1Huan van thak leh lei thak ka muta a: van masapen leh lei masapen tuh a beitak jiak un; huan tuipi leng a om nawnta kei hi.
1Kisha nikaona mbingu mpya na dunia mpya. Mbingu ile ya kwanza na dunia ile ya kwanza vilikuwa vimetoweka, nayo bahari pia haikuweko tena.
2Huan kho siangthou, Jerusalem thak, mou a pasal adinga kijem banga bawl zoh saa om, Pathian akipana vana hongpai khe suk tuh ka muta a.
2Nikaona mji mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka kwa Mungu mbinguni. Ulikuwa umetayarishwa vizuri kama bibi arusi aliyepambwa tayari kukutana na mumewe.
3Huan laltutphah akipana aw thupitak ka jakin, Ngai in, Pathian biakbuk mihingte lakah a omta, huan amau lakah a teng dia, huan amau tuh a mite ahi ding ua, huan Pathian mahmahin amau a ompih dia, huan a Pathian uh ahi dia:
3Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka katika kiti cha enzi ikisema, "Tazama! Mungu amefanya makao yake kati ya watu. Atakaa kati yao, nao watakuwa watu wake, naye atakuwa Mungu wao.
4Huan a mit ua kipanin khitui tengteng a nulhul dia; huan sihna a om nawn kei dia; lusun leh kah leh natna himhim leng a om nawn kei hi, a chi a.
4Yeye atayafuta machozi yao yote; maana hakutakuwako tena na kifo, wala uchungu, wala kilio, wala maumivu; maana ile hali ya kale imepita!"
5Huan laltutphah tunga tupan, ngai in, thil tengteng ka siam thakta, a chi a. Huan, Gelh in: hiai thute tuh a ginomin a dik uhi, a chi a.
5Kisha yule aliyeketi juu ya kiti cha enzi akasema, "Tazama, nafanya yote mapya." Tena akaniambia, "Andika hili, maana maneno haya ni ya kuaminika na ya kweli!"
6Huan aman tuh ka kiangah, A hongtungta uh. Kei Alpha leh Omega, a bul leh a tawp ka hi. Dangtakte kiangah manbeiin hinna tuikhuka tui amau kiangah ka pe ding.
6Kisha akaniambia, "Yametimia! Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Aliye na kiu nitampa kinywaji cha bure kutoka katika chemchemi ya maji ya uzima.
7Kuapeuh a vualzoupan tuh hiai thilte a luah dia; huan a Pathian ka hi dia, huan amah tuh ka tapa ahi ding.
7Yeyote atakayeshinda atapokea hiki, nami nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.
8Himahleh dawilokte leh gingtaloute leh, kihhuaite leh tualthatte leh, mingaihhatte leh bumhatte leh, milim bete leh zuautheite tengteng tuh, amau tan tuh dil, mei lek kata kang ahi dia; huai tuh sih nihna ahi.
8Lakini watu waoga, wasioamini, wapotovu, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, na waongo wote, mahali pao patakuwa ndani ya lile ziwa linalowaka moto na kiberiti; hicho ndicho kifo cha pili."
9Huan angel sagih belhbu sagih tawite, gawtna sagih nanungpen pote laka khat tuh a hongpai a; huchiin kei a honhoupiha, Hiai lamah hongpai in, Mou, Belamnou ji kon musak ding, chiin.
9Kisha mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na yale mabakuli saba yaliyokuwa yamejaa mabaa saba ya mwisho, akaja na kuniambia, "Njoo! Mimi nitakuonyesha bibi arusi, mkewe Mwanakondoo!"
10Huan aman tuh Khain tang lianpi leh sangpi ah a honpo mangtaa, huan kho siangthou Jerusalem, Pathian akipana vana hongpai khe suk a honmu saka,
10Basi, Roho akanikumba, naye malaika akanipeleka juu ya mlima mrefu sana. Akanionyesha mji mtakatifu, ukishuka kutoka kwa Mungu mbinguni,
11Pathian thupina a neia: a vakna tuh suang mantampen bang, Jasper suang, Kristal banga siang ahi a:
11uking'aa kwa utukufu wa Mungu. Mwangaza wake ulikuwa kama wa jiwe la thamani kubwa kama yaspi, angavu kama kioo.
12Kulhbang thupi leh sangpi a neia; kong sawm leh nih a neia, huan huai kongte ah tuh angel sawm leh nih a om ua; huan huai kongte tungah tuh min, Israel tate chi sawm leh chi nihte min tuh, a kigelha:
12Ulikuwa na ukuta mrefu na mkubwa, wenye milango kumi na miwili, na malaika wanangojea kumi na wawili. Majina ya wangoja milango kumi na mawili ya Israeli yalikuwa yameandikwa juu ya milango hiyo.
13A suahlam ah kong thum a oma; huan a mallam ah kong thum, huan a simlamah kong thum; huan a tumlam ah kong thum a om hi.
13Kila upande ulikuwa na milango mitatu: upande wa mashariki, milango mitatu, kaskazini milango mitatu, kusini milango mitatu na magharibi milango mitatu.
14Huan kho kulhbangin tuh nuaiphah sawm leh nih a neia, huan huaite tungah tuh Belamnou sawltak sawm leh nihte minte.
14Kuta za mji huo zilikuwa zimejengwa juu ya mawe ya msingi kumi na mawili, na juu ya mawe hayo yalikuwa yameandikwa majina na mitume kumi na wawili wa Mwanakondoo.
15Huan amahkei honghoupihpan tuh akhua leh akongte leh akulhbangte tehna dingin tehna dangkaeng sialluang a tawia.
15Basi, yule malaika aliyekuwa anasema nami alikuwa na kijiti cha dhahabu cha kupimia, kwa ajili ya kuupima huo mji, milango yake na kuta zake.
16Huan huai khuain tuh ning li a neia, huan a dunglam tuh a vailam chiachiain a liana; huan a sialluangin khua tuh a teha, ching sing khat leh ching sang nih ahi a, dunglam leh vailam leh a Sanlam tuh a kikim hi.
16Mji wenyewe ulikuwa wa mraba, upana na urefu wake sawa. Basi, malaika akaupima mji huo kwa kijiti chake: ulikuwa na urefu, upana na urefu wa kwenda juu, kama kilomita elfu mbili na mia nne.
17Huan amah tuh a kulhbang a teha, mihing tehnaa tehin huai tuh angel tehna ahia a, tong zakhat leh tong sawmli leh li ahi a.
17Kisha akaupima ukuta wake pia; nao ulikuwa mita sitini kwa kipimo cha macho cha kibinadamu ambacho malaika alitumia.
18Huan a kho kulhbang tuh jasper suanga kibawl ahi a; huan a khua tuh dangkaeng siang, limlang siang bang ahi a.
18Ukuta huo ulikuwa umejengwa kwa mawe mekundu ya thamani, na mji wenyewe ulikuwa umejengwa kwa dhahabu safi, angavu kama kioo.
19Huan a kho kulhbang nuaiphah tuh suang mantam chitenga zep ahi a. A nuaiphah khatna tuh jasper suang ahia; a nihna tuh sapphiri suang, a thumna tuh kalsidoni suang; a lina tuh emeraldi suang;
19Mawe ya msingi wa ukuta huo yalikuwa yamepambwa kwa kila aina ya mawe ya thamani. Jiwe la kwanza la msingi lilikuwa jiwe la thamani jekundu, la pili yakuti samawati, la tatu kalkedoni, la nne zamaradi,
20A ngana tuh sardonik suang; a gukna tuh sardia suang; a sagihna tuh krisolait suang; a giatna tuh berli suang; a kuana tuh topazi suang; a sawmna tuh krisoprai suang; a sawm leh khatna tuh zasinthi suang; a sawmleh nihna tuh amethisti suang ahia ua.
20la tano sardoniki, la sita akiki, la saba krisolito, la nane zabarijadi, la tisa topazi, la kumi krisopraso, la kumi na moja yasinto, na la kumi na mbili amethisto.
21Huan a kong sawm leh nihte tuh tuikep suang sawm leh nihte ahi ua; akong tek tuh tuikep suang khat chiata bawl ahi a: huan a khopi kholak tuh dangkaeng siang ahia, limlang muhpaisuak theih bang main.
21Na ile milango kumi na miwili ilikuwa lulu kumi na mbili; kila mlango ulikuwa umetengenezwa kwa lulu moja. Barabara kuu ya mji ilikuwa imetengenezwa kwa dhahabu safi, angavu kama kioo.
22Huan huaiah tuh biakin himhim ka mu keia; Toupa Pathian Bangkimhiihthei leh Belamnou tuh huai laia biakin a hih jiak un.
22Sikuona hekalu katika mji huo, maana Bwana Mungu Mwenye Uwezo na yule Mwanakondoo ndio Hekalu lake.
23Huan a tunga tanvak dingin huai khopiin ni hiam, kha hiam leng a deih kei: huai laia Pathian thupinain a tanvaka, huai laia khawnvak tuh Belamnou ahi ngala.
23Mji huo hauhitaji jua wala mwezi kuangazia, maana utukufu wa Mungu huuangazia, na taa yake ni yule Mwanakondoo.
24Huan huailaia vak lakah tuh namte a khosa ding ua; huan leitung kumpipaten huaiah a thupina uh a hontawi lut ding ua;
24Watu wa mataifa watatembea katika mwanga wake, na wafalme wa dunia watauletea utajiri wao.
25Huan bangchimahin huai kongte tuh suna khakin a om kei ding ua (huailaia jan a om louh ding jiakin):
25Milango ya mji huo itakuwa wazi mchana wote; maana hakutakuwa na usiku humo.
26Huan amau tuh namte thupina leh zahtakhuaina huai ah hontawi lut ding ua:Huan bangchimahin huailaiah tuh thil nin hiam, ahihkeileh kihhuai leh juau bawl himhim leng a lut kei ding hi. Himahleh Belamnou hinna laibua mingelhte kia a lut ding uhi.
26Fahari na utajiri wa watu wa mataifa utaletwa humo ndani.
27Huan bangchimahin huailaiah tuh thil nin hiam, ahihkeileh kihhuai leh juau bawl himhim leng a lut kei ding hi. Himahleh Belamnou hinna laibua mingelhte kia a lut ding uhi.
27Lakini hakuna chochote kilicho najisi kitakachoingia humo; wala mtu yeyote atendaye mambo ya kuchukiza au ya uongo hataingia humo. Ni wale tu walioandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo ndio watakaoingia ndani.