mpaka jangwani. Huko nikamwona mwanamke ameketi juu ya mnyama mwekundu. Mnyama huyo alikuwa ameandikwa kila mahali majina ya makufuru; alikuwa na vichwa saba na pembe kumi.
4Huan huai numei tuh asan dup leh asandangin a kivana, dangkaeng nou, kihhuainaa dim a tawia, a mi-ngaihna thil ninte ngeingei.
4Mwanamke huyo alikuwa amevaa vazi la rangi ya zambarau na nyekundu; alikuwa amejipamba kwa dhahabu, mawe ya thamani na lulu. Mkononi mwake alishika kikombe cha dhahabu ambacho kilikuwa kimejaa machukizo na mambo machafu yanayoonyesha uzinzi wake.
5Huan a talah min thuguk, Babulon thupi, kijuakte leh leitunga kihhuaite nu, chih a kigelh hi.
5Alikuwa ameandikwa juu ya paji la uso wake jina la fumbo "Babuloni mkuu, mama wa wazinzi na wa mambo yote ya kuchukiza sana duniani."
6Huan huai numei tuh misiangthoute sisan leh, Jesu martarte sisan dawn khamin ka mu hi. Huchia ka muh takin, ken tuh lamdang ka sa mahmah hi.
6Nikamwona huyo mwanamke amelewa damu ya watu wa Mungu, na damu ya watu waliouawa kwa sababu ya kumtangaza Yesu. Nilipomwona nilishangaa mno.
7Huan angelin tuh ka ka kiangah, Bangdinga lamdang sa na hia? Huai numei leh amah pua, huai gamsalu sagih leh kisawm nei, thuguk kon hilh ding.
7Lakini malaika akaniambia, "Kwa nini unashangaa? Mimi nitakuambia maana iliyofichika ya mwanamke huyu na mnyama huyo amchukuaye ambaye ana vichwa saba na pembe kumi.
8Huai na gamsa muh tuh a omkhina, huan a om keia; huan guamkhuk thukpi akipana hongpai khe ding ahi a, huan manthatnaa pai ding ahi. Huan leitunga tengte, khovel siam tunga kipana hinna laibua min gelh louhten, gamsa om khin a, hua om lou a, hua hongom ding a hihdan a muh chiang un lamdang a sa ding uhi.
8Huyo mnyama uliyemwona alikuwa hai hapo awali, lakini sasa amekufa. Hata hivyo, karibu sana atapanda kutoka shimoni kuzimu, lakini ataangamizwa. Wanaoishi duniani watashangaa; naam, watu wote ambao majina yao hayakupata kuandikwa katika kitabu cha uzima tangu mwanzo wa ulimwengu, watashangaa kumwona huyo mnyama ambaye hapo awali, aliishi, kisha akafa na sasa anatokea tena!
9Hiaiah pilna lungsim a kul. Lu sagihte tuh numei tutna tangsang sagihte ahi uhi:
9"Hapa panahitaji akili na hekima! Hivyo vichwa saba ni vilima saba, na huyo mwanamke anaketi juu yake. Vichwa hivyo pia ni wafalme saba.
10huan kumpipa sagihte ahi ua; nga a puk khin ua, khat a om lel a, a dang a hongtung nai keia. Huan a hongtun chiangin, tom chik phet a om ding hi.
10Kati ya hao wafalme saba, watano wamekwisha angamia, mmoja anatawala bado, na yule mwingine bado hajafika; na atakapofika atabaki kwa muda mfupi.
11Huan huai gamsa om khina, hua om lou, amah mah tuh a giatna ahia, himahleh sagihte laka tel ahi; huan manthatna ah a pai ding hi.
11Huyo mnyama ambaye alikuwa anaishi hapo awali lakini sasa haishi tena ni mfalme wa nane, naye pia ni miongoni mwa hao saba, na anakwenda zake kuharibiwa.
12Huan ki sawm na muhte tuh kumpipa sawmte, lalgam nei naitadih loute, ahi ua, himahleh dak kal khat lel, huai gamsa toh amau tuh kumpipate bangin thuneihna a nei ding ua,
12"Zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme ambao bado hawajaanza kutawala. Lakini watapewa mamlaka ya kutawala kwa muda wa saa moja pamoja na yule mnyama.
13hiaiten tuh lungsim khaat a nei un, huan gamsa kiangah a thilhihtheihna uh leh a thuneihna uh a a pia uhi.
13Shabaha ya hawa kumi ni moja, na watampa yule mnyama nguvu na mamlaka yao yote.
14Hiaiten tuh Belamnou a kidou pih ding ua, huan Belamnou-in amau a zou ding, amah toupate Toupa leh kumpipate Kumpipa a hih jiakin; huan huai a ompih, sapte leh telte leh gin-om leng a zou ding uh, a chi a.
14Watapigana na Mwanakondoo, lakini Mwanakondoo pamoja na wale aliowaita na kuwachagua, ambao ni waaminifu, atawashinda kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme."
15Huan aman tuh ka kiangah, Kijuaknu tutna tui na muhte tuh mite leh mipite leh namte lah paute ahi ua.
15Malaika akaniambia pia, "Yale maji uliyoyaona pale alipokaa yule mzinzi, ni mataifa, watu wa kila rangi na lugha.
16Huan ki sawm na muhte leh na gamsa muh, hiaiten tuh kijuaknu a muhdah ding ua, suanbei leh vuaktang a suaksak ding ua, huan a sa a ne ding ua, huan amah tuh meiin a halmang vek ding uhi.
16Pembe zile kumi ulizoziona na yule mnyama watamchukia huyo mzinzi. Watachukua kila kitu alicho nacho na kumwacha uchi; watakula nyama yake na kumteketeza kwa moto.
17Pathian thute hihkima a om mateng, amah deihlam a hihna ding u leh, lungsim khat a neihna ding u leh, a lalgam u tuh gamsa kianga piakna ding un, Pathianin amau ah ngaihtuahna a koihta ngala.Huan na numei muh tuh kho thupi, leitung kumpipate tunga vaihawm nu ahi, a chi a,
17Maana Mungu ametia mioyoni mwao nia ya kutekeleza shabaha yake, yaani kwa kukubaliana wao kwa wao na kumpa huyo mnyama mamlaka yao ya kutawala, mpaka hapo neno la Mungu litakapotimia.
18Huan na numei muh tuh kho thupi, leitung kumpipate tunga vaihawm nu ahi, a chi a,
18"Na yule mwanamke uliyemwona ndio ule mji mkuu unaowatawala wafalme wa dunia."