Paite

Swahili: New Testament

Revelation

22

1Huan hinna tui lui Kristal suang banga te, Pathian leh Belamnou laltuphaha hongsuak khia tuh a honen sakta a,
1Kisha malaika akanionyesha mto wa maji ya uzima maangavu kama kioo yakitoka kwenye kiti cha enzi cha Mungu na Mwanakondoo.
2Huai a kongzing laia huan a lui lang tuaktuak ah, hinna sing gah chi sawm leh nih nei, kha tenga gah tuh a oma: huan huai sing nahte tuh namte hihdamna ding ahi a.
2Mto huo ulitiririka kupitia katikati ya barabara kuu ya mji. Kandokando ya mto huo kulikuwa na mti wa uzima unaozaa matunda mara kumi na mbili kwa mwaka, yaani kila mwezi; na majani yake ni dawa ya kuwaponya watu wa mataifa.
3Huan hamsia himhim a om nawn kei dinga; huan huailaiah tuh Pathian leh Belamnou laltutphah a omta ding hi: huan a sikhaten ama na a sem ding ua;
3Hapana kitu chochote kilicholaaniwa kitakachokuwa katika mji huo. Kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwanakondoo kitakuwa katika mji huo, na watumishi wake watamwabudu.
4Huan amau tuh a mel a mu ding ua; huan amah min tuh a tal uah a om ding hi.
4Watauona uso wake, na jina lake litaandikwa juu ya paji za nyuso zao.
5Huan jan himhim a om nawn kei dia; huan khawnvak vak leh ni vak hiam leng a deih nawn kei ding uh; Toupa Pathianin amau vakna a piak ding jiakin: huan amau tuh khantawn khantawnin vai a hawmta ding uhi.
5Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga wa taa au wa jua, maana Bwana Mungu atawaangazia, nao watatawala milele na milele.
6Huan aman tuh a kiangah, Hiai thute a muanhuai un a dik uhi: huan Toupa jawlnei siangthou te Pathianin, thil hong om pah mahmah dingte a si khate kiangah mu sak dingin, a angel a sawlta hi.
6Kisha malaika akaniambia, "Maneno haya ni ya kweli na ya kuaminika. Bwana Mungu ambaye huwapa manabii Roho wake, alimtuma malaika wake awaonyeshe watumishi wake mambo ambayo lazima yatukie punde.
7Huan ngaiin, Kong pai pah ding. a chi a. Hiai laibu a genkholh nate a jui peuh mahte a hampha hi,
7"Sikiliza! Naja upesi. Heri yake anayeyazingatia maneno ya unabii yaliyo katika kitabu hiki."
8Huan kei Johan tuh hiai thilte zapa leh mupa ka hi a. Huan huchia ka jak a, ka muh takin, hiai thilte hon musakpa angel khe bul ah be ding in ka pukta hi.
8Mimi Yohane, niliyaona na kusikia mambo haya. Nilipokwisha sikia na kuona nikajitupa chini mbele ya miguu ya huyo malaika aliyenionyesha mambo hayo, nikataka kumwabudu.
9Huan aman tuh ka kiangah, Honbe kei hial in, hiai laibu thute kem leh na unau jawlneite leh nang sikha hihpih ka hi: Pathian be jaw in, a chi a.
9Lakini yeye akaniambia, "Acha! Mimi ni mtumishi tu kama wewe na ndugu zako manabii na wote wanaoyatii maagizo yaliyomo katika kitabu hiki. Mwabudu Mungu!"
10Huan aman tuh ka kiangah, Hiai laibu a genkholhnate bilh khumta ken, a hun a naitak jiakin.
10Tena akaniambia, "Usiyafiche kama siri maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, maana wakati wa kutimizwa kwake umekaribia.
11Kuapeuh mi diktatlouin diktatlouhna hih nalai hen; huan kuapeuh mi nin, nin nalai hen: huan kuapeuh mi keizenin, kizenna hih nalai hen: huan kuapeuh mi siangthou tuh, siangthou nalai hen.
11Kwa sasa anayetenda mabaya na aendelee kutenda mabaya, na aliye mchafu aendelee kuwa mchafu. Mwenye kutenda mema na azidi kutenda mema, na aliye mtakatifu na azidi kuwa mtakatifu."
12Ngaiin, ka hong pai pah ding; huan a thil hih bang jel ua piak dingin ka kiang ah ka kipahman a om hi.
12"Sikiliza!" Asema Yesu, "Naja upesi, pamoja na tuzo nitakalompa kila mmoja kufuatana na matendo yake.
13Alpha leh Omega ka hi, a masapen leh a nanungpen, a bul leh a tawp.
13Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho, wa kwanza na wa mwisho."
14Hinna sing a honzot theihna ding uleh, konga khopi sunga a lut theihna ding ua, a puan uh sawp siangte tuh a hampha uhi.
14Heri yao wale wanaoosha mavazi yao, kwani watakuwa na haki ya kula tunda la mti wa uzima, na haki ya kuingia mjini kwa kupitia milango yake.
15A polam ah uikhawng, leh bumhatte leh, mingaihhatte leh tualthatte leh milimbete leh kuapeuh juau thu deih a, juau thu bawlte a om uhi;
15Lakini mbwa, wachawi, wazinzi, wauaji, waabudu sanamu na wote wanaopenda kusema uongo, watakaa nje ya mji.
16Kei Jesuin saptuamte adinga hiai thilte na kiang ua hontheisak dingin ka angel kon sawlta hi. David zung leh a suan, jingsolaksi, vak ka hi, a chi a.
16"Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu awathibitishieni mambo haya katika makanisa. Mimi ni mzawa wa ukoo wa Daudi. Mimi ni nyota angavu ya asubuhi!"
17Huan Kha leh Mouin, Hongpai in, a ci ua. Huan kuapeuh a jain. Hongpai in chi, hen. Huan kuapeuh a utin hinna tui a manbeiin hongdawn hen.
17Roho na Bibiarusi waseme, "Njoo!" Kila mtu asikiaye hili, na aseme, "Njoo!" Kisha, yeyote aliye na kiu na aje; anayetaka maji ya uzima na apokee bila malipo yoyote.
18Hiai laibua genkholhna thute zapeuh kiangah ka thiesak hi: Mi kuapeuh in hiai thute a behlap ualeh Pathian in amau tungah hiai laibua a kigelh gawtna tuh behlap inteh:
18Mimi Yohane nawapa onyo wote wanaosikia maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki: mtu yeyote akiongeza chochote katika mambo haya, Mungu atamwongezea mabaa yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
19Huan kuapeuh in hiai genkholhna laibua thute lakmang a neih leh, Pathian in amau tan ding, hiai laibu a kigelh, hinna sing a kipan leh, kho siangthou a kipanin lamang inteh.
19Na mtu yeyote akipunguza chochote katika maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, Mungu atamnyang'anya sehemu yake katika ule mti wa uzima, na sehemu yake katika mji mtakatifu, ambavyo vimeelezwa katika kitabu hiki.
20Hiai thilte theisakpa, aman, Ahi: ka hongpai pah ding, a chi. Amen Hongpaiin, Toupa Jesu.Toupa Jesu hehpihna tuh misiangthoute kiangah omta hen. Amen.
20Naye anayetoa ushahidi wake juu ya mambo haya asema: "Naam! Naja upesi." Amina. Na iwe hivyo! Njoo Bwana Yesu!
21Toupa Jesu hehpihna tuh misiangthoute kiangah omta hen. Amen.
21Nawatakieni nyote neema ya Bwana Yesu. Amen.