1Hiai thilte nungin van akipan angel dang, thuneihna liantak nei, hongpai khe suk tuh ka muta a; a thupinain leitung tuh a vaksak ta a.
1Baada ya hayo, nilimwona malaika mwingine akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa na uwezo mkuu, na dunia ikamulikwa na mng'ao wake.
2Huan aw ngaihtak in a kikouta a, Chimta, chimta Babulon kho thupi, dawite omna leh, kha nin tengteng kulh leh vasa nin leh huathuai teng kulh a honghita hi.
2Basi, akapaaza sauti kwa nguvu akisema, "Umeanguka; Babuloni mkuu umeanguka! Sasa umekuwa makao ya mashetani na pepo wachafu; umekuwa makao ya ndege wachafu na wa kuchukiza mno.
3Amingaihna uain-a nam tengteng hihpuka a om ua, leitung kumpipaten amah a kingaihpih ua, leitung sumsinte a nuamtat luatnaa a hong hautak jiakun, a chi hi.
3Maana mataifa yote yalileweshwa kwa divai kali ya uzinzi wake, nao wafalme wa dunia wamefanya uzinzi naye. Nao wafanyabiashara wa dunia wametajirika kutokana na anasa zake zisizo na kipimo."
4Huan van akipanin aw dangin, hichi banga a gen ka ja a, Ka mite, a khelhnaa na pankhak louhna ding un leh ahi na kai louhna dingun, amah akipanin hongpai khia un:
4Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema, "Watu wangu, ondokeni kwake, ili msishirikiane naye katika dhambi zake, msije mkaipata adhabu yake.
5A khelhna tuh van a tung hialta ngala, huan Pathinin a khelhnate a theigige hi.
5Kwa maana dhambi zake zimekuwa nyingi mno, zimelundikana mpaka mbinguni, na Mungu ameyakumbuka maovu yake.
6Aman a piak bang lellelin, a kiangah pia unla, amah gamtatna azah nihin thuk kik un: a helna nou ah, amah adingin a zah nihin hel sak unla.
6Mtendeeni kama alivyowatendea ninyi; mlipeni mara mbili kwa yale aliyoyatenda. Jazeni kikombe chake kwa kinywaji kikali mara mbili zaidi ya kile alichowapeni.
7A kithupi sakna zahzah leh a noptatna zahzahin, amah bawlgim unla, hihlungkham un: aman tuh a lungsimin, Kumpinuin ka tu a, meithai ka hi kei, bangchi mahin ka lungkham ngei kei ding, a chih jiakin.
7Mpeni mateso na uchungu kadiri ya kujigamba kwake, na kuishi kwake kwa anasa. Maana anajisemea moyoni: Ninaketi hapa; mimi ni malkia. Mimi si mjane, wala sitapatwa na uchungu!
8Huaijiakin ni khat sungin a gatna: sihna leh lungkhamna leh kialna a hongtung ding hi; huan amah tuh meiin haltum vekin om in teh; amah tunga vaihawm Toupa Pathian tuh a hat jiakin.
8Kwa sababu hiyo mabaa yake yatampata kwa siku moja: ugonjwa, huzuni na njaa. Atachomwa moto, maana Bwana Mungu mwenye kumhukumu ni Mwenye Uwezo."
9Huan leitunga kumpipate, amah kingaihpiha, amah toh nuamtat a omten, amah halna meikhu a muh chiang un, amah tuh kahin mau un chin.
9Wafalme wa Dunia waliofanya uzinzi naye na kuishi naye maisha ya anasa wataomboleza na kulia wakati watakapoona moshi wa mji huo unaoteketea.
10Hihnata a omna tuh kihtaa gamla pai dingin, Tunggik, tunggik, kho thupi Babulon kho hat! Dak kal khat sunga na tunga vaihawmna a hongtuntak jiakin chi unteh.
10Wanasimama kwa mbali kwa sababu ya kuogopa mateso yake, na kusema, "Ole! Ole kwako Babuloni, mji maarufu na wenye nguvu! Kwa muda wa saa moja tu adhabu yako imekupata."
11Huan leitunga sumsinten, sumsinna van uh kuamahin a lei louh jiak un, amah tuh kahin sun un chin.
11Wafanyabiashara wa dunia watalia na kumfanyia matanga, maana hakuna mtu anayenunua tena bidhaa zao;
12Dangkaeng leh dangkaa sumsinna vante bang, suang mantamte bang, tuikep suang bang, puan malngat hoih bang, puan san bang, maimompuan bang, puan eng bang, sing namtui teng bang, saihaa bawlvan teng bang, sing mantampen chia van bawlteng bang, sumsan leh sik leh marbul sunga belsuan bawlteng bang:
12hakuna tena wa kununua dhahabu yao, fedha, mawe ya thamani na lulu, kitani na nguo za rangi ya zambarau, hariri na nguo nyekundu; vyombo vya kila aina ya miti ya pekee, vyombo vya pembe za ndovu, vya miti ya thamani kubwa, vya shaba, chuma na marmari;
13leh singgui thak bang, namtui bang, namtuihalchi bang, thau namtui bang, chim bang, uain bang, thau bang, buhnel bang, buh bang, belam bang huan sakol leh kangtalai leh sal bang, mite hinnate te bang.
13mdalasini, viungo, ubani, manemane, udi, divai, mafuta, unga na ngano, ng'ombe na kondoo, farasi na magari ya kukokotwa, watumwa wao na hata maisha ya watu.
14Huan na lungsima na deih, gahten nang hontai mangsan ua, huan thil limchileh hoih tengin nang a honmanthat san ua, muh nawn ahi ngei kei ding uhi.
14Wafanyabiashara wanamwambia: "Faida yote uliyotazamia imetoweka, na utajiri na fahari vimekuponyoka; hutaweza kuvipata tena!"
15Hiai thiltea sumsinte, amah jiaka haua bawlten, amah hihnata a omna lauin gamla pai dingin, kapin a sun ding uh.
15Wafanya biashara waliotajirika kutokana na mji huo, watasimama mbali kwa sababu ya hofu ya mateso yake, watalalamika na kuomboleza,
16Tunggik, tunggik, kho thupi, puan malngat hoih leh a san leh a enga kijema, dangkaeng leh suangmantam leh tuikepsuanga kivannu hi!
16wakisema, "Ole! Ole kwa mji huu mkuu. Ulizoea kuvalia nguo za kitani, za rangi ya zambarau na nyekundu, na kujipamba kwa dhahabu, mawe ya thamani na lulu!
17Dak kal khatin hichi tela hauhna thupi tuh bangmah loua bawl a om jiakin, chiin. Huan longpute leh koilam koilama longa tungte leh longmite leh tuipia nek zong tengteng tuh gamla pi ah a ding ua.
17Kwa saa moja tu utajiri wako umetoweka!" Halafu manahodha wote na wasafiri wao, wanamaji na wote wanaofanya kazi baharini, walisimama kwa mbali,
18Amah halna meikhu a et un, a kikou ua, Huan kho thupi bangkoi a om a? chiin.
18na walipouona moshi wa moto ule uliouteketeza, wakalia kwa sauti: "Hakujapata kuwako mji kama mji huu mkuu!"
19Huan, amau a lu tunguah leivui a kibuak ua a kikou ua, kap leh sunin, Tunggik, tunggik, kho thupi huaia tuipia mi long nei tengteng amah manphat jiaka hauhsakin a om ua! dakkal khat sungin amah tuh bangmalou a hita.
19Wakajimwagia vumbi juu ya vichwa vyao wakilia kwa sauti na kuomboleza: "Ole! Ole kwako mji mkuu! Ni mji ambamo wote wenye meli zisafirizo baharini walitajirika kutokana na utajiri wake. Kwa muda wa saa moja tu umepoteza kila kitu!"
20Aw nang van, leh Aw nou misiangthoute, leh nou sawltakte leh nou jawlneite, amah tungah kipahkhum un; na tung ua a vaihawmna tuh Pathianin amah tungah vai a hawmtak jiakin. a chi uhi.
20Furahi ee mbingu, kwa sababu ya uharibifu wake. Furahini watu wa Mungu, mitume na manabii! Kwa maana Mungu ameuhukumu kwa sababu ya mambo uliyowatenda ninyi!
21Huan angel hat khatin buh gawina suang lian pi hileh kilawm suang khat a domta a, huan tupi ah a pai luta, Hichi bangin kho thupi, Babulon tuh nakpia hihchipin om inchin, huan muhkhiak nawn louh hialin om in teh.
21Kisha malaika mmoja mwenye nguvu sana akainua jiwe mfano wa jiwe kubwa la kusagia, akalitupa baharini akisema, "Ndivyo, Babuloni atakavyotupwa na kupotea kabisa.
22Huan gosem tumte leh la siamte leh tamngai tumte leh pengkul tumte, na sungah kiza nawnkei hial unteh; huan khutsiam kuamah siamna nei himhim, na sungah muh khiakin om nawn kei hial un chin; huan khawl ging himhim na sung ah kiza nawn kei hial in teh.
22Sauti za vinubi za muziki, sauti za wapiga filimbi na tarumbeta hazitasikika tena ndani yako. Hakuna fundi wa namna yoyote ile atakayepatikana tena ndani yako; wala sauti ya jiwe la kusagia haitasikika tena ndani yako.
23Huan meivak vakna, na sungahvak nawn kei hial inchin; huan mouneipa aw leh mou aw, na sung ah kiza nawn kei hial inchin: na sumsinte leitung kumpipate ahi ngal ua; na bumsiamnain nam tengteng tuh khemin a omta ngal ua.Huan amah sungah jawlneite sisan, leh misiangthoute sisan leh leitunga thaha omte tengteng sisan a kimu khia hi, a chi a.
23Mwanga wa taa hautaonekana tena ndani yako; sauti za bwana arusi na bibi arusi hazitasikika tena ndani yako. Wafanyabiashara wako walikuwa wakuu duniani, na kwa uchawi wako mataifa yote yalipotoshwa!"
24Huan amah sungah jawlneite sisan, leh misiangthoute sisan leh leitunga thaha omte tengteng sisan a kimu khia hi, a chi a.
24Mji huo uliadhibiwa kwani humo mlipatikana damu ya manabii, damu ya watu wa Mungu na damu ya watu wote waliouawa duniani.