1Hiai thilte nungin vana mipi aw hileh kilawmin, Hallelujah! Hotdamna leh thupina leh thilhihtheihna i Pathian uha ahi;
1Baada ya hayo nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati wa watu wengi mbinguni ikisema, "Haleluya! Ukombozi, utukufu na nguvu ni mali yake Mungu wetu!
2A vaihawmna tuh adikin akizen hi; kijuaknu thupi leitunga, a mi-ngaih-naa hihsenu tunga vai a hawmtak jiakin, Aman a sikhate sisan amah tungah a thukta, a chih ka zata a.
2Maana hukumu yake ni ya kweli na ya haki. Amemhukumu yule mzinzi mkuu ambaye alikuwa ameipotosha dunia kwa uzinzi wake. Amemwadhibu kwa sababu ya kumwaga damu ya watumishi wake!"
3Huan, upa sawmnih leh lite leh ganhing lite a khupboh ua, huan, Pathian laltutphaha tupa tuh a beta ua, Amen, Hallelujah! chiin.
3Wakasema, "Asifiwe Mungu! Moshi wa moto unaoteketeza mji huo utapanda juu milele na milele!"
4Huan, upa sawmnih leh lite leh ganging lite a khupboh ua, huan, Pathian laltutphaha tupa tuha beta ua, Amen, Hallelujah! chiin.
4Na wale wazee ishirini na wanne, na vile viumbe hai vinne, wakajitupa chini, wakamwabudu Mungu aliyeketi juu ya kiti cha enzi wakisema, "Amina! Asifiwe Mungu!"
5Huan, laltutphah kipanin aw a hongpawtkhetaa, Nou, a sikhate aw, na vekun, aneu a lian, nou, Amah laute Pathian tuh phatna pia un, chiin.
5Kisha kukatokea sauti kwenye kiti cha enzi: "Msifuni Mungu enyi watumishi wake wote, nyote mnaomcha, wadogo kwa wakubwa."
6Huan mipi tampi aw hileh kilawm, tui tampi ging bang leh vanpi ging bang aw-in, Hallelujah! Toupa i Pathian Bangkimhihtheiin vai ahawm jiakin,
6Kisha nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa wa watu na sauti ya maji mengi na ya ngurumo kubwa, ikisema, "Haleluya! Maana Bwana Mungu wetu Mwenye Uwezo ni Mfalme!
7Nuam ni, nakpitak kipak ni, Amah kiangah thupina pia in: Belamnou zineih hun hongtung. A ji leng a kisakkhittak jiakin;
7Tufurahi na kushangilia; tumtukuze, kwani wakati wa arusi ya Mwanakondoo umefika, na bibi arusi yuko tayari.
8Amah tuh puan malngat hoih leh te leh siangthou, a kizepna dingin piakin a omtaa, a chih ka jaa- puan malngat hoih tuh misiangthoute nasep diktatte tuh ahi.
8Amepewa uwezo wa kujivalia nguo ya kitani safi, iliyotakata na yenye kung'aa!" (Nguo hiyo ya kitani safi ni matendo mema ya watu wa Mungu.)
9Huan, angelin ka kiangah, Gelh in, Belamnou zineihna nitak ankuang um dinga chiala omte a hampha uhi, a chi a.
9Kisha malaika akaniambia, "Andika haya: Heri wale walioalikwa kwenye karamu ya arusi ya Mwanakondoo!" Tena akaniambia, "Hayo ni maneno ya kweli ya Mungu."
10Huan, amah be dingin akhe bulah ka puktaa. Huan, ka kiangah, Honbe kei hialin: Jesu thu theihsakna tuh kem nangmah unau leh sikha hihpih ka hi; Pathian be jaw in, Jesu thu theihpihna genkholhna kha a hih jiakin, a chi a.
10Basi, mimi nikaanguka kifudifudi mbele ya miguu yake nikataka kumwabudu. Lakini yeye akaniambia, "Acha! Mimi ni mtumishi tu kama wewe na ndugu zako; sote tunauzingatia ukweli ule alioufunua Yesu. Mwabudu Mungu! Maana ukweli alioufunua Yesu ndio unaowaangazia manabii."
11Huan van kihong ka muta a; huan ngaiin, sakol kang leh a tunga tuang Ginom leh Dik kichi leng ka mu a; huan aman tuh diknaa vaihawmin kidouna a bawla.
11Kisha nikaona mbingu zimefunguliwa; na huko alikuwako farasi mmoja mweupe, na mpanda farasi wake aliitwa "Mwaminifu" na "Kweli". Huyo huhukumu na kupigana kwa ajili ya haki.
12Huan a mit tuh mei kuang bang ahi a, huan a lu tungah tuh lallukhu tampi a oma, huan min khat amah loungal kuamah theih louh kigelh a nei hi.
12Macho yake ni kama mwali wa moto, na alikuwa amevaa taji nyingi kichwani. Alikuwa ameandikwa jina ambalo hakuna mtu alijuaye isipokuwa tu yeye mwenyewe.
13Huan amah tuh puan sisana diahin a kijema; huan a min tuh, Pathian Thu, chih ahi a.
13Alikuwa amevaa vazi lililokuwa limelowekwa katika damu. Na jina lake huyo ni "Neno la Mungu."
14Huan amah tuh vana om sepaih hon puan malngat hoih leh, a ngou leh siang, silha sakol kang tungah tuangin ahonjui ua.
14Majeshi ya mbinguni yalimfuata yakiwa yamepanda farasi weupe na walikuwa wamevaa mavazi ya kitani, meupe na safi.
15Huan, a kama kipanin namte a satna ding, temsau hiam khat a hongsuak khiaa: huan amau tungah sik chiangin vai a hawm dia: Pathian Bangkimhihthei hehna lauhuaina uain sukna tuh a chil dia.
15Upanga mkali hutoka kinywani mwake, na kwa upanga huo atawashinda mataifa. Yeye ndiye atakayetawala kwa fimbo ya chuma na kuikamua divai katika chombo cha kukamulia zabibu za ghadhabu kuu ya Mungu Mwenye Uwezo.
16Huan a puan tungah leh a phei tungah min, KUMPIPATE KUMPIPA, LEH TOUPATE TOUPA, chih a kigelh hi.
16Juu ya vazi lake, na juu ya mguu wake, alikuwa ameandikwa jina: "Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana."
17Huan angel khat nia ding ka muta a; huan amah tuh aw ngaih taka kikouin, van laijawla vasa leng tengteng kiangah, Hong unla Pathian nitakan thupi ah hong kikhawm vek un;
17Kisha nikamwona malaika mmoja amesimama katika jua. Akapaaza sauti na kuwaambia ndege wote waliokuwa wanaruka juu angani, "Njoni! Kusanyikeni pamoja kwa karamu kuu ya Mungu.
18Kumpipate sa, sepaih heutute sa, mi hatte sa, sakolte sa, a tunga tute sa, mi tengteg sa, sikha leh sikha lote sa, leh milian leh mi neu sa na nek theihna ding un, chiin.
18Njoni mkaitafune miili ya wafalme, ya majemadari, ya watu wenye nguvu, ya farasi na wapanda farasi wao; njoni mkaitafune miili ya watu wote: walio huru na watumwa, wadogo na wakubwa."
19Huan huai gamsa leh, leitunga kumpipate leh, a sepaihte uh, huai sakol tunga tuangpa leh a sepaihte kidou pih dingin a hongkikhawmta ua.
19Kisha nikaona yule mnyama pamoja na mfalme wa dunia na askari wao wamekusanyika pamoja kusudi wapigane na yule aliyekuwa ameketi juu ya farasi, pamoja na jeshi lake.
20Huan gamsa tuh matin a omtaa, huan jawlnei taklou, ama achiamtehna hiha gamsa chiamtehna neite leh amah limbete a khempa toh a man khawma: a nih tuak un a hingin meidil, kata kang sungah paihlutin a omta uhi:Huan adangte tuh huai sakol tunga tupa temsaua thahin a omta ua; huai temsau a kama kipana hongsuakin; huan amau sain vasa teng teng gilvahin a omta uhi.
20Lakini huyo mnyama akachukuliwa mateka, pamoja na nabii wa uongo aliyekuwa akifanya miujiza mbele yake. (Kwa miujiza hiyo, alikuwa amewapotosha wale waliokuwa na chapa ya huyo mnyama, na ambao walikuwa wameiabudu sanamu yake.) Huyo mnyama pamoja na huyo nabii walitupwa wote wawili, wakiwa wazimawazima, ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti.
21Huan adangte tuh huai sakol tunga tupa temsaua thahin a omta ua; huai temsau a kama kipana hongsuakin; huan amau sain vasa teng teng gilvahin a omta uhi.
21Majeshi yao yaliuawa kwa upanga uliotoka kinywani mwa yule anayepanda farasi. Ndege wote wakajishibisha kwa nyama zao.