1Huan angel khat van akipana hongpai khe suk, a khuta guamkhuk thukpi tahbi leh khainiang lianpi tawi ka mutaa.
1Kisha nikamwona malaika mmoja anashuka kutoka mbinguni akiwa na ufunguo wa kuzimu na mnyororo mkubwa mkononi mwake.
2Huan aman tuh dragon, gulpi tek, huan Diabol leh Setan tuh a manta, huan kum sang khat sung dingin amah tuh a hentaa.
2Akalikamata lile joka--nyoka wa kale, yaani Ibilisi au Shetani--akalifunga kwa muda wa miaka elfu moja.
3Huan kum sang khat a chin maa namte a khem nawn louna dingin amah tuh guamkhuk thukpi ah paih lutin a oma, huan a khaka, huan amah tuh a bilh khumta a: hiai nungin sawtlou kal tuh amah khah ding ahi.
3Malaika akalitupa Kuzimu, akaufunga mlango wa kuingilia huko na kuutia mhuri ili lisiweze tena kuyapotosha mataifa mpaka hapo miaka elfu moja itakapotimia. Lakini baada ya miaka hiyo ni lazima lifunguliwe tena, lakini kwa muda mfupi tu.
4Huan laltutphahte leh a tunga tute ka mutaa, akiang uah vaihawmna piakin a omta a: huan Jesu thu theihsakna jiak leh Pathian thu jiaka a lu uh sat tana omte kha tuh ka mu a, huaite tuh gamsa leh a lim be loute, a tal ua leh a khut ua achiamtehna neiloute ahi ua; huan amau tuh a honghingta ua, Kris toh kum sang khat vai a hawmta uhi.
4Kisha nikaona viti vya enzi na watu walioketi juu yake; watu hao walipewa mamlaka ya hukumu. Niliona pia roho za wale waliokuwa wamenyongwa kwa sababu ya kumtangaza Yesu na kwa sababu ya neno la Mungu. Hawa hawakumwabudu yule mnyama na sanamu yake, wala hawakupigwa alama yake juu ya paji za nyuso zao, au juu ya mikono yao. Walipata tena uhai, wakatawala pamoja na Kristo kwa muda wa miaka elfu moja.
5Kum sang khat a bei mateng, misi dangte tuh a hingta kei ua. Hiai tuh thohnawnna masapena ahi.
5(Wale wengine waliokufa hawakupata uhai mpaka miaka elfu moja itimie.) Huu ndio ufufuo wa kwanza.
6Thohnawnna masapena pangte tuh a hampha uhi, a siangthou uhi: hiaite tunga sih nihnain hihtheih aneih louh jiakin; himahleh amau tuh Pathian leh Kris siampute a honghi ding ua, huan kum sang khat sung amah toh vai a hawm ding uhi.
6Wameneemeka sana, tena heri yao wote wanaoshiriki ufufuo huu wa kwanza. Kifo cha pili hakitakuwa na nguvu juu yao; watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, na watatawala pamoja naye kwa miaka elfu moja.
7Huan kum sangkhat tuh a bei chiangin, Setan tuh a tannain akipanin khah khiakin a om dia,
7Wakati miaka elfu mia moja itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake.
8huan leitung kil lia om namte, Gog leh Magog khemna amau tuh kidouna muna pi khawm dingin amah hongpai khe pah dia; a tamdan utuh tuipi piaunel bang ahi uhi.
8Basi, atatoka nje, ataanza kuyapotosha mataifa yote yaliyotawanyika kila mahali duniani, yaani Gogu na Magogu. Shetani atawakusanya pamoja kwa ajili ya vita; nao watakuwa wengi kama mchanga wa pwani.
9Huan amau tuh leitung vailam khak suakin a pai touta ua, huan misiangthoute giahna phual, leh khopi it, akim avelin a umta ua; huan van akipanin mei a hongke sukta a, huan amau tuh a nezou vekta hi.
9Walitawanyika katika nchi yote, wakaizunguka kambi ya watu wa Mungu na mji wa Mungu aupendao. Lakini moto ulishuka kutoka mbinguni, ukawaangamiza.
10Huan diabol, amau khempa tuh, gamsa leh jawlnei taklou omna, mei leh kat dil ah tuhpaihlutin a omta ua; huan khantawn khantawnin sun leh janin amau tuh hihnatin a om ding uhi.
10Ibilisi, aliyekuwa anawapotosha, akatupwa ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti, walimo yule mnyama na yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku, milele na milele.
11Huan laltutphah ngou thupi leh a tunga tut uh ka muta a; a maia kipan lei leh van a taimangta a, amau adingin mun himhim a omta kei hi.
11Kisha nikaona kiti cha enzi kikubwa cheupe, na yule aketiye juu yake. Dunia na mbingu vikatoweka mbele ya macho yake, na havikuonekana tena.
12Huan misite, a neu a lian, huai laltutphah maa dingte tuh ka muta a; huan laibute a kihonga; huan laibu dang, hinna laibu leng a kihonga; huan misite huai laibu tea thil kigelhte akipanin a thilhih bang ua vaihawm sakin a omta uhi.
12Kisha nikawaona watu wakubwa na wadogo, wamesimama mbele ya kiti cha enzi, na vitabu vikafunguliwa. Halafu kitabu kingine, yaani kitabu cha uzima, kikafunguliwa pia. Wafu wakahukumiwa kadiri ya matendo yao, kama ilivyoandikwa ndani ya vitabu hivyo.
13Huan tuipiin tuh a sunga om misite a nonpawt sakta a; huan sihna leh misi khua-in tuh a sung ua misi omte a honpawt sakta ua: huan mi chiteng tuh a thilhih bangbang ua vaihawm sakin a omta uhi.
13Bahari ikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yake; kifo na kuzimu vikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yao. Kila mmoja akahukumiwa kufuatana na matendo yake.
14Huan sihna leh misi khua tuh meidila paih lutin a omta ua. Hiai tuh sih nihna ahi, mei dilpen.Huan kuapeuh hinna laibu-a kigelh a muh louh utuh, mei dila paihlutin a omta uhi.
14Kisha kifo na kuzimu vikatupwa ndani ya ziwa la moto. Ziwa hili la moto ndicho kifo cha pili.
15Huan kuapeuh hinna laibu-a kigelh a muh louh utuh, mei dila paihlutin a omta uhi.
15Mtu yeyote ambaye jina lake halikupatikana limeandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika ziwa la moto.